Kwanini Hong Kong Hawataki Kuwa Sehemu Ya China? Wana Mipaka, Pesa, Serikali Tofauti, Nini Chanzo?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 38

  • @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq
    @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq 2 หลายเดือนก่อน +5

    asanti sana Justin shedi kwakutuelimisha Emmanuel mwangi kutoka Kenya

  • @ce-08
    @ce-08 2 หลายเดือนก่อน +9

    Hapo ni sawa na Zanzibar na Tanzania Bara

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 2 หลายเดือนก่อน +2

      Hapana. zanzibar sio sehemu ya tanzania ila ni nchi(visiwa) huru vilivyo amua kuungana na Tanganyika,kuzalisha taifa linalo itwa tanzania. ila Hong Kong ni sehemu ya china ilio kuwa inatawaliwa na mtu mwingine ambae ni uingereza. so HK Na China ni Tofauti sana na Tanganyika na Zanzibar

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 หลายเดือนก่อน

    Ahsante kwa elimu nzuri

  • @thadeombani7869
    @thadeombani7869 หลายเดือนก่อน

    Nimependa hii story tamuuuu sana

  • @anoldjoseph2947
    @anoldjoseph2947 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tunomba na historia ya mji wa Macou ulioko nchini China

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hong-Kong ni wacha Mungu china ni mapagani hiyo ndiyo tofauti

  • @IsanHomi
    @IsanHomi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ndo kunatoka wasanii maarufu sana

  • @Qqambaa
    @Qqambaa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wachina aghalabu huko barani kwao ndio kuna shule kibao za kufunzwa martial art

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 2 หลายเดือนก่อน +1

    SASA TWENDE KAZIIIIIIIII

  • @starwayafricatv5017
    @starwayafricatv5017 หลายเดือนก่อน

    Sasa twende kaaziii

  • @wamabalassbro-mo1fh
    @wamabalassbro-mo1fh 2 หลายเดือนก่อน +1

    I say Justin unaweza simulizi kinoma noma ninakupata from Mozambiq,chapa khazi twende mbele

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 หลายเดือนก่อน

    👍👊✌️.

  • @Qqambaa
    @Qqambaa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Na wote ni wachina cio ama kuna wachina na wahongkong😂😂

    • @YoungRommy
      @YoungRommy 2 หลายเดือนก่อน

      We hujui si kila mtu ni mchina ila ni kama africa tu maana watu ni weusi ila ukienda asia utakutana na Mongolia yote ni jamii moja ila si wachina nadhani umeelewa

  • @geofreybakina6010
    @geofreybakina6010 2 หลายเดือนก่อน

    Aisee,na hapo pana viwanda vingi vya mitambo

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka asante kwa kutupatia video ambazo hatusioni kwingine❤

  • @PaulFrank-lw2jt
    @PaulFrank-lw2jt 2 หลายเดือนก่อน

    Nakufatilia sana kaka songa mbele

  • @lopezbazenga9862
    @lopezbazenga9862 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wa kwanza hapa nipeeni likes😂😂

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaiyo upi mji kuu wa china

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 2 หลายเดือนก่อน +2

    China haifaiiii niugaidiíiii ndooo maana wanaipinga USA

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 2 หลายเดือนก่อน +1

      wewe kweli taira la mwisho

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 2 หลายเดือนก่อน

    Ipo siku HONG KONG itakuwa nchi

    • @saidiomar6642
      @saidiomar6642 2 หลายเดือนก่อน +1

      Haitotokea maisha

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 2 หลายเดือนก่อน +1

      sahau

  • @JohnCage-we6tp
    @JohnCage-we6tp 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ila hokong ni China ni kam Tanzania na Zanzibar t

    • @BarnabaBuhoma
      @BarnabaBuhoma 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ukishasema tu Tanzania na Zanzibari, tayari hizi ni nchi mbili… ondoa hii “ na”….huwezi kusema Juma na Amosi ni mtu mmoja.. ili awe mtu mmoja lazima useme Juma Amosi.

    • @JohnCage-we6tp
      @JohnCage-we6tp 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@BarnabaBuhoma Kwan ww unafikiri Zanzibar sio nchi au

    • @BarnabaBuhoma
      @BarnabaBuhoma 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@JohnCage-we6tp Kwa nini isiwe nchi wakati ina raisi wake??? Ukisema Tanzania na Zanzibar, hizi ni nchi mbili na kila moja ikiwa na Raisi wake. Unajua nchi mbili kuungana haijaanza leo. Kwenye Biblia kuna nchi ziliungana Umedi na Uwajemi zikaingusha dola ya Babeli. Lakini baadae ule muungano ulivunjika. Usishangae baadae huu muungano wa Tanzania na Zanzibar ukavunjika. Kwanza ukifuatilia utagundua kuna watu wengi kule Visiwani wanataka Zanzibar iwe kama ilivyokuwa Zamani.

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hivi ni muhungano wa Tanzania Na Zanzibar au Tanganyika na Zanzibar ndio wakapata Tanzania

    • @JohnCage-we6tp
      @JohnCage-we6tp 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@mariamdimosso621 Tanganyika na Zanzibar ila now day Tanganyika ni kam Imefutika hivi Jina lake mimefutwa na neno Tanzania coz Tanganyika ndio inawakila eneo kubwa kwenye Tanzania ndio Maan unakuta sio rahisi kutajwa