RUTO ASITAFUTE MCHAWI NI NANI| WAKENYA WAMEKUWA SUGU| NCHI HAIENDESHWI NA MTU, INAENDESHWA NA MIFUMO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 285

  • @PeterEvance-wl1ec
    @PeterEvance-wl1ec 21 วันที่ผ่านมา +71

    We're Kenyans and Kenya is our business.

    • @user-uz5db2dq2g
      @user-uz5db2dq2g 21 วันที่ผ่านมา +4

      Excalty mkenya damu mie mtuulize wenyewe

    • @emmanuelmasanja6040
      @emmanuelmasanja6040 20 วันที่ผ่านมา +2

      Kumbuka Kenya pia ni east Africa,kuizungumzia ni kawaida tu ndugu,Kama mwanachama wa east africa😂😂😂

    • @enochosano2896
      @enochosano2896 20 วันที่ผ่านมา +6

      @@emmanuelmasanja6040 haja maanisha hamfai kuongelea kenya. anamaanisha tutaendelea na maandamano

    • @user-ie8cw9cx2i
      @user-ie8cw9cx2i 19 วันที่ผ่านมา

      nyinyi endeleeni kuongozwa na mtu ananyesha ikifka mwisho wa mwezi

    • @Sijuisijui
      @Sijuisijui 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-ie8cw9cx2i😂😂 be nice

  • @Sammie1730
    @Sammie1730 21 วันที่ผ่านมา +96

    Karibisha mkenya Moja kwenye studio ndo aweze kueleza Kwa ndani kinacho endelea kenya

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 21 วันที่ผ่านมา +44

    Shida hapo ni elimu ya uwana habari na uchambuzi Amna. Munaongea tu kama ni jambo la kawaida. Baba levo nenda Shule Mdogo wangu. Kufutwa kwa mawaziri ni moja ya matakwa au ni msukumo wa Wakenya haswa Gen Z.... bado mna mabadiliko mengi tu yatafanywa. Kuweni Makini na mnacho Jadili. ❤🇰🇪❤🇹🇿❤ Gen z.....

    • @baloz8974
      @baloz8974 21 วันที่ผ่านมา +2

      Haswa kuna wabunge na bunge kuvunjwa na pesa ya umma iweke wazi ijulikane safari zao za ulaya walikuwa wanatumia ngapi .

    • @sarafinawanja8549
      @sarafinawanja8549 21 วันที่ผ่านมา +1

      Tutawasilimia msitukasirishe 😂😂😂😂😂😂

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 21 วันที่ผ่านมา +1

      Very true

    • @eugenewamalwabusaka3572
      @eugenewamalwabusaka3572 21 วันที่ผ่านมา +2

      Kabisa Tanzania hakuna kitu mnajua kuhusu kenya mbwaaa nyinyi story na Kenya kaa mbali

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 21 วันที่ผ่านมา +1

      Tutaongea saana, ila wachawi hapo ni WABUNGE, walipaswa kusimama na wananchi kuukataa basi. Serikali yenyewe inaleta tu mawazo hata km ni Mabaya halafu Bunge linapitisha tu 😢😢😢

  • @denkojux5869
    @denkojux5869 21 วันที่ผ่านมา +44

    Kenya the capital city of Africa 👊

    • @NoName-pp4lo
      @NoName-pp4lo 21 วันที่ผ่านมา +4

      Exactly

    • @baloz8974
      @baloz8974 21 วันที่ผ่านมา +3

      True everyone has acknowledged it even in Nigeria they're saying so .

