MAHAKAMA YATOA MWILI wa TAJIRI wa MADINI kwa MKEWE - WALIOTAKA KUSHIRIKIANA na DADA wa KAZI KUZIKA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • MAHAKAMA YATOA MWILI wa TAJIRI wa MADINI kwa MKEWE - WALIOTAKA KUSHIRIKIANA na DADA wa KAZI KUZIKA..
    MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 51

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Safi saana😅 mke lazima aheshimiwe, sio Ndugu, rafiki hapana. 💪

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Basi hapo watajifanya wanasusa na kumtenga,ila kwa sababu ya hela watasalitiana wenyewe kwa wenyewe😂😂. Kama nawaona Ndugu team A na B,sasa na ile michepuko itatulia ukute ilikua inatiwa kiburi na baadhi ya ndugu

  • @DeodatyVisenty
    @DeodatyVisenty 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Pole sana mdogo wagu Asinta

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mungu amejibu ❤ 👏

  • @GloriaChrisostoms
    @GloriaChrisostoms ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Haleluyaaaa hakika wewe ni mungu usiyeshindwa pole na hongera yasinta hata mm yalinikuta 2016 na nilishinda na kumzika mume wangu hongera niliumia sana toka nilipokuona mtandaoni siku ya kwanza na nikakumbuka nilikopitia

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 57 นาทีที่ผ่านมา

    Mhh... yaani Mwenyezi Mungu atusaidie sana wanawake wote .. tunapitia mengi sana kwenye maisha ya ndoa. Imagine your HG anatembea na mume na ndio anapika ... What do men really expect kwa familia kwa situation kama hii? Mke na watoto wanaweza hata kuuwawa.. mhh i leave this to God

  • @MaureenHaule-m2s
    @MaureenHaule-m2s ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yasinta ni mwanamke na nusu hongera na pole sanaaa ..Rehema utabaki kuwa dada wa kazi usiye na shukrani mbwa wewe

  • @IreneMkenda
    @IreneMkenda ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hakika tunashukuru mahakama Kwa maamizi ya Halali mke wake kupewa haki ya kumzika mume wake 🙏

  • @EsterKilawe
    @EsterKilawe ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Acheni Mungu aitwe Mungu kila jambo upangwa na .wenyez Mungu aijalishi unacho au huna

  • @gililwise
    @gililwise 27 นาทีที่ผ่านมา

    Asante Mungu.ndoa na iheshimiwe na watu wote

  • @BlandinaKahuru-ur5el
    @BlandinaKahuru-ur5el ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwenyezi Mungu akutunze wewe ni mke mwema ulikuwa na upendo na mume wako

  • @IvanMocha
    @IvanMocha ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Bora Wewe wakili unayetetea Haki ya kweli, kuliko yule WA dodoma anayetete uovu,kwanza inabidi achuguzwe yule hukute amesababisha wengi wasio na hatia, kupata hukumu

  • @DeodatyVisenty
    @DeodatyVisenty 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Apo saw mdogo wagu safi sana wakuesimu ao majiga walitaka warlike kweye ilo daga lake

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Yani wanatak kumtia ndugu Yao motoni hiv hiv kumzika ndugu Yao kwa mzinifu

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Sasa dada umeshinda kesi utamzika peke Yako ndugu wakikususia?ila Mimi sijui ningekua Mimi binafsi ni ndugu ningekuachia uzike

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@kamarhelo motoni ni motoni tu utaenda kwa matendo Yako uliyoyafanya hata uzikwe na watawa tupu mbinguni utavuna ulichokipanda

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 28 นาทีที่ผ่านมา

      ​@@Yassinselemankwani ndugu WA mume wakisusa ndo mtu hazikwi?

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 22 นาทีที่ผ่านมา

      @@anastaziamathias8861 hiali yenu sasa kuzika au kusafirisha

  • @AminaMfikwa
    @AminaMfikwa ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Safi sana asint

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    POLE SANA DADA YETU. WAJANE WANAONEWA SANA NA NDUGU WA KIUME. HAPO UTAONA WANASEMA MALI ZA MAREHEMU ZA KWAO. SERIKALI TULIANGALIE HILI. AKIFA MME MJANENA WATOTO WANANYANYASIKA SANA.

