Huyu atasaidiwa tu kupeleka moto.wanawake wote hao atawaweza wapi haya ni matumizi mabaya ya wanawake,hawezi kuwapa dozi siku akienda kwa huyu wahuni wanachapa wengine.atawatia wote kwa siku moja?
Mungu awapumzishe waswati na huyu kimungu mtu,awashushie mwokozi atakaelinda Mali zao zirejee kwao,silipendi Kama nn mnyonyaji mdhalilifu huyu, haliendi na nyakati kabis
Brother Justin shed mimi nakukubali sana. na kazi yako naipenda endelea kufanya kazi kwa bidii kwani kazi yako inaonekana bro tupo pamoja... Oky sasa twende kazi.
Sasa hiv ana wake 19 Nimeenda kule mara. Kadhaa Aliwah owa mwanafunz akamkimbia pia kuna mwanamke wake alijiua Pia watu wake wa karibu humsisiitiza aoe ili nao wapatemo kwenye ile sherehe Maana huenda kwenye gwaride llitwalo saghaluga(Reed dance) Ardhi yote kule mkiuziana kuna percent ya mfalme Mwanzon kabla ya watetea haki wanaharakat wa jinsia hawajampigia kelele ilikuwa.anawatest mabint wote kuona kama wanabikira
hao😢wananchi pia nao wako na mchezooo,,kwani hawawezi fanya maandamano,,kwa akika hio sio haki kabisa kujilimbikizia mali ya umma utakavyo mwenyewe 🙆🏾♂️🤔😭🙆🏾♂️😭🙆🏾♂️
Kama hakuna tozo na malipo ya kod ikiwemo upandaji wa mafuta na gas wao waishi nae tyuu ama tubadilishane waje kuishi bongo land kama hawatakaa cku4 na kuanzisha vita ya kudai nchi yao
Kwangu Mimi naona ni upuuz tu huo wa huyu mfalme haina maana,ni Bora Kama pesa zimezid asaidie zaidi na zaidi hata Kama anatoa,kwa wasiojiweza..na wapo wengi sana masikini,ila anachofanya sioni maana kwangu Mimi..
Traditional African kingdoms tend to be more compassionate toward its citizens than Western/European or Eastern/Asian ones to have been always brutal to their members (please see Game of thrones, etc.). Maybe that’s because traditional African kingdoms (e.g.Eswatini, hopefully!) have historically been usually “tribal” Kingdoms consisting of one culture one language one territory one belief system, etc., where the land and all assets belong to the kingdom under the care of the royal family and all members of the kingdom are somehow blood relatives of the royal family (and vice versa) largely due to the existence of the extensive polygamous practices. Modern African leaders are often erroneously attempting to turn democratic African countries into traditional African kingdoms thus disregarding the fact that as products modern African territories/countries are composed of diverse cultures, languages, races, belief systems, etc.
Huyu n kiongoz mzr hafichi kitu kuna viongoz wachafu kuliko huyo ila wamejificha kwa sura ya upole AMIN
Kabsaaaaaa
Daaah msenge ana pc kariii yan🔥🔥🔥
Izi ndio nchi zinazoitaji mapinduzi zenye viongozi washenzi
kabisa mwanangu nchi km hizi za kisenge ni mwendo wa kuingia porini na kuana hakuna namna.
Swahiba wa kikwete , tabia zao zoote zimefanana mwenyezi Mungu awaangamize viongozi woote wanafanya wananchi waish maisha magum
Si alipewaga binti kule
Huyu atasaidiwa tu kupeleka moto.wanawake wote hao atawaweza wapi haya ni matumizi mabaya ya wanawake,hawezi kuwapa dozi siku akienda kwa huyu wahuni wanachapa wengine.atawatia wote kwa siku moja?
Yani huyu mtu vyenye nilikua nikimsoma kwenye HISTORY nikidhani n mtu wa maana .Duuh !🇰🇪🇰🇪
Sio mtu zuri huyu swat wa 3
Tutampelekea ruto
Thank you somach kwa kutuletea ilimu tusio fahamu
Mungu awapumzishe waswati na huyu kimungu mtu,awashushie mwokozi atakaelinda Mali zao zirejee kwao,silipendi Kama nn mnyonyaji mdhalilifu huyu, haliendi na nyakati kabis
Bila kusahau Eswatin ndio nchi inayoongoza kwa kilimo cha bangi barani Africa
😲
Hahaha 🤣🤣🤣
Obviously Mswati ni mdau mzuri wa jani
Na hicho ndio ulichokijuwa Ata kukifata unaweza 😂😂😂
Mhh! Kula Bata MFALME. Ongeza Wanawake MPAKA hicho kitendea kazi kiseme PO!! 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Tunakuja duniani bila kitu, na tutaondoka kwa mtindo uo huo ~ bila kitu. Ole wake aliyeabudu mali, siku ya hukumu yaja.