    • @sarafinawanja8549
      @sarafinawanja8549 21 วันที่ผ่านมา +2

      Kenya the Giant of Africa, # Tanzania tafadhali tunzeni amani yenu

    • @elijawakaba
      @elijawakaba 21 วันที่ผ่านมา +1

      Sure

    • @cyrusm6848
      @cyrusm6848 21 วันที่ผ่านมา

      ​@@sarafinawanja8549yeah, ata Mimi nawaambia hivyo

  • @dominicatsiaya9534
    @dominicatsiaya9534 21 วันที่ผ่านมา +29

    kenya the pride of africa

    • @Kakerluder
      @Kakerluder 20 วันที่ผ่านมา +1

      Well Said ❤

    • @Legalfairy
      @Legalfairy 18 วันที่ผ่านมา

      🦁

  • @alexsimiyu8582
    @alexsimiyu8582 21 วันที่ผ่านมา +22

    Diversionary tactics....he is the problem, not the cabinet...liar, corrupt, rude, arrogant

    • @baloz8974
      @baloz8974 21 วันที่ผ่านมา +2

      Exactly the boss who want to control everything that's why he fired Attorney General just for nothing be as he said he doesn't consult him anything.

    • @graceamadi1096
      @graceamadi1096 21 วันที่ผ่านมา +1

      The cabinet too are like him no difference

    • @Rukiakadzo
      @Rukiakadzo 21 วันที่ผ่านมา

      All Cabinet Secretaries Are Corrupt Too Like Him....There is an Inside story There.

  • @IbrahimMohamed-wm3zf
    @IbrahimMohamed-wm3zf 21 วันที่ผ่านมา +43

    Kwa kusaidia tu kaka Edo...kuondolewa kwa mawaziri ni miongoni mwa masharti ya GEN Z Wala sio kafara kwa watu wengine..cz bado Kuna mambo mengi anatakiwa kutekeleza kama masharti aliyopewa

    • @allykwaya
      @allykwaya 21 วันที่ผ่านมา +4

      Kati ya masharti 14 aliyopewa.
      Kingine Rais RUTO anachokifanya ni sahihi. Kufanya hivyo ni kutekeleza matakwa ya wakenya na sio kutoa kafara.

  • @evonrn2000
    @evonrn2000 18 วันที่ผ่านมา +2

    Tanzania our Sister Country ❤ 💕 Love from Kenya! Good analysis 👍

  • @georgeochanda6243
    @georgeochanda6243 21 วันที่ผ่านมา +19

    #Tribeless
    #Fearless
    #Leaderless
    #Theywillnotbelieve

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 21 วันที่ผ่านมา +1

      One nation 🎉

    • @Vj_hAnss
      @Vj_hAnss 19 วันที่ผ่านมา

      💪

  • @esenen9
    @esenen9 21 วันที่ผ่านมา +10

    As alwys, the glass is greener on the next door. TZ to reach Kenya democracy and freedom right will take another 100 years

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid5593 21 วันที่ผ่านมา +19

    Mukiwa tayari mutuite tuandamane hko turekebishe Africa... Africa has to change

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 21 วันที่ผ่านมา

      Asante Tanzania 2nahitaji kuwapa ajira mje kuwatoa ccm madarakani

    • @Vj_hAnss
      @Vj_hAnss 19 วันที่ผ่านมา

      karibu date 16

    • @coachdom2142
      @coachdom2142 18 วันที่ผ่านมา

      Mimi wa Tanzania na wakubali lakini mlimpoteza kiongozi Jp nilimkubali sana hapa kenya tunakandamizwa na hatuwezi kubali power belongs to us people💪💪

  • @wisemanking001
    @wisemanking001 21 วันที่ผ่านมา +20

    Tanzania, mpe MAKONDA NCHI!!! MIOZO kama ya kenya 🇰🇪 ipo Tanzania pia!!

    • @Kakerluder
      @Kakerluder 20 วันที่ผ่านมา +1

      Nawaonea Huruma sana Tatizo hamjui kilicho mbele yenu Sai wanawalaghai mbeleni Kila kitu kinabadilika 😂😂😢😅😊 Na Tanzania cdhani kama Kunakuwepo na Ma GEN Zzz...😂😂😂 Ona nchi za west Africa zimeshazinduka wanafwata mkondo kama wa Kenya #Nigeria🇳🇬 #Ghana🇬🇭#Malawi🎉#Zimbabwe🇿🇼 Na nyinginezo...😂😂🎉😂

    • @wisemanking001
      @wisemanking001 20 วันที่ผ่านมา

      @@FreeGod368 nani anaiweza?

