Sifa 8 za mke mwema katika Uislamu - Ukht Fatma Mdidi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ม.ค. 2023
  • Hii ni Part 01 ya sehemu ya tano na ya mwisho ya Darasa la ndoa

ความคิดเห็น • 64

  • @FatimaMbeyu-mn7yf
    @FatimaMbeyu-mn7yf 6 หลายเดือนก่อน +4

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, shukran sana ukhty Fatima kwa Kutujuza mafunzo mema ya Allah Subhanna Tabaraka wa Taala .Na kzr kipewe sifa yke MashaAllah Tabarakallah yan mawaidha yko yaezamfanya mtu akabadilisha matendo yke kutoka kwenye maovu hadi kuja kwenye mema kulingana na imani yke na kumcha Allah Azza wajallah na Allah akulinde na Shari za Dunia na akuzidishie umri mrefu AAMEEN. JUMMAH MUBARAQ KWAKO

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 ปีที่แล้ว +9

    Namkubali sana huyu Ukhty Kwa ajili ya ALLAH
    Mwenyezi MUNGU Numuomba ALLAH Amtunze Duniani na kesho Akhera AMIIN

    • @eddymaphy
      @eddymaphy 4 หลายเดือนก่อน

      Aamin yarabbil'alamin

  • @khadijahhamisi1882
    @khadijahhamisi1882 ปีที่แล้ว +2

    Inshaallah mungu atatuajalia tuwe miongoni mwa watu wema mashaallah dadaa fathima mungu akuzidishie Inshaallah mungu akipenda na sisi tukingiia kwa ndoa tuweze kujitahidi kwa uwezo wa mungu

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allha nakuelewa vizur
    Ostazati wetu

  • @safiasaif9741
    @safiasaif9741 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah ukhty nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 9 หลายเดือนก่อน +1

    Takbir!MashaAllah tabarakalah!Mafundisho mema kabisa,JazzakAllah khayran fii duniya wal Akhera InshaAllah dada.

  • @khadijahhamisi1882
    @khadijahhamisi1882 ปีที่แล้ว +1

    Ukthi fathima mashaallah nimependa sana hicho kisa cha fatuma na mke wa bilali unayoongea ni kweli dadaa watu wengi wanaishi maisha yakuigiza mungu akulinde popote ulipodadaa waongea na mdada kutoka kenya kwale County

  • @user-xh9su4qc6d
    @user-xh9su4qc6d 5 หลายเดือนก่อน

    Maasha Allah tabarakillah ❤❤❤ Allah azidi Kuku hifadhi dada yetu mpendwa .Barakallahu fiiki

  • @AishaB-gm7to
    @AishaB-gm7to 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaa Allah shukran jazakallah

  • @mwanzegelekalu7092
    @mwanzegelekalu7092 7 หลายเดือนก่อน

    Wallah Allah inshaAllah azijaze nyoyo zetu hima ya kuyatekeleza yoote yq faidha tunayopewa na dadaetu, ukhti wetu fatma. inshaAllah Mola amlipe mema kwa juhudi kubwa aifanyayo...

  • @rodgersomar6597
    @rodgersomar6597 ปีที่แล้ว +1

    Mashaa Allah ukhty Allah akuzidishie ilimu

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah ukhty maneno mzr sana Jazakallah kheri Frm Kenya

  • @eddymaphy
    @eddymaphy 4 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah ❤

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 ปีที่แล้ว +2

    Allah awatie nguvu muwaanze kuwafundisha watt wa kike wanaokuwa ili Baadae waje kuwa wake wema kwa Waume zao,

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 ปีที่แล้ว +2

    😅😅😅😅😅😅😅Kweli kabisa hongera sana 💕💕💕💕💕💕💋

  • @aishabashirbashir-vv9lk
    @aishabashirbashir-vv9lk ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @ommyjh8225
    @ommyjh8225 ปีที่แล้ว

    Tsfadhali Uhkty naomba unitafutie mchumba🙏

  • @saidiabdi6993
    @saidiabdi6993 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah waoe elimu

