#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • #EXCLUSIVE:LULU AVUNJA UKIMYA - "NIMETUA MZIGO wa MAMA KANUMBA, MSALABA NILIOUBEBA NITAUBEBA HADI KUFA"...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 292

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +5

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

    • @HabimanaAbdaul
      @HabimanaAbdaul ปีที่แล้ว

      0aaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0l0aaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaa

    • @HabimanaAbdaul
      @HabimanaAbdaul ปีที่แล้ว

      L0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal0aaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaa0a0a9a0aa0aaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaal9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa90aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    • @HabimanaAbdaul
      @HabimanaAbdaul ปีที่แล้ว

      L0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    • @lizzybeth6344
      @lizzybeth6344 ปีที่แล้ว

      Mweee mdogo angu wa shule lulu na mtaani kwetu tabata mungu akubariki dada ako wa shule nilikuwa nakuetetea kishule shule mtaani,,kwako mimi apa jina la shule dada ako bwasile wajina wako elizabeth,,baunsa wako kishule shule,,,

    • @lizzybeth6344
      @lizzybeth6344 ปีที่แล้ว

      Lulu dada ako apa,,mimi apa bwasile apa mi kishule,,kishule shule,,,tabata chumba kimoja mimi pia nilikuepo mamy,,,,nilikuwa nakusindikiza hadi kanisani baby wangu kipindi unasomoea ,,,izi moments uwezi kuzisahau mdogo angu global please,,,nikiiimuita tu kimemeta ndo jina nalopenda kumuitta ilo jina la ukoo uwa namuita mimi tu,,tokea shule,...

  • @bethwambui7581
    @bethwambui7581 ปีที่แล้ว +15

    This girl is very wise, I love the way she answers and expresses herself. Big up Lulu.

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo3938 ปีที่แล้ว +26

    Lulu nakupenda jmn huna baya na mtu, ni mtu unaejiheshm sana Mungu akupe maisha marefu 💞

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 ปีที่แล้ว +41

    Mtoto huyu kichwani yupo vizuri mnoo sana awee lulu umenyookaaa❤

  • @joycerusimbi5083
    @joycerusimbi5083 ปีที่แล้ว +24

    Nimekupenda Lulu uko na hekima sana Mungu azidi kukulinda na kukuinua zaidi katika kazi zako.

  • @happymarwa4517
    @happymarwa4517 ปีที่แล้ว +20

    Hongera sana kwa kujua huyu mama anaumia sometimes ila hii imetokana tu! Na lulu kuzaa umeelewa uchungu wa mwana

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 ปีที่แล้ว +12

    That is Liz
    That is my lulu, anaeangalia baraka zaidi ya mapito. Nakupenda sana mdogo wangu. Mungu aendelee kutunza hekima yako.

  • @halimasanga3830
    @halimasanga3830 ปีที่แล้ว +22

    Kwa hili la mama Kanumba umezidi kudhihirisha kuwa wewe ni mnyenyekevu wa viwango vya juu. Mungu azidi kukubariki.

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 ปีที่แล้ว +33

    Nakupenda sana Lulu. Nakuombea udumu ktk ndoa yako. Nimefurahi kuckia unaheshimu ndoa yako. From Oman 🇴🇲🇹🇿

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb ปีที่แล้ว +6

    Lulu wewe ni mzuri naturally. Huhitaji makope ya kubandika na makucha ya kichawi. Utukufu kwa Mungu Baba

  • @jamesadrian4557
    @jamesadrian4557 ปีที่แล้ว +6

    Bonge la interview mdogo wangu upo vzr nimeipenda zaidi na nimejifunza mengi kutoka kwenye maneno Yako ntazidi kuishi umo HONGERA SANA

  • @brijidalawrence1097
    @brijidalawrence1097 ปีที่แล้ว +23

    nakupenda bure lulu una busara sana na hekima mungu alinde ndoa yako mwishi miaka mingi ❤❤

