Mashaallah 🥰 allah awazidishie mapenzi ya dhati mfe mzikane inshaallah kwa uwezo wa allah kila la kheri na kila siku muwe wapya msisahau na allah yy ndo kila kitu kwenu 🥰😍
Hakuna kitu kitamu kwenye maisha ya Ndoa kama Mume au Mke kuwa proud na mwenza Wake hakika nimeuhisi msisimko kabisa wa mwili wangu pindi Gabo alipokuwa akidondosha chozi na kukiri kuwa my everything ni vyake oooh Mashaallah Allah awape kheri na Maisha marefu na Upendo wenu ubaki au kuzidi siku zote nawapenda sana 💖😊❤
Kwanini wanaume na isiwe wote tungekua hivi...wanawake wengi ka si wote ni wa binafsi sana kwenye mahusiano yani nyie mwaona ndo wakufanyiwa kheri tu na si nyie kutufanyia sie pia. Tujitahidi sote kuwa responsible kwenye mahusiano na isiwe kazi ya mume tu au bibi tu.
Tatizo mnawaombea watu ujinga mshaurini amrudie mkewe aliyeanza naye maisha hadi alijenga nyumba kwa pesa ya mkewe na kununua gari kwa pesa za mkewe alizo pata urithi toka kwa wazazi wake mke
Tatizo mnawaombea watu ujinga mshaurini amrudie mkewe aliyeanza naye maisha hadi alijenga nyumba kwa pesa ya mkewe na kununua gari kwa pesa za mkewe alizo pata urithi toka kwa wazazi wake mke
Kaka angu Gabo nakupenda kwa ajili ya Allah SW Allah akujalieni maisha mazur hapa duniani na kesho Akhera pia kujaalieni husnil hatma kwa sote inshallah Mashallah
Kumbe team JUNE bhana , mwez wa watu fulan hiviii.Am so proud kuzaliwa mwez mmoja naww GABO ZIGAMBA MWANAUME wa TZii unaejielewa .7/6 nikazaliwa mim apa raha sana
Ukiona wenzio hivyo unatamani kuolewa lakini olewa ww mwenye gundu zako ukutane na mwanaume wa hovyo kuliko maisha yako mungu awabari kwenye ndoa yenu muzidi kupendana Mzee wote mzikane inshaa allah
Of course, yuko vizuri sana, namkubali, mfano wa kazi niliyotokea kuielewa sana na kuipenda ni BADO NATAFUTA pia SAFARI YA GWALU,,. Big up sana brother 💪!
Mashaallah wanangu nawatakia maisha marefu yenye furaha, amani, upend, na awajaalie kizazi chema Chenye kujali kalma ya laillah hailallah muhammad Rasurulah
Gabo una mke mbunifu nakimbuka mwaka jana alikudanganya kuna viwanja vinazwa uliporudi nyumbani ukakuta watu wamejaa seblen kwako. hiyo ilikua supries ya birthday yako, leo kaamua kukusaprais studio safi sana
Mashaallah 🥰 allah awazidishie mapenzi ya dhati mfe mzikane inshaallah kwa uwezo wa allah kila la kheri na kila siku muwe wapya msisahau na allah yy ndo kila kitu kwenu 🥰😍
Happy birthday gabo,🎂🎂🎂 mungu awajalie kuishi Maisha ya amani na upendo amin
Daaah ad nimeona wivu jamniiii 💓 Mungu wa mbinguni awatunze
Gabo truly loves his wife the way she speaks.He looks direct to his wife's eyes.God bless you both.Happy wife,happy life.
