VIDEO: JAMAA AZUA GUMZO 'AOA' WANAWAKE WATATU KWA MPIGO "NILIACHWA NIKAOGOPA NILITAKA WANNE"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Athumani Yengayenga (35) mkazi wa Shanwe Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, amewashangaza watu wengi kwa kuamua kufunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo.
Masha'allah..wanawake wote watatu wako na mwanya warembo Sana ..na mama Yao mkwe Yuko na mwaya pia vitazaliwa vitoto cute Sana🤗🥰 masha'allah...mngu awape furaha na masikilizano ktk ndoa yenu ❤️
Ameen
Huyu ndio mwanamme yani amejizatiti pongezi zote kwake 💐💐💐
MASHA ALLAH, Allah amtangulie kwa kila jambo
Athumani ni mwamba wa kwanza kutokea tz Mashaallah tabaraka llah
Lkn yaonekana km hawa mabint kawasilimisha pia kher😍🤲🏻🤲🏻
@@aishahasan7722 angewasilimisha pia hilo angeliweka wazi
Mungu wangu maumivu ya kuachwa yanafanya watu waoe watatu Kwa mpigo mmoja tyuu ilikuwa pasua kichwa ao watatu mmmmmh Aya kila la kheri
Amesema :::hata akiachika na mmoja wao,wanabak wengne.
@@jumaradhm3926 yaaan japo utakiwi kukosoa mawazo ya mtu yy kaoa Kwa lengo tofauti sio upendo kwamba akiachwa na mmoja anabaki na wengine DAAAH Aya sawa maana maisha hubadilika kwenye kipindi Cha ndoa mungu nae analetaga mitihani. Kupima uvumilivu
Mambo yatkuwa mazur tu 7bu hakuna atakayeleta dharau
MAASHAALLAH MUNGU awafanyie wepec kwenye Kla ha2a Yao ❤
Mnafikiri hawa wanawake wanapendana au niunafiki tu ,duh huyu kaka mungu amlinde
rabda aache kazi afanye kazit yani namanisha hivi awaroge sana wawe kama mazombi, siyo aishinao kisaikolojia kama doctor mwaka atakuja kuachwa na wote kwa pamoja hapo ndo atajuwa hajuwa chezea mjegeje wewe binafsi siwezi hata kwa kurogwa na mwanaume
Ndio inavyo takiwa wanaume wachache wanawake wengi fateni pepo sio kuzini napogeza Sana huyo kaka 👏👏
Namm naomba unioe
Niko mwanza
MashaALLAH
tuma contact zako
😂😂😂😂😂 dah ay bhna
Maashaallah mpk mama mkwe wote wana mwanya ❤ ndoa njema
M
Ma sha allah mwanaume wa kisilam ivyo ndio inavyo takiwa kuwaowa kwa pamoja raha sana kurio kuzin nimependa haswaa
Mashaallah Mashaallah kijana huyu ni mwamba.
Wanaume wengine kuongez mke wa pili mpaka wa Tatu
Mtunusuru wanawake
Nikuonaga kwa mpemba comedy ndg na uku upo😃😃
Mashallah mabruk uyo mwanaume ataki dhambi ya zinaa Allah ampe faraja amani na upendo alee familia yke ssa wwe owa mmoja nje uwe bdo unafukuzana na vdda ni swa kufuta zero uka andika o
Wasoma comment tujuane
Mashallah sheikh ochu
tujuane au tuoane
Mimi Tanzania siami duuuh 🙄 ongela sn ila ulifanya maamuz mazuli good brother
"Harusi ya Kipekee: Binti Mzazi Anatokwa na Machozi ya Furaha"th-cam.com/video/g1SqZKOBBhk/w-d-xo.html
Ma sha Allah Halali vzr wallah
Uwe na hela bro ukidhi mahitaji yao la sivyo ni lazima upate msaidizi
Nahisi we hujatulia kwenye ndoa yako,mumeo ajipange
Wengi wafanyao hivi hawana hela. We huoni hata sura yake haijakaa kipesa.
Na mimi moja nashindwa kipigwa ndoa kila siku zinifu watu utoa wapi pesa mungu niondole muzigo wa uzinifu😢😢😢😢😢
Kuoa sio shida, huduma hapo kakaa
Baada ya kuona wanacheza mziki, aaah hapo hamna kitu. Dini iko kwenye mavazi
Kabisa hamna dini hapo rumba linakatwa ivyo😢
Utasikia aaaah wanaume tunakufa sana kumbe wanataka wenyewe.