  • @berthatz
    @berthatz ปีที่แล้ว +16

    Lulu ni mrembo ,beauty with brain..Well done mama G👏🏾👏🏾👏🏾@Imelda unatupa mambo mazuri sana kila kukicha…Kazi safi sana👏🏾👏🏾👏🏾🫡

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 ปีที่แล้ว +19

    Majizo umeoa mwanamke na nusu hongera sana

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 ปีที่แล้ว +1

      I hope na yeye analijua hilo (majizo) na Anam take care vzr mkewe

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 ปีที่แล้ว +14

    Mashallah nakupenda sana Lulu from kenya yaani umezungumza kama watu 100 ❤

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 ปีที่แล้ว +7

    Lulu nakukubali sana una busara mnoo!! Na majibu yale yako nayapendaga pia sanaa Mungu akubariki sana huna baya na mtu!!! Hongera pia kwa mama mzaa na mlea chema!

  • @RachealMndambi-kv9sd
    @RachealMndambi-kv9sd ปีที่แล้ว +3

    Lulu uko vizur sana,sikujua kama wewe ni mama mzur, na unajua kujieleza na una busara Mungu akujaalie.lov uu

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 ปีที่แล้ว +16

    Lulu kichwan zipo kamili ana akili nyingi ❤maashallah ♥️ ♥ 😊

  • @yuwellsham-fv7fn
    @yuwellsham-fv7fn ปีที่แล้ว +8

    Nakupenda Sana Sana my mdogo ..mzuri wa Sura na akili....mungu .akutunze unamfano wa kujifunza Vingi..❤

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 ปีที่แล้ว +12

    Lulu ni mwanamke na nusu Mungu akubariki

  • @marthatemba8738
    @marthatemba8738 ปีที่แล้ว +5

    Nakupenda bureeeee mdogo wangu Mungu azidi kukutunza....unakitu kizuri sana ndani yako....

  • @josephmilandononi1096
    @josephmilandononi1096 ปีที่แล้ว +5

    Rafiki wa Mimi hongera sana mungu azidi kukupa ujasiri,upendo Mkuu na busara na hekima teletele hakuna jipya chini ya jua.mungu akubariki.

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 ปีที่แล้ว +4

    Lulu so cute❤ alafu anajiamini saana na Ana visio!! very Wise!!

  • @marrypius576
    @marrypius576 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akubariki sana lulu yan katika wasanii wew ndo huwa nakuelewa

  • @Official83640
    @Official83640 ปีที่แล้ว +9

    Masikini hd ametoa machozi alipokumbuka alipotoka dah nimejisikia kulia maana wengi tumepitia haso za kuhangaika hd kwenye mama ntilie Allah atupe nguvu ktk maisha yetu na sie tukae chini tuje kusimulia watoto wetu

