Niliaza na mtaji wa sh 45000 ,mwaka elifu 2017 na mpaka Sasa namiliki zaid ya ml 14.8 ,,,niliaza na biashara ya kuuza vinywaji barabaran mpaka ikanipeleka mtaan kwenye furemu na kuaza kukomaa Hadi kununu pkpk 4 na kuoa hapa hapo na kiwanja na shamba mkoan yaan ,,mungu ni mkubwa ,,,big up chifu?
Asante sanaa kaka ningependa siku moja tuonane mi naishi msasan nafanya biashara ya mayai kama unaenda kifanya shopping supermarket za shoppers angalia mayai yenye jina MSSAP ...
Thanks brother..nimeanza na kuku wa kienyeji 8 natetea na jogoo 2 this year July but nimetotolesha vifaranga zaidi ya 200 kwa 3 months sasa nimeuza and nimeingiza pesa nzuri Iam happy.unachokiongea ni kweli.sasa this December niko na oda ya 120 chicks na tatari nimeweka kuku 10 wote wanalalia 15 eggs each na in 5 days wanatotoa.so unaongea ukweli bro.asante mnoo
Shukran sana Chief kwa hili somo, natamani nikutane na wewe siku moja kwa ushauri zaidi. Kwa nyongeza tu hata snacks zinalipa sana kikubwa ni kuhakikisha taste ni superb.
Bro sasa huo ndio uwanaume...mwanaume sikupiga tantarira nyingi kma muimba taarabu..hizi ndo njia nzuri zakusaidia wenzio na wao waeze kujituma kwa bidii..Ubarikiwe mzee baba
Nimewahikufanya juice baada ya miezi 3 nilitoa Faida kubwa siseminikiasigani lkn siachi kufanya juice huwanapumzika tu lkn ndio biashara yngu kubwa nakama Niki fanya Leo wateja wanakuja kwasababu najuwa kutengeneza napia naifanya kwaumaridadi usafi. Kwanza biashara kma hizi zamajimaji. Kma juice mwezangu mtu Hali tu kama hawajamuwangalia mfanyaji usafi wake
Jamaa kanipa madini na kanifanya kujiona na Mimi naweza for sure Nilikuwa nampango wakufungua biashara ya cm nikawa naogopa ila kanipa nguvu sana huyu mwamba mzalendo respect brother
Mnajua Huyu Brother ni Geneas sana aise na Unajua Kuna wabongo wachache sana wenye kuwa naakili timamu Ndo watamuelewa huyu jamaa shida ya Cici wabongo Tunakubali anacho kifanya mwamba ila Bado. Wabishi sana 🤣 ila ukweli nikwamba anatisha sana sema Simba 👑👑👑Chief Mungu akuweke content zako Zina fanya vizuri sana 🔥💪
Asante mtani kwa juhudi zako kupambana watu wasio kuelewa wenye chuki kama wale wa Ipinda. Nadhani wenye mitaji midogo watavuna kitu hapa. Rgds BDKOMBA
Umeona mbali sana chakula kinalipa sana aswa catering service hii pia haitaji mtaji mkubwa kikubwa ni ujuzi na kujua namna ya kukuza hiyo biashara hongera chief kwa hili🙌🙌🤝
Hii ndio hisani kaka hakika umetujenga na tutafata . Maana wivu uliomzuri ni ule wa kuangalia njia walizotumia wenzako kuendelea utumie na wewe tunashukuru kwa elimu yako 💪💪
Biashara ya udalali wa vitu used kuna mtu ana shida na kitanda hana hela ya kununua kipya alf kuna mtu amechoka kitanda anataka kingine na anahitaji mtu wa kumpa hela kidogo hapa wew unakua kati kati yao unapiga chako kwa juu na hapa kwenye hii biashara kuna njia 2 za kuifanya moja unakua dalali kwa mnunuzi na muuzaji ya pili ni unanunua bei ya chini mteja anakuja unamuuzia wew😊
Nakumbuka nilianza na mtaji wa sh. Laki 7 katika biashara yangu lakini Kwa Sasa imekuwa na kufikia Mil.25 Kwa miaka miwili na mwaka ujao naanza hiyo ya ufugaji kuku sababu tangu kale naamini itanitoa kimaisha. Respect Chief GODLOVE
kaka kazi zuri sana mimi nina haidia ya kufanya biashara ya kuuza chakula cha mifugo kama chakula cha kuku ila sina mtaji kaka iwezeshe nipo moshi kilimanjaro
Mimi nawashauri kitu kimoja tu, kabla ya kufungua biashara yako jitahidi ujibrand (uwekeze kwenye wateja). Mimi nimeanza biashara yangu huu ni mwezi wa tatu tu lakini kwa sasa biashara yangu inanipa faida kubwa kuliko mshahara nnaopata.
