MAHAKAMA YATOA MWILI wa TAJIRI wa MADINI kwa MKEWE - WALIOTAKA KUSHIRIKIANA na DADA wa KAZI KUZIKA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • MAHAKAMA YATOA MWILI wa TAJIRI wa MADINI kwa MKEWE - WALIOTAKA KUSHIRIKIANA na DADA wa KAZI KUZIKA..
    MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 154

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 หลายเดือนก่อน +9

    MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.

  • @ShamsiMbago-n2q
    @ShamsiMbago-n2q 4 หลายเดือนก่อน +13

    Nmefrai kama namjua uyu dada,,,ndug wa mume wanashda sana,,Mungu atupe mwisho mwema tuloolewa ,, insha'Allah 🙏

    • @JoyceMwita-e3w
      @JoyceMwita-e3w 4 หลายเดือนก่อน +1

      Binafsi hata Mimi nimefurahi kwa hili mahakama mmefanya jambo jema ndugu wa mume baadhi wana roho ngumu sana hawajui nap IPO siku watakufa pengine wakaacha wajane na watoto

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 4 หลายเดือนก่อน +1

      Tena ndugu wa mume wa kichaga ni mtihani kwelikweli wao ndio kila maraahakamani na hawashindagi kesi ila hawajifunzi

    • @ShamsiMbago-n2q
      @ShamsiMbago-n2q 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@1stladyafrica402 😆😆😆wanaenda kuhudhuria na kuandka majina,,n ndugu Wa Mume wa kichaga kipengele,,kuna yule pia mmama mume wake alifark baada y kutoka kwa mwamposa,,pia ndugu wakaanza kumtenga kwenye kuweka mashada asitajwe nyiiie😭Mungu azd kutulinda wanawake wote wenye ndoa mume auma mno🥲

    • @ShamsiMbago-n2q
      @ShamsiMbago-n2q 4 หลายเดือนก่อน

      @@JoyceMwita-e3w inauma Sana shoga ang,,wao hawajal hata ayo maumivu y mke wallah😭

  • @MaureenHaule-m2s
    @MaureenHaule-m2s 4 หลายเดือนก่อน +22

    Yasinta ni mwanamke na nusu hongera na pole sanaaa ..Rehema utabaki kuwa dada wa kazi usiye na shukrani mbwa wewe

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wachaga wapuuzi sana na kila siku watapelekwa mahakani kwa kuwanyima haki wajane wa ndugu zao

    • @annaurassa7082
      @annaurassa7082 4 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@1stladyafrica402Mkipokea mahari mjue mke anahaki na mume wake

  • @Stavanger-cr3ee
    @Stavanger-cr3ee 4 หลายเดือนก่อน +14

    Pole sana MKE wa MAREHAM, ila nawakumbusha na hata mimi pia, bila KUJALI DINI ZETU, kwamba hili ni somo kwetu soooote ..... Mungu amekataza ZINA , na ndio chanzo cha migogoro ndani ya ndoa zetu. Mchepuko anataka kutuaminisha kwamba UZINIFU wake na MAREHEMU, kuna chembechembe ya HAKI. Kama kuna kitabu kinadhihirisha hilo....... mnisamehe . ZINA NI HARAM

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 4 หลายเดือนก่อน +21

    Safi saana😅 mke lazima aheshimiwe, sio Ndugu, rafiki hapana. 💪

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 4 หลายเดือนก่อน

      alafu akae nao mbali kabisa.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 4 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@josephineokama2200Atawezaje kukaa nao mbali?

