Salama Na Shikana Ep 17 | DYNAMITE Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 พ.ค. 2020
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
Mi na rafiki yangu huyu tumepishana zaidi ya miaka kumi na nne, wakati anazaliwa mimi nilikua nagombana na makondakta kupata nafasi kwenye chai maharagwe ya kutoka Buguruni kuelekea Posta. Ila kupishana kwetu kwa umri naamini ndo kunaufanya ushoga wetu uwe special zaidi, maana yeye akiwa ananikhadithia kinachokiki kwenye umri wake, nami nakua namuelezea challenges za unapozidi kukua na naamini hii inatufanya tuwe bora zaidi. Na ki ukweli mara nyingi yeye amekua shujaa wangu, maana kuna mengine mazito kwake yanakua mepesi tu na hunisaidia kuona mambo kwa picha tofauti. Kwa hilo namshukuru sana. Wakati mwengine wanasema umri sio kipimo cha busara, rafiki yangu huyu kupitia mengi, kwahiyo moyo wake wa ‘chuma’ unatusaidia wengi kwenye kuweza kupambana na dhurba mbali mbali.
Hapa sina haja hata ya kukuambia alipitia mitihani kiasi gani maana dunia nzima inajua, ila naweza tu kukuambia kwamba hakuna binti mwenye moyo wa utayari na ambae hana uwoga pale anapokua anasimamia lake kama Elizabeth Michael Kimemeta. Kwanza akiweka nia kwenye jambo lake lazima liwe... Atafunga, atakesha asali, ataweka akili na mawazo yake yote humo mpaka Mwenyezi Mungu amtimizie, nishashuhudia hilo sio mara moja wala mbili na naweza nikasema binafsi ameni inspire sana kwenye suala zima la funga na sala. Nani kamfundisha hayo? Kwa umri wake aliokua nao wakati matatizo mazito yalipomfika pengine usingedhani angekua binti wa dizaini hiyo. Miaka minne au mitano ambayo Alikutwa na yale matatizo ya kesi na mpaka akatumikia kifungo ni miaka ambayo ilimfaya akue sana. Ki imani na kiakili.
Kwenye kipindi hiki hakua bado tayari kuzungumzia usiku ule ulobadilisha maisha yake ila kaniahidi akiwa tayari basi atafiria kutushirikisha kwenye hayo maongezi ila inawezekana pia hiyo siku isifike, nna hisia hiyo ni kurasa ya kwenye kitabu ambayo amechagua kuiruka kwa sasa au pengine milele, na maamuzi hayo mimi na wenzangu tuliyaheshimu.
Sote tunakumbuka wakati anakua, kila kukicha yuko kwenye gazeti ila kwa sasa huyo si yule, amekua ki mwili, ki akili na hata ki sanaa pia. Mambo yake si ‘hadharani’ tena kama ilivyokua miaka ya nyuma. Sasa amekua influencer ambaye kampuni kubwa kadhaa zinamuamini yeye kuwatangazia biashara yao. Amekua Mama kwa mdogo wake Eric ambaye naye tumemuona akikua kwenye macho yetu. Mama kwa watoto wawili ambao amewakuta wakiwa wanaishi na mchumba wake nyumba moja.
Kwenye haya maongezi yetu tuligusia hilo la hao watoto, na watoto wengine, kazi, yeye kama binti ambae amekua akikutana na mawe mengi. Muonekano wake. Familia kwa upande wa Mama na Baba na mambo mengine kadhaa. Niko hapa kukutakia uangaliaji mwema wa kipindi hiki na yangu matumaini utavutiwa na jambo ambalo litakufanya ubadili maisha yako kwa uzuri zaidi. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown - บันเทิง
Ukikutana na salama nje na kazi raha sana she is coolest dude ever,she is amazing,sitasahau siku nilikutana nae,nilimpenda zaidi,haringi wala hadharau mtu.
Ukisikiliza watu wengi ambao wanahojiwa hapa wamepata malezi ya Mama tu bila Baba Shukran nyng ziende kwa wakina Mama wote Dunian
Ramadhani Abdi Amina
Aamiin yarabbaala'lamin
Mama ni conshaz sn mbali na changamoto za family zetu
8iooooo
Sasa tuseme wababa wanazuia vipaji?