  • @user-zv4ip3zu8p
    @user-zv4ip3zu8p 20 วันที่ผ่านมา +6

    Vile mnachambuwa mambo yetu, mngekua na ujasiri pia wa kuchambua mambo yenu tz pia ingekuwa sawa zaidi, Ila uoga mlionao ni zaidi

  • @dicksonsang4347
    @dicksonsang4347 21 วันที่ผ่านมา +7

    Ruto must resign.

  • @edanechickpoultryfarm8181
    @edanechickpoultryfarm8181 20 วันที่ผ่านมา +1

    We love you our Tanzania brothers!!!! A lot of tanzanians are studying in kenya and they come back very Kenyanised. Kenyan education system created a freedom fighter hen- z. They were taken through fasihi full of liberation stories.

  • @BestLife486
    @BestLife486 21 วันที่ผ่านมา +6

    Kaz kuingelea kenya Tanzania ahaaaa

  • @husseinkonde7348
    @husseinkonde7348 21 วันที่ผ่านมา +6

    Watangazaji bado wachanga wa tajriba ya siasa,mtafteni dudu baya anayo elimu ya siasa

  • @athumannyungundileki9799
    @athumannyungundileki9799 21 วันที่ผ่านมา +9

    Nyie pumbavu angeleeni ya kwenu mme ng'ang'ania kenya kenya wenzenu wanajielewa nyinyi kazi kusifia sifia

    • @erastusmumba
      @erastusmumba 19 วันที่ผ่านมา

      Bro hio sio sawa jaribu kukomaa haujalazimishwa kuchangia mada

  • @LilianNyambura-yk9ok
    @LilianNyambura-yk9ok 7 วันที่ผ่านมา +1

    I love this song very much ❤

  • @DanielShomunda
    @DanielShomunda 16 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo ni ukweli bro👏👏

  • @jaykawada5453
    @jaykawada5453 21 วันที่ผ่านมา +6

    You are all debating events instead of actual reason which is being unconstitutional. Mifumo ndio rada watu wangu. Tufinye sana ma-nduguu

  • @rajabusaimon7662
    @rajabusaimon7662 21 วันที่ผ่านมา +9

    Nyii hamjui wanainchi walikua wamejaa sum mda mlefu Lilikua ni swala la mda tu

  • @evansrama4224
    @evansrama4224 21 วันที่ผ่านมา +12

    Sio kafara shekhe ni masharti tuliyompea awatoe wote kazini

  • @fredsabora2543
    @fredsabora2543 21 วันที่ผ่านมา +9

    Rais ndiye aliohonga wabunge wavote yes,..ruto must go

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 21 วันที่ผ่านมา

      Hata Mimi ninaamini hivyo, najiuliza wabunge wa Azimio waliokuwa wapi kupinga hiyo Bill. Iwe isiwe walihongwa. Kwa mgawano tu wa viti vya ubunge kati ya UDA na Azimio kwanza ni VIGUMU Sana nchi kutawalika. Raila odinga bado alipaswa kuwa sehemu ya kuongoza aidha kuwa prime minister ili kuleta mahusiano ya usawa kama bunge lilivyo. Bila hivyo hii Nchi haitaweza kutawalika. Mwisho wa siku JESHI laweza kuchoka na kushika Nchi.

