ELON MUSK: TAJIRI ANAYEOGOPWA NA RAIS PUTIN, NI MBABE WA TEKNOLOJIA DUNIANI..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 เม.ย. 2022
- ELON MUSK: TAJIRI ANAYEOGOPWA NA RAIS PUTIN, NI MBABE WA TEKNOLOJIA DUNIANI..
Jina lake halisi ni Elon Reeve Musk, ndiye mtu tajiri kuliko watu wote duniani. Utajiri wake haujaja kupitia kuuza pipi, soda, unga wa ngano n.k kama wengine wanaojiita matajiri, la hasha, yeye umeupata kupitia teknolojia tena ile ya hali ya juu!
Hiyo ni sababu ya kwanza inayowapa hofu Urusi. Jamaa mwanamapinduzi wa kweli kwenye teknolojia tena ya sayansi ya hali ya juu ambayo pia ndio msingi wa nguvu za kijeshi kwa sasa duniani ambapo vita inafanyika kisayansi sio kwa kupasua matofali kwa vichwa.
Sababu ya pili ni kwamba ndiye binadamu wa kwanza wa kujitegemea (siyo serikali) kuishinda Urusi kwenye teknolojia hasa kwenye mambo ya anga na kutawala ulimwengu kwa nyanja za maroketi na satellite zenye teknolojia ya hali ya juu zaidi.
Ikumbukwe kuwa Urusi iliitawala anga kwa kutumia roketi za Soyuz na alipokuja Elon akawachapa na Falcon 9 na Falcon Heavy ambazo ziliweza kwenda na kurudi zikatua kwa ufanisi mkubwa na zikatumika tena tofauti na Soyuz ya Urusi ambayo ikienda, ikirudi inakufa!
Sababu ya tatu ni kwamba Warusi wanaamini Elon Musk ndiye binadamu mwenye akili kuliko binadamu wote duniani! Ndiyo, hata mimi naamini hivyo. Ikumbukwe kuwa baba wa sayansi ya roketi ni Mrusi Konstantin Tsiolkovsky na Wamarekani wengi walitumia sayansi yake hiyo hiyo kutengeneza maroketi yao.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Hongera sana Elon Musk mwenyezi Mungu akupe maisha marefu tukaifaidi dhima yako juu ya kutusaidia waulimwengu huduma ya kimtandao buree!
Dah mnatudanganya sana yan urusi imuogope elon
😂
Naomba no zake Elon Musk
Kama ana uwezo wakuzua kituo cha anga kisionekane kwann ameshindwa kuzuia ndege yake iliwe tracked na yule mtoto wa miaka 16
BoRA HATA HUU MUDA UNGEKUA HATA UNA MPETI PETI JAMAA ANGEKUSHUKURU KWELI.🙏🙏🙏🙏
Hongera Sana mtu wa Mungu 🙏 kwa kupata maarifa makubwa 🤝💯💯
Dada kajipange usituchanganye hapa.
Amn
Dah , acha iyo upuuzi. Hawana uwoga na wako tayari. Kikubwa ni sababu hawataki vita .
Hapa umetudanganya lakin maana urusi ndio nchi ya kwanza kupeleka satellite angani
Nimecheka comment yako ila kweli ametudanganya huyu sister.
Mcklze vzur nawe
Wewe umesikiliza tu lkn hukufahamu
lakin marekan ndy nchi yenye satellite nying angan
Ulivyoanza tu kuelezea nikajua hamna kitu...
Golden skilled @appreciation 2 U
Nyie Jidanganyeni tu Kwa Putin Alafu Ndio Mtajua Hamjui
Habari zenu ninaegamia upande mmoja nyinyi global ni vibaraka wa watu WA magharibi.
Kabisa
Bora nawe umeongea,hawajamuona marekan wamemuona mrusi tu,Ukraine kwa sasa anakula kichapo huko habari hawatoi wanatafuta habari mbaya za mrusi ndo watoe,huenda hawa si waafrika halisi,hawana uchungu na gadaf hawa.