Yani wa Tz sisi hatuna Jema mtu anatueleza biashara za kufanya unaanza kulalama mtaji kwaiyo unataka akuletee mtaji hiyo Juice anayosema sizan kama inataka mtaji mkubwa Mim nilkuwa nacheza mchezo Wa kila siku 2000 lengo tu nipate Blenda na Friji Used nikapata na natengeneza juice mambo yanaenda punguzen kulalamika na kuwaambia watu wachawi niakili tu
Mimi napenda sana kufanya biashara ya kuuza juice ila bado sijafanikiwa kupata friji tu naomba sana mungu anisaidie nipate PESA ya friji.asnte bro upo vizuri sana
Bro what if nkitaka kuanzisha biashara ya duka la viungo vya vyakula itakua na faida na inatakiwa niwe na mtaji kuanzia kiasi gani ili niweze kutoka vizuri
Nakubali sana bro hususani ile clip ulio sema unataka kuoa arafu ushauri unaomba kwa mpiga nyeto? Ukatoa content kwamba ukipata ela usiwaze kujenga bali kuwekeza big up sana 🙏🙏
Nimekuelewa sana chief,nilicho kigundua vijana wengi tumejaa uwoga,hasa katika utafutaji.Eti kwamba pesa ni uchawi,kumbe umaskini wa kukosa pesa na mali ndo uchawi mkubwa zaidi hapa duniani.Tutoke majumbani tutafute pesa.Umaskini ni laana namba moja
Niliaza na mtaji wa sh 45000 ,mwaka elifu 2017 na mpaka Sasa namiliki zaid ya ml 14.8 ,,,niliaza na biashara ya kuuza vinywaji barabaran mpaka ikanipeleka mtaan kwenye furemu na kuaza kukomaa Hadi kununu pkpk 4 na kuoa hapa hapo na kiwanja na shamba mkoan yaan ,,mungu ni mkubwa ,,,big up chifu?
Biashara gan?
Ulifanya biashara gani??
Ushirikina ulitumika pia
Good job
Nimekupata sana kwenye kuku me mwenyewe nilianza na kuku mmoja sa iv nina kuku 200
Ninani yupo apa taree 20 mwezi wa 9 2024 kama yupo like my comment
Asante sanaa kaka ningependa siku moja tuonane mi naishi msasan nafanya biashara ya mayai kama unaenda kifanya shopping supermarket za shoppers angalia mayai yenye jina MSSAP ...
Kaka mtaji wa kuku ulianza na shi ngap
Thanks brother..nimeanza na kuku wa kienyeji 8 natetea na jogoo 2 this year July but nimetotolesha vifaranga zaidi ya 200 kwa 3 months sasa nimeuza and nimeingiza pesa nzuri Iam happy.unachokiongea ni kweli.sasa this December niko na oda ya 120 chicks na tatari nimeweka kuku 10 wote wanalalia 15 eggs each na in 5 days wanatotoa.so unaongea ukweli bro.asante mnoo
@Anna Mkenga. Wafugia kuku wapi dada yangu.?
@@fredkangethe7497 nafugia Arusha
sorry nlikuwa naomba ufafanuz wa ufugaji kuku ili na mm nifanye please nipe ata namba yako
Dada
Nimekuelewa bro umetuambia ukweli mtupu nitafanyia kazi
Shukran sana Chief kwa hili somo, natamani nikutane na wewe siku moja kwa ushauri zaidi. Kwa nyongeza tu hata snacks zinalipa sana kikubwa ni kuhakikisha taste ni superb.