  • @akothsewe734
    @akothsewe734 18 วันที่ผ่านมา +1

    Watanzania mumenifurahisha sana na huu uchambuzi wenu😂😂 Tafadhali mkaribisheni mmoja wetu Kasmuel McOure aje awamwagie wisdom hapo studioni ... grts from Kenya😂❤🇰🇪🇰🇪

  • @ogthecomedian
    @ogthecomedian 16 วันที่ผ่านมา

    As Kenyans we say ruto must go

  • @goldenmaduhumedia4681
    @goldenmaduhumedia4681 21 วันที่ผ่านมา +3

    Kama mtaenda na direction hii wasafi tv itakuwa ni media yenye nguvu sana Africa

    • @NoName-pp4lo
      @NoName-pp4lo 21 วันที่ผ่านมา

      Afu kuna msanii anatunga album ya kusifia Rais aliyeko madarakani sema tz kila mtu ni chawa

  • @piere-D
    @piere-D 21 วันที่ผ่านมา +21

    Ya mama tozo yamewashinda mnaongelea ya wengne fagia kwako kwanza

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x 21 วันที่ผ่านมา

      Kabisa tuliambiwa umeme utashuka af kodi zamwisho wamwezi ndio zimeongezeka

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 21 วันที่ผ่านมา +6

    Hivi baba levo unafifikir wakenya wanaishi kwa uchawaMtu hadi ujenge nyumba kupitia uchawa,nyie endeleeni kumjaza ujinga mama,lkn ya.kenya ni Kama korona ya afrika,tusubiri muda utasema.Kariakoooooooooo!

    • @baloz8974
      @baloz8974 21 วันที่ผ่านมา

      Msemo alioutumia hapo ni kuwa ruto asitafute who's to blame huo ni msemo wa mtaani.

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 21 วันที่ผ่านมา +6

    mama tozo must go

  • @shukrishuu9672
    @shukrishuu9672 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kenya🇰🇪 shida ilianza na wababazz... Wanaiba deni za Wa kenya wote wananunua ma tx. Genzii hawapati ile meli ya relation na age groups zao.. MUBABAZ ANAVUKA NAYO NAYO.. 🎉🎉🎉😂😂😂😂❤

    • @vitalisomondi1821
      @vitalisomondi1821 10 วันที่ผ่านมา

      Mubabaazz response..Ati kaende kaende😂

  • @dailytalk2040
    @dailytalk2040 21 วันที่ผ่านมา +3

    La ruto ndie shinda yeye ndie hu control bunge chama chake kiko na wabunge wengi huyo ni mwizi, na ataenda , tuiteni tuwaeleze kunacho endelea

  • @Grandp485
    @Grandp485 19 วันที่ผ่านมา +3

    Hello wasafi media, am one of the young people (GEN Z) who are fighting for justice and to stop corruption. The biggest problem in Kenya is corruption and injustice in kenya law Court and that's why we have risen to fight for our rights partyless, leaderless and tribeless and we don't fear death. Better die fighting for your rights and freedom than to be enslaved in your own country

  • @hannan4508
    @hannan4508 20 วันที่ผ่านมา +1

    Si sugu we know our rights , power belongs to the people, Baba levo kumbuka Kenya iko dunia nyingine 🤣🤣🤣

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 21 วันที่ผ่านมา +2

    Nchi ikikosa mifumo mizuri tutaendelea kuwafaidisha watu wachache mnoo...kuna nchi zilikuwa ni jangwa leo hii wanatukopesha sijui tumekaaje hapa kwetu

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 21 วันที่ผ่านมา +2

    Nothing like that bwana ni g zee pls tafuteni mkenya mmoja tu awaelezeee yayeee

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mambo ya ooooo Raisi awe wa milele wakati tunaona nchi ina kila kitu afu wananchi wake ni maskini haijakaa vizuri kabisa

  • @rizikimwero1767
    @rizikimwero1767 21 วันที่ผ่านมา +7

    Ruto must go home

    • @elvisotwori437
      @elvisotwori437 21 วันที่ผ่านมา +1

      Andika kiswahili hawa majirani hawakuelewi 😅😅😂

    • @musicmikeish
      @musicmikeish 20 วันที่ผ่านมา

      Ruto lazima aende😂

  • @maxwellsanga3662
    @maxwellsanga3662 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa hawajui siasa zetu hapa kenya