  • @user-hw9um8su3k
    @user-hw9um8su3k ปีที่แล้ว +7

    Mungu aendelee kukumininia baraka mrembo wetu unastahili furaha mami❤❤❤❤

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 ปีที่แล้ว +26

    Huyu Binti Ana Akili Kubwa sana Na Ana IMANI SANA SANA ❤

    • @rehemasandube5390
      @rehemasandube5390 ปีที่แล้ว +1

      Mtazamo wako sawa na mimi kima2azo kuhusu lulu nampenda sn huyu bint

  • @SwaumuSwai-c6f
    @SwaumuSwai-c6f ปีที่แล้ว +5

    Asante sana lulu Kwa maneno Yako uliyomjibu uyo dada

  • @naimatanzania
    @naimatanzania ปีที่แล้ว +8

    Lulu nakupenda sana unajielewa mnooo❤

  • @valentinamjindo5374
    @valentinamjindo5374 ปีที่แล้ว +10

    Mungu ambariki mwanamke aliekuzaa big up mdogo wangu

  • @heleneelsa4707
    @heleneelsa4707 ปีที่แล้ว +12

    Da imelda I love your interviews you’re professional

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 ปีที่แล้ว +5

    Ni kweli nakufaham sana Lulu tukiwa wote Tabata karibu na mambo sasa Hotel ❤😊

  • @winifridajohn7390
    @winifridajohn7390 ปีที่แล้ว +8

    Nakupenda sana dada. Ubarikiwe na Mungu dada lulu

  • @mwanjammassa8563
    @mwanjammassa8563 ปีที่แล้ว +25

    Kuzaa ndo zawadi pekee tuliyo jaliwa na Mwenyezi MUNGU. Namaanisha USIJUTIHI KUZAA.hata wa 3 tunasema KARIBU

  • @lacheekah1849
    @lacheekah1849 ปีที่แล้ว +24

    She has matured so much love it 😌😊

  • @doricewairanga6805
    @doricewairanga6805 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akutangulie lulu nimependa ulivyo jibu maswali na majibu

  • @JenniferNgata-gy5pc
    @JenniferNgata-gy5pc ปีที่แล้ว +9

    Safi sn LuLu wetu hakika wewe ni wa mfano mzuri kwa Jamii mm nakuelewa sn mdogo wngu ❤❤❤❤❤❤❤!❤!

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 ปีที่แล้ว +4

    Nakupenda sana lulu my role model ❤

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft ปีที่แล้ว +10

    LuLu umependeza sana ongera sana mungu awabariki unajuwa kuongeya ❤

  • @elizabethnguma3379
    @elizabethnguma3379 ปีที่แล้ว +2

    Kwa kuongezea alicho kisema lulu,,,Kuna aina ya wanawake ambao wakijifungua mahips hua na muonekano tofauti,yaani hupanuka na ukawa na shape nzuri kushinda ya mwanzo,,,,ni siwe mnafiki hata mm nimmoja wao,,,na pia Kuna wengine wakijifungua huzidi kupoteza kabisa,,,,,,,

  • @KhadijaKalinga
    @KhadijaKalinga ปีที่แล้ว +13

    Hongera sana Kwa kujitambuwa kipenziii❤

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 ปีที่แล้ว +1

    Uuum lulu nilikuwa nime mu miss kweli,hongela kwa kupata Baraka kutoka kwa mungu❤

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 ปีที่แล้ว +9

    Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏

  • @shaymaamlanza3949
    @shaymaamlanza3949 ปีที่แล้ว +6

    Yani lulu nakupenda sana ❤❤❤❤

  • @sarahmse9357
    @sarahmse9357 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akubariki da lulu.

  • @melitalaunoni4018
    @melitalaunoni4018 11 หลายเดือนก่อน +1

    Da imelda nakupenda mwayaaa ulivo mungu akupe maisha marefu

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen282 ปีที่แล้ว +5

    Interview nzuri sana, Na nacho kifikilia ndomaana umekaa ndani ya ndoa Hongera sana, Na Majizo naesi mtu wa kujikweza

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 ปีที่แล้ว

      Kweli hata mumewe sio WA kujikwaza

  • @agnesyjoseph3906
    @agnesyjoseph3906 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda umetulia Sana unamajibu manzr unajitambua God bless you

  • @kibabysaid6692
    @kibabysaid6692 ปีที่แล้ว +6

    Lulu nakupendaa bureeee❤❤❤❤

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 ปีที่แล้ว +2

    Mi sisemi kitu maana unajua nakupenda
    ❤❤ lulu

  • @user-zh7fm3mk4t
    @user-zh7fm3mk4t ปีที่แล้ว +7

    Big brain and beautiful woman

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu3487 ปีที่แล้ว +1

    Big up Lulu nime inspire sana exclusive interview yako.