Nakuna je ninakuelewa
Bro sasa huo ndio uwanaume...mwanaume sikupiga tantarira nyingi kma muimba taarabu..hizi ndo njia nzuri zakusaidia wenzio na wao waeze kujituma kwa bidii..Ubarikiwe mzee baba
Hongera kwa mada nzuri.
C'est vrai
matuta vijana wanaochangia mawazo hayo ndio mapenzi kweli nakupenda sana mzee wangu
Kweli juice inafaida nakubali
Nimewahikufanya juice baada ya miezi 3 nilitoa Faida kubwa siseminikiasigani lkn siachi kufanya juice huwanapumzika tu lkn ndio biashara yngu kubwa nakama Niki fanya Leo wateja wanakuja kwasababu najuwa kutengeneza napia naifanya kwaumaridadi usafi. Kwanza biashara kma hizi zamajimaji. Kma juice mwezangu mtu Hali tu kama hawajamuwangalia mfanyaji usafi wake
@@TurkanCalenderuko wapi dear nataka kufanya hiyo kazi ila sijui pa kuanzia
Jamaa kanipa madini na kanifanya kujiona na Mimi naweza for sure Nilikuwa nampango wakufungua biashara ya cm nikawa naogopa ila kanipa nguvu sana huyu mwamba mzalendo respect brother
Mimi ni mkenye Niko Nairobi nafuraia mawaitha yako👍💯
Nakupata vzuri bro cheaf From Moz🇲🇿🇲🇿👍
❤ good
Unatuchamba huku unatupa elimu,big up,mwanzo hata Mimi nilikuwa sikuelewi,ila now nimekumanya,dogo upo vizuri you are the geneous
Tafuta pesa mbwa nyinyi 🤣🤣🤣🤣
Kaka vp kashata italipa
Asante bro nitakuludia baada ya miaka miwili ijayo
Mnajua Huyu Brother ni Geneas sana aise na Unajua Kuna wabongo wachache sana wenye kuwa naakili timamu Ndo watamuelewa huyu jamaa shida ya Cici wabongo Tunakubali anacho kifanya mwamba ila Bado. Wabishi sana 🤣 ila ukweli nikwamba anatisha sana sema Simba 👑👑👑Chief Mungu akuweke content zako Zina fanya vizuri sana 🔥💪
Acha kujidanganya mwenzio yuko katika chama hata akiuza mavi yanatoka freemason inachangia iyo
shukran kaka godlove nakufatilia san na nimejipa miaka mitano from now napenda unavyofanya🙏🙏
Asante mtani kwa juhudi zako kupambana watu wasio kuelewa wenye chuki kama wale wa Ipinda. Nadhani wenye mitaji midogo watavuna kitu hapa.
Rgds BDKOMBA
Mm napenda biashara y a bakery. Sasa sijui napata wapi mafunzonilinnianze.
Daaaaaa ngoj nikupe maua yako Big point San Brother 🎉🎉
Umeona mbali sana chakula kinalipa sana aswa catering service hii pia haitaji mtaji mkubwa kikubwa ni ujuzi na kujua namna ya kukuza hiyo biashara hongera chief kwa hili🙌🙌🤝
Mungu akupe maisha marefu ni msaada mkubwa kwa taifa umetuamsha san
Ahsantee my brother nilikua na ndoto ya kufuga kuku Ila nilikuwa nimekata tamaa Ila Leo umenipa moyo am going to start it...
Hii ndio hisani kaka hakika umetujenga na tutafata . Maana wivu uliomzuri ni ule wa kuangalia njia walizotumia wenzako kuendelea utumie na wewe tunashukuru kwa elimu yako 💪💪
Chief lila siku ninakueleza you are the best bro keep it up🎉🎉🎉🎉🎉
Biashara ya udalali wa vitu used kuna mtu ana shida na kitanda hana hela ya kununua kipya alf kuna mtu amechoka kitanda anataka kingine na anahitaji mtu wa kumpa hela kidogo hapa wew unakua kati kati yao unapiga chako kwa juu na hapa kwenye hii biashara kuna njia 2 za kuifanya moja unakua dalali kwa mnunuzi na muuzaji ya pili ni unanunua bei ya chini mteja anakuja unamuuzia wew😊
Hii ni bonge la biashara ndio naifanya kwa sasa
Ukosahihi kaka shukran kwakuamsha mawazomapya ktk watuambao huzani nilazima upatemtaji mkubwa dah ahsante kaka
Aiseeee bro nakukubl sana we n genius aisee umenitoa kwenye Giza nene
Kaka www ni msaada Kwa jamii Asante xan mungu akubalik
Shukran saan kka mmi nnazo milioni mbili nilikuwa na wazma biashara ya kufanya kka
Asante Kaka kwaushauli wako unatupa changamoto yakutafuta hela
Thankx bro...