  • @mhamadaldo7338
    @mhamadaldo7338 5 หลายเดือนก่อน

    Allah atuogoze tuwe wake wema kwa waume zetu

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 ปีที่แล้ว +2

    Assalamu alykumu warhatualla wabarakaatuh

  • @zaidahadhieno1171
    @zaidahadhieno1171 ปีที่แล้ว

    Ma sha Allah hayo mawaidha jazakallah kheir

  • @a.856
    @a.856 ปีที่แล้ว +2

    Jazakallah khayran

  • @maimunahhassan5132
    @maimunahhassan5132 ปีที่แล้ว +2

    Tunashukuru kwa darsa zuri ukht

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 6 หลายเดือนก่อน

    Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh maisha Allah mawadhah mazuri sana

  • @salmachabani3895
    @salmachabani3895 ปีที่แล้ว +2

    Asant san mama💖💖💖💖💖

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @jumaamwamajeni1907
    @jumaamwamajeni1907 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Shukran kwa mafunzo mema mazuri mola akuhifadhi na akuzidishe Elmu.

  • @user-xh9su4qc6d
    @user-xh9su4qc6d 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi nina shida ya namba Yako ya sim dada yangu mpendwa ❤ kwa ajili ya Allaah .Naomba

  • @ommyjh8225
    @ommyjh8225 ปีที่แล้ว

    As salaam Alaykum warahmatulullahi wabarakaltu Uhkty Fatma

  • @user-ss8hr9bz5g
    @user-ss8hr9bz5g 5 หลายเดือนก่อน

    Mm nauliza je ipo hukmu ya mke kukataa kuenda ukweni

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nakupenda sababu ume towa fundisho vizuli bila ku cheka cheka nafurahi sana lakini tena umenifunza mengi asanteni nakupenda bure umeongea vizuli

    • @rashidngumbao3346
      @rashidngumbao3346 ปีที่แล้ว

      Asaalam aleikum nashukuru Sana kwa dharsa yako Allah kuongoza kwa njia ilio nyoka na akuzidishie elimu

  • @MaryamSaid-lj2sz
    @MaryamSaid-lj2sz 10 หลายเดือนก่อน

    BaarakaAllah

  • @mshenzigamer2645
    @mshenzigamer2645 ปีที่แล้ว

    Jazaka Allah kheir.

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu ปีที่แล้ว +1

    Huyo ni sheikhat aliye ujua Uislamu, anawarekebisha wanawake na wanaume, Ili wote wajitazame katika kioo cha Uislam.

  • @user-oq6hb9hh2b
    @user-oq6hb9hh2b 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi nilimpa taarifa mme wangu mama yngu amevunjika mguu amelazwa kesemc alikaa kimya. Nkamwomba ruhusa nikamwone. Mama. Yngu amelazwa. Alinijibu huyo siyo mama yngu akanijibu huyo ni mama yko mama yngu ameshafariki kesho yke pamekucha. Nikamkumbusha. Aliyonijibu Jana usiku. Akarudia vilevile alichosema sikuenda kumuona. Mama yngu mpaka alipo toka hospital. Nilipewa taarifa maendeleo y mama Basi nikamwachia mungu

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 ปีที่แล้ว +1

    Siku hizi wanandoa wengi wanaishi kwa maudhui ya tamthilia za kijahili na mitandao potofu ya kijamii.

  • @nsabimanasuleyman2008
    @nsabimanasuleyman2008 ปีที่แล้ว +1

    Hadjati tunashukuru mnoo ila kwa hawa wa leo

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 ปีที่แล้ว

    Ukhty wanawake kama hao kwa karne hii hawapo, Na hawatakuwepo. Mupo wachache sana munaotambua hayo.