Hizi ni kelele za chura daima hazimzuii tembo kunywa maji kichapo alichokipata Ukraine marekani hatotia mguu kwani kiundani hakunaga vita ambayo marekani kapigana akashinda atatiaje mgu kwa mbabe wa vita? Tunajua vita ya marekani sikuzote ni propaganda kama hii iliyozungumzwa na huyu mdada hapa wakati urusi wao hawana hilo bali wanakupelekea moto wa kibabe tu ewe mwenyezi mungu wape nguvu warusi na ushindi ili jeuri ya waizrail iishe
@@allyhuyu1892 aamiin
Umeongea kweli maana ivi kwa akili ya kawaida Putin amuogope Elon Musk's kwa kipi anacho chakumtisha, global wanaandika habari za hovyo sanaa bila utafiti wakutosha, inabidi waache kuandika kwajili ya kujaza video TH-cam waandike facts za kweli,
Nashukuru.kiberapress from kenya
Mbona wakati mji wa mariapoul ulivyotekwa mlipotea hewani mmerudi Tena!
😂😂😂😂😂
Kwani sasaiv umeludishwa au bado tuwatume jwtz wakaukomboe 😂😂😂
Alhamduillh 💯💥🤝🤝
Mm siamini Elon ndie mwenye akili zaidi duniani .
Kwli hatamm siamin
Raa nakubari story iko sawa
Nyie ni vibaraka tu.
Kwa nini aogopwe na Urusi tu?
Na ni kwa nini asiogopwe zaidi na wanauza data kote Duniani.
Mnazingua
Hongera sana mh
He is a genius and not a confused person
Yaan dada uyo Alone Mask anapatikana kwa namba ya voda dada?😂😂🙌🙌🙌
Hutu ni tuuongo
@@kasabukuanthony6208 noma aisee
Nikajua ni labda ni wenge langu.😂 ametushika vibaya huyu s Dada😂
@@geoafricaadventure211 kitachowapunguzia watazamaji Global hili la kutoa habari mwanzo inamteka mtu anahisi mfano wa ukweli badae wanaingiza masihara hilo litawakost sana
Tunapambana kubishana ilhal hatujui kitu chochote kuhusu habari za anga na historia pia.ukichunguza sana huenda hata jina unaloitwa ni deli.
😂😂😂😂😂
Ni kweli... umejitaidi kidogo
Ajali
Putin doesn't fear anybody
Who is he
Stop stupidity to think that putin is everything
Dada umeongea ukweli kabisa nashangaa cjui kwanini watu wanakushambulia, tatizo wametawaliwa sana na siasa za ujamaa za urusi ukweli hawataki kuusikia kabisa.
Ni ukweli kati ya watu Putin hapendi Elon musk ni wakwanza.
niko pamoja na wew watu weng akil zao ni finyu wanasikiliza sana propaganda
Hii utakua umeitafsiri makala za BBC, CNN na media zingine za magharibi
Ww ni dada tu
C kweli dada
Kafanyeni utafiti mrusi anamiliki nini na nini kwenye technology alafu ndy mtowe hiyo habar
YAANI HII HABARI NI SAWA NA
VODACOM
AIRTEL
TIGO
HALOTEL
WAJITOKEZE NA KUSEMA WAO NDIYO WANAMITAMBO MIKUBWA HAPA TZ nadhani mwenye akili atakuwa ashanielewa.
Russia ni mmiliki wa hizo technology zote
Elon ni shughuli nyingine kwa sasa kwenye technology, amefanya mageuzi makubwa kwenye masuala ya anga za juu, kuliko unavyoweza kufikiri.
@@apengeslyamuya7788 nikweli unalosema ila anaemiliki hizo technology za anga na kila kitu kibali anatoa Russia ndy maana sometimes Americans wanakuwa wapole sana
@@sun7282 Kwa sasa Space Race imekuwa si kati ya serikali ya Marekani na ile ya Urusi tena bali imeingiliwa na sekta binafsi hasa kwa nchi ya Marekani ambako shirika la anga la nchi hiyo NASA ilimetoa kibali kwa mabilionea akiwemo Elon Musk anaemiliki SpaceX na matokeo yake yamekuwa ya haraka sana.