  • @Ismail-db5oj
    @Ismail-db5oj 18 วันที่ผ่านมา

    The World 🌍 Discussing Kenya Kenya has Become Globally Encyclopedia For The Neighborhood 😂😂

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc 17 วันที่ผ่านมา

    BIG MISTAKE NCHI JIRANI KUKURUPUKA NA KUONGELEA MAMBO YA NCHI NYENGINE PLEASE PLEASE PLEASE

  • @MohamedHussein-tj5eu
    @MohamedHussein-tj5eu 17 วันที่ผ่านมา

    Us Kenyan we don't need fake promises, we waring our mps and him seif but they didn't listen to us Kenyan...
    We are the one we put them there and the power it's within us people's

  • @johnmwangi9346
    @johnmwangi9346 18 วันที่ผ่านมา

    The only thing is if the president goes will just get another corrupt politician in there 😂

  • @FedupKenyan2024
    @FedupKenyan2024 21 วันที่ผ่านมา +1

    Dj afro njoo ung'arie hawa😂😂

  • @edgar3998
    @edgar3998 21 วันที่ผ่านมา +4

    Tunatangulia mnafata tz mpo

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 20 วันที่ผ่านมา

    Ina maana Ruto yuko right. Wawakilishi wa Wananchi wameboronga so kuwasaudia wananchi is to fire cabinet.

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kenya hawamwagii maji ya kuwasha sheria hiyo haipo

  • @GlobalMonitorDaily
    @GlobalMonitorDaily 17 วันที่ผ่านมา

    Ruto aliwa honga wabunge.Hayo hayakua maamuzi ya wabunge Ila ya ruto sababu alinunua uamuzi wao.

  • @oscartheicon2716
    @oscartheicon2716 8 วันที่ผ่านมา

    Inaitwa spice FM not space 😂😂😂

  • @mohammedkazungu2747
    @mohammedkazungu2747 13 วันที่ผ่านมา

    mimi ni mkenya. wabunge walichangia pakubwa kwenye maandamano haya lakini wengi wao walipitisha mswada kwa kuhofia siasa ijayo kumaanisha ata raisi alikua kitu kimoja na wabunge kwahivyo familia ni baba, baba akipoteza mwelekeo familia nzima ni rahisi kupoteza mwelekeo.

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 21 วันที่ผ่านมา +6

    SHIDA NI RUTOOOOOOO YAYEEEEEEE AMA MWAOGOPA KUONGEA 😂😂😂SISI WAKENYA HATUOVOPA ZAKAYO MUST GOOO

  • @divinepraises5835
    @divinepraises5835 21 วันที่ผ่านมา +1

    Nyie hamjui siasa za kenya. Hamna kafara yoyote anatoa. They are incompetent leaders. Let them go. This is now the Ruto we voted for. Coming back to his senses

    • @Paul.957
      @Paul.957 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂kutoa kafara ya Tz Ina maana tofauti ni ya Kenya...

  • @EmmaWakesho-hs3jb
    @EmmaWakesho-hs3jb 20 วันที่ผ่านมา

    We are kenyans, kenya is our country

  • @mwadabakonyezo6649
    @mwadabakonyezo6649 14 วันที่ผ่านมา

    Ilifaa mujue kiliomo ndani ya finance bill. Kisha ujue Roto propagated the finance bill to please the IMF . Aliambiwa mapema awachane na hii bill lkn hakusikia

  • @user-kh7bc4js1m
    @user-kh7bc4js1m 19 วันที่ผ่านมา

    Hawaoni hawa kabisa hawajui kabisa chote maskini

  • @AliMahmoud-it7vb
    @AliMahmoud-it7vb 14 วันที่ผ่านมา

    Sasa hata si fainance bill ,maana hatahawasemi.kwame hayo.wanamengineee kila kukicha waja na lipya mpaka watu wameanza kuchoka na washaanza kupungua kwenye maandamano maana sawa kila mtu silaa mkononi kilammoja anaprotect duka lake watu wamechoka na maandamano na kunawale wanao sema wametumiwa kwahio.msione twatataka hayo hatuyataki kabisa kabisa amani

  • @janemwirikia6817
    @janemwirikia6817 21 วันที่ผ่านมา

    Ruto dismissed the CS because of not showing the necessary skills to do something successfully not sacrificing them for his benefits, it was part of the reason of protesting also.

