Tunajitahidi sana kuwapenda waume zetu lakini mmh wanaume. wa sasa sio wote hawapendeki unajitahidi kwa Kila jambo lakini mmh tunashindwa sheikh wangu na uadilifu pia hawana hasa waliooa wake zaidi ya ya mmoja
Mwanaume mwingine kakerwa nje hasira zinakuja kuisha kwa mke wake anakuja kakunja sura hata kama twaambiwa kapu letu la mema limetoboka lkn mwanamke anajua kupenda sana pale na wewe unapojitolea kwake sio mume mke anaumwa habari nae hana siku yeye akiumwa afanywe kama mfalme hapo kweli mke atakuwa na furaha na mume wake
Masheikh wetu mashallah mnatufundisha sana wanawake kuhusu kuwatihi waume zetu mashallah tunamshukuru lakini tunawaomba muwafundisha wanaume zetu wajibu na haki ya wake zao wasmbieni kuwa hatujaolewa kwaajili ya kufanya kazi za ndani maana tunaachika sababu ya kupika na kuosha vyombo muwafundisha kuwa wanawake tunawasaidia tuu natuwahurumia tuu
Mashaaa allah tabarakallahu...awa wanaume ukishazaaa tu anakwambia mambo yamebadilika yuko ubize na kazin mpakaa mwisho na sis tunakuwa bize na kulea baadae unaskia anakwambia mapenzi yamehamia kwa mtoto heheheheh
Mm ckuzote naambiwa sin shukuran koz nikitakacho ccho anipacho koz zawadi zitoke kwangu ziende kwa kimada lkn akija kwangu ana chochote sasa nashidwa ata akifafa nn kiekweli shukuran yangu yuapata kwenye penz tu bc akimaliza atasubur sana
Shekh km ww upo hivo unaona wema wamkeo sio wote wengine ukijishusha ndo amepata njia yakukukandamiza kilasiku atakwambia hn mwisho subrah inakutoka waambie nawao watufanyie hivo waone tutavopendana
Shekh Mimi wanaume ninaokutana nao hawajui wajibu wao kwangu Moja Kila kitu nanunua mwenyew chakula mavazi ugongwa kod na wajibu wangu namtimizia bila shaka Sasa huyu nimfanyaje
Mwanamme mwengine atakuletea chakula lkn maisha ya ndani maudhi aliyo nayo ,dharau zote anakufanyia hajui kutengeneza furaha ndani kwa mke wala watoto, na hata ukimfanyia nini kwake ni baya je mume huyu unakaa nae vp?
Lakini sheikh wanaume niliokutana nao mimi nikiwaheshimu kuwathamini wanayoyafanya mwisho naambulia kudharaulika na kuonekana huna pa kwenda mpaka sasa sielewi
Mafundisho mazuli scheikh wetu Allah akuhifadhi
Allahümme Aamin
Tunajitahidi sana kuwapenda waume zetu lakini mmh wanaume. wa sasa sio wote hawapendeki unajitahidi kwa Kila jambo lakini mmh tunashindwa sheikh wangu na uadilifu pia hawana hasa waliooa wake zaidi ya ya mmoja
♥️♥️♥️kewli dada yan hawapendeki unajitahidi kila uwezavyo I lakin wapi
Masha'Allah ❤❤❤❤❤kheri sheikh wetu Allah atujaalie tue miongoni mwa wake wema kw waume zetu iwe kheri duniani na kesho akhera ❤❤❤❤❤❤
Allahumma Aamin 🤲🏾
Mashallah
Alhamdulillah Rabil A'alamin
Jazakallah khaila
Waiyaka Shukraan
Amiina shekhe niwe mke mwema alaah anijaalie mume mwema
Allahumma Aamin 🤲🏾 In Shaa Allah utapata Mume mwema mwenye kheri nawe
Mwanaume mwingine kakerwa nje hasira zinakuja kuisha kwa mke wake anakuja kakunja sura hata kama twaambiwa kapu letu la mema limetoboka lkn mwanamke anajua kupenda sana pale na wewe unapojitolea kwake sio mume mke anaumwa habari nae hana siku yeye akiumwa afanywe kama mfalme hapo kweli mke atakuwa na furaha na mume wake