Maa Shaa Allah ❤️❤️ Happy birthday Gabo,, marriage works guys
Huyu BROTHER namkubali sana na hajawahi kufel katika maigizo yake Maashaallah Allah amfanyie wepesi katika kazi zake..na sisi pia inshaaallah
Ebwana ata mie namkubal sana clip zake nazisikiaga naomba namba zake km unajua zinapo patikana
Aamin yaarab
Nawapwnda.mno.mapenz yenu.yanaonekn tu hat.kwa macho.mn kila.mtu ana hisia.na.mwenzake...Alla awajaalie.mzeek pamoj❤❤
Hakuna kitu kitamu kwenye maisha ya Ndoa kama Mume au Mke kuwa proud na mwenza Wake hakika nimeuhisi msisimko kabisa wa mwili wangu pindi Gabo alipokuwa akidondosha chozi na kukiri kuwa my everything ni vyake oooh Mashaallah Allah awape kheri na Maisha marefu na Upendo wenu ubaki au kuzidi siku zote nawapenda sana 💖😊❤
Sana yaan
Amen Amen 🙏 ❤
Jamani watu wa June sita tujuane , mwenyez mungu awalinde mzidi kupendana...
Mimi pacha wangu
Mtoto wangu 6 / 6/ 08
Nawapenda sana 💖💓💕💗💖 mungu ababariki sana 💓💕💗💖😛
Happy birthday to you big bro ( mdigo) wetu tanga moja mashallah 🤲😍❣️👏👏👏✔️
Mashallah.
Mi namuelewa saaana huyu jamaa.
Allah ampe umzi mrefu wenye baraka tele na mwisho ampe kauli thabiti.
Happy birthday Gabo more blessings ishii maisha marefu wewe pamoja na familia yako 🎂🎂🎂 millard ayo kazi njemaa
Mashallah wanaume wote wangekuwa hivi akuna mwanamke angelia
Ya ndani huyajui
Ata na wanawake majangiri wapo dear
Kwanini wanaume na isiwe wote tungekua hivi...wanawake wengi ka si wote ni wa binafsi sana kwenye mahusiano yani nyie mwaona ndo wakufanyiwa kheri tu na si nyie kutufanyia sie pia.
Tujitahidi sote kuwa responsible kwenye mahusiano na isiwe kazi ya mume tu au bibi tu.
Tunaotamani haya maisha tuendee kumuomba Mungu 😄😒🙏
In shaa Allah
Tutasubir sn, hahaha
@@jescajulius8023 imani tu Mungu atajaalia 😅
Maashaallaah mungu awape maisha marefu amin yarabilalamin mpendane milele amin
Maneno Matam kwa umpendaye mashallah ♥ Allah awazidishie mapenz inshaallah
ManshaAllah ManshaAllah tabarakallah Allah awazidishiye mpnz ya dhati
Aamin yaarab
Hongera Sana gabo mungu akupe Maisha marefu na kukulinda siku zote Linda familia yako na mungu awabariki
Kwa manamke kama huyu huwezi waza kumiliki siraha 😂😂😂😂
He! Kumbe mnamiliki siraha kwa ajil ya wake zenu
Happy birthday to you Gabo mwenyez mungu awapambanie kwenye maisha yen wew na family yako 💯💯💯♥️♥️🥰
Mashallah mdumu kwa amani na furaha ibilisi apite pembeni.
Hata akiwapitia MUNGU awape nguvu ya kuomba,kuvumilia na kusuluisha
Masha Allah mungu awajaalie maelewano zaidi nawapenda Sanaa 💕🌹💖❤️
all the way from CANADA. nawakubali sana watu wangu wa nguvu.
Daaaah Allah nakuomba ndoa yangu iwe kama hii ndoa yangu changa Wallah nakuomba Allah sasa sana
Allah akupen umri mrefu umezaliwa siku moja na mamangu Allah awarahishie mthian..,,akupen Afya njema
Tatizo mnawaombea watu ujinga mshaurini amrudie mkewe aliyeanza naye maisha hadi alijenga nyumba kwa pesa ya mkewe na kununua gari kwa pesa za mkewe alizo pata urithi toka kwa wazazi wake mke
Tatizo mnawaombea watu ujinga mshaurini amrudie mkewe aliyeanza naye maisha hadi alijenga nyumba kwa pesa ya mkewe na kununua gari kwa pesa za mkewe alizo pata urithi toka kwa wazazi wake mke
Nikweli ukimuomba MUNGU anakupa kilicho sahihi
nimewapenda Sana MUNGU awabariki wote... HAPPY BIRTHDAY GABO Msanii wetu Bora kabisa.