  • @NeemaMweta
    @NeemaMweta 4 หลายเดือนก่อน +4

    Duu afazali tunashukuru vyombo husika yaani nakosa la kusema mungu Asante Poole mwanangu Lea familia .mungu akuongoze

  • @GloriaChrisostoms
    @GloriaChrisostoms 4 หลายเดือนก่อน +13

    Haleluyaaaa hakika wewe ni mungu usiyeshindwa pole na hongera yasinta hata mm yalinikuta 2016 na nilishinda na kumzika mume wangu hongera niliumia sana toka nilipokuona mtandaoni siku ya kwanza na nikakumbuka nilikopitia

  • @BlandinaKahuru-ur5el
    @BlandinaKahuru-ur5el 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mwenyezi Mungu akutunze wewe ni mke mwema ulikuwa na upendo na mume wako

  • @IreneMkenda
    @IreneMkenda 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hakika tunashukuru mahakama Kwa maamizi ya Halali mke wake kupewa haki ya kumzika mume wake 🙏

  • @SylvesterKameo
    @SylvesterKameo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa ndugu walipungukiwa na hekima na busara kwa sababu ya tamaa. Tunashukuru Mwenyezi Mungu kaingilia kati, haki imepatikana!

  • @gililwise
    @gililwise 4 หลายเดือนก่อน +8

    Asante Mungu.ndoa na iheshimiwe na watu wote

    • @BethaKIBONA
      @BethaKIBONA 4 หลายเดือนก่อน +1

      Na waseme AMINA

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 4 หลายเดือนก่อน

      Amina kubwa🙏🙏

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 4 หลายเดือนก่อน +1

    Rehema Bora ungekuwa mpole upate Chochote kwa ajili ya mwanao! Pole sana Yasinta!

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mhh... yaani Mwenyezi Mungu atusaidie sana wanawake wote .. tunapitia mengi sana kwenye maisha ya ndoa. Imagine your HG anatembea na mume na ndio anapika ... What do men really expect kwa familia kwa situation kama hii? Mke na watoto wanaweza hata kuuwawa.. mhh i leave this to God

    • @piusmaduka
      @piusmaduka 4 หลายเดือนก่อน

      hawezi kutembea na HG hivyo hivyo, jiangalie chanzo ni ww Wala house girl sio wa kumlaumu. atakuwa alishindwa kupata vya halali au vina masharti lukuki

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 4 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@piusmadukawee usiongee kwanguvu ....kwa kweli kuna wanaume wabaya hii dunia sijawahi ona kuna mwanaume anamuacha mke wake kisa kazaa hajapona uzazi bado mwanaume anapita na housegirl hapo chanzo ni mke ? Fikiria unachosema

    • @josephinemkini948
      @josephinemkini948 4 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@piusmadukaumalaya ndo una wacost kaka...mumrudie Mungu...tamaaa ya dhambi ni umauti😮

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 4 หลายเดือนก่อน

      @@josephinemkini948 ni kweli maana umalaya ni umalaya tuu wanaume wanatafuta pa kujifichia makosa yao badala kujirekebisha ....tabia mbaya ya mke haiwezi kukufanya uwe malaya kama hujaamua kua hivyo hiyo ni dhamira ya mtu binafsi kujikabidhi kuzimu kwa hiari yake

    • @aryanamendes8700
      @aryanamendes8700 3 หลายเดือนก่อน

      Umeniklumbusha kitu​@@karibunyumbani3824

  • @DeodatyVisenty
    @DeodatyVisenty 4 หลายเดือนก่อน +5

    Pole sana mdogo wagu Asinta

  • @AtughanileSholla
    @AtughanileSholla 4 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana mpendwa Mungu akutie nguvu

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 4 หลายเดือนก่อน +13

    Basi hapo watajifanya wanasusa na kumtenga,ila kwa sababu ya hela watasalitiana wenyewe kwa wenyewe😂😂. Kama nawaona Ndugu team A na B,sasa na ile michepuko itatulia ukute ilikua inatiwa kiburi na baadhi ya ndugu

    • @magrethmathayo2800
      @magrethmathayo2800 4 หลายเดือนก่อน

      na ndoilikua hivyo Yani ndugu wa mume bana halafu michepuko nayo Haina akili kabisa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 หลายเดือนก่อน

    Rehema uwe na hofu ya Mungu. Mke wa marehemu Mungu aendelee kukupa hekima na Mungu atasambaratisha hivyo vigenge.