👌👌👌👌
Masha Allah sheikh shukran sana kwana sahanzuri Allah atujaliye kuwa wake wema
Allahumma Aamin 🤲🏾
Nice mashaallah Shukran sanaa tumefarijika tutajitahidi na kuelimika Allah atuwezeshe kuwakirimu
Allahumma Aamin 🤲🏾
Shekh Wetu usiwatetee wanaume wenzio kwakifupi hawana Shukran unamthamini a naona Huna pakwenda kudekezwa nakupendwa tunahitaji sote tudekezane sote tupendane sote
Tazama video nyingine amezungumza na wanaume kuelezea haki za wanawake
Masheikh wetu mashallah mnatufundisha sana wanawake kuhusu kuwatihi waume zetu mashallah tunamshukuru lakini tunawaomba muwafundisha wanaume zetu wajibu na haki ya wake zao wasmbieni kuwa hatujaolewa kwaajili ya kufanya kazi za ndani maana tunaachika sababu ya kupika na kuosha vyombo muwafundisha kuwa wanawake tunawasaidia tuu natuwahurumia tuu
Zipo clip ambazo Sheikh Shams amezungumzia umuhimu wa wanaume kuwajibika kwa wake zao. Fuatilia videos zipo humu. Shukraan
Allah kuzidixhee elimu yenye maufaa duniani naakhera
Allahumma Aamin 🤲🏾
Mashaalah Allah anijaalie na mie nipate wa kufanana inshaallah
Allahumma Aamin 🤲🏾 In Shaa Allah utampata zidisha Dua hususan Al Istighara
Mashaallah tabarakaah kiss Kiss
Shukran Sheikh wetu mawaiza mazuri
Mungu akupe afya njema Naumri mrefu inshaallah 😂😂😂
Allahumma Aamin 🤲🏾
Pole sana dada malipo ni duniani ipo cku watakukumbuka
Mashaaa allah tabarakallahu...awa wanaume ukishazaaa tu anakwambia mambo yamebadilika yuko ubize na kazin mpakaa mwisho na sis tunakuwa bize na kulea baadae unaskia anakwambia mapenzi yamehamia kwa mtoto heheheheh
Tuendelee kupendana na Kuvumiliana katika ndoa zetu
Wanaume wasasa ni changamoto shekh shukuran hawana 😢 mtu unajitahid ila dah
Tuendelee Kuvumiliana
Wapo wanaume ukiwashukuru ukuambia huna haja ya kunishukuru ni wajibu wangu ,lkn tupo tunao shukuru
Maa Shaa Allah
❤❤❤
Kazi nzurii
Jazakallah Khair
Mashallah Mashallah
Allah Amuhifadhi Sheikh nasi pia
😢mawaidha mazuri shekhe
Allah atujaalie mapenzi na huruma
Asante shehe
Shukraan Kwa niaba
Aisee mimi bpnavyoona huyu mwanaume nilienae ananidharau sana imefika hatua hata sipati hamu ya mapenzi kwakwe kabisaa😢 aiseee basi tu
Pole Sana. Kama mmefunga ndoa waone Viongozi wako wa dini wakusaidieni kutatua tofauti zenu
Lkn shekhe awe anakuletea jmn wengine hawanunui sasaxhuko kupenda na nn
Sheikh mim yote niliyafnya ila mwisho aliniona kama sina thamni kwake mwisho kusema sitaki kupendwa sana
Allah akujaalie upate mwingine mwenye kheri na wewe. Usikate Tamaa, maisha yana mafunzo makubwa mno.
Mm ckuzote naambiwa sin shukuran koz nikitakacho ccho anipacho koz zawadi zitoke kwangu ziende kwa kimada lkn akija kwangu ana chochote sasa nashidwa ata akifafa nn kiekweli shukuran yangu yuapata kwenye penz tu bc akimaliza atasubur sana
Allah atatue changamoto zenu mfike muafaka
Shekh km ww upo hivo unaona wema wamkeo sio wote wengine ukijishusha ndo amepata njia yakukukandamiza kilasiku atakwambia hn mwisho subrah inakutoka waambie nawao watufanyie hivo waone tutavopendana
Allah atujaalie mapenzi na huruma
Asalam Aleikum Mm hata kidongo natua asate shukran lkn wao hawasubutu?
