JENIPHER KANUMBA AFUMANIWA, AIBU KWA WAIGIZAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • #Soudybrown #mwijaku
    Soudy Brown TH-cam ni Nyumbani kwa Rais wa Wambea Na Popular Radio and Tv Personality “Soudy Brown” Kazi yangu ni moja tu kukupa kukuletea kila kinachoendelea kwa undani
    Kama kuna Tukio umelishuhudia Mtaani au Mtandaoni na ungependa mimi na Team yangu Tulichimbe kwa Undani usisite kucheki nasi kupitia Namba ya simu +255 714 108 600 Email: makorokochostudio1@gmail.com
    Je Unataka Kuona Zaidi Vipindi Vyetu? SUBSCRIBE @soudybrown
    Please LIKE + SHARE with all your friends + loved ones
    Soudy Brown
    Whatsapp: +255 714 108 600
    Instagram: / soudybrown
    Facebook: / soudybrowntanzania
    Twitter: / soudybrown
    Tiktok: www.tiktok.com...

ความคิดเห็น • 1.3K

  • @nackplankton1669
    @nackplankton1669 2 ปีที่แล้ว +22

    Yaan huyu mwijaku aisee anabuni vitu vya ajabu sana,ukiangalia tu yaan hikikitu hakiwezekani....Pole sana Mwijaku

  • @swaeleesalim1272
    @swaeleesalim1272 2 ปีที่แล้ว +46

    Nice drama, Jennifer mtoto mkali 🔥🔥🔥👊

  • @ngumalimau5427
    @ngumalimau5427 2 ปีที่แล้ว +7

    mwijaku huo ujinga kuvamia watu style hii kenya warandwa vizuri sana

  • @likinatodonojorban3807
    @likinatodonojorban3807 2 ปีที่แล้ว +2

    Aisee Leo mwijaku umenifrahisha,wamezoea kutupa habari za uongo ila Leo umenifrahisha sana hongera kwa fumanizi,ila tafuta baunsa hii kazi yako kupigwa nikufikia

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 2 ปีที่แล้ว +31

    Mwijaku we Kasiri hakiii!!! Leo nimekupa salut 🙋‍♀️🙋‍♀️🙋‍♀️🙋‍♀️🙋‍♀️

  • @chrismbut4990
    @chrismbut4990 2 ปีที่แล้ว +5

    Mmetisha wazee wa mbanga na masauti intetaiment mwijaku hii kazi inakufaa sana.

  • @flavianamakawia8095
    @flavianamakawia8095 2 ปีที่แล้ว +51

    Acha ufala umbea sio ivyo unamzalilisha Jennifer bure. Mwone bichwa lako

  • @pendorichard5287
    @pendorichard5287 2 ปีที่แล้ว +14

    Mwijaku kazi yko yataka ngumu kumeza yaan daaah ila hongera unapambana,ila aibu kwa jeni na masauti

    • @benmakoi5227
      @benmakoi5227 2 ปีที่แล้ว +1

      Aamin aiseee......Still Jamaa anapambana Sana Juu ya kuwapambania Madada Zetu Wasipotee Etiii.....Ilhali Baadhi ya watu wamekuwa wakimsema yakuwa Jamaa Sio kitu (Mwijaku) Anapambania Sana na kusimamia katika Ukweli

  • @alaindumutj6726
    @alaindumutj6726 2 ปีที่แล้ว +12

    Dah..nakukubali ndugu yangu..wewe ni big journalist..big up..wewe bigwa..nimekupenda sana kwa upelelezi

    • @veroslaa1041
      @veroslaa1041 2 ปีที่แล้ว

      Duuuuuuu jenifa aibu iyo

  • @mswadickbushumbiro6923
    @mswadickbushumbiro6923 2 ปีที่แล้ว +33

    Duh,Masauti ana kifua cha kuvumilia,ningekuwa Mimi ninainshu zangu,wangekuja kututoa police maana Mwijagu angekula vichwa vya kutosha Fara Sana huyo

    • @sangararawarioba3016
      @sangararawarioba3016 2 ปีที่แล้ว +4

      Kiukweli hata mm ningemuumiza huyu fala

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 2 ปีที่แล้ว +6

      Si wamepanga, bila kupangwa hiyo inshu unafikiri nani angekubali huo ujinga..!