Kwa mfano leo SpaceX wanatengeneza rocket engine zao wenyewe, pia wamekuja na reusable space shuttle kitu ambacho Urusi hakukitarajia hata kidogo.
@@apengeslyamuya7788 nimependa sana
Umenijibu kwa fact 👌 💯
@@sun7282 tbt
NEC one
Marekani unaweza kupigwa kwa sekunde moja.
Ujuzi wa kuzaliwa ni kutoka kwa Mungu Bali si kupiga na kuumiza watu waame .
So kweli
Ukweli ni upi, jaribu kufikiri kwa kutumia kichwa na sio kiungo kingine.
Nyiye jidanga nyeni lakini Africa tume amka ushoga marufuku kwetu África
Ok
Acheni uongo warusi mpaka leo bado wanaongoza kwa Sayansi ya anga
Putin anatandika wezi wa mali za afrika mabeberu Marekani na vibaraka wake, Putin anachukia uonevu wa Marekani kwa mataifa mengine. Marekani na vibaraka wake ni wajuzi wa propaganda wakitumia vyombo vyao vya magharibi kutaka watu wote duniani tuamini wanachotaka wao na wanatoa habari wanazotaka wao upate na kuniamini, nadhani nanyi ni vibaraka wao. Wacha Putin hawanyooshe.
Usijidanganye urusi anapambana kutetea maslahi yake akuna taifa la watu weupe wanaowaza kutetea mtu mweusi urusi na Marekani ni mafahari wawili wanapigania masilahi yao tu
@@kisangageorgethomasi2830 Naamini kile ambacho moyo wangu unaniambia, sio kile wengine wanasema. Urusi kamwe hajawai kupora raslimali zetu afrika wala kuchochea migogoro afrika kwa maslahi yake ni Marekani na vibaraka wake ndio waporaji na chanzo cha migogoro mingi afrika na duniani kote, ni sahihi Urusi kwa Ukraine anafanya oparesheni kulinda maslahi yake kwani Ukraine ni kichaka cha Marekani na vibaraka wake wanao muwinda Urusi, wacha hawanyooshe.
@@almachnestor8955 vita yao aina maslahi kwa Afrika wapambane wasipambane Afrika itabaki kama ilivyo
@@kisangageorgethomasi2830 Natambua hilo kwani wakati Urusi na Ukraine wakipigana, wasimamizi wa mataifa yetu ya afrika wanapishana angani kwenda kutembeza bakuli kwa wazungu, ujinga wa wasimamizi wa nchi yetu ni utajiri wa wazungu. Ila mimi nafurahi Putin anavyo wanyoosha.
@@almachnestor8955 ni kwa faida yake sio Afrika
falcon ndio Mimi Wacha presher Elon musk's
Dada umekosa kazi kaa tu jikoni na uratibu about lunch and dinner na kua dunian kote shujaa hawezi kusemewa na mwanamke kamwe.
😂😂😂😂
Kumbe ndie anaewapa jeuri jeshi la Marekani.
Nani alikwambia anamwogopa?
😀😀kupasua matofali kwa kichwa. Tz
Habari za mchongo hizi unaegemea sehemu moja
Nyie ni waongo sis tulio kuwa uku urusi ndio tunajionea acheni danganya toto apo bongo
Yaan wabongo bhna. 😂. Yaan mnabisha jamaa hana akili ??? Nyie wabongo hata kijiko mnaweza kutengeneza??? Et anatengeneza Magari . Huyo ni genius Hatuwezi kubisha hlo.
Vip ELON MUSK anaweza kurudisha roho ya babu yangu
Nhuuu!! Unajua hizo injini za rocket anazinunua wapi au unabwabwaja tu
Anazitengeneza mwenyewe
Kwa iyo unataka kusema Elon ananizidi akili?sio kweli!😂😢
Danganyeni wale awajasoma
Naomba she africa
Ndugu yetu umutupiga bana kwamba anawashinda warusi
Huyo kichwa chake nikamasi tu kwa BABU YANGU ( PUTIN) LIBABU NI NOMA ngoja liipige DEKI UKREN MUNGU AWEKE WATU WAPYA MBONA SISI NDUGU ZETU WAMEUWAWA SANA TU TOKEA MKWAWA MPAKA GADAFFI DUH! WAO NILEO TU KELELE MPAKA VATIKANI.
