Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, shukran sana ukhty Fatima kwa Kutujuza mafunzo mema ya Allah Subhanna Tabaraka wa Taala .Na kzr kipewe sifa yke MashaAllah Tabarakallah yan mawaidha yko yaezamfanya mtu akabadilisha matendo yke kutoka kwenye maovu hadi kuja kwenye mema kulingana na imani yke na kumcha Allah Azza wajallah na Allah akulinde na Shari za Dunia na akuzidishie umri mrefu AAMEEN. JUMMAH MUBARAQ KWAKO
Inshaallah mungu atatuajalia tuwe miongoni mwa watu wema mashaallah dadaa fathima mungu akuzidishie Inshaallah mungu akipenda na sisi tukingiia kwa ndoa tuweze kujitahidi kwa uwezo wa mungu
Ukthi fathima mashaallah nimependa sana hicho kisa cha fatuma na mke wa bilali unayoongea ni kweli dadaa watu wengi wanaishi maisha yakuigiza mungu akulinde popote ulipodadaa waongea na mdada kutoka kenya kwale County
Mimi nilimpa taarifa mme wangu mama yngu amevunjika mguu amelazwa kesemc alikaa kimya. Nkamwomba ruhusa nikamwone. Mama. Yngu amelazwa. Alinijibu huyo siyo mama yngu akanijibu huyo ni mama yko mama yngu ameshafariki kesho yke pamekucha. Nikamkumbusha. Aliyonijibu Jana usiku. Akarudia vilevile alichosema sikuenda kumuona. Mama yngu mpaka alipo toka hospital. Nilipewa taarifa maendeleo y mama Basi nikamwachia mungu
Usiseme hivyo akhy, wanawake wema wapo, ifanyike tu juhudi kwa kila mzazi kutengeneza familia Bora itakayowatoa waume na wake wema! Kwa msaada wa Allah pekeyetu sisi hatuwezi
Wanaume Wengi kwa sasa tunalia Sana Kupata wake wema wanaoweza kufanya hayo lakn ni mtihani kupatikana, Kikubwa wanawake Wengi hawataki kusoma Dini na Kupata Muongozo wa Dini yetu ya Kiislaam
Ni sheikh wangu wanawake wanaofuata mafundisho ya Kiislamu kwa sasa ni wachache sana. Wanapenda kujitambulisha kama Waislamu lakini sio kuufuata Uislamu. Wanawake wa Kiislamu hawaolewa kwa ajili ya dini, wanaolewa kwa kile wanachoita kutoa mkosi.
Uislamu ni jambo zito sana. Uislamu haumkatazi mwanamke kufundisha, sio kusikika sauti yake tu anaruhusiwa kukaa na wanaume na kuwafundisha, upo utaratibu wake. Rejea historia ya bi Aisha binti Abubakari swidiki r.a wakati maswahaba wakubwa walipopiga magoti kwake kupokea maarifa ya dini yao. Uislamu ni mwepesi kwa Kila muumini.
Sisi tu naye ishi huku uarabuni mbona wanawake wa huku hawati hizo tabia za muke mwema wanaitaga wa umewao majina yao hawapikii waume ao chakula hâta nguo hamuandalii ni sisi tu wa fanya kazi njo tunaudumia nyumba nzima wanawake wote huku ni kutazamatu sim ao téléphone nakula
Unaongeya vizuri dada yangu nahuko warabuni njokwenye chanzo cha dini mbona umesahau kutandikia kafiri yani boss hhhh wake wawarabuni feki sana Allah awanuru
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, shukran sana ukhty Fatima kwa Kutujuza mafunzo mema ya Allah Subhanna Tabaraka wa Taala .Na kzr kipewe sifa yke MashaAllah Tabarakallah yan mawaidha yko yaezamfanya mtu akabadilisha matendo yke kutoka kwenye maovu hadi kuja kwenye mema kulingana na imani yke na kumcha Allah Azza wajallah na Allah akulinde na Shari za Dunia na akuzidishie umri mrefu AAMEEN. JUMMAH MUBARAQ KWAKO
Namkubali sana huyu Ukhty Kwa ajili ya ALLAH
Mwenyezi MUNGU Numuomba ALLAH Amtunze Duniani na kesho Akhera AMIIN
Aamin yarabbil'alamin
Inshaallah mungu atatuajalia tuwe miongoni mwa watu wema mashaallah dadaa fathima mungu akuzidishie Inshaallah mungu akipenda na sisi tukingiia kwa ndoa tuweze kujitahidi kwa uwezo wa mungu
Masha Allha nakuelewa vizur
Ostazati wetu
Mashaallah ukhty nakupenda kwa ajili ya Allah
Takbir!MashaAllah tabarakalah!Mafundisho mema kabisa,JazzakAllah khayran fii duniya wal Akhera InshaAllah dada.
Ukthi fathima mashaallah nimependa sana hicho kisa cha fatuma na mke wa bilali unayoongea ni kweli dadaa watu wengi wanaishi maisha yakuigiza mungu akulinde popote ulipodadaa waongea na mdada kutoka kenya kwale County
Maasha Allah tabarakillah ❤❤❤ Allah azidi Kuku hifadhi dada yetu mpendwa .Barakallahu fiiki
Mashaa Allah shukran jazakallah
Wallah Allah inshaAllah azijaze nyoyo zetu hima ya kuyatekeleza yoote yq faidha tunayopewa na dadaetu, ukhti wetu fatma. inshaAllah Mola amlipe mema kwa juhudi kubwa aifanyayo...