Kaka angu Gabo nakupenda kwa ajili ya Allah SW Allah akujalieni maisha mazur hapa duniani na kesho Akhera pia kujaalieni husnil hatma kwa sote inshallah Mashallah
Ila wanaume Mungu anawaona mkeo yule wa Mwandege yuko wapi au ulimuonaa mshamba hawezi leta cake hapo unapohojiwa
Mashallah that is true love ❤ Allah continues to bless your marriage i feel so excited Happy birthday gabo long life and prosperity amiin
Maa Ashaa Allah ,,,♥️♥️Allah awajaalie mapenzi ya kheri ,,,,shari zimiepuke In shaa Allah ♥️♥️♥️
My favorite happy birthday Gabo❤️👌
Happy birthday bro Gabo, Allah akupe maisha marefu yenye kumpendeza yy
naomba mungu awalindie ndoa yenu
Mashallah Gabo mm nishabiki wake toka awali 🇧🇮🇧🇮🥰
Mashaallah mungu awajaalie maisha marefu ,happy birthday Gabo
Kumbe team JUNE bhana , mwez wa watu fulan hiviii.Am so proud kuzaliwa mwez mmoja naww GABO ZIGAMBA MWANAUME wa TZii unaejielewa .7/6 nikazaliwa mim apa raha sana
Happy birthday Gavin my favorite actor ❤❤❤❤❤
Ukiona wenzio hivyo unatamani kuolewa lakini olewa ww mwenye gundu zako ukutane na mwanaume wa hovyo kuliko maisha yako mungu awabari kwenye ndoa yenu muzidi kupendana Mzee wote mzikane inshaa allah
We dada umejua kunichekesha
Salma Athumani 🤣🤣🤣unatukatisha tamaa
Salma siku zote tanguliza maombe yako kwa Allah muombe bila ya kuchuka ipo siku utapata unachokitaka Inshallah
Ukione cha mtema Kuni😁😁
Hahaha acha tu
Happy birthday my fave Actor 🖤
Mwenyezi Mungu awasimamie ktk maisha yenu ✍️✍️mewapenda mno I can say this is true love ❤️👋
Maashallaah mungu awape maisha marefu naazid kuwabariki muingiapo na mtokapo 🙏
Masha Allah Mola awahifadhi katika ndoa yenu jamani gabo nakupenda bure ww na mkeo
Jamni huyu kaka namkubali sana nomba nipate no zake ili nimfanyie mshangao mume wangu hii kitu nimeipenda sana na nimeikubali sana
masha Allah ndoa yenu idumu mzidi kupendana mvumiliane kwashida naraha, true love ❤️😍😍😍😍
Mashaa Allah hadi nmependa Allah awazidishie
Awwww!!much love from 🇰🇪🇰🇪
Mashallah mubarikiwe woote kwakweli hongeren sana
Of course, yuko vizuri sana, namkubali, mfano wa kazi niliyotokea kuielewa sana na kuipenda ni BADO NATAFUTA pia SAFARI YA GWALU,,. Big up sana brother 💪!
Mashaallah wanangu nawatakia maisha marefu yenye furaha, amani, upend, na awajaalie kizazi chema Chenye kujali kalma ya laillah hailallah muhammad Rasurulah
Huyu kijana namkubali sana, anaigiza vizuri sana.Niunganishieni niigize nae kama mama yake ili nitimize ndoto yangu.
ILike Salim ahmed Allah akujalie khery katika kazi zako u the best actor
Mashaallah Allah awabarik upendo na furaha uvumilivu maisha yenu yote muwe pamoja. 💕💕
Mashaallah! Mashaallah! Mashaallah! Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki, muishi kwa raha milele daima. Ameen!