  • @anithamwagala8224
    @anithamwagala8224 21 นาทีที่ผ่านมา

    Kama ni haki itabaki haki chuki ya wenye Hila Haina nafasi mbele ya mungu

  • @Sesi-d3t
    @Sesi-d3t ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Safi sana data yangu

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ndugu wa mume 🙌🏼🙌🏼

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Ndugu wa mume acheni midomo ona sasa mlivyo jizalilisha

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwenyezimungu amesha chukua chake apo kazi bule

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    WEWE WAKILI UNA BUSARA SANA UNAWATETEA WAJANE. NDUGU NI WABAYA SANA HUWA WANANYANG'ANYA MALI ZOTE WANAACHA WATOTO WANAHANGAIKA. SERIKALI LIANGALIENI HILI. WAJANE WENGI WANAHANGAISHWA SANA.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 17 นาทีที่ผ่านมา

    Bora umewakunja mapema umewapunguzia nguvu ya kukusumbua kwenye mirathi

  • @Sesi-d3t
    @Sesi-d3t ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Safi sana dada yangu😃😃😃😃

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 11 นาทีที่ผ่านมา

    Nan alimdanganya mke wa pili achimbe kaburi wakat hana ndoa na marehemu 😮

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Li babaz napenda unakichwa chepes sana! Unatililika kama unasoma

  • @jasiriasili3694
    @jasiriasili3694 5 นาทีที่ผ่านมา

    Kinachogombewa sio mwili bali pesa alizoacha mwanaume .mtu anawqtoto wa5 mnawezaja kumtenga mkewe?😊

  • @PendoPeter-rr4jk
    @PendoPeter-rr4jk 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nimefrah sana mke kupewa haki yake mke anahaki kabisa ya kumiliki Kila kitu Kwa mme wake ndugu punguzen tamaa za mali

  • @MussaBakar-p2p
    @MussaBakar-p2p ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Acheni tamaa mke ndio mwenyehaki tamaa ya mali acheni mali zawatoto

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 8 นาทีที่ผ่านมา

    Rehema tamaa zako zimekuponza😂bora ungemteka akununulie kiwanja aandike jina lako na akusimamishie mjengo na biashara

  • @AngelAbbah-wc5un
    @AngelAbbah-wc5un ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ila amejikaxa sana

  • @IvanMocha
    @IvanMocha ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Safii

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 43 นาทีที่ผ่านมา

    Yani uyo dada wa ndani ningekuwa mimi ningemubomoa

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 37 นาทีที่ผ่านมา

    Mahakama imetenda haki

  • @dorithmagige7557
    @dorithmagige7557 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ndugu wa mume huwa wanakichaa au hivi hawajui mke ni mali ya mume na mume nimali ya mke

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wanavisebengo sana

  • @jescamapunda4871
    @jescamapunda4871 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Haaaaa,safiiii

  • @KichikiroMlacha-d3l
    @KichikiroMlacha-d3l ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nihaki tu

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwa iyo wanagombea maiti😢😢😢

    • @AllyMadenge-u6o
      @AllyMadenge-u6o 7 นาทีที่ผ่านมา

      Wanagombea hela sio Maiti

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Safi sn mm

  • @SaimonTanganye
    @SaimonTanganye 23 นาทีที่ผ่านมา

    Mke ni rafiki tu kwahyo swala la kuzika mwili wa marehem ni la ndugu na sio mke mke asubili mirathi na sio Kung'ang'ania mwili ambao hauna faida nao. Na anaebisha avae uhalisia wa mtoto wake kafariki alafu mke wake anataka amzike na anakoswa heshima mbele ya ndugu zake na marehem inauma sana na haipendezi

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Awawezi kuja aibu yao

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Apo sw

  • @Mc_Costa
    @Mc_Costa 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Wanaume tujifunze kuweka mambo yetu sawa mapema kabla ya kifo ili kuondoa hizi sintofahamu ambazo hazina ulazima.
    Pili nakupongeza yasinta mke wa marehemu kwa kutambua haki zako.
    Ungelegea hapa mwanzoni tu imeenda

    • @BlandinaKahuru-ur5el
      @BlandinaKahuru-ur5el 58 นาทีที่ผ่านมา

      Kabisa bila kuweka mambo sawa ni shida sana