Hivi hii Dar Moro Haimaliziki tu? Kuna Kitui Kimepungua ki utendaji wenu. Nikisema mtaingiza siasa mnifunge, ila hata nyiewenyewe mnajua nini mmepunguza mpaka kazi haimalizxiki. Tumeanza kutowaamini.
Yaani kila siku wako kipande cha KAMATA…Mabehewa hadi yatashika kutu..Na umeme ndo shida ya kudumu..Hii hadi tutakapopata kiongozi mzalendo haswa ndo kazi itamalizika.
Uongo wizi na uvivu. Acheni kutudanganya.!!!! Kiongozi wa nchi ni mvivu na muongo akiongoza wezi. Unadhani kuna kitu au miradi itamalizika kwa wakati???? Mfano wa awamu ya nne, uwanja wa ndege ulikwamishwa na uvivu wizi na uongo mpaka Magufuli kaja kuumalizia. Kikwete na majizi wenzake walikuwa wanaiba kila hela inayotolewa kujenga nchi.
Magufuli ameongoza miaka mitano na hakumaliza hiyo reli halafu unataka Rais aliyepo sasa amalize kwa miaka miwili tu ?Huyo magufuli unayemsifia alimaliza mradi gani mkubwa zaidi ya maneno mengi tu.Kosa kubwa lilifanywa mwanzo wakati wa kuchagua Mkandarasi huu mradi alitakiwa apewe china badala ya Uturuki.Uturuki hawana uwezo mkubwa kama china
Tatizo letu watanzania tumekuwa wabinafsi sana hatuangalii miradi kama hii na umuhimu wake kwa jamii nzima, mtu anajari yakwake tu wala haangalii kuwa kwa kufanya hivyo anachangia katika kuzorotesha ukamilikaji wa miradi. Tuna kazi kubwa ya kuwafundisha raia Utanzania na Uzalendo, vitu ambavyo ni viwili muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu.
Hivi hii Dar Moro Haimaliziki tu? Kuna Kitui Kimepungua ki utendaji wenu. Nikisema mtaingiza siasa mnifunge, ila hata nyiewenyewe mnajua nini mmepunguza mpaka kazi haimalizxiki.
Tumeanza kutowaamini.
Magufuli angekuwepo ukweli usemwe, kutoka Dar mpaka Moro Sasa hivi watu wangeanza safari tokea mwaka 2021
Ndo hayupo sasa
Yaani kila siku wako kipande cha KAMATA…Mabehewa hadi yatashika kutu..Na umeme ndo shida ya kudumu..Hii hadi tutakapopata kiongozi mzalendo haswa ndo kazi itamalizika.
Mpiga picha anatufanya tusielewee kinachoelezwa kwenye video
Sasa mnatuchanganya, hivi hi project itakwisha lini!!!
Mnatuchosha tuu
Mwaka wa 3 asilimia 95 duh au kuna mtu kabonyeza pause bila kujua
Upuuz tu siasa tu
Kipande cha Dar Moro tayari kwanini usafiri usianze wakurungwaaa
Hivi vivuko mbona imekuwa hadithi ya sungura? Yaani vivuko vitatu mwaka mzima, vingekuwa kumi je ingekuwaje?
Nyie mnazingua tu Nendeni zenu😏😏😏
Kila siku wanatuambia hili na lile hakuna kitu
Nyie subirini uchaguzi ukikaribia mambo yote yatakuwa bambam 😂😂😂😂
RIP JPM. Labda tutasikia mwekezaji aje atusaidie. Tutajiamini lini, tutajitegemea lini?
Ck 8 comment 28 na hi ya 29 mana ake mmewachosha watanzania 😅😅😅😅😅
Mpk uchaguzi ndo mtazindua mradi nyie Serikali, hakuna kazi ni kuuza sura tu
Kichefu kochefu
RIP mzee baba Magufuli wazio huku ni mwendo wa nguo KANIKI mbele yetu 😢😢😭😭😭
Uongo wizi na uvivu. Acheni kutudanganya.!!!! Kiongozi wa nchi ni mvivu na muongo akiongoza wezi. Unadhani kuna kitu au miradi itamalizika kwa wakati???? Mfano wa awamu ya nne, uwanja wa ndege ulikwamishwa na uvivu wizi na uongo mpaka Magufuli kaja kuumalizia. Kikwete na majizi wenzake walikuwa wanaiba kila hela inayotolewa kujenga nchi.
Magufuli ameongoza miaka mitano na hakumaliza hiyo reli halafu unataka Rais aliyepo sasa amalize kwa miaka miwili tu ?Huyo magufuli unayemsifia alimaliza mradi gani mkubwa zaidi ya maneno mengi tu.Kosa kubwa lilifanywa mwanzo wakati wa kuchagua Mkandarasi huu mradi alitakiwa apewe china badala ya Uturuki.Uturuki hawana uwezo mkubwa kama china
Tatizo letu watanzania tumekuwa wabinafsi sana hatuangalii miradi kama hii na umuhimu wake kwa jamii nzima, mtu anajari yakwake tu wala haangalii kuwa kwa kufanya hivyo anachangia katika kuzorotesha ukamilikaji wa miradi. Tuna kazi kubwa ya kuwafundisha raia Utanzania na Uzalendo, vitu ambavyo ni viwili muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu.
Lini machine Zina Anza kasi..
Mifumo ya treni haisomani hivyo tumuwekezee muarabu
Ebu boresheni jinsi mnabyochukua video za miradi tumieni drones kwa wingi
Mmefer
Hongereni TRC hongereni serikali.kazi iendelee
Hongereni watu wa reli sisi tulio kuwa daresalam tunaona KAZI inavyo fanyika nyinyi mlio kuwa mbali bakini na matusi/. KAZI iendelee
Kuma sana ww
@@shinipapaya846 anayo mama yako hio na ndipo ulipo Toka hapo mwana wa Haram usiemjua baba yako mshenzi wewe mtoto wa zinaa