MEDICOUNTER - AZAM TV: Zijue dalili, tiba ya ugonjwa wa Tongue-tie (Udata) kwa mtoto

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • Pindi Mzazi anapojifungua, masaa kadhaa baadae anashauriwa kumchunguza mototo katika maeneo mbalimbali ya mwili, hii itamsaidia kugundua magonjwa au ulemavu ambao unaweza kutibika haraka.
    Ungana na mtaalam huyu atakayekujuza namna ya kugundua ugonjwa wa Udata kwa watoto(Kwa rugha nyingine unaitwa Tongue-tie).

ความคิดเห็น • 12

  • @IreneSamwel-s4v
    @IreneSamwel-s4v หลายเดือนก่อน

    Ahsante doct illa kliniki zingine za wa watoto hawakagui watoto

  • @yusuphmohammed9859
    @yusuphmohammed9859 5 ปีที่แล้ว +5

    Doct mie mwanangu anamiaka 3 ajui kuongea utamka kwa shida hadi huruma toa namba

  • @EzeniaBasenga
    @EzeniaBasenga 5 หลายเดือนก่อน +1

    Udata wa juuu unamadhara gani

  • @aminakimwaga
    @aminakimwaga ปีที่แล้ว

    Tutapataje msaada zaidii??

  • @EvalineWillium
    @EvalineWillium 4 หลายเดือนก่อน

    Namba za simu tafadhali

  • @abuubakarsoud4588
    @abuubakarsoud4588 ปีที่แล้ว

    Tunakupataje dokta

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 ปีที่แล้ว

    Tunaomba namba ili tupate msaada maana hapo kwa comments watu namba, hilo tatizo lipo kwa mwanangu miaka miwili haongei lkn kiliniki za watoto hawakuwahi ongea hii,

    • @IreneSamwel-s4v
      @IreneSamwel-s4v หลายเดือนก่อน

      Dada kliniki zingine hazikagui watoto kabisa

  • @annahaule7775
    @annahaule7775 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba mwanangu miaka 3 anaongea kwa shida

  • @happyjimmy8222
    @happyjimmy8222 4 ปีที่แล้ว

    Docta mtoto hajui kuongea nisaidie

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 11 หลายเดือนก่อน

    Kwetu tunaita utata.....