Zahanati ni mali ya watanzania siyo hela ya rais kutoka mfukoni kwani vitenge kwani walimuomba?au vitenge ni sehemu ya huduma za jamii?kujenga shule,vituo vya huduma za afya,miundombinu zote kama barabara kuajiri watumishi siyo hisani ya rais ni wajibu wa serikali yoyote duniani
hapo Ni unafiki tu wananchi wengi wanalalamika kuhsu maswala ya afya kutokana na kutokwepo kwa madawa hospital na madawa mengine ni gali wanashindwa ku afford
Walipewa zawadi wenyewe wameamua kuichoma na ilikuwa zawadi hawana shida nayo tena. Sasa kivipi washtakiwe hiyo ni sheria gani?ipi??? Ebu acheni uchawa rais keshachemsha nchi ishamshinda nyie mnampambapamba tuu kwa ujinga wenu kwani wananch sisi hatuoni?
Wamekosea sana kuchoma moto kitenge chenye picha ya mama,hawana tofauti na yule kijana wa mbeya nashauri wachukuliwe hatua kali hao bawacha ili iwe fundisho!
Mwanzo samia kwakweli alionesha nianjema ndiomaana bawacha wakamkaribisha na kumpongeza Lakini mama amelewa madaraka alikua kavaa ngoz ya kondoo kwahivyo kuna kila sababu kimkaribisha kwenye mkutano wa bawacha pia kuna kila sababu kuchoma sura yake mbaya
Bro hekima ipi nidhamu ipi..? Kama mtakubaliana na mtu halafu asifanye makubaliano ww utamchekea au vipi....au utampigia makofi na kujikomba kwakwe Hao wamechoma wakidai hakuna hata Moja lililotekelezwa
Mpumbavu wew huyo raisi wako angekuwa na busara angechapisha picha za nembo ya chadema kwenye vitenge then angewapelekea ,,wew na raisi wako wote hamna fikra
mbona stika kibao za kampeni na kura zinaharibiwa na cyo kesi, demokrasia, huwezi force watu waabudu mtu. hapo ni hard copy, na ukija soft copy na AI !
Angalia mpumbavu huyo asiejielewa het samia hakujenga vituo vya Afvya pesa ya kodi ndio imejenga pesa Bila usimamizi Iinaweza kujenga wewe mpumbavu sana kumbe
Tena huyu mama Samia aheshimiwe kwa marefu na mapana! AmetangazaTanzania kimataifa na ameeleweka na anakubalika fedha za kigeni kibao !acheni chuki binafsi !
Chadema ni wakorof na wamekosea sana hata kama ulikuwa hutaki ungegawa wa watu wengine wapo wengine tuu hawana hata nguo mnachoma nguo mtashindwa kuwa mtu kweli hii sio sawa
Akili we huna kama mlivyo wanaccm ,,kwa akili ya haraka haraka Iran anapigana na Israel afu Israel achukuwe dawa apeleke Iran anategemea nn ..nyie ccm ni manyumbu akili zenu fupi ndo mana hata mahakamani wanashelia wenu na selikali yenu inashindwaga kec
Uboleshaji uko wapi KADI za watoto ni sh 1000 dawa hakuna wajawazito tuna lipsa sh 40000 tunaenda na kalatas krapsi tunaenda mayo pea 5 Nye mtatwambia Nini
Busara itumike. Tuache kupoteza muda kujadili mambo yasiyo na tija. Tutsishia hata mtu akiuangalia/akikutazama yatazuka malalamikiano. Hivi mnaona mijadala hiyo itatupeleka pa,uri? Wataumia wasio na manufaiko ya hayo. Tutu u dhambi zetu tumuogope Mungu ili atupe hekima na busara.
Umeongea vyema ila umepotoka hapa Je, Zahanati ni harambee ya chama Cha kijani au Kodi za wananchi? kwa point hiyo tu. inaonesha shuleni mnafuata vyeti ili muombee kazi nasio kuelimika acheni kuchukua Kodi ili wasije huko Zahanati. Mnawafundisha watu kuwa chawa yaani kusifiwa sifiwa2 lazma kukosolewa sometimes. Ndio maana Africa viongozi ni wafia madaraka. Is time to change attitudes.
Bro sasa ulitaka mama atoe ela mfukon mwake akujengee kituo cha afya?wanaposema kajenga haimaanish katoa ela mfukon ni kwa kuwa vimejengwa chini ya utawala wake dats mins kodi zetu kazisimamia vyema..mbona Magu anasifiwa kwa kujenga flyover kwan katoa mfukon mwake?zote ni kodi zetu..
Msituletee ujinga wenu apa nyie wauaji wakubwa! Polisi msiwe mafaka kutumwatumwa ovyo na kujipa laana za bure lindeni raia na mali zao acheni kujiingiza kutetea ccm tumechoka jamani hii nchi kwani vipi?!!!! Uonevu mtupu! Na rais ni mwanamke!?