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 21 วันที่ผ่านมา +2

    Au samia mitano tena wakati kampeni bado hii haijakaa sawa ni kama uchuro.
    Waaache was ubarikiwe kampeni August 2025.je samia asipogombea tena inakuaja inakuwafitina

  • @user-pw5pe6kp6l
    @user-pw5pe6kp6l 21 วันที่ผ่านมา +2

    Shida Iko Kwa rais Kwa nn ahonge wabunge wapitishe anavyotaka

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 21 วันที่ผ่านมา +1

    Ikitokea tz alooooh itaharibu nch ukitaka Kuja tizama Umati wawatu wenye shida na changamoto, Alison kuwa katibu wa ccm,na kila changamoto inaonesha serikali inelegant, niliogopa saana

  • @mumomuendo9892
    @mumomuendo9892 19 วันที่ผ่านมา

    Justice for shadrach

  • @ruujcaflon3351
    @ruujcaflon3351 17 วันที่ผ่านมา

    Mni alike studio nichangie mada. Hii mada inataka mkenya mwenyewe aeleze kilicho tukia

  • @onescaniaonescania8227
    @onescaniaonescania8227 19 วันที่ผ่านมา +1

    baba leo wewe umeskiaa wapi, ww c chawa wa kwenye ccm kuna kenya ona moto ,kwenyu enyewe magumu hamsumbutu tetea watoi wenyu,mnaongopa CCM PANYA NINYI

  • @moshiwamboi1266
    @moshiwamboi1266 15 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂wasafi TV nimependa maoni yenyu Baba levo Leo yuko serious na kesi ya watu kuvuta tear. Gas a Tanzania wezangu sisi wakenya wwazuri sana ila tukichokeshwa tunakuwa wanyama

  • @eminix2132
    @eminix2132 19 วันที่ผ่านมา

    Huku Kenya katiba lazima ifuatwe hatupendi ujinga na tamaa za wanasiasi 16th july maandamano yatafanyika Rambo 6 last blood comming soon big up baba LEVO from Eldoret

  • @kimaru9483
    @kimaru9483 18 วันที่ผ่านมา

    Ni Bunge kweli ila shinikizo linatoka Kwa Rais .

  • @user-xy5nc7hp7j
    @user-xy5nc7hp7j 18 วันที่ผ่านมา

    Yenye ndio anawalipa wapitishe.

  • @cristalclear2499
    @cristalclear2499 18 วันที่ผ่านมา

    Wajumbe walipokea Ten million kutoka kwa Ruto, mali ya uma, kila mmoja wao ndio wakapitisha iyo sheria kinyume ya wananchi. Ndugu jirani hamwelewi huyu ruto vile ako mukorofi.

  • @HANDOLOH
    @HANDOLOH 12 วันที่ผ่านมา

    Serikali ya Kenya Bungevhaipitisha,Rais Ruto awaw homga pesa wapitishe mawazo yake. Aliwapa wabunge milioni 2 kila mtu wapitishe mawazo yake. Kw ma hivyo nyinyi watangazaji amuielewi Kenya hata!

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 20 วันที่ผ่านมา

    Sio walio kuwa Wana mzunguka Ni IMF na World Bank TZ na inchi nyingi za kiafirika watalamu wetu wajifunze.

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 15 วันที่ผ่านมา

    Wewe washa ku speed up rmaneno sisi tuko na raisi ruto

  • @raphaeloloo9641
    @raphaeloloo9641 21 วันที่ผ่านมา +2

    Na atajiuzulu pia yy atumtaki zakayo mtoza ushuru ss Gen z ndio kusema

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 21 วันที่ผ่านมา +1

    Kama sio wataalam wa geo politics muwe mnavunga au tafuteni mtaalam anayejua hivi vitu!!