  • @EsterKilawe
    @EsterKilawe 4 หลายเดือนก่อน +2

    Acheni Mungu aitwe Mungu kila jambo upangwa na .wenyez Mungu aijalishi unacho au huna

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu amejibu ❤ 👏

  • @juditholotu7249
    @juditholotu7249 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mahakama kwa kutenda haki

  • @annamussa185
    @annamussa185 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ndo haki Mungu ni mwema

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Yasinta

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana hakimu japo siwafahamu maana ya mke wa ndoa ni Nini?yeye ndiye atakaemnzika mumewe km walivyoapa kanisani mama atamnzika mume na mume atamnzika mke nyie ndugu inawahusu Nini nyie ni kushiriki kuhakikisha Kila kitu kinakaa sawa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mwenyezimungu amesha chukua chake apo kazi bule

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pole dada Ayasinta. Jamani nawafahamu kupitia hoteli ya m.john. mirerani waimba Kwaya wa bwana hatima mkaowana.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu wa mume 🙌🏼🙌🏼

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 หลายเดือนก่อน +2

    POLE SANA DADA YETU. WAJANE WANAONEWA SANA NA NDUGU WA KIUME. HAPO UTAONA WANASEMA MALI ZA MAREHEMU ZA KWAO. SERIKALI TULIANGALIE HILI. AKIFA MME MJANENA WATOTO WANANYANYASIKA SANA.

  • @AminaMfikwa
    @AminaMfikwa 4 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana asint

  • @Sesi-d3t
    @Sesi-d3t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana data yangu

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu atalisimamia kila hatuwa

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi kumbe Kuna ck mahakama inatendaga haki? Duh huyo hakimu ni mcha mungu itakuwa maana ck hizi haki Iko mwenye pesa tuu kwenye nchi hii ya Tanzania masikini Hana haki nimeona mengi mno kwenye mahakama zetu

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 4 หลายเดือนก่อน +5

    Hapo inaonekana mke halali anataka marehemu azikwe sehemu ambayo ngudu wakitaka kuuza washindwe kuuza coz kutakua na kaburi. Hilo ni moja AU. Mke hataki marehemu azikwe sehemu yenye potential Area coz marehemu akizikwa hapo yeye atashindwa kuuza.
    UPANDE WA NDUGU SASA
    AU ndugu wanataka azikwe sehemu yenye potantial area ili mke asiuze au wanataka azikwe sehemu ambayo haina soko coz hawana shida napo harafu sehemu ambayo wanashida nayo hawataki kuweka kaburi coz watashidwa kuuza ( potantial area ) . Sasa hapa waandishi ilibidi wajue mbali na marehemu Kusema akifa azikwe wapi. BEHIND THE SCENE. Kuna issue ya kimaslai. Hiyo ni Social Pyschology tu.
    CONCLUSION
    Nyumba zote au kiwanja venye makaburi ndani yake huwa haviuziki labda inunue serikali.

    • @LomayaniMathayo
      @LomayaniMathayo 4 หลายเดือนก่อน +1

      Pole sana dadaangu wala usiogope hao walev,wsikutishie kuhusu kaburi waliochimba iwe kisima cha maji hiyo sio kaburi maana haijawekwa wakfu na mchungaji au sheh pole sana mm jiran ,mazishi ni line kwani tuko mbali

    • @felisterkimaro3178
      @felisterkimaro3178 4 หลายเดือนก่อน

      Hata akiuza auze ni Mali ya mumewe na watoto haihusu mtu safi sana

  • @Sesi-d3t
    @Sesi-d3t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana dada yangu😃😃😃😃

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenye haki ni mke asante I mahakama kwakufata haki

  • @evachuwa3809
    @evachuwa3809 4 หลายเดือนก่อน

    Ndugu wa MUME mara nyingi ni shida sana kwa jamii nyingi utafikiri Yasista hakuzaliwa. MUNGU TUSAIDIE

  • @MeshiElly
    @MeshiElly 4 หลายเดือนก่อน +2

    Waweza kuta ndugu ndio wamemwaisha ndugu wao kwa mola kwa manufaaa yao wenyewe ila sasa naona mambo yao yamekwama jitahidini kutafuta mali zenu wenyewe,mwacheni mke amzike mume wake,,