Mashaallah...HBD broo Gabo
Hongera saana shemeji inshallah mungu awajaalie 💕💕
Maisha marefu my brother God keep you higher-ups 🙏 💯
Kwema wazee aisee brother gabo ni kwiki sana ananipaga changamoto sana za kufanya kazi ya sanaa natarajia kufanya kazi moja na gabo, JB na ben
True love 💞💞💞 . Nakukubali sana bro gabo🙏
Hongera sana gabo
Hongera sana millard Ayo kwa utayarishaji wa vipindi
It’s really beautiful when to hearts connected
Mr romantic nampenda huyu broo aseee namkubal knomaa
Wooooow i love gabo happy birthday
MASHALLAH 🥰 ILOVE THAT....
Masha Allah. Wanyumbsni kanisa nakuonaaaa.🤚
Daaah soo Touching... 😭😭😭😭
Upo kimya saaana kumbe unafamilia hongeraaa saana brother Mungu awape upendo huo huduma muwe wa mfano jamaniii,nakubali kazi zako be blessed with God
Love is a beautiful thing❤❤
Lakini huyu jamaa hanajua kuongea walai 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Much love from 🇰🇪🇰🇪
Duwa nyingi kwako mungu akuweke kaka ila usisahau kusadia wasiyo jiweza amiina
Asimsahau mke aliyeanza naye maisha mwandege na watoto wake
Gabo una mke mbunifu nakimbuka mwaka jana alikudanganya kuna viwanja vinazwa uliporudi nyumbani ukakuta watu wamejaa seblen kwako. hiyo ilikua supries ya birthday yako, leo kaamua kukusaprais studio safi sana
Hongera sana brother!
Wow the words that she wrote for Gabo brought me to tears.May God bless your marriage😍
Amin Amin Amin
Me too, amin
🔥🔥🔥
Hadi nimeona kawivu. Mungu awalinde na penzi lenu lizidi kushamiri
Happy birthday blazers yani nimejikuta naliya wa Allah
wow i like it
Brother upo juu sanna wallah mungu azidi kukufungulia ameeen
So lovely ! God bless you🙏
Happy birthday gabo!... 🥰🥰
Gabo😗😗😗hakika Mungu awajaliye kwenye doa yeni faraha ya milele.
Sio doa ndoa😂😂
Dah nimelia dah
Happy birthday kaka Nawapenda sana 😥😥😥
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Baaraka Allahu Fiikum
Mashaallah! Allah awajaalie masikizano n awazidishie mapenzi kwenye ndoa yenu🤲🤲🤲Ameen
love is a beautiful thing,Mashallah Allaa awazidishie
Mungu na ss atupe tuwapendao na kupendana..
Inshaallah
Nimetokwa na machozi 🥺 she is very lucky kumpata gabo 🥰
In Shaa Allah nawe utampata Bora kuliko
Nawe utampata kingwendu usihofu
@@michaelhwago1499 😅jmn
@@michaelhwago1499 dah umeuwa🤣🤣🤣🤣🤣
@@michaelhwago1499 🤣🤣🤣nilijua gwegwedu 🤣
Gabo uko vizur broo salut unapiga kazi Sana kwa bongo movie huna mpinzani
MashaAllah Jazakhallahu kheiri 🫶true love 💕
Mashaller gabu upo vizuri kaka
🥰🥰🥰🥰🥰🥰Mungu aibariki nakuilinda ndoa yenu nawapenda sana
Nakukubali sana kaka angu. Mungu akubariki
Jamn nimeipenda hiyo❤❤watu wanabahat so poa
Kwani wewe je hauna bahati ?
Dah hii suprise 😢😢😢🔥🔥
Iko poa sanaaa nimependa hii love
Millard type nafasi maskini kama sisi ili tupate nafasi yakuonyesha dunia nn tulicho nacho
Hongera gabo
Wow nimependa sana❤
May God bless your family brother Gabo
Mashalllah naic
Happy birthday my Fellow Gemine Mr.Gabo
Good brother