  • @AllyMohammed-nv5sj
    @AllyMohammed-nv5sj 21 วันที่ผ่านมา

    We baba levo siasa za Kenya ujui kabisa

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 21 วันที่ผ่านมา +1

    Katika siku umeongea point Oscar ni Leo nakutania

  • @sund2553
    @sund2553 19 วันที่ผ่านมา

    Ya nchi za watu midomo chuchunge kujadili ya nchini kwenu huw mnafyata hatariiii

  • @McDanico_ke
    @McDanico_ke 16 วันที่ผ่านมา

    Just invite one kenyan Gen z like @McOure to explain the state of the kenyan nation

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 19 วันที่ผ่านมา

    shida y wabunge wenyew ndo hawa wanaopita bila kupingwa
    unadhan hao wameletwa n wananchi

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 21 วันที่ผ่านมา +1

    Oscar gombea Kaliua kura utapata nyingi uende ukiwa na uelewa huu wa hoja zinazohusu maslahi ya wananchi

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 19 วันที่ผ่านมา

    Let’s president do his job. He got the message and he will work on it. Anyone who will be a president will face the same. Allow Kenya to thrive it is on right direction.
    Kenya own and operates airline with its own airlines.
    Interest rates: Ghana - 29%; Kenya 13%.
    Depreciation: Ghana- 54% ; Kenya 34%
    Inflation rates: Ghana - 23%; 6.6%.
    Unemployment rates: Ghana- 14%; Kenya; 6.6%.
    Total Debt: Ghana- 83.6%; Kenya 690%
    So Kenya needs to do adjustment in the formation of Government and deals with Corruption. Taking loan with caution.
    CORRUPTION AND MISMANAGEMENT ARE ISSUES TO DEAL WITH IN KENYA CASE STUDY

  • @michaelgitau9681
    @michaelgitau9681 19 วันที่ผ่านมา

    Mnataka muongelelee Kenya wakati nyinyi mmefichwa chini ya dera ya mama 😂😂😂Kwanza Wasanii wenyu A list wananyonyeshwa na mama ndio maaana hata hawako kwenye ma swala ya kuhamazisha jamii......sisi Juliani,Nameless,Nadia Mukami,Arrow boy,Khaligraph,octopizzo,willy paul,Otile brown,Bien,Savara,etc walikataa kununuliwa wakaamua kuhamazisha jamii hiyo ndo usanii imara

  • @rwenji22
    @rwenji22 19 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwa mifumo ukweli mtupu. Afrika yetu Hoyeee!

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up 20 วันที่ผ่านมา

    Nyie mmebaki kuwa CHAWA na nyinyi waandishi wa habari ndio mnafanya maisha ya Watz kuwa MAGUMU kwa kihongwa na kuucha ukweli na kukumbatia uongo na KUWA VYOMBO VYA HABARI VINAVYOSIFIA MAARAMIA. MNAJADILI YA WAKENYA YAKWENU JE!????😢😢

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv4864 20 วันที่ผ่านมา

    Wakenya sio ligi yenu watanzania

  • @pete7289
    @pete7289 20 วันที่ผ่านมา

    Shida liko kwa Rais maanake Ruto ako na tabia ya kuwahonga wabunge. Kila bunge yule alipitisha mswaada huo alikua apewe shilingi millioni 2. Kumaananisha wanauza nchi ndiyo maana wakenya ilibidi waingie bungeni wasmamishe billi hilo kupita kwa sababu wabunge walikua wanawatusi na kuwaongelesha matope kwasababu wanaenda kufaidika zaidi likipitishwa

  • @willywilliamzakaklb8390
    @willywilliamzakaklb8390 21 วันที่ผ่านมา

    This guy talking about Kenyan parliament still does not understand how Ruto has compromised the Mps