Nakumbuka nilianza na mtaji wa sh. Laki 7 katika biashara yangu lakini Kwa Sasa imekuwa na kufikia Mil.25 Kwa miaka miwili na mwaka ujao naanza hiyo ya ufugaji kuku sababu tangu kale naamini itanitoa kimaisha. Respect Chief GODLOVE
kwA biashara gan laki7 ad 25m kwa miaka mi2 kaka chacha
Oy wambura
Ni biashara gani mwenzangu
@@directorballo9598Yani na mm nimewaza kwasauti hapa
Natamani sana biashara sijuwi pakuanzia
Nimekuelewa sana kaka ngoja nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
kaka kazi zuri sana mimi nina haidia ya kufanya biashara ya kuuza chakula cha mifugo kama chakula cha kuku ila sina mtaji kaka iwezeshe nipo moshi kilimanjaro
Mimi nawashauri kitu kimoja tu, kabla ya kufungua biashara yako jitahidi ujibrand (uwekeze kwenye wateja).
Mimi nimeanza biashara yangu huu ni mwezi wa tatu tu lakini kwa sasa biashara yangu inanipa faida kubwa kuliko mshahara nnaopata.
Unafanya biashara gani
Bro biashara gan iyo
me cjui ata nifanye biashara gn
🤜
asante bro nilikuwa nawaza cha kufanya❤
Umetisha cheaf katiyaizo urizozitaja biashara mbiri nazifikiria irabadokidogo najiwekasawa
Oy chief godlove mm nipo Kenya na nimetaka kuanza biashara ya kuuza viatu na mavazi,je biashara hiyo Ina mtaji? Naomba jibu
Oya kamanda Kenya vip biashala uko
Big up brother kinacho tupa shida ni uoga wa kufanya kitu na hatuna uthubutu wa kujaribu Zaid tunaishia kuyawaza pasipo kutendea kazi
Naona kila mtu anatoa ushuhuda na mmi nisibaki ,,
Nilianza na million mbili mwaka 2019 sasa hiv sina hata mia mungu mkubwa 😊😊😊😊
😂😂😂 duh kweli ilikuwaje mbona maelezo mafupi jmn dah polee snaa
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂pole😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣duuh
Mhuuuuuuu usikate tamaa rud jitafte upya
Asante sana
Nataka nije nijifunze kitu kwako watanzania wachache Wana moyo kama wako sio wachoyo asante sana kwa elimu kubwa
Big mind, big up bro and God bless
Daaah brother ahsante umenipa elimu kubwa sana ila mm sina hata mtaji je nafanyaje angalau nipate kamtaji kiasi ili niweze kuanzisha biashara.
Uza iyo sim upate mtaji
Nimeipenda hiyo bro.busara zako zinaonyesha kuwa kila mmoja apate
Asantee kwa darasa 🙏
Asante kwa kunifungua brother
Nakuerewa kaka
Umetisha bingwa wang
Umeeleweka bro asante ubarikiwe
Asante sana kaka endelea hivyo utukomboe ndugu
Asante bro napenda san kufanikiwa
Blz nakupata vzr kbx pande za mpegele hapa
Ahsant.bladha umenipa moyo.ngoja nikomae.na kazi.❤🎉
Asante kaka ushauri wako mzuri Mimi ninauza juyce kiukweli matunda mazuri nayaona we we mkweli
Asante nimeanza kakuelewa ❤❤
Brother uko vizuri atabiashara ya bekery
Umeongea ukweli, Vijana tuamke tufanye kazi
Naisubir ep sod 2 nakupendaa Bure ndroo
Appriciate cn bro you have open my brain👍👍
Asante kwa ushauri wako Mungu akubarik
Shukran bro
Yani wa Tz sisi hatuna Jema mtu anatueleza biashara za kufanya unaanza kulalama mtaji kwaiyo unataka akuletee mtaji hiyo Juice anayosema sizan kama inataka mtaji mkubwa Mim nilkuwa nacheza mchezo Wa kila siku 2000 lengo tu nipate Blenda na Friji Used nikapata na natengeneza juice mambo yanaenda punguzen kulalamika na kuwaambia watu wachawi niakili tu
Hili pia wazo langu hvi juice nzuri ni matunda Gani
Tz tunapenda kupewa vitu hatupendi kusugua akili .