Hongera sana Salama kwa Kiswahili fasaha;umekuwa kinara kwenye matumizi mazuri ya lugha ya Kiswahili;huchanganyi lugha kama wageni wako hawawezi kuongea sentesi tatu Bila kuweka maneno ya Kiingereza
Naam
I love salama she is so real.. She is so Mature.. She is just the realest person in this game of hers... Jus love it..
Kwenye hii interview Lulu yuko huru na amejiachia sana km ahojiwi vile..Nice interview job well done👍🙌
This Beautiful Girl is Bright👌🏾👌🏾👌🏾🙌🏾🙌🏾👏🏾
I admire her even more, the way she answers all of these tricky and interesting questions .... it’s excellent👌🏾👌🏾👌🏾
Salama Kipindi Chako kizuri Sana
So educative
So professional💪🏾👌🏾👏🏾
As a Ghanaian i always said my favorite ane BEST INTERVIEWERs were from South Africa.But no, Today i change my mind. My BEST FEMALE AFRICAN INTERVIEWER is SALAMA from Tanzania. Hands down The best. Pay attention to her interviewing skills. She is absolutely fantastic and gets the most out of you without you even realising it. She makes you feel so comfortable like you are chatting in your living room
Lulu uko young aga but intelligent and humble and beautiful a very talented young woman 👩 beautiful God bless 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Da salama una jua kuhoji hadi raha, wewe na mboni show na waelewa sana
Honestly this girl is got an excellence mind
Salama You are one hell of an interviewer, you make your guests feel at ease 👏🏽 and open to share whichever topic you choose to talk about without offending them
Km nisicomment lkn siwez..
Nampenda Lulu since day 1 namuona. Salama siku day one mm nakuona.
Note: sio laiv jmn kwa tv..
Nawapenda sana jmn and Mungu awatie nguvu
Unakili nyingi Sana Lulu
Unajitambua sana!!!
These two girls are brilliant in its real sense!
OMG I just loved Shikana for how she is so real with her food game, yaani she don't play kabisa eti "mmhh yani nimechangamka" after the basket mwambapori mama came through
Nb: kama unaona hauwezi kupata msaada kaa kimya🤚🏽..... watu wengi wanapenda kusikia wanachotaka kusikia kama unahisi ukitolea kiti ufafanuzi kwa watu /mtu ambae unajua kabisa hakuna msaada/badiliko lolote KAA KIMYA LET THEM TALK....! Ahsante lulu
Si lazima usaidiwe ila waweza ukasaidia wengine
Elizabeth nimependa Majibu Yako,Na Jinsi Ulivyo,Unavyo Ongea,Salama Hongereni sana.
Lulu uko vizuri kwenye kujibu maswari
Salama tuletee Aboubakari Sadick (kwa fujo Dj), tusikilize stories za bongo flavour oldies au Dj yoyote wa zama hizo.
wazo zuri sana
@Zawadi Issa nadhan bado yupo Radio One
@@Salimfulla Shukrani sana
Yupo Radio One bado
Mtoto mzuri akili nzuri..hta mm ningetangaza ndoa
Lulu amebadilika sana..no more dramas she's so mature
6:16 to 6:57 nimejifunza kitu hapo...Shikana You Rock😍😍😍😍😍
Lulu elizabeth michael nii msanii pekee ka karibishwa kwenye entarvue tatu ya salama ;wema sepetu na joni joo😊😊😊😊😊
Mtoto anaongea huyu hamezi mate 🙌ila nakupenda tu shikana Wang unajibu mwaswal classic 👏👏
Kweli umekuwa kwa kila nyanza maana majibu yako yananifanya nikuamini kuwa umekuwa. Very perfect your answers are.
