Hapana. zanzibar sio sehemu ya tanzania ila ni nchi(visiwa) huru vilivyo amua kuungana na Tanganyika,kuzalisha taifa linalo itwa tanzania. ila Hong Kong ni sehemu ya china ilio kuwa inatawaliwa na mtu mwingine ambae ni uingereza. so HK Na China ni Tofauti sana na Tanganyika na Zanzibar
We hujui si kila mtu ni mchina ila ni kama africa tu maana watu ni weusi ila ukienda asia utakutana na Mongolia yote ni jamii moja ila si wachina nadhani umeelewa
Ukishasema tu Tanzania na Zanzibari, tayari hizi ni nchi mbili… ondoa hii “ na”….huwezi kusema Juma na Amosi ni mtu mmoja.. ili awe mtu mmoja lazima useme Juma Amosi.
@@JohnCage-we6tp Kwa nini isiwe nchi wakati ina raisi wake??? Ukisema Tanzania na Zanzibar, hizi ni nchi mbili na kila moja ikiwa na Raisi wake. Unajua nchi mbili kuungana haijaanza leo. Kwenye Biblia kuna nchi ziliungana Umedi na Uwajemi zikaingusha dola ya Babeli. Lakini baadae ule muungano ulivunjika. Usishangae baadae huu muungano wa Tanzania na Zanzibar ukavunjika. Kwanza ukifuatilia utagundua kuna watu wengi kule Visiwani wanataka Zanzibar iwe kama ilivyokuwa Zamani.
@@mariamdimosso621 Tanganyika na Zanzibar ila now day Tanganyika ni kam Imefutika hivi Jina lake mimefutwa na neno Tanzania coz Tanganyika ndio inawakila eneo kubwa kwenye Tanzania ndio Maan unakuta sio rahisi kutajwa
asanti sana Justin shedi kwakutuelimisha Emmanuel mwangi kutoka Kenya
Hapo ni sawa na Zanzibar na Tanzania Bara
Hapana. zanzibar sio sehemu ya tanzania ila ni nchi(visiwa) huru vilivyo amua kuungana na Tanganyika,kuzalisha taifa linalo itwa tanzania. ila Hong Kong ni sehemu ya china ilio kuwa inatawaliwa na mtu mwingine ambae ni uingereza. so HK Na China ni Tofauti sana na Tanganyika na Zanzibar
Ahsante kwa elimu nzuri
Nimependa hii story tamuuuu sana
Tunomba na historia ya mji wa Macou ulioko nchini China
Hong-Kong ni wacha Mungu china ni mapagani hiyo ndiyo tofauti
Ndo kunatoka wasanii maarufu sana
Wachina aghalabu huko barani kwao ndio kuna shule kibao za kufunzwa martial art
SASA TWENDE KAZIIIIIIIII
Sasa twende kaaziii
I say Justin unaweza simulizi kinoma noma ninakupata from Mozambiq,chapa khazi twende mbele
👍👊✌️.
Na wote ni wachina cio ama kuna wachina na wahongkong😂😂
We hujui si kila mtu ni mchina ila ni kama africa tu maana watu ni weusi ila ukienda asia utakutana na Mongolia yote ni jamii moja ila si wachina nadhani umeelewa
Aisee,na hapo pana viwanda vingi vya mitambo
Kaka asante kwa kutupatia video ambazo hatusioni kwingine❤
Nakufatilia sana kaka songa mbele
Wa kwanza hapa nipeeni likes😂😂
Kwaiyo upi mji kuu wa china
Beijing
Beijing
Beijing
China haifaiiii niugaidiíiii ndooo maana wanaipinga USA
wewe kweli taira la mwisho
Ipo siku HONG KONG itakuwa nchi
Haitotokea maisha
sahau
Ila hokong ni China ni kam Tanzania na Zanzibar t
Ukishasema tu Tanzania na Zanzibari, tayari hizi ni nchi mbili… ondoa hii “ na”….huwezi kusema Juma na Amosi ni mtu mmoja.. ili awe mtu mmoja lazima useme Juma Amosi.
@@BarnabaBuhoma Kwan ww unafikiri Zanzibar sio nchi au
@@JohnCage-we6tp Kwa nini isiwe nchi wakati ina raisi wake??? Ukisema Tanzania na Zanzibar, hizi ni nchi mbili na kila moja ikiwa na Raisi wake. Unajua nchi mbili kuungana haijaanza leo. Kwenye Biblia kuna nchi ziliungana Umedi na Uwajemi zikaingusha dola ya Babeli. Lakini baadae ule muungano ulivunjika. Usishangae baadae huu muungano wa Tanzania na Zanzibar ukavunjika. Kwanza ukifuatilia utagundua kuna watu wengi kule Visiwani wanataka Zanzibar iwe kama ilivyokuwa Zamani.
Hivi ni muhungano wa Tanzania Na Zanzibar au Tanganyika na Zanzibar ndio wakapata Tanzania
@@mariamdimosso621 Tanganyika na Zanzibar ila now day Tanganyika ni kam Imefutika hivi Jina lake mimefutwa na neno Tanzania coz Tanganyika ndio inawakila eneo kubwa kwenye Tanzania ndio Maan unakuta sio rahisi kutajwa