Ndugu yetu hapo umetudanganya kisayansi ya anga warusi ndiyo watu wa kwanza,kwenda mwezini mrusi huwa anaficha teknolojia yake,kafanye tena utafiti uliokamilika.
Pia ukumbuke Marekani ndiyo wakwanza kugundua nyukilia Tena zamani Sana hata kabla ya Putin hajazaliwa 🤣🤣🤣
Ngumu kuwalinganisha Urusi technology zote unazozijua marekani wanazo na wanazijua isipokuwa marekani Wana watu Wenye Utulivu na weledi hawaropoki ovyo kama Nchi nyingine zote Duniani.
@@damianlyimo8402 kabisa watu hawajui na wapo kishabiki tu na siku zote tumewazoa hasa watu wa Iman flan hupenda kuiona marekani Kama ka inchi dhaifu hivi na wakisikia marekani imeingia mzozo na inchi flan utasikia wakisema marekani watapigwa vibaya 😂😂😂 yaani wao hawataki ukweli kuwa marekani ndiyo Kaka wa dunia ila wanapenda uongo kwa sababu ya itikadi zao flani.
Historical Log
# Launch Name Country Result Details
1 1960 Korabl 4 USSR (flyby) Failure Didn't reach Earth orbit
2 1960 Korabl 5 USSR (flyby) Failure Didn't reach Earth orbit
3 1962 Korabl 11 USSR (flyby) Failure Earth orbit only; spacecraft broke apart
4 1962 Mars 1 USSR (flyby) Failure Radio Failed
5 1962 Korabl 13 USSR (flyby) Failure Earth orbit only; spacecraft broke apart
6 1964 Mariner 3 US (flyby) Failure Shroud failed to jettison
7 1964 Mariner 4 US (flyby) Success Returned 21 images
8 1964 Zond 2 USSR (flyby) Failure Radio failed
9 1969 Mars 1969A USSR Failure Launch vehicle failure
10 1969 Mars 1969B USSR Failure Launch vehicle failure
11 1969 Mariner 6 US (flyby) Success Returned 75 images
12 1969 Mariner 7 US (flyby) Success Returned 126 images
13 1971 Mariner 8 US Failure Launch failure
14 1971 Kosmos 419 USSR Failure Achieved Earth orbit only
15 1971 Mars 2 Orbiter/Lander USSR Failure Orbiter arrived, but sent no useful data; lander destroyed
16 1971 Mars 3 Orbiter/Lander USSR Success/Failure Orbiter obtained approximately 8 months of data and lander landed safely, but only 20 seconds of data returned
17 1971 Mariner 9 US Success Returned 7,329 images
18 1973 Mars 4 USSR Failure Flew past Mars
19 1973 Mars 5 USSR Success Returned 60 images; only lasted 9 days
20 1973 Mars 6 Orbiter/Lander USSR Success/Failure Occultation experiment produced data and Lander failure on descent
21 1973 Mars 7 Lander USSR Failure Missed planet; now in solar orbit.
