jmn pole dada Mungu nimwema wtt mapacha wamekuokoa maaana wangekuuwa! Sikukuu moja nilitoa ela banki milioni kama 4 sasa nasubir fundi wamalizie boma nikanunue bati na mbao,....Nimekaa nazo kama siku 3 asubuhi yake kuna mdada mpangaji nyumba tofauti ila vipo karibu karibu ananiambia madam usikuu nilitoka nikakuta mtu kasimama mlangoni kwako.. Nikamuita mume wng ndani njooo kuja mtu kasimama mlangon kwa madam, aliposikia kaondoka nyie niliogopa hata chai sikunywa ile ela sikuku iyoiyo nilienda kulipia bati na mbao😭😭😭😭😭😭 Tz ukiwa na hela hukai kwa amani nyie naukiwa huna ela hukai kwa amani tena
Uyo Ni MTU anawajua kawachorea dili khaaaa Yani watu wamekaa kudai tunatqka m6 ka waliwapa wawatuzie vile aaah watu jmniii so mfanye kazii mpate pesa zenu halali
Mtihani au kuna mtu ulimuhadisia kuna dili ya kukamata hiyo pesa ndio kakutumia hao wauwaji jamani mungu awalaani wao mbona wameshindwa kumiliki hizo mln 6 walaaniwe wao na vizazi vyao mbwa hao
jmn pole dada Mungu nimwema wtt mapacha wamekuokoa maaana wangekuuwa! Sikukuu moja nilitoa ela banki milioni kama 4 sasa nasubir fundi wamalizie boma nikanunue bati na mbao,....Nimekaa nazo kama siku 3 asubuhi yake kuna mdada mpangaji nyumba tofauti ila vipo karibu karibu ananiambia madam usikuu nilitoka nikakuta mtu kasimama mlangoni kwako.. Nikamuita mume wng ndani njooo kuja mtu kasimama mlangon kwa madam, aliposikia kaondoka nyie niliogopa hata chai sikunywa ile ela sikuku iyoiyo nilienda kulipia bati na mbao😭😭😭😭😭😭 Tz ukiwa na hela hukai kwa amani nyie naukiwa huna ela hukai kwa amani tena
SubhanaAllah
😭😭😭Subhanna Allah
Daaaaaah mungu awapiganie mpone mengine tumwachie mungu pia serekali ifanye kazi yake
Mweeeee!!Poleni sana.
Pole sana dada Kwa kweli njaa ni shida
Kilichobaki waziri atoe MAELEKEZO tu ya kuwa WALIMU na watendendaji wapatiwe bastola kwa AJILI ya kujihami sio kwa uonevu huu
Poleni sana dada
Duh ...pole sana ... Kurya tena eno ne etabu
Pole Sana mtendaji
Poleni sana M/MUNNGU Atawaponya nawao malipoyao watayapata
😢mpk nimelipa,pole mama wawili mwenzangu Mungu onekana ktk hili wote walioshiriki wauwawe tena ikibidi hadharani kbs
Daah...!!pole sana😢😢
Pole sana
Poleni sana
😢pole sana Dad
Pole sana dada
Pole sana mama wakurya wabaya
Milioni 6.uxiweke ndaniza nininsasa na hao wauwaji hawanaakili waache wakauwane wenyewe kwa.wenyewe washenzi hao Munguatawaumbua hao majangili
Matukio kama haya ni kituonyesha Kuna shida kwenye swala la usalama watu wasiojulikana ndo nn hili neno Huwa silielewe hata ,🤔🤔🤔 it's weird
Poleni sana msipende kuongea nawatu kusu mipango yenu ya pesa
Aiseee Watu wana roho ngumu kwa nn lakin kwa niniiiii😭
Uwiiii
Poleni San
Pole San dad 😭😭
Dada unamungu umeachwa kwakuwa unawatoto mapachaa daa pole
Uyo Ni MTU anawajua kawachorea dili khaaaa Yani watu wamekaa kudai tunatqka m6 ka waliwapa wawatuzie vile aaah watu jmniii so mfanye kazii mpate pesa zenu halali
Majitu mengine bhana
Haya ndio yanafanya baadhi ya mikoa watu wasiende kufanya kazi
Mtihani au kuna mtu ulimuhadisia kuna dili ya kukamata hiyo pesa ndio kakutumia hao wauwaji jamani mungu awalaani wao mbona wameshindwa kumiliki hizo mln 6 walaaniwe wao na vizazi vyao mbwa hao
Si wachukue pesa waende zao kukatwa kwanini 😮🤔 ?
Huu mkoa siwezi ishi mmhh
ivi nyie mnaowavamia watu nakuwapiga kwanini msiwavamie baba zenu namma zenu mkawapiga mapanga washenz nyie