GABO AMZAWADIA MTOTO WAKE DUKA LA KISHUA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ธ.ค. 2021
- Mwigizaji Gabo ameitambulisha biashara ya mtoto wake Bills ambapo katika tukio hilo amealika watu maarufu mbali mbali akiwemo msanii Barnaba, hii hapa video inayoonesha tukio zima. PLAY kutazama
MASHALLAH Allah afunguliye biashara yenye mafanikio insha'Allah jito la hasidi lisimpate 🤲🇰🇪 county mambasa 001
Nampenda Gabo anakauli zury mashallh allh akuzidishie biashar
Mashaalwa mwenyezimungu afanye wepesi🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Mashaallah!Allah azid kuwafungulia rizki kadri awezavyo,aidumshie upendo na mapenz ktk familia yk,akuepushe na hassad za waja. Kila la kher kaka
Masha Allah
Ongera sana kaka.
Mansha'Allah
akamuudumie pia mtoto aliyezaa na husna
Kubagua watoto sio vzuri...na mtoto wa husna sio mtoto???mzee wa ofcourse?😂😂
Hongera kaka Gabo
Bannaba umejuaa mtangazajii loe👌🤣🤣🙌
Mashallah
Bwana masifa..
Kwa mtoto mdogo hakuna zawadi,kuna Wajibu
Ukimpa mtoto wako wa zaidi ya miaka 20, hiyo ni zawadi
Watu na watoto wao mi wangu tamzawadia kuku
🤣🤣🤣🤣🤣
khaaaa
😀😀
😭😭😭😭
acha kubaguws watoto funga ndowa acha kudhini wa husna umembaguwa acha hizo
Barnaba kumbe ana kisembe
Mpoki kapita hapo
Natamani Sana kupata mume mwema anaemthamini dam yake kama wewe Mimi mpaka mimba imesusiwa
Kuwa karib na Allah kila kit kinawzkn inshaAllah
Pole
Polesana
Njooo kwangu
Sasa unawake wangapi na watoto wangapi kuna star umemzalisha mtoto hu mlei inakuwaje na huku mitandaoni shere sifa pesa kwa wingi showof nyingi
Hapo wamefungua duka Sio wamempa ZAWADI mtoto.......na wanatangaza duka lao ,
Haya barnaba kidumu namfagio
Ubaguz sio kitu poa
Mtoto wa zinaa ni mtoto wa mama kama atakuwa wakike gabo anaruhusiwa kumuoa.
Nyinyi ndio munaoa wanawake wasiyo sahihi kisa chura mwisho wasiku ndoa inakuwa ndoano unakuwa umempenda chura nasiyoyeye. Na tabia zake acha ushamba
Hhhh
nammi nikiwa na mil 20 si naweza kumfungulia duka kama hili mwanangu Balquis? au haitoshi
Mke wake mbona chura amna au kafata rangi...
Mapenzi majani huota popote
Gabo punguz tui uwek mchel ucje kupika bokobok u
Hyo barnaba kauweza upambeee
Hamumalizi drama tu
ndo apo c angekuwa anamuhudumua yule mtoto aliyezaa na husna kule
Kaamua kumuhudumia huyu siyo yule,vp kwan wakataa asimuhudumie ?
@@SalsabeelLtd Mtoto wa zinaa ni mtoto wa mama kama ni wakike gabo anaruhusiwa kumuoa.
Acha ushamba unaesema chura wewe nimshamba Tena msukuma kabisa mamayako anachura ? Rakini mbona aliolewa na baba yako acha ushamba
Msukuma kafanyaje Tena jinga wewe mxiuuuu
Mashallah