Mashaa Allah ukhty Allah akuzidishie ilimu
Mashallah ukhty maneno mzr sana Jazakallah kheri Frm Kenya
MashaAllah ❤
Allah awatie nguvu muwaanze kuwafundisha watt wa kike wanaokuwa ili Baadae waje kuwa wake wema kwa Waume zao,
😅😅😅😅😅😅😅Kweli kabisa hongera sana 💕💕💕💕💕💕💋
Mashallah
Tsfadhali Uhkty naomba unitafutie mchumba🙏
Mashaallah waoe elimu
Allah atuogoze tuwe wake wema kwa waume zetu
Assalamu alykumu warhatualla wabarakaatuh
Ma sha Allah hayo mawaidha jazakallah kheir
Jazakallah khayran
Tunashukuru kwa darsa zuri ukht
Mashaallah
Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh maisha Allah mawadhah mazuri sana
Asant san mama💖💖💖💖💖
Mashaallah
Mashallah Shukran kwa mafunzo mema mazuri mola akuhifadhi na akuzidishe Elmu.
Mimi nina shida ya namba Yako ya sim dada yangu mpendwa ❤ kwa ajili ya Allaah .Naomba
As salaam Alaykum warahmatulullahi wabarakaltu Uhkty Fatma
Mm nauliza je ipo hukmu ya mke kukataa kuenda ukweni
Mimi nakupenda sababu ume towa fundisho vizuli bila ku cheka cheka nafurahi sana lakini tena umenifunza mengi asanteni nakupenda bure umeongea vizuli
Asaalam aleikum nashukuru Sana kwa dharsa yako Allah kuongoza kwa njia ilio nyoka na akuzidishie elimu
BaarakaAllah
Jazaka Allah kheir.
Huyo ni sheikhat aliye ujua Uislamu, anawarekebisha wanawake na wanaume, Ili wote wajitazame katika kioo cha Uislam.
Mimi nilimpa taarifa mme wangu mama yngu amevunjika mguu amelazwa kesemc alikaa kimya. Nkamwomba ruhusa nikamwone. Mama. Yngu amelazwa. Alinijibu huyo siyo mama yngu akanijibu huyo ni mama yko mama yngu ameshafariki kesho yke pamekucha. Nikamkumbusha. Aliyonijibu Jana usiku. Akarudia vilevile alichosema sikuenda kumuona. Mama yngu mpaka alipo toka hospital. Nilipewa taarifa maendeleo y mama Basi nikamwachia mungu
Pole
Siku hizi wanandoa wengi wanaishi kwa maudhui ya tamthilia za kijahili na mitandao potofu ya kijamii.
Hadjati tunashukuru mnoo ila kwa hawa wa leo
Ukhty wanawake kama hao kwa karne hii hawapo, Na hawatakuwepo. Mupo wachache sana munaotambua hayo.
Usiseme hivyo akhy, wanawake wema wapo, ifanyike tu juhudi kwa kila mzazi kutengeneza familia Bora itakayowatoa waume na wake wema! Kwa msaada wa Allah pekeyetu sisi hatuwezi
Allah Karim unajitahidi mno
Kwanini kama sauti ya mwmke ni awra mtume akawaruhusu masahaba kwenda kuchukua elimu kwa kijanakike chekundu akimaanisha mama aishaa?
Wanaume Wengi kwa sasa tunalia Sana Kupata wake wema wanaoweza kufanya hayo lakn ni mtihani kupatikana, Kikubwa wanawake Wengi hawataki kusoma Dini na Kupata Muongozo wa Dini yetu ya Kiislaam
Njooo unioe mie.
Ni sheikh wangu wanawake wanaofuata mafundisho ya Kiislamu kwa sasa ni wachache sana. Wanapenda kujitambulisha kama Waislamu lakini sio kuufuata Uislamu. Wanawake wa Kiislamu hawaolewa kwa ajili ya dini, wanaolewa kwa kile wanachoita kutoa mkosi.
Naomba namba ya ukhty fatma mdidi
Pole nani kakuruhusu sauti yako kusikika kwenye mitandao sauti pia ni awra
Umepata faida au umeangalia uchi
Hapo sasa watu wangapi wamepata faida Alhamdulillah mungu amuweke ukhty wetu
Uislamu ni jambo zito sana. Uislamu haumkatazi mwanamke kufundisha, sio kusikika sauti yake tu anaruhusiwa kukaa na wanaume na kuwafundisha, upo utaratibu wake. Rejea historia ya bi Aisha binti Abubakari swidiki r.a wakati maswahaba wakubwa walipopiga magoti kwake kupokea maarifa ya dini yao. Uislamu ni mwepesi kwa Kila muumini.
Hajasoma uyo na wala haelewi lakini pia na choyo anacho si unajuwa wanawake? Chuki tu hizo na mwanamke kama huyo kibri hata kwa mumewe
Sisi tu naye ishi huku uarabuni mbona wanawake wa huku hawati hizo tabia za muke mwema wanaitaga wa umewao majina yao hawapikii waume ao chakula hâta nguo hamuandalii ni sisi tu wa fanya kazi njo tunaudumia nyumba nzima wanawake wote huku ni kutazamatu sim ao téléphone nakula
Unaongeya vizuri dada yangu nahuko warabuni njokwenye chanzo cha dini mbona umesahau kutandikia kafiri yani boss hhhh wake wawarabuni feki sana Allah awanuru
Huku arabuni ni mtihani
Pesa zinaongea
Subhanalla nikweli nduguzetu wamejisahau sana
Sio kila muarabu ndio bora laaaa m bora wenu mbele yawenzimungu ni mchamungu sasa wewe fanya wewe kama wewe
Xx
Mashallah