    • @adamfundikira1620
      @adamfundikira1620 2 ปีที่แล้ว +3

      @@ismailmasoud6001 yeah wamepanga hiyo

    • @mwandolomamercy110
      @mwandolomamercy110 2 ปีที่แล้ว +1

      Kajitaidi sanaaaa

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 2 ปีที่แล้ว +2

      We sunaona kama ni mipango wamepanga ama hujaona??

  • @sintyasswayne9695
    @sintyasswayne9695 2 ปีที่แล้ว +31

    Wallah hizo ni kik interview wa kupanga mwijaku hapn umezid🤣

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 2 ปีที่แล้ว +5

    Mwijaku nilikuw nakuponda ishu za utimu Sasa apo nimekuvulia kofia👏

  • @yasintamichel7249
    @yasintamichel7249 2 ปีที่แล้ว +76

    Kuna watu watamtukana mwijaku lakini alichofanya mwijaku ni bonge la akili Mana kwa mwenye akili ataelewa ila kama mtu hana akili ata mchukia mwijaku

    • @gloriamupa323
      @gloriamupa323 2 ปีที่แล้ว +2

      Kweli kabisa

    • @veronicamassala562
      @veronicamassala562 2 ปีที่แล้ว +3

      Me pia namuelewa

    • @benmakoi5227
      @benmakoi5227 2 ปีที่แล้ว +1

      Nikwel Aisee.....Keep it up That Nice Job

    • @vicentvenent447
      @vicentvenent447 2 ปีที่แล้ว

      Umewaza sanaaaaa....like you

    • @mukaipeter2186
      @mukaipeter2186 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa kaz nzuri lakini mbona wadaganya huyo sio Jennifer ni actor wa kanumba

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 2 ปีที่แล้ว +21

    Mu mshukuru mwijaku nilikua siwajui kabisa true nimesikia leo kua kunawatu wanaitwa masaut

  • @aishankoma9066
    @aishankoma9066 2 ปีที่แล้ว +4

    Kama kunamtu kagundua kitu kama mimi tujuane ii imetengenezwa iv kwer ata wenye hoter wamuache mwijaku awazaririshe wateja et ao mabamsa wangemuacha sarama

  • @matukiomedia191
    @matukiomedia191 2 ปีที่แล้ว +4

    Nimependa action hii kamaa haikupangwa .....mmeikolaiz situation vixur maana hamkupaniki na mkarilax na mkainjoi .....aisee gud

  • @issakasim7222
    @issakasim7222 2 ปีที่แล้ว +10

    Mwijakuuuuuuuuu nakbali sanaaaaa

  • @majaliwamoris7817
    @majaliwamoris7817 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwinjaku ongera make hata magufuli alifanya kazi kwa sem yake japo wegi walisema afahii ila kuna usemi tuna kumbuka mpaka leoo kuwa mtanikumbuka kwa mema soo kwa mabay kaza panapo kazwa mwinjaku 🔥🔥💪💪

    • @theplatons254.
      @theplatons254. 2 ปีที่แล้ว

      share th-cam.com/video/7gdlie51dC0/w-d-xo.html

  • @veronyanganda2166
    @veronyanganda2166 2 ปีที่แล้ว +4

    Ila maisha yabongo yanatisha bora tubaki mikoani.

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 ปีที่แล้ว +1

    Leo nimekupenda bule mwijaku .kumbe nimtata ivi

  • @rhodawamwayi3975
    @rhodawamwayi3975 2 ปีที่แล้ว +6

    😂😂😂🤣🤣huyu mtangazaji jamani...amechagua Vayolens😂😂

  • @enoshmhemakapaya
    @enoshmhemakapaya 2 ปีที่แล้ว +9

    Kama mnafikir mwijaku nimmbeya shauli yenu,,,,,hizi issue wanapangaga hawa

  • @evanssikuku1958
    @evanssikuku1958 2 ปีที่แล้ว +5

    Nakubali kazi yako kaka

  • @saidmohammed9551
    @saidmohammed9551 2 ปีที่แล้ว +114

    Kunakazi zingine ni hatari sana kama hii ya mwijaku ipo siku atapgika vibaya

    • @juniorsmart2483
      @juniorsmart2483 2 ปีที่แล้ว +8

      Mnaongopewa hiyo issue imepangwa,wanataka KK hakunaga kitu kama hiyo🏃🏃

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 2 ปีที่แล้ว +3

      @@juniorsmart2483 kweliHatamiminimeonasiyokweli

    • @robertabely5794
      @robertabely5794 2 ปีที่แล้ว +2

      Sheria ndo inamlinda

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 2 ปีที่แล้ว +2

      Scripted hiyo kupata mashabiki kwenye jamii 😂.