  • @MussaBakar-p2p
    @MussaBakar-p2p 4 หลายเดือนก่อน +3

    Acheni tamaa mke ndio mwenyehaki tamaa ya mali acheni mali zawatoto

  • @gracekimario6526
    @gracekimario6526 4 หลายเดือนก่อน

    Yani hawa ndg walijua hawa mahawara hawana nguvu ndo maana walisimama upande wao na mwili uzikwe nyumbani msiba ukiisha wangefukuzwa km mbwa na mali kurudi kwao. Lkn asante Mungu wa haki uliye mume wa wajane na bb wa yatima kwa kusimamia haki. Mungu azidi kumtia huyu mama moyo mana vita itaendelea tu

  • @marykalula2991
    @marykalula2991 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndoa na iheshimiwe

  • @israelj.luhondo6920
    @israelj.luhondo6920 4 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba za huyu wakili, nimemkubali aiseee,,,,,,
    Na mimi anisaidie kwenye jambo langu.

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefurahi

  • @anithamwagala8224
    @anithamwagala8224 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kama ni haki itabaki haki chuki ya wenye Hila Haina nafasi mbele ya mungu

  • @DeodatyVisenty
    @DeodatyVisenty 4 หลายเดือนก่อน +4

    Apo saw mdogo wagu safi sana wakuesimu ao majiga walitaka warlike kweye ilo daga lake

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 4 หลายเดือนก่อน

      Yani wanatak kumtia ndugu Yao motoni hiv hiv kumzika ndugu Yao kwa mzinifu

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 4 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa dada umeshinda kesi utamzika peke Yako ndugu wakikususia?ila Mimi sijui ningekua Mimi binafsi ni ndugu ningekuachia uzike

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 4 หลายเดือนก่อน

      @@kamarhelo motoni ni motoni tu utaenda kwa matendo Yako uliyoyafanya hata uzikwe na watawa tupu mbinguni utavuna ulichokipanda

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@Yassinselemankwani ndugu WA mume wakisusa ndo mtu hazikwi?

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 4 หลายเดือนก่อน

      @@anastaziamathias8861 hiali yenu sasa kuzika au kusafirisha

  • @PendoPeter-rr4jk
    @PendoPeter-rr4jk 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nimefrah sana mke kupewa haki yake mke anahaki kabisa ya kumiliki Kila kitu Kwa mme wake ndugu punguzen tamaa za mali

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 หลายเดือนก่อน +1

    Karibu Tanzania nchi ambayo ndugu wa mume wanamlinda Housegirl kuliko mke wa ndoa😢

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 4 หลายเดือนก่อน

      Ni roho mbaya na za chuki tu.

    • @LoJo-y9j
      @LoJo-y9j 4 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ni issue binafsi sio suala la Tanzania.😂😂😂

  • @IreneIsaya-ek5pc
    @IreneIsaya-ek5pc 4 หลายเดือนก่อน +1

    Maskini rehema jirani yangu😢

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wachaga wanapenda sana kuonea wake wa mareemu hasa wakijua ana mali

    • @jonaswingodmushi2608
      @jonaswingodmushi2608 4 หลายเดือนก่อน

      Siyo wachaga wote wewe!! Ni wale mambumbu.

  • @HalimaAmani-j7v
    @HalimaAmani-j7v 3 หลายเดือนก่อน

    Mweu sana kuzikwa ni kuzikwa tu

  • @Fridakundi-h6u
    @Fridakundi-h6u 4 หลายเดือนก่อน

    Wapole san

  • @JoyceTemu-s7j
    @JoyceTemu-s7j 4 หลายเดือนก่อน

    Ata kama ni haki kua na huso wa huzuni kua katika hali ya kuomboleza huo ni msiba tena wa mume wako,,

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 4 หลายเดือนก่อน +1

    Li babaz napenda unakichwa chepes sana! Unatililika kama unasoma

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 หลายเดือนก่อน +1

    WEWE WAKILI UNA BUSARA SANA UNAWATETEA WAJANE. NDUGU NI WABAYA SANA HUWA WANANYANG'ANYA MALI ZOTE WANAACHA WATOTO WANAHANGAIKA. SERIKALI LIANGALIENI HILI. WAJANE WENGI WANAHANGAISHWA SANA.