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakika watakufa sanaaaa tuuu kabla ya wakati wao
Na pia ndoa si sherehe, Ni maisha
Allah akuhifathi ndugu athumani
Mashalla kakaumejaribu
Mke wa kwnz ni perfect kabisa na ndo real love iwoo wengn ni uzizi TU!
Mtu mwenyewe hana maisha alafu kaoa wanawake watatu. Nyie wanawake wote machizi
Chizi wewe
Chizi wewe
@cdeleo9336. Unasema Hana maisha kwani anakula kwako ima hao alio waowa atamlishizia nao? Ww mwenye maisha unamiliki wangapi?
Tuko na malengo tafauti kwake yy all na mjemgo na anapata riziki hahitaji mambo kibao Kia jifkiriw ww unataka maisha gani hayo mpya ambayo hatuyajui
Shida mbaya mke wa kwanza mzuri kweli akipata mkaka atakayempa maisha atasepa nduki
😂😂😂😂😂😂
Ukiachana na kupewa maisha Aman ya Moyo ndio shda. 😂😂😂😂
@@fatumajumanne5961 lol una moyo huo?
Jamaa kashajpanga.pesa ipo
@@nkamangi4707 Ncweze kwa nn Kwan nawabeba Hao wenzangu yaan cku hz umetaka hujataka utaletewa yaan bora ukubal kwa hyar maisha yaendelee.
hii safi sana ndio uislamu huo
Masha Allah
Mashaallah Kheir
Mm bado najiuliza usiku wakwanza wa ndoa atalala chumba gani 🤣mwamba huyu hapa 💪wanaume nanyie fanyeni kama mwenzenu ili wajane wapungue majumban
😂😂😂, umewaza mbali kama mimi
@@evertheobald1811 umeonaee
Nmeona nikushtue uje kuangalia interview ya Leo na milard uje kupata jibu ya swali lako 😂😂😂
Jamaa anaonekana alikuwa anapenda sana mwanamke mwenye MWANYA maana kaowa wote watatu Wanayo😂🙌🏾
N ww umiliona ilo🤣🤣🤣kweli
Sema Hali ya maisha ngumu hao wanatafuta ramani wakipata mwelekeo wewe utaelewa tuuu,hakuna ndoa hapo,huna uwezo wa kuwatunza
Masha allah tabaraqallah
Maisha ndo yanavyo kwenda bc soon ndoa zitakua adimu wadada saivi niku shere akuna namna🤣🤣🤣
Allah awariki Ktk ndoa yako maana wenye pesa zao wanazini tu lkn ww kidume 3 wanawake unapata ajira kwa Allah
MashaALLAH kila la kher
Mashallah tabaraka llah 😂😂safi saana
Maashaallah ALLAH awalinde na fitina
Mh! Mpaka Dunia ije iishe tutaona mengi ila iwe heri Yako hongera
Mshallah
Hongera na dini inaruhusu
mke.wa kwanza mzuri sana
Vizur sana na awapige dua mana fitna wengi na husda
Hapo kwa mwanyanhuyu kaka kaweZaaaa❤
Hahahahaha huyu mwamba hahaha nimecheka ila namuombea kwa allah kwakua yuko ndani ya sheria ya kidini allah awalinde
"Harusi ya Kipekee: Binti Mzazi Anatokwa na Machozi ya Furaha"th-cam.com/video/g1SqZKOBBhk/w-d-xo.html
Tumuombee tu , lla kipato chake sasa, kinagawanyika kwa wote na kikatosha? Uwanjani inawezekana akawa vizuri, je kimaisha? Alafu wa 3.