WANAUME WA SIKU HIZI HATA UMMBEMBELEZE NI BURE SHEKH MANA WENYEWE TU HAWATUBEMBELEZI
Timiza wajibu wako mengine yatafuata In Shaa Allah
Shkh wanaume wa cku hizi wanamsemo wanawake ni wengi ukipenda unapita hivi
Allah atujaalie mapenzi na huruma
Wanaume wenyewe hawana muda wa kubembeleza mke. Wako bize na yasoyostahili
Tuendelee kukumbushana mema
Ni kweli ila ni wabinafsi maana hutaka yasemwe yao tu ila ya upande wao kwa wanawake hawataki yasemwe na yakisemwa huyapinga
Zipo clip zilizozungumzia ya wanaume pia. Fuatilia videos zetu unufaike
Kwanini nasi twapenda tudekezwe mtu anaujauzito miezi 7 ama 9 utaskia nataka chapati😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ukisema no vweeeeee kinawaka
😃😃😃
Shekh Mimi wanaume ninaokutana nao hawajui wajibu wao kwangu Moja Kila kitu nanunua mwenyew chakula mavazi ugongwa kod na wajibu wangu namtimizia bila shaka Sasa huyu nimfanyaje
Mwanamme mwengine atakuletea chakula lkn maisha ya ndani maudhi aliyo nayo ,dharau zote anakufanyia hajui kutengeneza furaha ndani kwa mke wala watoto, na hata ukimfanyia nini kwake ni baya je mume huyu unakaa nae vp?
Kuwa na subira, wasiliana na Sheikh aliye karibu amwite lakini kubwa kaa naye kwa upendo uongee naye; In Shaa Allah atabadilika.
Na hao ndo wengi katika hii dunia kiukwel wanakatisha tamaa
@@NusraHozza-qp8yy Kikubwa ni kuwa na subira na kuchukua hatua za kutafuta suluhusho la tatizo.
@@al-aqsamediaonline1489 inshaALLAH ila ni mtihani unakuta ulishamuitia watu mara kadhaa inabidi kuacha
@@NusraHozza-qp8yy Unaishi Mkoa gani?
Mimi nimesema mpaka nikachoka yeye hajawayisema Asante kwangu hata nifanyenini
Endelea kumvumilia
😂😂😂😂eti tabia zakikiume wallah
😃😃😃
Sheikh hayo yote mie ninayo alhamdulillahi.
Maa Shaa Allah. Allah Akuhifadhi
Wanaume wengine visirani hata ukimfanyia nini hakuoni na hata sisi wanawake tunapenda kudekezwa na kupendwa nyege kunyegezana
Hakika. Hata hivyo kama ni mumeo wa ndoa usichoke kutimiza wajibu wako.
@@al-aqsamediaonline1489 in shaa Allah
Lakini sheikh wanaume niliokutana nao mimi nikiwaheshimu kuwathamini wanayoyafanya mwisho naambulia kudharaulika na kuonekana huna pa kwenda mpaka sasa sielewi
Pole sana dada. Fanya wajibu wako malipo utayapat t wema hauozi
Sheikh mums akihamaki kuhusu mkewe mwengine anaempenda zaidi kwangu anahama,kila akioa ananifanyia hivo,nam I simwitI anarudi mwenyewe.
Pole Mwenyezi Mungu atakulipa fil dunya walakhera in Sha Allah
I have the same problems!😢😢
Dah pole sana
Heheeeee😂
😃😃😃
Shkh mm napambana nafanya mengi lakini bado mwanaume haoni na zinaa pia anaenda kufanya
Subhanallah!
Jamani wengine wanafanya yooote haya na bado wanaonekana wabaya tena na kusingiziwa maneno ya karaha mpaka unajutia kuaga kwenu.
Kikubwa ni subira
Ahsante sana kwa kipindi kizur
Aamin 🤲🏾
Shehe mm mumewangu anapenda wanawake amani kwenyendoa sina nampenda natupo wakewawili ila wanawake kilasiku SMS zamapenzi kwenyesimuyake
Nitamfikishia Sheikh ujumbe wako. Shukraan
Hawabebeki kama mzigo wamawe
Ndoa ni kuvumiliana
Tunayapokea haya mafunzo
Ila pia tunaomba yawepo na ya wanaume
Shukraan. In Shaa Allah Hivi karibuni tutaandaa mafunzo ya Wake Kwa Waume
Hizo cream shekeh, sio haramu😮
Anakusudia vikwatuzi (vipodozi) visivyo na madhara
mashallah
Alhamdulillah
Pole sana dada malipo ni duniani ipo cku watakukumbuka