  • @gratifyntara3603
    @gratifyntara3603 4 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 4 หลายเดือนก่อน +2

    Rehema tamaa zako zimekuponza😂bora ungemteka akununulie kiwanja aandike jina lako na akusimamishie mjengo na biashara

    • @IreneIsaya-ek5pc
      @IreneIsaya-ek5pc 4 หลายเดือนก่อน

      Amejengewa mjengo mkubwa tu ni jirani yangu

    • @JUDITHMGAYA
      @JUDITHMGAYA 4 หลายเดือนก่อน

      Bac alitakiwa kumheshimu mke mkubwa ili watoto wawe pamoja haya ni maisha tu

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ndugu wa mume acheni midomo ona sasa mlivyo jizalilisha

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mahakama imetenda haki

  • @NyawileAdrian
    @NyawileAdrian 4 หลายเดือนก่อน

    Nimefurah utafikir yasinta ni ndugu yangu

  • @ZamZam-mk4xu
    @ZamZam-mk4xu 4 หลายเดือนก่อน

    Hii ndio maana hata mali za marehemu zinapuputiga kama majani ya mti

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa iyo wanagombea maiti😢😢😢

    • @AllyMadenge-u6o
      @AllyMadenge-u6o 4 หลายเดือนก่อน

      Wanagombea hela sio Maiti

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 4 หลายเดือนก่อน

      Arusha harar Sanaa Kwa ayo mambo

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 4 หลายเดือนก่อน

      ​​@@AminaLibisaNi mkoa upi ambao sio hatari kwa hayo mambo tuhamie huko?

    • @AllyMadenge-u6o
      @AllyMadenge-u6o 4 หลายเดือนก่อน

      Njoo kwetu Shinyanga my der

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 4 หลายเดือนก่อน

      Hatari Kwa kweli wachaga oyeeeeeeeee 😀😀😀

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yani uyo dada wa ndani ningekuwa mimi ningemubomoa

  • @KichikiroMlacha-d3l
    @KichikiroMlacha-d3l 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nihaki tu

  • @jasiriasili3694
    @jasiriasili3694 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kinachogombewa sio mwili bali pesa alizoacha mwanaume .mtu anawqtoto wa5 mnawezaja kumtenga mkewe?😊

  • @neemakoka599
    @neemakoka599 4 หลายเดือนก่อน

    Afadhali
    wakome
    daaah
    inakera sanaaa

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu hamjifunzi tu. Kwa nini hamjatambui? Yaani kila siku mambo kama haya yanajitokeza mnafikiri Serikali imelala usingizi sheria msumeno. Sasa wewe beki 3 usie na aibu unajifaragua kwenye ndoa za watu kikowapi dunia tunapita na nyie mabeki 3 wengine muwe katika hili darasa.

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 4 หลายเดือนก่อน

    Mnamsumbua marehemu. Mwacheni apumzike kwa amani

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nan alimdanganya mke wa pili achimbe kaburi wakat hana ndoa na marehemu 😮

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 4 หลายเดือนก่อน +3

      Hapo Kuna ndugu mmoja mwenyew mpango mbaya na Mali za marehemu swali langu ni moja mapadre hua hawaziki MTU bila kujua ameowa au la Sasa hapo ilikuaje akaja kuzika bila kujua na mke na jee kaolewa au laa😂😂😂 hapa Sasa ndiyo ninapo zidi kuikataa hii dini taratibuu😂😂

    • @chaggatv818
      @chaggatv818 4 หลายเดือนก่อน

      @@deogratiusyudatadei5658 yuda askariot hakosekan 😂😂

  • @emmyjohn2836
    @emmyjohn2836 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mabinti wa siku hizi hawana maadili kabisa

  • @IvanMocha
    @IvanMocha 4 หลายเดือนก่อน

    Safii

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 หลายเดือนก่อน

    Mtu kafiwa lkn mnamuhangaishaa na kuutesa mwili wa ndugu yenu

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 4 หลายเดือนก่อน

    Watu wanamaajabu kweli. Hawaoni hata aibu. Huyu mama ni mke halali wa ndoa. Isitoshe ana watoto 5 na mume wake. Ndugu hamuoni aibu. Huyu marehemu masaa yote yuko na mume wake usiku wanaongea mipango yao kama mke na mume. Watu acheni kuingilia familia za watu.