Mtihani huo ndio udume wala hawatagombana
Ayomagauni ndio tangazolenu apo akuna ndoa ALLAH akufanyieniwepesikatika upambanajiwenu
Weslam wote mbinguni mtapasikia duuuh 🤔 Mungu atupe mwisho mwema 🙏📖🙏🤔
🤣🤣 Kama wew ndo mungu sawa Ila kama ALLAH yupo tunaenda peponi sote waisalm
Kwanini tupasikie wewe ndiyo mtoa pepo
@rozascola-cy8qi
Kwanza hata mbingu huijui mnaabudu binadamu yesu Na kumuacha aliekuumbeni dhulma kubwa mnaifanya kisha hivi wadhani suluhisho ya wanawake wengi Na wanaume kuwa wachache ni nini!?? Kila mtu akioa mwanamke mmoja basi wengine watabaki mali ya jamii ikiwa ni wewe utataka lipi kuwa mali ya jamii kama madada poa au mke mwenza mwenye haki zake stahiki
Japo si kwamba na sapoti yoote yaliyofanywa na huyu jamaa maana inaonekana ana maarifa machache mno ya dini ndio sababu lakini kuoa mke zaidi ya mmoja ni jambo halijazuka tu uislam bali lilikuwepo tangu Na tangu uislam umekuja weka mipaka mwisho wa nne biblia haithibitishi mke mmoja mwisho pekee kwenye maandiko,
Ubatili mtupu tu 📖✊🙏sina chakuongezea ila samaani kama msemwa uo umewakera mana kila mtu anaongea kwamtazamo wake
@@zuhuramwanafuno1851 mtoa pepo nimungu pekeeh ila utoa kupitia watumishi wake,napia kwenye comments yangu sijaongelea neno pepo naona mtakuwa mnajiisi kuwa mnamapepo mnapaswa kuombewa nakuokoka kwajina layesu ✊Amen 🙏📖🙏
Niwahuni wanne waliokubaliana kuishi pamoja
Kaka Athuman nikija kuw mkubwa nitakuw kma ww
Duuuuh wanawake wote wana mwanya safii sana
Aisee nime rudi video marapili ili nione mwanya
😂😂😂
Huyu mwamba kuna hela kapiga mahali sasa inampa wazim 😂😂😂
Athumaniiiiiiiii 😂
Daah yahitaji moyo kwakweli mimi mwenyewe nikija plea nataka mume wangu niwenae mda wote
Hao warembo mbona wazur sanaa
Athuman mwenyewe handsome 😂😂😂
Athuman baba angu mungu akutangulie sana😍😍😍
Njaa mbaya, unakubali kudhalilishwa sababu ya njaa mume mwenyewe kama jinga😏ndomana wakwanza aliliacha senge ili
Dada jina lako la Aysha ni mke wa mtume Muhammad s.a.w na jina la Hussen ni jina la mjukuu wa mtume. Ila koment yako mbona kali sana?. Nilifikiri utawaombea dua ili Allah awajaalie maisha yenye masikilizano na yenye baraka tele.
@@omarmasuke2768 Mungu alimuumba mwanadamu na moyo 1 na hapo mwanzo alimuumba Adam mmoja na Hawa mmoja kipenz hao wengine waliokuja kujitokeza ni tamaa zao za kingono tu mm wala sipo nao🤨
@@ayshahussen7452 kwa sisi waislam sheria inaturuhusu kuoa wake mpaka wanne, nilipoliona jina lako nilifikiri na ww ni muislam.
@@omarmasuke2768 kesho kwa Mungu tutaona mengi ww shadadia ujinga tu, Mungu amesema wapi acheni maisha ya kuiga Mungu anatupenda sana tena kwa usawa sio wanaume wala wanawake Mungu hakusema wanawake tuumie mm ni islamic girl but huyo mnae muiga zilikua ni tamaa zake za kingono tu,
Mashallah ilawamefanana sana adilaha
Hongera kwa hilo
Safi sanaaaaa
Mhm sasa leo utaanzia kulala wapi upuuzi tu
Na unapangisha?
Hapo ni kupambania na NGUVU ZA KIUME tuu.
Maana jamaa keshajpanga hadi KUACHIKA.
🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaahah
Maana kulitafuta means kulipata
Kuoa sio kazi kazi kuwalea kwahiyo angalie asije akasaidiwa
Wa 2 mmmh
Kwani anamiliki migodi au?
Hahahha
Ni uzalilishaji wa wanawake tunashushwa kibinsdamu tuchukuliwa kama fungu la nyanya! Fungu moja la wanawake watatu moja wanne ni thamani ya mwaname mmoja!😊
Hakuna udhalilishaji hapo kuwekwa kimada mchepuko ndo kudhalilishwa
Huyu na bado atachepuka tuu nje hkna udhalalishaji wowote bali ni sawa na bado mmja akamilishe Mabrouk kaka
Huyu ndo mwamba sasa. Cyo nyie mnao jiita mwamba hata. Mchumba hauna
wew unae
Atakuwa nduguye Abdulrazak wa Diva huyu🤣😂
🤣🤣😂😂
😂😂
😳😳😆😆😆
@fatmaallyabduli1732 kweli kabisa watakua, ndugu wa damu ila mwenzie ndio ivyo anaoa kwa mpigo😄😄😄😄
@@sistertrashid2488 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Ni kweli, wengi wata kuunga mkono katika hili lakini, kusema kweli kwa Nyakati tulizo nazo hivi leo, sidhani kama utamudu kugawa kiasi sawa cha upendo" ni jambo rahisi kuwafurahisha watu lakini mwisho wa siku ni wewe utakaye baki kuyatimiza majukumu yako kama mwanaume. Sasa swali ni kwamba utamudu kwenye kutimiza majukumu yako?