  • @danwangwe7
    @danwangwe7 21 วันที่ผ่านมา

    We are not a imf and world bank puppets we kenyans fight for our rights, america is not a colony of Kenya

  • @josephwasiembi2970
    @josephwasiembi2970 21 วันที่ผ่านมา

    Mnaongea vitu za tanzania sio sisi kenya mnaongea makosa .Gen z tuko tumesoma hadi katiba na TUNAKITUMIA word by word we are allowed to recall our leader ,demonstrate and picket

    • @josephwasiembi2970
      @josephwasiembi2970 21 วันที่ผ่านมา

      we dont want dialogue with the government we are leaderless,tribeless,

  • @jakerop192
    @jakerop192 20 วันที่ผ่านมา

    Someni katiba ya Kenya ndipo mwelewe kwanini Ruto haezi ondoka mamlakani kwa sasa

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 21 วันที่ผ่านมา

    Hii panel yenu haina tajriba ya kutosha kuongelea mada hii ya Kenya

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kujadili siasa za kenya sawa za bongo aaannh

    • @baloz8974
      @baloz8974 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 we kenya ni pasau kichwa hawa wote wanafunzi wa chekechea kina baba levo

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 21 วันที่ผ่านมา

      Wananisinya sijui wanaongea nini bure kabisa😂​@@baloz8974

  • @husainsmith3103
    @husainsmith3103 20 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi mnaongea bila ata kufanya uchunguzi raisi kufuta mawaziri sio kupenda kwake na wala sio kafara. Ila anatekeleza alivokubaliana na Genz kwasababu wabunge wengi hawatekelezi majukumu yao isopokua wanaonekana tu wakifuja pesa kwenye makanisa na wengine wakihojiwa kuhusu vitu wanavo miliki wanataja pesa ndefu wengine wananunua magari ya thamani wakati ma hospitali mengi hakuna madaktari maskuli hakuna walimu.

  • @zainabhussein5542
    @zainabhussein5542 20 วันที่ผ่านมา

    Angalieni mambo yenu mambo ya kenya hayawahusu kama mumeishiwa na maneno basi kila mtu aseme ya kwake ama huko kijijini kwenu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 21 วันที่ผ่านมา

    Hamuelewi mnaongea nini, next time mualikeni mtu anaelewa siasa za Kenya aje awafafanulie What's going on in Kenya. 2027 haitakuwa rahisi. Hao wabunge watajuta kusimama na serikali.

  • @madreks253
    @madreks253 18 วันที่ผ่านมา

    Mbona hamuwezi kuonge hivi kuhusu President Samia...?! Kuna mafisadi wezi na uozo mwingi serikali ya Tanzania. Acheni unafiki wakusema mambo ya Kenya wakati nyumbani Tanzania nchi ishauzwa...

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 20 วันที่ผ่านมา

    Hamna uwezo wakuchambua mambo kama hayo mngeita mtu mmoja makini awasaidie, alichozungumza edo ni mashudu maamuzi ya ruto ni sahihi maana hilo ni moja ya matakwa ya wananchi wa kenya kufukuza mawaziri, kuhusu finance bill nikweli kwa mujibu wa rais kwake hakuona shida ya wabunge waliopiga yes na wabunge hawajatolewa

  • @msonocollo9551
    @msonocollo9551 14 วันที่ผ่านมา

    Ambia diamond kunyamaza hivyo akuasema kitu yy na harmonize

  • @chenhans8236
    @chenhans8236 20 วันที่ผ่านมา

    Kweli kbsaaa

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 21 วันที่ผ่านมา +4

    Tunahitaji Katiba mpya itakayoondoa baadhi ya mambo yanayotuchelewesha kupata maendeleo kama nchi....kwamba CAG anaibua hoja za upotevu wa mabilioni ya fedha au kodi za wananchi afu hatuoni hatua zozote zikichukuliwa hii imekaaje..🤔🤔

  • @EichelTrocon
    @EichelTrocon 21 วันที่ผ่านมา

    #RutoMustGo