  • @toney..
    @toney.. 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu wanataka mali hawana lolote wamuache mke afanye anavyotaka anajua yeye ataishije na watoto wake

  • @uoendokivuyo6589
    @uoendokivuyo6589 4 หลายเดือนก่อน

    Wahuni hao waroho wa mali wamwache mke halali amzike mumewe

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi hao ndugu wa marehemu inaonekana Wana shida kubwa Wana mfumo dume ck hizi hamna ndugu yenu si ana familia na mke wa ndoa wao ndo wanapanga siyo nyinyi ndugu walitakiwa kumsaidia tuu shemegi yao

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bora umewakunja mapema umewapunguzia nguvu ya kukusumbua kwenye mirathi

  • @IvanMocha
    @IvanMocha 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bora Wewe wakili unayetetea Haki ya kweli, kuliko yule WA dodoma anayetete uovu,kwanza inabidi achuguzwe yule hukute amesababisha wengi wasio na hatia, kupata hukumu

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 4 หลายเดือนก่อน

      Hakuna wakili anaetetea uovu acheni mihemko

    • @ashurajuma4837
      @ashurajuma4837 4 หลายเดือนก่อน

      @@rumdeesonsoa1811kwahiyo yule wadodo alikua anatetea nini?

  • @jescamapunda4871
    @jescamapunda4871 4 หลายเดือนก่อน

    Haaaaa,safiiii

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wata msusia

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 หลายเดือนก่อน

    Ndugu wa mume tusche ushetani. Km una mji fata yanayokuhusu kwako tuachie mawifi miji yao. Tabia mbaya na chafu sana. Kupanga ya kaka yenu wakati ni mtu mzima na alikua na mke na mji. Natamani wanaofanya haya wahukumiwe na wao watumikie na yale mashamba ya wafungwa wapelekwe wakalime

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sn mm

  • @AngelAbbah-wc5un
    @AngelAbbah-wc5un 4 หลายเดือนก่อน

    Ila amejikaxa sana

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 4 หลายเดือนก่อน

      Hapo kazi bado hajamaliza maana ndugu watamuandama

  • @StephenMassawe-z9y
    @StephenMassawe-z9y 4 หลายเดือนก่อน +1

    Oweo au Owenya na wewe?

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 4 หลายเดือนก่อน +1

    Awawezi kuja aibu yao

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 4 หลายเดือนก่อน

    Kama mama anawengee mkishidwa mnapinduliwaa chaapiuuu leteni

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 4 หลายเดือนก่อน

    Wachaga wenye mali x nyingi uoenda kuzikwa kwenye eneo lenye nyumba yake kali ya thamani hili isijeuzwa

  • @ThomasMichael-w3b
    @ThomasMichael-w3b 4 หลายเดือนก่อน

    Wadai hizo zahabu na Sim zake

  • @akonaaybaha9107
    @akonaaybaha9107 4 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa msiba wa fukara kusingekua na haya yote

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nawashauri ndugu wa marehemu km ni mali katafuteni zenu mmeleta aibu sana Kwa jamii mali ni familia ya marehemu tuu nyie hamuhusiki

  • @HamisiHussein-nx7is
    @HamisiHussein-nx7is 4 หลายเดือนก่อน

    Mke kafiwa lakini nyuso hinaoneka hana hata majonzi , kwavile kuna pesa angekuwa masikini usingesikia yote hayo

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera mwana mama Ila vaaa kilemba ww. Ni mfiwa , jaman

  • @dorithmagige7557
    @dorithmagige7557 4 หลายเดือนก่อน

    Ndugu wa mume huwa wanakichaa au hivi hawajui mke ni mali ya mume na mume nimali ya mke

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 4 หลายเดือนก่อน

      Wanavisebengo sana

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 4 หลายเดือนก่อน

      Wanajua sana Yana mfumo dume shida yao ni pesa hawajui kingine Wala hawajui Sheria mali zote ni za mke na mali za mke ni za mume mpo?