    • @asss4928
      @asss4928 2 ปีที่แล้ว +1

      Uyu hakuje Kenya hatajuwa hajui🤣🤣

  • @mimie254official8
    @mimie254official8 2 ปีที่แล้ว +12

    Sasa yawausu nn maisha ya mtu jameni mtakondeshwa kwa kweli

  • @ZaharaMohamed-zl2ud
    @ZaharaMohamed-zl2ud 3 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂 mwijakuuuu 😂😂 we atr baba 🙌🏽💔

  • @matthewjohn5108
    @matthewjohn5108 2 ปีที่แล้ว +6

    Mwijaku msenge sana yaani hahahahah dah! 😂😂🤣

  • @fatmahassan7467
    @fatmahassan7467 2 ปีที่แล้ว +11

    Fanya kazi kakaangu ila usiharibu sifa zawenzako

  • @bahatimtatah5680
    @bahatimtatah5680 2 ปีที่แล้ว +9

    Nimeipenda hiyo

  • @vipvip3322
    @vipvip3322 2 ปีที่แล้ว +1

    Na si mnapenda kufwatilia maisha ya wengine

  • @salmiraming9026
    @salmiraming9026 2 ปีที่แล้ว +9

    Masantura kapatikana Leo😊😊😀😀😀kumbe siyo dalali wa zunde tu

  • @idanykahinya4091
    @idanykahinya4091 2 ปีที่แล้ว

    Mwijaku Muha mwezangu Nakupa pole kwa kazi ngumu yani mda wowote unaweza chezea kipigo Duuuh

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 2 ปีที่แล้ว +10

    Inakuaje mnamchukia mwijaku😂😂😂😂anafurahisha jmn

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 ปีที่แล้ว +15

    Ukweli Video Hi Nimeipenda Sana Awa Wanaojiita Wasanii Wenye Miziki Ya Kuiga Sauzi Kupoteza Miziki Yetu Ya Tanzania Kudadeki Zao Awana Mana Malaya Mmbwa Hao Wanaalibu Vizazi Vya Nchi Yetu Kwanza Wanausika Kupoteza Nyimbo Za Kitanzania Wanapiga Manyanga Kama Waganga Majitu Mazima Ovo Kabisa Kenyatta Anasema Kweli Watu Wa Ivo Awana Mana Uyo Mwenye Madevu Kubwa Zima Ovo

  • @salmambarak6584
    @salmambarak6584 2 ปีที่แล้ว +14

    Thanks for the true🤝

    • @theplatons254.
      @theplatons254. 2 ปีที่แล้ว

      share th-cam.com/video/7gdlie51dC0/w-d-xo.html

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii kazi ya umbea sio kazi. Mwijaku maisha yako yapo hatarini. Utakuja kupigwa. Na huyo Jennifer sio mtt. Wewe muongo saana wewe. Eti ushavunja ungo?? Mwanaume mzima anauliza mwaswali ya kifala.

  • @jancybimetv2856
    @jancybimetv2856 2 ปีที่แล้ว +11

    Sema dada mukari she so pretty 😍

    • @belak999
      @belak999 2 ปีที่แล้ว

      Ana uzur gan we nae, macho yako kayatoe lenzi

    • @belak999
      @belak999 2 ปีที่แล้ว

      Ana uzur gan we nae, macho yako kayatoe lenzi

    • @kabogeof9597
      @kabogeof9597 2 ปีที่แล้ว

      Sjui rangi tu et ndo uzuri kweli????? Najarib kuzooom lakin sion

  • @michaeldady1767
    @michaeldady1767 2 ปีที่แล้ว +7

    Huyu jamaa fala sanaa

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 2 ปีที่แล้ว +22

    Imetengenezwa

  • @nakhiratnaheer2281
    @nakhiratnaheer2281 2 ปีที่แล้ว +1

    Masantula nakupenda ivyo ulivyo mtizama umenimaliza

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 ปีที่แล้ว +41

    Umbeya wa kugombanisha mke na mume sio mzuri ww ni mwanamme sio powa.