22 1975 Viking 1 Orbiter/Lander US Success Orbiter returned over 36,000 images; lander returned first image from the surface of Mars and conducted soil experiments
23 1975 Viking 2 Orbiter/Lander US Success Returned 16,000 images and extensive atmospheric data and soil experiments
24 1988 Phobos 1 Orbiter USSR Failure Lost en route to Mars
25 1988 Phobos 2 Orbiter/Lander USSR Failure Lost near Phobos
26 1992 Mars Observer US Failure Lost prior to Mars arrival
27 1996 Mars Global Surveyor US Success Mapped Mars and its topography; studied indications of Mars’ wetter past
28 1996 Mars 96 Russia Failure Launch vehicle failure
29 1996 Mars Pathfinder US Success Technology experiment lasting 5 times longer than warranty
30 1998 Nozomi Japan Failure No orbit insertion; fuel problems
31 1998 Mars Climate Orbiter US Failure Lost on arrival
32 1999 Mars Polar Lander US Failure Lost on arrival
33 1999 Deep Space 2 Probes (2) US Failure Lost on arrival (carried on Mars Polar Lander)
34 2001 Mars Odyssey US Success High resolution images of Mars
35 2003 Mars Express Orbiter/Beagle 2 Lander ESA Success/Failure Orbiter imaging Mars in detail; lander appears to have landed intact but didn’t communicate with Earth
36 2003 Mars Exploration Rover - Spirit US Success Operated for over 6 years on Mars, long past design life
37 2003 Mars Exploration Rover - Opportunity US Success Operated for nearly 15 years, roving a record 28 miles (45 km)
38 2005 Mars Reconnaissance Orbiter US Success Studying Mars in detail; has returned over 400 terabits of data (more than all other Mars missions combined)
39 2007 Phoenix Mars Lander US Success Returned more than 25 gigabits of data from its studies of Mars’ north polar region
40 2011 Mars Science Laboratory US Success Exploring Mars' habitability
41 2011 Phobos-Grunt/Yinghuo-1 Russia/China Failure Stranded in Earth orbit
42 2013 Mars Atmosphere and Volatile Evolution US Success Studying the Martian atmosphere
43 2013 Mars Orbiter Mission (MOM) India Success Develop interplanetary technologies and explore Mars' surface features, mineralogy and atmosphere.
44 2016 ExoMars Orbiter/Schiaparelli EDL Demo Lander ESA/Russia Success/Failure Orbiter studying Martian atmosphere and EDL demo lander lost on arrival
45 2018 Mars InSight Lander US Success Measuring “marsquakes” and studying the planet’s interior
46 2020 Hope Orbiter UAE Success Studying the Martian atmosphere
47 2020 Tianwen-1 Orbiter/Zhurong Rover China Success Orbiter arrived in Feb. 2021; released lander for successful touchdown and rover deployment in May 2021
48 2020 Mars 2020 Perseverance Rover US Success Searching for signs of ancient life and collecting samples for future return to Earth
URUSI HAWAKUFANIKIWA, MAREKANI NDIYO WA KWANZA KUFANIKIWA
Boss wangu sio kweli tofautisha kwenda Anga za mbali (Nje ya DUNIA) na kwenda Mwezini,Urusi wa kwanza kurusha mtu nje ya Dunia Marekano wa kwanza kwenda Mwezini.
Kanye ukooooo ujui unachokizungumza fanya tafiti dada otherwise nita unsubscribe Chanel yako
Huyu ndio mwanaume sasa achana na Hawa wanaume wa bongo wakisgapata visent wao nikiwaza ngono tyu na kutembea na wanafunz wa vyuo
elon musk is genius
Uyo kabalikiwa
Diamondplatnumz
Arafu Elon musk ni anachembechembe za kiafrica Tena madib
Kweli unavyosema elon musk ndie ana satelait kubwa kuliko nchi yeyote duniani ana chombo ambacho kikitoka mwezini kinatuwa bila tatizo sio
Marekani ndio namba moja kwa technology
Njaa imeingia Dunia nzima vita ya miezi miwili tu.mbabe Putin,Lowe funzo kwa njaa na mafuta ya kula na ngano.tuna ardhi kubwa hatuwekezi tunatafuta wawekezaji hatujifunzi tunaiga vitu vya hasara,hii ndio Tanzania ya Leo mpaka mitandao yetu inakopi ya hovyo ndivyo tulivyo kwa kuwa watawala wetu vilazabwa uchumi wafanyaji kz kwa mazoea
Kila binadamu anauwezo ila uwoga na kupewa fursa
Huyo Ni mpuuzi tu Putin, rais wake mwenyew anahaha itakuwa raia mmoja kwa Putin. Putin hawez ata kupoteza. Muda wake na upuuz wa mtengeneza gari, wakati anakaa meza moja na watengeneza nuclear. 💥
Umeona eee hahahaha
Wapuuzi sana nyie😂😂
Wewe kakwambia na ni kuwa Urusi nana muogopa Elon Mask wacheni kuwalisha maeno watanzania
Falcon is feswal alfabeto letar f
Elon inatamkwa iilan na sio 'eloni'.. lakini hata hivyo asante sana
Nyie global habari zenu ni za kinafikiiiiii.