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 4 หลายเดือนก่อน

    Apo sw

  • @SaimonTanganye
    @SaimonTanganye 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mke ni rafiki tu kwahyo swala la kuzika mwili wa marehem ni la ndugu na sio mke mke asubili mirathi na sio Kung'ang'ania mwili ambao hauna faida nao. Na anaebisha avae uhalisia wa mtoto wake kafariki alafu mke wake anataka amzike na anakoswa heshima mbele ya ndugu zake na marehem inauma sana na haipendezi

    • @missp-dv6qd
      @missp-dv6qd 4 หลายเดือนก่อน +2

      Ukioa au kuolewa mnatoka kwenye familia za wazazi wenu na mnaanza familia yenu kwahiyo wewe na rafiki yako mnazaaga. Rafiki ni rafiki na mke ni mke ai mume ni mume

    • @ZalkiaBendera
      @ZalkiaBendera 4 หลายเดือนก่อน +2

      Achaufala ww ndo nyie mnaoingilia familia za ndugu zake

    • @MwanjiNzala-mo5ni
      @MwanjiNzala-mo5ni 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mke.amehitaji mme.wake axikwe.sehemu aliyohitaji wakati wa uwahi wake

    • @edithaeugeni9695
      @edithaeugeni9695 4 หลายเดือนก่อน +1

      Achana nae hawa ndo walewale wasiyo juwa dhamani ya Mke wala Mume Hata ndowa zao nyingi husimamiwa na ndugu zao

    • @JothamuHolenye
      @JothamuHolenye 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mako yako

  • @jullykweka4502
    @jullykweka4502 4 หลายเดือนก่อน

    Hv yule aliesem mjane amezaa nje ya ndoa Yuko wap njoo uku

  • @Mc_Costa
    @Mc_Costa 4 หลายเดือนก่อน +6

    Wanaume tujifunze kuweka mambo yetu sawa mapema kabla ya kifo ili kuondoa hizi sintofahamu ambazo hazina ulazima.
    Pili nakupongeza yasinta mke wa marehemu kwa kutambua haki zako.
    Ungelegea hapa mwanzoni tu imeenda

    • @BlandinaKahuru-ur5el
      @BlandinaKahuru-ur5el 4 หลายเดือนก่อน

      Kabisa bila kuweka mambo sawa ni shida sana

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 4 หลายเดือนก่อน

      Mke nae sio wa kumuamini sana maana ata yeye anaweza kukuondoa

    • @jonaswingodmushi2608
      @jonaswingodmushi2608 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@rumdeesonsoa1811Ukweli wanaujua wenyewe marehemu na huyo mke halali!
      Sie wengine tunyamaze kimya,
      Huyo jamaa pia kuzaa na Binti wa kazi uwezi kujua alioitia changamoto Gani mpaka kufikia hiyo hatua!
      Pengine mke wa ndoa alijisahau Sana Kwa kujiona yeye ndiye wa halali na kuanza kuleta vitimbi Sasa mwamba akaona isiwe tabu!
      Nanyi wake wa ndoa muwe mnatambua nafasi zenu Kwa waume zenu na siyo kumkabidhi Binti wa kazi hata kupeleka maji ya mumeo kuoga. Ukiruhusu hayo yote kubaki na kuruhusu huyo Binti ahudumie na mengine kama tendo la ndoa😢

  • @JoyceTemu-s7j
    @JoyceTemu-s7j 4 หลายเดือนก่อน

    Ata kama ni haki kua na huso wa huzuni kua katika hali ya kuomboleza huo ni msiba tena wa mume wako,,