Amen
Mungu waonekanie wa Swati.🙌🙌
Sauti ipo chini sana story ipo vizuri
Afrika tajiri Waafrika tunaishi Maisha ya kimaskini sababu ya viongozi kama hawa
Yeah
Wazungu akingilia ,situnawaita mabebelu ,wacha tukome
Video iko trending....!!! Big up to BF
Kbx
Tunaenda ad uraha kusoma Ila tukirud roho n utashii ule ule. Kasoro Seretse Khama,Nyerere n Lumumba
Nahisi engebadilika ingekuwa vizuri sana
That is extremely unlawfully
UYOOO ndio anafaa kuwe mume wa samia
😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽kabsaaaaaaaaaa
Kweli kabisa
Vimba upasuke,rais wako ni samia
🤣🤣🤣
Mbwembwe tu za duniani tunatambiana. Itafika siku yake vyote ataviacha!!
Hao wanawake wote anawaweza wapi kuwatia huyo anasaidiwa tu.hizi sifa za wafalme wengine ni za kijinga tu
Kabsa siz...🥰🥰🥰
@@Pedeshee01 🤣🤣🤣
@@munnahsaid7329 kweli nani atawatia wote na wao wanahitaji kupewa dozi huyo anawaolea walinzi wake na mawaziri tu wamsaidie
@@munnahsaid7329 ni matumizi mabaya kwa wanawake huyo anayoyafanya
mimi ni mkristo ..kwa upende wake mfalume yupo sawa tu kuwa na wanawake wengi ,,lakini tatizo ni kuwataka wanawake ki nguvu ndiyo makosa hayo
Mtihani sana ila yana MWISHO TU..
Poleni sana wana.
Nguvu ya bangi io😂😂 ...kama jamaa anauza bangi adi uku UK mnategemea nin!!
Brother Justin shed mimi nakukubali sana. na kazi yako naipenda endelea kufanya kazi kwa bidii kwani kazi yako inaonekana bro tupo pamoja... Oky sasa twende kazi.
Si kuoa ni uzinif wallah kingn wananch wanatesek yy anajilimbikizia Mali huy Hamz angefaa aondk naye kabis
Kwani hata waislam nao si ndo yaleyale
@@gosbertmuta5421 huy kazid
Wananchi kutokana na hali zenu....hapa ndipo wazungu wanapotushangaa sisi waafrica...
Sasa hiv ana wake 19
Nimeenda kule mara. Kadhaa
Aliwah owa mwanafunz akamkimbia pia kuna mwanamke wake alijiua
Pia watu wake wa karibu humsisiitiza aoe ili nao wapatemo kwenye ile sherehe
Maana huenda kwenye gwaride llitwalo saghaluga(Reed dance)
Ardhi yote kule mkiuziana kuna percent ya mfalme
Mwanzon kabla ya watetea haki wanaharakat wa jinsia hawajampigia kelele ilikuwa.anawatest mabint wote kuona kama wanabikira
hao😢wananchi pia nao wako na mchezooo,,kwani hawawezi fanya maandamano,,kwa akika hio sio haki kabisa kujilimbikizia mali ya umma utakavyo mwenyewe 🙆🏾♂️🤔😭🙆🏾♂️😭🙆🏾♂️
Nakubaliiii
Anh hao wananchi wanayo kazi.🙏
Mshenzi sana uyo mfalme
Hii hutokea kwa mtu yeyote asiekuwa na hofu ya M/mungu. Hawez kuhic ubaya wa ayatendayo.
Hiyo ni sawa na viongozi wa ccm tanzania
Kabisa hujakosea
Mimi ningekuwa ni mkuu wa majeshi Uswatin ningefanya uhaini tu
I'm a true African but with the greedy we have especially the majority of the leaders, Africa would never prosper unless through divine intervention
Daaah Ase Ama kweli komaa kimaisha ktk japo umiliki hata mkokoteni
Mbona hapinduliwi?
.😭😭RIP JPM..
Hakuna maslai kwa wazungu.
Mmh! Huyu ni mwizii lakini malipo atayakuta kwa Mungu.
Africa na maajabu yake
Hii ndiyo maana halisi ya muafrca sawa mabepari. Wanatutumia vibaya lakini mswati 3 ni ujinga
Laana hiyo mungu anamuona
Hii ni tabia ya kiafrika imeanza zamani sana
Utawala utaanguka tuu, one day is one day .
Tuchambulie utajir wa maraisi wa Tanzania m1 baadae mwengine
Tatizo tawala za ki Afrika katiba ndiyo tatizo. Uongozi bila kubanwa na katiba, ufujaji wa .mali za umma utaendelea tu.
Sio hak hio maan yy anajiona kama mungu au
Yaani huyu ni tajiri kuliko mfalme wa huku Sweden
Alaaniwe kwa madhambi yake anayo yatenda kwa wana nchi wake.