  • @thomasjoseph4709
    @thomasjoseph4709 ปีที่แล้ว +2

    Maisha ni safar ndefu. Don't look back, go ahead. Be bless

  • @AnitaAnn77
    @AnitaAnn77 ปีที่แล้ว +1

    Waaaaoooo smart gal Tena narudia smart gal , Leo ni ekubali lulu ur a sharp lady and big thinker 😘😘😘

  • @catherinesembeka1417
    @catherinesembeka1417 ปีที่แล้ว +2

    Kila jambo jema hutoka Kwa mungu hongera xana lulu jaman. Yaliyopita c ndwele kilichobaki kuishi Kwa aman dunian.

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa hujaweka mikope ya mbuzi na mikucha ya mbwa mwitu hongera sana.

  • @madamelucy8429
    @madamelucy8429 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri kwenye mahojiano una akili ndio maana majizo aliona loti kqajo alikukubali akakuoa hongera sana bint I love you❤

  • @purityneema218
    @purityneema218 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda sana lulu mungu azidi kukubariki 🥰🇰🇪

  • @simontumaina8658
    @simontumaina8658 4 หลายเดือนก่อน

    Lulu is just a masterpiece

  • @nevermwambela3719
    @nevermwambela3719 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana, kweli u.ekua na una akili yingi umekua mama na mke kwelikweli, ni mfano wa kuigwa na wasanii wengine❤

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk ปีที่แล้ว +2

    ❤❤❤smart girl with good brain🙏

  • @JokhaJoko
    @JokhaJoko ปีที่แล้ว +6

    Iulu nakupenda sanakipenzi

  • @hawamjungu3396
    @hawamjungu3396 ปีที่แล้ว +3

    Lulu uko vizuri sana ❤❤❤

  • @masatumtani1588
    @masatumtani1588 ปีที่แล้ว +3

    Umekuwa mdogo wangu ulicho ulizwa na ulichokuwa unajibu sahihi kabisa yani umekuwa mama mwenye akiri kubwa

  • @fatumambudo3903
    @fatumambudo3903 11 หลายเดือนก่อน

    I love you so much bby❤mdogo lakin akili nyingi sana unajibu kwa kutumia knowledge hukurupuki hongera sanaa

  • @Abrhami
    @Abrhami 2 หลายเดือนก่อน


    Nakupendasan
    nigeweza .kukuwanawuwezo ningekuwoa

  • @GraidesiJordani
    @GraidesiJordani ปีที่แล้ว +1

    Lulu mungu akulinde wewe na family yako

  • @MauaAlly-gy6sc
    @MauaAlly-gy6sc 11 หลายเดือนก่อน

    Lulu nakupenda Sana. Mungu ukulindie na akukuzie watoto wako

  • @HannahHollyNhabalyaga-of6bv
    @HannahHollyNhabalyaga-of6bv 11 หลายเดือนก่อน

    You are a very wise woman nimekupenda lulu ❤❤❤❤💚🖤

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 ปีที่แล้ว +10

    Beauty with brains , Lulu ni mmoja wa mastar ambao wanajuwa kujibu maswali kwa akili sana

  • @G.S985
    @G.S985 ปีที่แล้ว +1

    Lulu ❤you're so smart in everything ❤

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 ปีที่แล้ว +7

    Lulu jamanii kukupenda tu mdogo wangu❤❤❤❤❤❤🎉

  • @CharlesRehani
    @CharlesRehani ปีที่แล้ว +1

    Uyumu dada LULU nampendaka saana sana kbsa

  • @Bettymnzava
    @Bettymnzava 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera lulu, wajina wangu.tumezaliwa siku moja

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy ปีที่แล้ว +7

    lulu akili kubwas ❤❤

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 ปีที่แล้ว +6

    Msanii pekee anaejiheshimu pamoja na monalisa pia.