    • @belthonkakuru2666
      @belthonkakuru2666 2 ปีที่แล้ว +2

      Kwahyo na wewe unamcheat mwenzako

    • @andrewmaasinde8934
      @andrewmaasinde8934 2 ปีที่แล้ว +3

      @belthon ishi na kuwa na ufikilio wa kisomi hapo walipo hawa cheat....

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 2 ปีที่แล้ว +2

      @@belthonkakuru2666 Unafahamu vitu kama hivi vinaweza sababisha maafa ndani ya nyumba za watu.

    • @adamfundikira1620
      @adamfundikira1620 2 ปีที่แล้ว +1

      @@belthonkakuru2666 itakua hivyo

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 2 ปีที่แล้ว +1

      Sio kweli ni maigizo hayo, kipindi Kipo scripted hicho kutengeneza fanbase kwenye jamii 😂.

  • @rajbearyjuma8536
    @rajbearyjuma8536 ปีที่แล้ว +1

    Oyaaa mwijaku hatari Sana ❤️

  • @edepatrick2883
    @edepatrick2883 2 ปีที่แล้ว +7

    😅😅😅 Mwijaku salute kwako

  • @juliusmolel6082
    @juliusmolel6082 2 ปีที่แล้ว +1

    Ila Jenifer mzuri anajua kudeka wow

  • @marthajohnjohn5752
    @marthajohnjohn5752 2 ปีที่แล้ว +6

    Ila Kama sio kk mwijak nae amempenda Jennifer maana anavyomshika kiuno halaf anasema mtoto mdg Sasa mtoto mdg ndo anashikwa kiuno hvo mpuuz tu Ila Jenifer ndo kazalilika sana

  • @assumanichristian9954
    @assumanichristian9954 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmm mashallah

  • @rugenzirugenzi3562
    @rugenzirugenzi3562 2 ปีที่แล้ว +12

    hawa jamaa wanapanga mchongo mzima ndo maana hata masauti alipo muona mwijaku akamuita kwahiyo hapo hakuna uwasilia wowote

  • @carolinemunishi1286
    @carolinemunishi1286 2 ปีที่แล้ว +2

    Duuh kazi kweli jaman

  • @sheilahachieng649
    @sheilahachieng649 2 ปีที่แล้ว +5

    Hi ndio poa wanawake wajuwe waume zao tabia zao loyalty test tz

  • @azzaalnaamani76
    @azzaalnaamani76 2 ปีที่แล้ว +2

    Masauti mpole..cheko yake nzuri ya upole🇴🇲😘

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 ปีที่แล้ว +15

    Mwijaku anajihami na Serkali anaogopa kupigwa.

  • @freddyvunjabeifelice7805
    @freddyvunjabeifelice7805 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa umbeaaaa up vzr

  • @msodokibluck1270
    @msodokibluck1270 2 ปีที่แล้ว +6

    Nakukubali sana mwijaku

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 2 ปีที่แล้ว +1

    Umbea sku hizi na wanaume na midevu yote washajipachika uanawake kupga umbea mtaani,,,,,,htr sana na kila la kheri

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 ปีที่แล้ว +20

    Ila ww utakuja kukomeshwa siku 1. Ya nini kufatilia maisha ya watu. Ww mkeo unajua alipo mda unapokua kwenye umbea???

    • @user-yz5zn4tr6i
      @user-yz5zn4tr6i 6 หลายเดือนก่อน

      Hapo sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @chugaboy4891
    @chugaboy4891 2 ปีที่แล้ว +2

    Hahaha huyo Masai nahisi mpaka sasa hana kibarua hahaa

  • @aminaamina-xj6qs
    @aminaamina-xj6qs 2 ปีที่แล้ว +7

    Masantula nakuon 😂😂😂😂😂💞

  • @mollel1938
    @mollel1938 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwijaku na Masai leo mmepatikana Duuh nomaa

  • @kelvinchuhila3780
    @kelvinchuhila3780 2 ปีที่แล้ว +6

    Hii Kiki imepangwa kabisa mpaka Masai kapangwa

  • @jasumineander3975
    @jasumineander3975 2 ปีที่แล้ว

    Ungekuwa ivo ata kwa wtu wengine so kwa wasaniii to Fanya ivyo ata kwa watu wasokuwa na pesa so kwa wenyr pesa maana ata wtot wengine wanapitia changa MTO iyo tena wadog at jen uyo mkubwa Fanya ivy kisha utakuwa best swadi watanzania sawa