Kamuulize Doctor mwaka, na Haji manara😁😁😁 Tuache jokes, ila all in all ikawe heri kwenye maisha yenu sio shari"
huwa tunashea mazungumzo na nderemo kama huzi ila asikwambie mtu tukifika kwenye neno utamu😳😳😳😳😳😳 tutapishana majengo hapana chezea kushea dude wewewewewewe nimeitaja mala nyingi binafsi sina kifuwa kifuwa hicho
Duuuuh huyuu jamaaa ataweza kuwafikisha kileleni kweli
🤣🤣🤣 jogoo ata pekua pekua tuu jaani
Siwezi huo ujinga
Halafu asiache pesa ya natumiz sijui kama nitamuwwa maana utakuta maisha mabovu
Keshajipanga.kama n nyumba ipo.kama n makazi y hao wengne,taari keshaandaa.hapo ni NGUVU ZA KIUNE tuu.
@@jumaradhm3926😂😂😂😂😂😂😂
MMEGUNDUA KITU....???? JAMAA ANAPENDA WANAWAKE WENYE MIANYA..... WOTE WATAU WANYA MWANYA ) KWENYE MENO ... Kila la kheri bro...
Kwa maisha hayo !!!,☹️☹️☹️☹️☹️0+0=0
Vzur sanaa aisee
Mmmh
Kaz nzuri, ila waume wengne cjui wanaogopa au nini 😅
Mtu anifafanulieee mwenye kwenda honey moon nani au ndo chomoa hapa weka hapa uuuh
Apimwe akili😅
Upuuuuzi huo
Mwanaume aongeze mwingine kwa maisha gani
Wenzio hawalichips kama wewe arf huwenda wanakipato kuliko ww kwahyo, isiwe kikomo kwa wengine ndgu kikubwa ni kuombeana heri tu bas
@@maulidimassanga4183 hayo yote uliyo yasema siyajui mm ila tunaangalia siku za badae wakibeba mimba wapate watoto unajua kumiliki wanawake watatu kazi sana 😭😭 mmoja tu unaweza ukakosa matunzo Je watatu
Huyo wa mwisho hakai anawanyari wenzie
😄😄😄na mm nimeona
Jamani kwa hiyo huyu kaathirika kisaikolojia..kwani anawaza akiachwa na mmoja wengine watabaki.. duuuh haya bana '' wadharura
Sasa usiku wa kwanza itakuaje,atalala nao wote kitanda kimoja?
Mie mwenyewe nawaza hivyo
Ushetani wanajifanya dini
Na hao wa mama wa huu upande
Wengi wanapenda kuhudumiwa ninwavuvu na sio wapambanaji
Jini mahaba!
Subiri sasa upikwe upikike maana watakusumbua mpaka utachemusha injini watakuua na kwa taarifa yako watafundishana
Unamapepo Yesu akusaidie ukutane nae
Kuoa rahisi, mahitaji sasa, weee!! Aya.
Aongeze wengineee
Huyu km ni muislamu basi haujui uislam
Kazi kuwatunza
Oweni munaowapenda wawili.watatu au wanne mkishindwa kufanya uadilifu baki na mmoja .Ndugu yangu nikuulize swali uadilifu unao au umekurupuka tu kwakua uliachwa na mkeo wakwanza???
Dr mwaka mwenyewe kashindwa😂
Huyu amevunja rekodi,kuna tajiri alioa wake wawili miaka kadhaa iliyopita....sema kijana usioe kwa matamanio ndoa ya wake wengi inahitaji uadilifu na imani la sivyo utavuna mabua na utapata madhambi.
Saf ilabjama kanipita mm mlioa wawil walipishana mwezi mmoja
Kaah kuna watu wana moyo mie hata mmoja tu hapa...a
Jaman nioe mimi
Muhimu uadilifu uwepo usifurah tu maana hiyo ni amana tunakuomba maskizano
Hiyo ni kawaida kwa waislam wengi kuoa wake wengi. Uwezikumwona mwislam anazeeka na bi mkubwa tu, bila bi mdogo.
Kwa hiyo mwamba ameolea maselaaa💔🤣 basi sawaaaaa
Hakuna kitu hapo