    • @sadasaid7212
      @sadasaid7212 ปีที่แล้ว

      Usiseme hivyo akhy, wanawake wema wapo, ifanyike tu juhudi kwa kila mzazi kutengeneza familia Bora itakayowatoa waume na wake wema! Kwa msaada wa Allah pekeyetu sisi hatuwezi

    • @mkanaonlinetv2994
      @mkanaonlinetv2994 ปีที่แล้ว

      Allah Karim unajitahidi mno

  • @aliamour4970
    @aliamour4970 7 หลายเดือนก่อน

    Kwanini kama sauti ya mwmke ni awra mtume akawaruhusu masahaba kwenda kuchukua elimu kwa kijanakike chekundu akimaanisha mama aishaa?

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 ปีที่แล้ว +1

    Wanaume Wengi kwa sasa tunalia Sana Kupata wake wema wanaoweza kufanya hayo lakn ni mtihani kupatikana, Kikubwa wanawake Wengi hawataki kusoma Dini na Kupata Muongozo wa Dini yetu ya Kiislaam

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw ปีที่แล้ว

      Njooo unioe mie.

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu ปีที่แล้ว

      Ni sheikh wangu wanawake wanaofuata mafundisho ya Kiislamu kwa sasa ni wachache sana. Wanapenda kujitambulisha kama Waislamu lakini sio kuufuata Uislamu. Wanawake wa Kiislamu hawaolewa kwa ajili ya dini, wanaolewa kwa kile wanachoita kutoa mkosi.

  • @sumeyaahmed4187
    @sumeyaahmed4187 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya ukhty fatma mdidi

  • @farmah9685
    @farmah9685 ปีที่แล้ว

    Pole nani kakuruhusu sauti yako kusikika kwenye mitandao sauti pia ni awra

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 ปีที่แล้ว

      Umepata faida au umeangalia uchi

    • @womar4125
      @womar4125 ปีที่แล้ว

      Hapo sasa watu wangapi wamepata faida Alhamdulillah mungu amuweke ukhty wetu

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu ปีที่แล้ว

      Uislamu ni jambo zito sana. Uislamu haumkatazi mwanamke kufundisha, sio kusikika sauti yake tu anaruhusiwa kukaa na wanaume na kuwafundisha, upo utaratibu wake. Rejea historia ya bi Aisha binti Abubakari swidiki r.a wakati maswahaba wakubwa walipopiga magoti kwake kupokea maarifa ya dini yao. Uislamu ni mwepesi kwa Kila muumini.

    • @dhulfikariftikar7736
      @dhulfikariftikar7736 9 หลายเดือนก่อน

      Hajasoma uyo na wala haelewi lakini pia na choyo anacho si unajuwa wanawake? Chuki tu hizo na mwanamke kama huyo kibri hata kwa mumewe

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 ปีที่แล้ว +8

    Sisi tu naye ishi huku uarabuni mbona wanawake wa huku hawati hizo tabia za muke mwema wanaitaga wa umewao majina yao hawapikii waume ao chakula hâta nguo hamuandalii ni sisi tu wa fanya kazi njo tunaudumia nyumba nzima wanawake wote huku ni kutazamatu sim ao téléphone nakula

    • @chantalalia4811
      @chantalalia4811 ปีที่แล้ว +1

      Unaongeya vizuri dada yangu nahuko warabuni njokwenye chanzo cha dini mbona umesahau kutandikia kafiri yani boss hhhh wake wawarabuni feki sana Allah awanuru

    • @sadakimwaki9791
      @sadakimwaki9791 ปีที่แล้ว

      Huku arabuni ni mtihani

    • @winnieanyango3951
      @winnieanyango3951 ปีที่แล้ว

      Pesa zinaongea

    • @ruhaymanllymuhammed2094
      @ruhaymanllymuhammed2094 ปีที่แล้ว

      Subhanalla nikweli nduguzetu wamejisahau sana

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 ปีที่แล้ว +1

      Sio kila muarabu ndio bora laaaa m bora wenu mbele yawenzimungu ni mchamungu sasa wewe fanya wewe kama wewe

  • @BarakaChirume-wn9mi
    @BarakaChirume-wn9mi ปีที่แล้ว

    Xx

  • @MwanaKombo-sh5hf
    @MwanaKombo-sh5hf ปีที่แล้ว

    Mashallah