Hao wote wanaowatetea wanawake wa Chadema waliochoma vitenge waliovyopewa na mheshimiwa Rais hao niwajinga na wehu .Hata kama walipewa na hakwaupewa niwahuni naniwasenge tu .Hawatumuweze mheshimiwa Rais kwa ujinga walionao na hawana hoja kabisa
Samia mast go Bora vilivyo chomwa Moto havina umuhim wowote kwa watanzania nyie wauwaji watekaji nyara watanzania tumewachooooka saaaaana, mbwa nyie, kazi gani mzuri unayoisema ww mbwa Alie ifanya watu wanatekwa na kuuwawa thn yy yupo kimya, na kusema hizo ni drama Ila hayo madogo tukutane 2025,
Acheni uongo na propaganda,waacheni BAWACHA waendelee na program zao kichama kwani Hawashawishiki na wala Hawahongeki wana Misimamo.Msiwavuruge hawako pamoja nanyi .
😂😂😂😂😂😂 yaan kitenge chenye picha tu mbona wengine tulishachana visepe vya watoto wetu muda mrefu sana
Hata uchome hata ufanyaje mama ndo Rais had 2035. Note that ukibisha bas bisha tu
Kuchoma tu, Kuna time vinafutiwa mavi kwenye picha watoto wakijisaidia 😂😂😂
ni mali ya mtu unampangia nini afanyie?? wapuuzi hawa waje nyumbani kwangu kitenge cha Samia napigia deki
Kemeeni na utekaji na mauaji mkiwa kama wszazi hongeleni sana
Acheni unafiki kwani yy ni MUNGU? Nendeni huko kuwatafute wasojulikana wanauwa watu kila siku
Zahanati ni mali ya watanzania siyo hela ya rais kutoka mfukoni kwani vitenge kwani walimuomba?au vitenge ni sehemu ya huduma za jamii?kujenga shule,vituo vya huduma za afya,miundombinu zote kama barabara kuajiri watumishi siyo hisani ya rais ni wajibu wa serikali yoyote duniani
hapo Ni unafiki tu wananchi wengi wanalalamika kuhsu maswala ya afya kutokana na kutokwepo kwa madawa hospital na madawa mengine ni gali wanashindwa ku afford
Walipewa zawadi wenyewe wameamua kuichoma na ilikuwa zawadi hawana shida nayo tena. Sasa kivipi washtakiwe hiyo ni sheria gani?ipi??? Ebu acheni uchawa rais keshachemsha nchi ishamshinda nyie mnampambapamba tuu kwa ujinga wenu kwani wananch sisi hatuoni?
Wamekosea sana kuchoma moto kitenge chenye picha ya mama,hawana tofauti na yule kijana wa mbeya nashauri wachukuliwe hatua kali hao bawacha ili iwe fundisho!
We mwenyew unaitwa kibwetere,,mbona uliwachoma waumini moto kanisani mpaka leo hujulikani ulipo manina weee
Ccm Mnalilia kuchomwa Vitenge vyenye picha ya Raisi Samia Mbona Ccm hamlalamikii Utekaji na Mauaji yanayofanyika Tanzania.
Machawa wa CCM mbona kibao ameuawa hamjasema? Wakina soka wamepotea mbona mmekaa kimya nyie?
Mwanzo samia kwakweli alionesha nianjema ndiomaana bawacha wakamkaribisha na kumpongeza
Lakini mama amelewa madaraka alikua kavaa ngoz ya kondoo kwahivyo kuna kila sababu kimkaribisha kwenye mkutano wa bawacha pia kuna kila sababu kuchoma sura yake mbaya
Nyie ni wehu kweli muwavishe sura ya SAMIA?
Mashetani wakubwa wewe unaelaani kuchomwa vitenge inaonekana hujawahi kuingia leba ukajua uchungu wa mtoto na bado Hadi tujue hatima ya vijana wetu
Ccm mbona mlifanya sana hayo znz
Yani wamechoma vitenge vya Picha ya rais alafu Bado wapo mtaani, kweli? Kuwapeleka Kwa pilato😢😮
Nimeamini kweli upinzani hauwezi kuiongoza hii nchi. Maana ishara ya kuchoma moto hivyo vitenge ni ukosefu wa hekima. Na utovu wa nidhamu.
Bro hekima ipi nidhamu ipi..?
Kama mtakubaliana na mtu halafu asifanye makubaliano ww utamchekea au vipi....au utampigia makofi na kujikomba kwakwe
Hao wamechoma wakidai hakuna hata Moja lililotekelezwa
Mpumbavu wew huyo raisi wako angekuwa na busara angechapisha picha za nembo ya chadema kwenye vitenge then angewapelekea ,,wew na raisi wako wote hamna fikra
mbona stika kibao za kampeni na kura zinaharibiwa na cyo kesi, demokrasia, huwezi force watu waabudu mtu.
hapo ni hard copy, na ukija soft copy na AI !