Appliciate....really meaning of influencer, sio mtu anajiita influencer na hana mindset za namna hii broooh
Namefurai na nimependa Sana uxhauri wako ningepende kujua Zaid nmeng na meng naxhukulu kwa kutupa moyo sis watu went Hali ya chini asente Sana brother
asante sana kaka kwa kujifungua ubongo
Nakubari bro betri kumbe halina chaji😂😂
Bro m ni mkenya lakini napenda mafunzo zako❤
Uelewa wako mkubwa bro,, biashara nyengine ni ya saloon ya kike piah inalipa na Ina faida
Brother hapo umetisha ahsante sana mkuu
Goodlove Naqba Sana Umefanya Saiv Money Naipambania Sana RESPECT BROTHER
Mimi napenda sana kufanya biashara ya kuuza juice ila bado sijafanikiwa kupata friji tu naomba sana mungu anisaidie nipate PESA ya friji.asnte bro upo vizuri sana
Asante sana kaka umetisha
Asantee sana kaka kwa ushauli mzuri
Shukran kaka kutufungua macho ubarikiwee
Bro what if nkitaka kuanzisha biashara ya duka la viungo vya vyakula itakua na faida na inatakiwa niwe na mtaji kuanzia kiasi gani ili niweze kutoka vizuri
Ahsanten Bro❤
Kaka unatia moyo sana hongera sana bt kingne mm naona kilimo Cha umwagiliaji
Asante kwakutufungua macho bro
Thanks bro im from Congo Drc
Safy kka mkubwa tunakuelewa sanaa
Kaka uko vizuri sana ahsante kwa ushauli wako
Biashara ingine ni ya kuuza mtumba,unaweza kununua suruali nzuri yenye bei ya tsh 5000 ukauza 12000 had 15000
Ahsante kwasemina mazuri na mungu akubariki
Umetisha xana kaka
Umetisha saaaaaana mwamba
Barikiwa sana kaka dah umeniamsha
❤kaka apo umesaidia vijana wengi sana kifikra god bless you
Big up brother
Kati ya siku unewongeya pweti ndo Sasa ,💝💝💝💝
Nakubali sana bro hususani ile clip ulio sema unataka kuoa arafu ushauri unaomba kwa mpiga nyeto? Ukatoa content kwamba ukipata ela usiwaze kujenga bali kuwekeza big up sana 🙏🙏
Kizazi sana bro
Bro napambana Sana nakodi mashamba nalima masika na kiangazi nalima bustani lkn wapi daaaah. Ngoja kwenye ulizotaja hapa moja nikomae nayo utapata mrejesho
Big up bro,,,,,,,
Nimekuelewa sana chief,nilicho kigundua vijana wengi tumejaa uwoga,hasa katika utafutaji.Eti kwamba pesa ni uchawi,kumbe umaskini wa kukosa pesa na mali ndo uchawi mkubwa zaidi hapa duniani.Tutoke majumbani tutafute pesa.Umaskini ni laana namba moja
Bonge la msj .
Big up sana G
Nakupa vizuri sanaa bro kutoka South Africa mawasiliano yako please
Nakubali bro
Gentle man ña nusu. God bless you more
Yeah that is very good advice
Asante San kaka unazid kutupa nguvu
Thanks🔥
Mungu akupe maisha endelevu
Asante kwa ushauri. Biashara nyingi kati ya ulizotaja zinatoka zaidi ukiwa mjini. vipi kuhusu kijijini?
Blessings bro🎉🎉🎉❤
Fantastic ideas
Fact brother,,,,,,!