  • @fridausbakari5163
    @fridausbakari5163 2 ปีที่แล้ว +16

    Masantula 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shamilauledi4465
    @shamilauledi4465 2 ปีที่แล้ว +1

    Aseeee bongo siami

  • @lulually5209
    @lulually5209 2 ปีที่แล้ว +5

    Hawa wote waongo hii imepangws weee ungekuwa sirias mwijaku angepigwa mwijaku ameshakula hela masauti anataka kutrend jina lake lilizimika hiyo ni kiki

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 3 หลายเดือนก่อน

    Me naimba natumia jina diga boy tz please please naombo surpot TH-cam nyimbo zangu Kama Raha ❤na penz linawaka

  • @benhoredimileba1114
    @benhoredimileba1114 2 ปีที่แล้ว +16

    Kik hizo, interview imehandaliwa hiyo mwijaku usituhongopee bro.
    Ila imenoga sana

  • @winnietsonie72
    @winnietsonie72 2 ปีที่แล้ว +1

    Wajeheuri sana team masauti

  • @mchumukwema8597
    @mchumukwema8597 2 ปีที่แล้ว +6

    Innalillahi wainna ileyhi raajiun
    Mwanamume daa haipendezi

  • @verotracey344
    @verotracey344 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwijaku 😂😂😂 Mimi ulivyosema Jenipher anakilanga mie hoi huku 😂😂😂🤣

  • @apichitseso8435
    @apichitseso8435 2 ปีที่แล้ว +13

    Huyu ndio yule bikira😂😂😂😂

  • @user-dd7ls4qg8s
    @user-dd7ls4qg8s 4 หลายเดือนก่อน

    Chawa kama chawa umetisha

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 2 ปีที่แล้ว +10

    hii kazi mwijaku aikufai ipo siku utachakaa the way unavyo uliza maswali unamfanya mtu apanic

  • @rsautoservice984
    @rsautoservice984 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwijaku kama ndio KAZI hizi daaah KAZI ngumu Sana..daaaah..kama sio plan really jaman mwijaku KAZI ngumu..

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 2 ปีที่แล้ว +6

    Yani mwijako haogopi hata daah hatishiki kidume your so Smart

    • @nara3837
      @nara3837 2 ปีที่แล้ว

      Smart 🤓 wa nyoko😏

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa mbeya sana

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 2 ปีที่แล้ว +13

    Huyu jeniffer pia yupo huyu kinajifnya kipole usiku wote huo waranda usiku.

    • @user-qh5tr9qc9x
      @user-qh5tr9qc9x 3 หลายเดือนก่อน

      TENA HAO WAPOLE MMMMMH....SHIDAAAAAAA😂😂😂

  • @DalzahMutisya
    @DalzahMutisya 3 หลายเดือนก่อน

    kumbe leo nimeona msantula akiwa serious😅😅endelea kaka love you from kenya

  • @kephatz2814
    @kephatz2814 2 ปีที่แล้ว +7

    Masantula 😂😂😂🔥🔥🔥🔥

  • @dotoreaseboy361
    @dotoreaseboy361 2 ปีที่แล้ว

    Na kubali broo mwijaku

  • @abdallahmzee4335
    @abdallahmzee4335 2 ปีที่แล้ว +8

    Kwa akili tu ya niliyozaliwa nayo hawa jamaaa wameitana pale kuitangaza tu hiyooo nyimbo yaooo we baunza anamzuia mwijaku wanasema muchie aje

  • @muktazimbuyu6569
    @muktazimbuyu6569 2 ปีที่แล้ว

    Mwijaku we fundi Sana wa interview

  • @mohamedomary6853
    @mohamedomary6853 2 ปีที่แล้ว +41

    Mwijaku ana kazi ngumu sana pole sana ila kupigwa na kuumizwa ni jambo la kawaida kwako

    • @mayroseclemence99
      @mayroseclemence99 2 ปีที่แล้ว +2

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 2 ปีที่แล้ว +1

      masai naye fara tu

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 2 ปีที่แล้ว

      @@hamiduhamisi2371 😂mwijaku atamfuzisha kaz

    • @lwessopacifical9580
      @lwessopacifical9580 2 ปีที่แล้ว

      Angel Nyigu🤭🤭🤭🤭🤭🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤫🤫🤔💀💀💀💀💀😣💀💀💀💀💀💀👌👌👏👏👏💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🙆🙆🙆‍♂🙆‍♀💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁🤦🤦🤦‍♂🤦‍♂🤦‍♀🤷🤷‍♂🚀🚀🔒❌❌❌🔴🔴❌❌❌❌💥💥💥💥