Duh mungu huyu🇺🇲🇺🇲🇺🇲💪💪
Enezia kama unamsifia wewe Elon musk sio Urais Urus uisikie hivyo hivyo
Stori ya kweli na nilifwatilia huyu kamanda kapewa kipawa na Mungu
Wewe muongo sana hii leo USA imeweka dollar billion 10 kwa kwa atayewapata wadukuwaji 6 wa kirusi baada ya kuduguriwa na wanasanyasi wa Urusi
Huyu ni mwongo
Nishida
anamwogopaje max hana kitu ila anajipamba tu urussi ni kiti na jitu jingine
Uku kwetu ni mtu maarufu namwenye akili ni nyerere😅😅😅😅
Kwenye data apo atakua amefanya la .maana maana Wana tuonea Asaiv 😅 Kila sku bando Lina badrka
Yaani urusi imuogope ELON MUSK labda kama mnaandika hvi kufurahisha watoto
Mwamba anae ogopwa na urusi ndio jina la Muvi 😂😂😂
Huy atakuwa allians kutoka sayar nyingine na sio dunia hii na walishajisema kuwa wapo kutesa the real human being
Afu unaremba sauti utazani unamsifia mmeo ETI 😂😂😂😂
Sisi tunao soma sayansi tuna jua
i would not buy stock just yet . Musk’s Twitter ambitions to collide with Europe’s tech rules
achen habar za kikuma nyie
basi si aambie putin asitishe vita mara moja la sivyo amuonyeshe moto Putin ndo tuamini kweli huyu anaogopwa
Acha uongo mbona hujasema aliitwa Biden
Utafiti wako ni 2% tu, Utajiri wa Elon Musk kaupata kupitia Cryptocurrency.. na Kuendeleza Maazimio yake ya AI technology
Mtu ukifanya kizuri unapongezwa. Tumezoea wazungu kufunga anga 😃😃kam libia kwa kanal sasa wao ndo vindege vyao vimezuiwa kupita Urusi na havisubutu yani kama wangekua dhaifu saizi wangepigwa kweli lkn acha tujifariji😄✍wamarekani siwamtume huyo dogo kama anaogopwa huko. Kuna taifa linaweza kupiga marufuku Rais wa Marekani kwenda kwao na akionekana apigwe risasi kweli zaidi ya Russia😄
Mzee 2015 unakijua alichokifanya Uturuki kwa Urusi?
@@godfreydavid6267 achana nae huyo anadandia tu habari hajui chochote,Rais yoyote duniani anaweza pigwa marufuku na nchi yoyote.
Kuamini kwamba huyu ndie mtu mwenye akili zaidi duniani huo ni upotovu.😀
Eti mbona yupo kama zoba tu
Kama mtu hauna uzoefu Ni maswala ya anga Ni Bora kukaa kimya tu
Elon musk amezaliwa Pretoria ,hakuhamia south africa ili aende USA, mbona hueleweki .
Wewe umenunuliwa. Kwa nini Urusi? Shame
Hapa ndiyo mmeamini kuwa wanawake huwa wanakuwa na akili siku tatu tu katika mwezi mzima.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Putin ni hatari sana
Nani yuko hapa baada ya kuskia jamaa anataka kuinunua MAN UNITED?
Namjua huyu jamaa ndiye mpinga kristo huyo sasa kama hamjui
Utakufa maskini
Wewe alikwambia na Urus inamuogopa ELON MUSK ndio propaganda za Marekani unazo mezeshwa
huyu dada ni mshamba . afu cjui inakuaje unabonga kwa ujasiri Kama kweli unaelewa .global apa amna kitu kabixa