Mdomo komaaaa..inchi ishaharibika hii..maana nlitaka nitoe bonge la neno
Angalia mpumbavu huyo asiejielewa het samia hakujenga vituo vya Afvya pesa ya kodi ndio imejenga pesa Bila usimamizi Iinaweza kujenga wewe mpumbavu sana kumbe
Nawaza tu, hivi hata kikiisha haipaswi vitupwe kwa vile tu vina picha ya rais? maana watu wasije kuingia kwenye 18 bila kujua
Sijapata kuona watu wapumbavu kama Watanzania wamevurugwa akili na watawala wao
Watieni ndani!
Bado hamjatosheka na hao mliowake ndani
Tena huyu mama Samia aheshimiwe kwa marefu na mapana! AmetangazaTanzania kimataifa na ameeleweka na anakubalika fedha za kigeni kibao !acheni chuki binafsi !
Wewe mama kama teuzi umekosa uyo ni RAIS wawatu wote miaka 2000
Hakuna lolote penye mzoga ndio nzi wanajaa, kwanza wawalipe wastafu mafao yao eti kikokotoo!
Hawa chadema hawajielewi. Wao wanaweza kulingana na Rais wa nchi? Sasa wakichoma kitenge wanampuguzia nini Rais? Wachovi hao. hawana lolote.
Ccm nyie wasenge
Chadema ni wakorof na wamekosea sana hata kama ulikuwa hutaki ungegawa wa watu wengine wapo wengine tuu hawana hata nguo mnachoma nguo mtashindwa kuwa mtu kweli hii sio sawa
Akili we huna kama mlivyo wanaccm ,,kwa akili ya haraka haraka Iran anapigana na Israel afu Israel achukuwe dawa apeleke Iran anategemea nn ..nyie ccm ni manyumbu akili zenu fupi ndo mana hata mahakamani wanashelia wenu na selikali yenu inashindwaga kec
Umaskini kitu kibaya yasni huto tuvitemge mnaona bonge la dili jamani aibu sana hii
Uboleshaji uko wapi KADI za watoto ni sh 1000 dawa hakuna wajawazito tuna lipsa sh 40000 tunaenda na kalatas krapsi tunaenda mayo pea 5 Nye mtatwambia Nini
Sio mbaya wao wamechoma nyie mnalani je wko wapi Akina Soka kama Akina nyundo wamefungwa
Mliwapa vya nini wakati mkijua hawako upande wenu?
Muuze bandari zetu mtupe vitenge aseeee huo ni ujingaaqq
Busara itumike. Tuache kupoteza muda kujadili mambo yasiyo na tija. Tutsishia hata mtu akiuangalia/akikutazama yatazuka malalamikiano.
Hivi mnaona mijadala hiyo itatupeleka pa,uri? Wataumia wasio na manufaiko ya hayo. Tutu u dhambi zetu tumuogope Mungu ili atupe hekima na busara.
Mbona hamuongelei utekaji vitenge tu vinawaumiza roho
Huyu anaangalia maisha yake tumia wewe mwenyewe
Unatetea unyama endelea mwisho msaliti nae husalitiwa
Wakichoma kwani wame mpiga viboko
Zahanati hajenga samia suluhu zimejenga Kodi za wa Tanganyika acha ujinga we chatanda
Kwahiyo akijenga rais wa chadema pesa atatoa mfukoni mwambie basi anze na mkoa aliyekuwa mbunge ajenge zahanati kwa kutumia mfuko wake 😅😅😅😅😅
Ww unaongelea kuchoma hivo wangenepishia watoto
Umeongea vyema ila umepotoka hapa Je, Zahanati ni harambee ya chama Cha kijani au Kodi za wananchi? kwa point hiyo tu.
inaonesha shuleni mnafuata vyeti ili muombee kazi nasio kuelimika acheni kuchukua Kodi ili wasije huko Zahanati. Mnawafundisha watu kuwa chawa yaani kusifiwa sifiwa2 lazma kukosolewa sometimes.
Ndio maana Africa viongozi ni wafia madaraka. Is time to change attitudes.
Bro sasa ulitaka mama atoe ela mfukon mwake akujengee kituo cha afya?wanaposema kajenga haimaanish katoa ela mfukon ni kwa kuwa vimejengwa chini ya utawala wake dats mins kodi zetu kazisimamia vyema..mbona Magu anasifiwa kwa kujenga flyover kwan katoa mfukon mwake?zote ni kodi zetu..