😀😀😀😀 mswat achan bae kaka
aje tz wamnyooshee vizur mbwa huyo 😏😏😏
Basi jeshi la marekani lije uku kukiwasha waachane na Taliban
Taliban gani wakati wamesanda kwa wataliban wenyewe .....🎯
Jeshi la marekani lije lifanye nini huko
Mungu ata mukumu tu kwa kuwanyanya wanamchi wke
Pepo ya dunia asubili moto wa akhera kwa kuwadhurumu wanainchi wake
Mungu wapiganie waswati
Abuse of power and public funds embezzlement, where is Amnesty International, feminists, Interpol
Sasa twende kazi
Huu ni ukiritimba na ufisadi,sidhani kama wananchi wake wanaridhika na utawala huu wenye elements za kidikteta!!!
Mimi n Albert Einstein Sasa twende kazi
Harafu marekani wapo na wa talbani tu badala waende kumtwanga huyo kiande 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Wamtwangie nini
Ashindwe kwa jina la YESU huyo mwizi
YesHi
Uzuzu wa kiwango cha juu kabisa.
ubinafsi si nzuri
Kama hakuna tozo na malipo ya kod ikiwemo upandaji wa mafuta na gas wao waishi nae tyuu ama tubadilishane waje kuishi bongo land kama hawatakaa cku4 na kuanzisha vita ya kudai nchi yao
Uketisha bro
Mungu atakuja kumuhukumu, kwani mungu hapendi kabisa dhuruma
Changamoto atakiona kwa mungu
Kiburi kama jong un wa Korea yani
Khatariiii
Hii sio sawa kabisa anawaumiza wananchi wa chini
Lakini nisawa anavyofanya sinimwaafrika bana
Hajafa tu Mpaka sasa au Kasha Kufa tayari
Sio uyo tu kuna kibibi kimoja kule uingeleza kinaitwa elizabeth vile vile kinawaburuza mabebelu wenzake pia
Napenda
Sitaki hata kumsikia hasmina llah wa nemal wakil amkeni wana uswati
Ishindwe in the name of Jesus christ our Lord
Nimekaa Eswatini kwa miaka miwili watu wanaishi maisha mabovu sana
Ewenaaaaaa Kunjani?
Yeeh wena maah
Hakuna ambae hapendi maisha mazur achen jamaa ale bata
Kwangu Mimi naona ni upuuz tu huo wa huyu mfalme haina maana,ni Bora Kama pesa zimezid asaidie zaidi na zaidi hata Kama anatoa,kwa wasiojiweza..na wapo wengi sana masikini,ila anachofanya sioni maana kwangu Mimi..
Ni mmimi sana.hapendi watu uchoyo umemzidi.
Mbona hata hapa Tz viongoz wengi ni mafisadi tu! Hakuna jipya!
Mmm! Magali yote hay yann huku kuna nchi wako wanateseka
Dah!!!!!
huyu jamaa ni hatari aisee, ila tunakoelea hiyo iko siku itapata democracy
natamani kina hamza wangeishi huku.kwani huyu mfalme anatawala wanyama sio binadamu.anawachuna wananchi anajitarisha yeye tu
We shared the same birthday19april
Mfalme mwenyew hawez kuwapiga show likitambi Hilo
Mh... Ndio definition halisi ya nch kuliwa. Tz wanadokoa tu!!
Noma
Yanahitajika mapinduz hapo tena ya kijeshi
Mbinafsi sana
Mmh sii kuoa ni uzinifu
Hii ni kawaida ya mtu asiepata akipata anakuwa limbukeni kabisa wa maisha
Ana muda mchache tu ulio baki wazungu watamrukia fasta
Is very painful
Hizo hela angewapa maskini abarikiwe zaidi hili ufalme wa Mungu awe naye
Still on
I like him😚💛
Dah
Anafaa apinduliwe madalaka hayawezi ana jinufaisha mwenyewe
Wasfrica ndivyo tulivyo.
Ya kwetu yanatushinda, tukiambiwa katiba mpya tunaleta usiasa tunaanza shadadia ya wenzetu.😂😂
Huyumfleme hafai kuongoza nchi
Mswati walinzi wake wanamgongea kinoma wake zake
Traditional African kingdoms tend to be more compassionate toward its citizens than Western/European or Eastern/Asian ones to have been always brutal to their members (please see Game of thrones, etc.). Maybe that’s because traditional African kingdoms (e.g.Eswatini, hopefully!) have historically been usually “tribal” Kingdoms consisting of one culture one language one territory one belief system, etc., where the land and all assets belong to the kingdom under the care of the royal family and all members of the kingdom are somehow blood relatives of the royal family (and vice versa) largely due to the existence of the extensive polygamous practices. Modern African leaders are often erroneously attempting to turn democratic African countries into traditional African kingdoms thus disregarding the fact that as products modern African territories/countries are composed of diverse cultures, languages, races, belief systems, etc.
Ndomaana kuongozwa kifalme nihatari sana kwa nchi za afrika
Kiongozi Mpumbavu huyu yani ndomana nasema Africa tume laaniwa 🤣
Hili halizuiliki kwa tawala za kiafrica ni mila na destuli
Pole