MWALIMU NA OFISA MTENDAJI WAKATWA MAPANGA MKOANI MARA NA WASIOJULIKANA WAKIDAI MILIONI 6

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 32

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 2 หลายเดือนก่อน +2

    jmn pole dada Mungu nimwema wtt mapacha wamekuokoa maaana wangekuuwa! Sikukuu moja nilitoa ela banki milioni kama 4 sasa nasubir fundi wamalizie boma nikanunue bati na mbao,....Nimekaa nazo kama siku 3 asubuhi yake kuna mdada mpangaji nyumba tofauti ila vipo karibu karibu ananiambia madam usikuu nilitoka nikakuta mtu kasimama mlangoni kwako.. Nikamuita mume wng ndani njooo kuja mtu kasimama mlangon kwa madam, aliposikia kaondoka nyie niliogopa hata chai sikunywa ile ela sikuku iyoiyo nilienda kulipia bati na mbao😭😭😭😭😭😭 Tz ukiwa na hela hukai kwa amani nyie naukiwa huna ela hukai kwa amani tena

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 3 หลายเดือนก่อน +1

    SubhanaAllah

  • @hyy4114
    @hyy4114 3 หลายเดือนก่อน +1

    😭😭😭Subhanna Allah

  • @JosephAgustino-f9z
    @JosephAgustino-f9z 3 หลายเดือนก่อน

    Daaaaaah mungu awapiganie mpone mengine tumwachie mungu pia serekali ifanye kazi yake

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mweeeee!!Poleni sana.

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana dada Kwa kweli njaa ni shida

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kilichobaki waziri atoe MAELEKEZO tu ya kuwa WALIMU na watendendaji wapatiwe bastola kwa AJILI ya kujihami sio kwa uonevu huu

  • @BalbinaJohn-c6l
    @BalbinaJohn-c6l 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana dada

  • @DORADO748
    @DORADO748 2 หลายเดือนก่อน

    Duh ...pole sana ... Kurya tena eno ne etabu

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Sana mtendaji

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 3 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana M/MUNNGU Atawaponya nawao malipoyao watayapata

  • @RevinaNtabaza
    @RevinaNtabaza 3 หลายเดือนก่อน

    😢mpk nimelipa,pole mama wawili mwenzangu Mungu onekana ktk hili wote walioshiriki wauwawe tena ikibidi hadharani kbs

  • @winifridakigingachacha3412
    @winifridakigingachacha3412 3 หลายเดือนก่อน

    Daah...!!pole sana😢😢

  • @VenasiaEmmanuel
    @VenasiaEmmanuel 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana

  • @mwankunjatyson
    @mwankunjatyson 3 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana

  • @felixminde5777
    @felixminde5777 3 หลายเดือนก่อน +1

    😢pole sana Dad

  • @zainab8251
    @zainab8251 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mama wakurya wabaya

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 หลายเดือนก่อน

    Milioni 6.uxiweke ndaniza nininsasa na hao wauwaji hawanaakili waache wakauwane wenyewe kwa.wenyewe washenzi hao Munguatawaumbua hao majangili

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 2 หลายเดือนก่อน

    Matukio kama haya ni kituonyesha Kuna shida kwenye swala la usalama watu wasiojulikana ndo nn hili neno Huwa silielewe hata ,🤔🤔🤔 it's weird

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 3 หลายเดือนก่อน +3

    Poleni sana msipende kuongea nawatu kusu mipango yenu ya pesa

  • @EdnaMbowe
    @EdnaMbowe 3 หลายเดือนก่อน

    Aiseee Watu wana roho ngumu kwa nn lakin kwa niniiiii😭

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 3 หลายเดือนก่อน

    Uwiiii

  • @latifamubba100
    @latifamubba100 3 หลายเดือนก่อน

    Poleni San

  • @LydiaLeonidas
    @LydiaLeonidas 3 หลายเดือนก่อน

    Pole San dad 😭😭

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Dada unamungu umeachwa kwakuwa unawatoto mapachaa daa pole

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 3 หลายเดือนก่อน

    Uyo Ni MTU anawajua kawachorea dili khaaaa Yani watu wamekaa kudai tunatqka m6 ka waliwapa wawatuzie vile aaah watu jmniii so mfanye kazii mpate pesa zenu halali

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 3 หลายเดือนก่อน +2

    Majitu mengine bhana
    Haya ndio yanafanya baadhi ya mikoa watu wasiende kufanya kazi

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mtihani au kuna mtu ulimuhadisia kuna dili ya kukamata hiyo pesa ndio kakutumia hao wauwaji jamani mungu awalaani wao mbona wameshindwa kumiliki hizo mln 6 walaaniwe wao na vizazi vyao mbwa hao

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 3 หลายเดือนก่อน

    Si wachukue pesa waende zao kukatwa kwanini 😮🤔 ?

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 3 หลายเดือนก่อน

    Huu mkoa siwezi ishi mmhh

  • @TatoTato-t7s
    @TatoTato-t7s 2 หลายเดือนก่อน

    ivi nyie mnaowavamia watu nakuwapiga kwanini msiwavamie baba zenu namma zenu mkawapiga mapanga washenz nyie