Kuchoma sio ustaarabu kwani hapo inawasaidia nini,aliwapa wangekuwa hawataki wangerudisha
Hayo madogo tukutane 2025, chama cha wauwaji na watekaji nyara raia watu wanatekwa na kuuwawa thn nyie mpo kimya bora walivyo choma nawapa hongera
Mama sio bibilia au koloan hio. Acha wachime SI mliwapa asa shida nn wames
Kwani kuna shida gani kama hawavitaki?
Msituletee ujinga wenu apa nyie wauaji wakubwa! Polisi msiwe mafaka kutumwatumwa ovyo na kujipa laana za bure lindeni raia na mali zao acheni kujiingiza kutetea ccm tumechoka jamani hii nchi kwani vipi?!!!! Uonevu mtupu! Na rais ni mwanamke!?
Huyu mama naye kaz haiwez
Walikosea sn kuna w2 wanahitaji sn vitenge wao wanachoma aisee ila mm miaka5 mtajuta
Hao wote wanaowatetea wanawake wa Chadema waliochoma vitenge waliovyopewa na mheshimiwa Rais hao niwajinga na wehu .Hata kama walipewa na hakwaupewa niwahuni naniwasenge tu .Hawatumuweze mheshimiwa Rais kwa ujinga walionao na hawana hoja kabisa
Kwa hiyo we ukienda kuoga unavaa kitenge au msuli ,? Mwanaume mzima unalilia kitenge shoga wew
Wewe ndio mwehu kabisa
Shida ni nini?
Picha kitu gani ???
Sasa hela kwake mbona na wewe hujitambui
Huwezi kutoa pongezi kwa mahakamani ni haki ya mahakama kutoa hukumu.
Samia mast go Bora vilivyo chomwa Moto havina umuhim wowote kwa watanzania nyie wauwaji watekaji nyara watanzania tumewachooooka saaaaana, mbwa nyie, kazi gani mzuri unayoisema ww mbwa Alie ifanya watu wanatekwa na kuuwawa thn yy yupo kimya, na kusema hizo ni drama Ila hayo madogo tukutane 2025,
Tunataka akizetu tumechoka 😢😢😢😂😂
Haki naww mwanaume
We mubibi em tuliza matako
Nyie niwanafiki tu hakuna ilo mmesimamia ilo mbona mengine umsimamii
Hata wakichoma mama atabaki kuwa raisi wao hawana rais Mwingine na upumbavu wao
Mliwapa vyanini
Kumbe BAVICHA ni wajinga sasa. Hapo warudishe na maji waliopewa kumamamao. Ujinga mtupu.
ACHA KELELE
KAMA WEWE UMESHIBA WATU WANA NJAA WANA HASIRA
NI MAAMUZI YAO SI ALISHAWAPA NI MALI YAO KWANI SHIDA NI NINI
Acheni uongo na propaganda,waacheni BAWACHA waendelee na program zao kichama kwani Hawashawishiki na wala Hawahongeki wana Misimamo.Msiwavuruge hawako pamoja nanyi .
Ombeni.sana.dua.baraka.kwa.mola.wetu.kulambana.kuishe.kazi.moja.kulenga.uchaguzi.akili.ifanye.kazi.kimyakimya
Keeemeni utekaji picha inamaana gani
Nyie hao
Si vyso jamani mbona CCM mnajiona hii nchi ni yenu nakungoa bendera za wapinzani
Wanatakiwa wafungwe
Samia tunataka awondoke kwenye madaraka Tena haraka Sana
NI UPUNGUFU WA UFAHAMU KUCHOMA PICHA ISIO YAKO.
NINYI NI MACHAWA WA SAMIA.
Watu wameyachoka manguo yenu
Kwann.raisi.awape.vitenge.vya.chama.chake.picha.yake.huo.ni.ushindani.siasa.atumia.kitu.ngingine.kama.wamenunua.kwapesa.zao.hasara.hakuna.mjardara.wanawake.mjitafakari.tumieni.mambo.kuokoa.nchi.tanxania.ccm.wanawake.mnasema.lugha.mbaya.mara.nyingi.mwe.mnanyama.kukosoana.kupungue.walilieni.wanaume.waopotea.na.tawambeleza.watoto.wenu.wanaume.wote.pazeni.sauti.ifike.juu.mbinguni.mungu.awasikie.tanzania.yote.iomboleze.misiki.makanisa.dini.zote.tuombe.tufunge.sua.kwa.molo.wetu
Hao Waliochoma Vitengè ni Machangu wa Chadema WAPUUZŴE WAMESHIDWA SÌASA
Wanapuuzwaje wakt viongozi wao hawajulikani walipo na viongozi wa ccm wamekaa kimya hv hamuoni hiyo ni dhambi kabisa
nimeona manjongi njongi sijaelewa hata@@joshuahamis2738