🇹🇿 UJENZI WA DARAJA LA J.P MAGUFULI WAFIKIA 78%, "ANALIPWA KWA WAKATI," HAKUNA KILICHOSIMAMA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2023
- Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa serikali inalipa kwa wakati madai yote yanayowasilishwa na Mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) lenye urefu wa kilomita 3.0 na Barabara unganishi zenye jumla ya kilometa 1.66 lililopo jijini Mwanza ambapo ujenzi umefikia asilimia 78 ya Utekelezaji.
Ameyasema hayo akiwa Mwanza katika ziara ya kukagua Daraja hilo linalounganisha Barabara Kuu ya Usagara - Sengerema - Geita katika Ziwa Victoria kwa kugharimiwa na Serikali kwa jumla ya shilingi Bilioni 716.3
Bashungwa amesema kuwa Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan Ujenzi wa Daraja hilo ameupa kipaumbele kikubwa kwa kuhakikisha Mkandarasi hatoki nje ya mradi kwa kutoa fedha kuwezesha madai yote ya mkandarasi kulipwa ndani ya muda ili kuhakikisha anafanya kazi bila kusimama.
Gonga like zangu..wa kwanza to comment...
Na wajenz pia hongeren mwaya kwa Kaz nzur
Simba
Well done
Next Zanzibar-Dar es Salaam Bridge - long overdue.
Hakika magufuli ulikuwa Jembe letu sema tu MUNGU alikupenda mapema Sana umefanya Kazimil kubwa Sana MUNGU aendelee kukutunza huko uliko
Magufuli alisema tutamkumbuka kwamazuri nasio mabaya😢
Makufuli safi
Jaman hapo kupita panahtaj mtu ambae sio muoga kama mim Maana naweza patwa na kizunguzungu.
Mbona mnamsifia sana
Acheni matendo yajieleze yenyewe
Ujinga tu ushamba sija skia wa Kenya wana mshukuru MTU kama mungu kila SAA ujinga
mbona humshukuru alieanzisha huo mradi?😢😢😢😢😢
Labda una masikio mazito ndio maanaa rudia tena video utasikia
Mtuache!!!
Lipo wapi ilo daraja mwanza au dar
Mwanza
Huyu Jama whole speech ni Ku mshukuru raisi wa tz tume logwa huyu mama is not doing a favor hiyo ni development!!!! Ujinga tu Ku shukuru like villager's
Maelezo yamejaa "nakushukuru" mpka kero
Wanapepelea ulaji wao ndio Tz yetu