    • @lwessopacifical9580
      @lwessopacifical9580 2 ปีที่แล้ว +1

      Angel Nyigu🤭🤭🤭🤭🤭🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤫🤫🤔💀💀💀💀💀😣💀💀💀💀💀💀👌👌👏👏👏💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🙆🙆🙆‍♂🙆‍♀💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁🤦🤦🤦‍♂🤦‍♂🤦‍♀🤷🤷‍♂🚀🚀🔒❌❌❌🔴🔴❌❌❌❌💥💥💥💥

  • @vitusgodfrey4893
    @vitusgodfrey4893 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwijaku we noumaaaa kweli

  • @josephmakonga3201
    @josephmakonga3201 2 ปีที่แล้ว +5

    Hakuna cha fumanizi hapo ni kiki ya kumleta mjini masauti me nilikua simjui huyo masauti

  • @officiellelebon3162
    @officiellelebon3162 2 ปีที่แล้ว +1

    Fresh

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 2 ปีที่แล้ว +17

    Imepangwa hiii jamani inaonekana

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali5077 4 หลายเดือนก่อน

    Show sawa, muvi sawa, lakini mambo imagine hapana

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 2 ปีที่แล้ว +4

    Umbea huu ni kazi kweli

  • @hermansasuri9743
    @hermansasuri9743 2 ปีที่แล้ว +1

    Ila Mwijaku ni kichwa saana daaah hiyo kazi mimi hata bure sifanyi

  • @melvinniceanyango2919
    @melvinniceanyango2919 2 ปีที่แล้ว +3

    Ogera kwa kazi yako zuri mungu akuzidizie@

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 11 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku mjinga sana anspenda sifa sana kuzua mambo ya maajabu

  • @salimashur4518
    @salimashur4518 2 ปีที่แล้ว +7

    BONGO MUNATUKOSHA....hapa sasa kuna kitu kinapikwa hapa wanaigiza tu...MWIJAKU heshimu BUNDLE za wenyewe.

  • @BenjaminTriomphe
    @BenjaminTriomphe 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu wangu

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 2 ปีที่แล้ว +5

    Imetengenezwa hiyo inaonekana kabisaaa!

  • @hapinessiddan8245
    @hapinessiddan8245 2 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha appreciate saana mwijaku

  • @elizabethdamas1522
    @elizabethdamas1522 2 ปีที่แล้ว +12

    Tanzania badala ya kupromote kazi zetu tunakaa kufanya mambo haya kweli 😭🙌🏾

    • @jacksonmugasha7033
      @jacksonmugasha7033 2 ปีที่แล้ว

      Qqqqqqq

    • @lwessopacifical9580
      @lwessopacifical9580 2 ปีที่แล้ว

      Angel Nyigu🤭🤭🤭🤭🤭🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤫🤫🤔💀💀💀💀💀😣💀💀💀💀💀💀👌👌👏👏👏💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🙆🙆🙆‍♂🙆‍♀💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁🤦🤦🤦‍♂🤦‍♂🤦‍♀🤷🤷‍♂🚀🚀🔒❌❌❌🔴🔴❌❌❌❌💥

  • @HalimaAlly-my8lx
    @HalimaAlly-my8lx 3 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku nikiboko wew

  • @mussahamisi1191
    @mussahamisi1191 2 ปีที่แล้ว +11

    😃😃😁😁😁😁😁😁 mi nimekuja kula, hii nchi ina serikali ukinipigaaaaa

  • @justinashayo3743
    @justinashayo3743 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamaniii. Hawa ni wasanii wanaingiza pesaaaa

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 2 ปีที่แล้ว +6

    Nimekuja kula Wewe kalinde magari

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 2 ปีที่แล้ว +31

    Chini ya umri wa miaka 18 watoto wote watoke humo ndani, hakuna biashara hapo, kwa utajiri wenu, kama ni biashara ni ya kuwaumiza watoto wetu, basi mtalaaniwe na nyie matajiri.