Jamani nampenda salama, salama I love you 🌹
Nzuri sana interview ...hii lulu she's special girl any man can fall.. salama lulu love all..🤗
Mzuri
Elisabeth u're real intelligent, mature ...👌
Lulu mbona nakupenda sana jmn
Umuuliza swali nzuri kuhusu patrick wamuna asante akawa kimya sana
Yaan mm ndo nimemjua huyu dada uahalisia wake jmn maan nilikuwa namwona kama mkorofi kule kwenye BSS maan alikuwa anatimbwili huko balaa ,,,ila uhalisia wake ndo nimeuona huku kwenye kazi zake za utangazaji ,,kweli uko vzr nanafatilia sana vipindi vyako San
Lulu kapewa chakula cha bei Sanaa😋😋😋😋 alivyo changamkiyaa chakula ss hadiii rahaaa
Ayee my fav presenter of all time, cjawah juta kutazma show zko... God blec u Salma
Salama you're the best
Very intresting talk from u guys. Bravo Al Jabir
waiting
Siamini ht mm kuw watu wanataka kusikia kW lengo ,kukusaidia, very fact km nawe umesikia hk chakula cha ubongo gonga like hap
Ajionavyo MTU moyoni mwke ndvy alivyo
Wow! Nice Interview....
Lulu jamani your matured enough,
💛💚💙
Nakupenda sana Salama 🥰🥰🥰😘😘
I have learnt a lot through this interview
aliyopitia eliza...yamemfanya ajifunze mengi sana..in short maisha yame mfunza
Nakupenda Lulu mpaka basi.😍😍😍
Jipige nyungu kwnz boya wewe
Smart Lulu.
I jas love her😘
Mashllh very nice interview...salama your good keep going
Always perfect gal l kumoyo u believe me dat ur going to make a wide change to fill de gaps abazo u were in jail dear Sir God be wid u
Wow!! New Salama. Amazing
Love salama
Salama nakupenda sn
Jamn Lulu ulivyochangamkia hyo msosi😋😋😋
Salama jmn unaita wasanii tuu hapo...tuite na ssi wakawaida hyo msosi twatokwa mate jmn khaah
we are waiting
LULU YOU CAME TO PREACH
Yaan nakupendaga salama hukosei....
Alwayz 🥰🥰
Salama too much matangazo jamani 🙌🙌
Salama nakupenda huwa nakufananisha na Simon wa kwenye American got talents, upo so real nakupenda sana
Mdogo sana 25
Salama ikifika December nitakuwa nshakuletea subscriber milioni , keep it up
Ila Salama😃
Hii interview nzuri saana
Masha Allah Lulu ako sawa
salama mzuriii👌
Ukopow kabisa Mama salama interview yako ikopow sana 💖 👌👌
Salama mwenyew nakubali sana
I love her😍😘
Salama....we need
Cash Madame plzzz
I love you salama
J'adore le clip....fatasiqués les deux!!!😘💙✔
exactement 👌
salama you subtitled the Part 2 - please can you do same for part 1. I will truly appreciate it and it will reach a wider audience
Cheka ya lulu tu..🙌🏾😄lively
Habibyy skuiz husemi stone town kama ile ya zanzibar. Yaani zanzibar huitaji kwenye kipindi.
Nawakubali kinomanoma♥️♥️ wote yan salama na Lulu
Salama ur gud presenter I love u
I really like all of u...
She is Descent and Loyal
Nimesubiria sana hii interview
Happy Luena me pia kwakweli.
Safi sana
Kweli dini ya islam ni haki yani Elizabert umenyooka hadi kuongea kwako uko sawa
All inspiring🔥 blast blast💥
Wangarishe WA Pemba zaidi
Always beautiful girl likes food 😍 i love this woman
Love you Lulu
Anaakili sana binti
My number one fav woman she’s very beautiful fashooooooo she’s cute asew this woman
Nice interview
Kweli lulu umekua hongera
Daah lizy umenichekesha wallah daaah
Two smart women
Sio kwa kias kikubwa watz tunaendeshwa na mitandao.ni dunia nzima sasa.mbon wametuweza wazungu.lulu uko too charming 🤣🤣
Asante kumuleta lulu
Lulu ameongea kitu kikubwa sana aise kakua mpka kifkra ,
....
🔥🔥🔥🔥
This is the funniest one😄😄😄 half funny half amazing
This woman is so smart
❤️❤️❤️
Nice one😘😘😘
🔥🔥🔥🔥🔥👍
Napenda kazi yako salama
Hongera kwa ndoa