  • @upendolema3323
    @upendolema3323 11 หลายเดือนก่อน +1

    Love you my Lulu❤❤❤❤🥰🥰🥰❤❤❤❤

  • @ireneinnocent4128
    @ireneinnocent4128 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda sana mwanangu Lulu. Mimi shabiki wako tangu ukiwa mtoto

  • @user-qs4fb5fo5f
    @user-qs4fb5fo5f ปีที่แล้ว +7

    Ila lulu mzuri sana

  • @agnerapius7244
    @agnerapius7244 ปีที่แล้ว +4

    ❤❤❤❤lulu kichwa aswa unashinda hadi mashangazi kina wema

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sana lulu walahi

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 ปีที่แล้ว +1

    Anajua sana kujibu maswali ❤

  • @annamosha968
    @annamosha968 ปีที่แล้ว +6

    ❤❤❤❤❤ Elizabeth

  • @MozaAlkhaif-dg9pk
    @MozaAlkhaif-dg9pk ปีที่แล้ว +4

    Kwa changamoto za kimaisha alizopitia huyu binti akiwa mdogo sanaaaa kiasi awe makini zaidi!

    • @rachelmgoba
      @rachelmgoba ปีที่แล้ว

      Lulu nakupenda en I realy mean it ,I feel so sad when I feel your situation with mom kanumba and be strong forever lulu wangu 😭

  • @magrethbujiku6829
    @magrethbujiku6829 ปีที่แล้ว +2

    Nakupendaaa sana lulu wangu❤❤❤❤❤❤

  • @gonsalvamswaga6471
    @gonsalvamswaga6471 11 หลายเดือนก่อน

    kweli Lulu umekuwa na unaakili sana, big up

  • @graciatully4937
    @graciatully4937 ปีที่แล้ว +1

    Kwakweli uyu biti amepitiya manbomegi Sana kupitiya kanumba Ala mungu amemupiganiya sababu mungu niwahaki ubarikiwe mudogowagu yesu azidi kukutetea

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 ปีที่แล้ว +2

    Hii hata mimi na mke wangu ilitikea mpk wakawa kama mapacha ila ina raha yake❤

  • @fatumamakwaia1126
    @fatumamakwaia1126 ปีที่แล้ว +2

    Maneno mazuri sana nimejifunza❤

  • @emmygeorge9415
    @emmygeorge9415 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana lulu mungu akutunze

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 ปีที่แล้ว +3

    Lulu mungu akubariki ila umkumbuke mama kanumba panapo wezekana

    • @catherinekiwipa9271
      @catherinekiwipa9271 ปีที่แล้ว

      Amkumbuke kwa kipi mbona ameshafanya hayo maisha unayoyawaza we Ni maisha ya mvunja kikombe yaan kilichotokea Ni Mungu aliruhusu sio Lulu aliruhusu

  • @babrokijazi_unique4133
    @babrokijazi_unique4133 11 หลายเดือนก่อน

    Lulu huongei km unaongea tu, unaongea unajielewa unachokiongea, we ni bright. Nimependa

  • @user-pw2bl4qd8w
    @user-pw2bl4qd8w 3 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana lulu wangu ❤❤❤❤

  • @user-np1kb5cw2o
    @user-np1kb5cw2o ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah binto anaheshima hadi raha

  • @happykomba2443
    @happykomba2443 ปีที่แล้ว +3

    Akili kubwa, nakupenda Sana Lulu jamani, Mungu akutunze.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah, hongera sana kipenzi

  • @magrethnjema9402
    @magrethnjema9402 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akusaidie uutue huo msalaba usikulemee tena na wala usiubebe tena mabegani mwako.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 ปีที่แล้ว +1

      Mno, Mungu amsaidie nadhani baada ya kuwa na mama ake Kanumba na kumuona hana kinyongo nae tena itafanya aone unafuu fulani.

  • @bahatidominic8923
    @bahatidominic8923 ปีที่แล้ว +8

    Imelda wewe ni mtangazaji mzuri

  • @AminaYassin-kf9gg
    @AminaYassin-kf9gg ปีที่แล้ว

    Asante lulu kiukweli nisiwe mchoyo nakupenda

  • @stellah3844
    @stellah3844 ปีที่แล้ว +2

    Lulu ❤❤❤❤