siyo mmarekani tu,kama umesikiliza vizuri utakuwa umeelewa ninacho maanisha.mtu mweupe yeyote siyo wa kumuamini wao huangalia maslahi yao tu na ndo maana Korea iligawanywa na nchi 2 marekani na urusi kwaajili ya maslahi yao
Ndio sawa sawa na tanganyika na Zanzibar et mpaka historia ya Zanzibar tunaambiwa wazanzibari walifagilishwa kwa maziwa na waarabu dahh kumbe haya mambo yameanza mbali ata kwa wenzetu ndio maana naamini ipo siku muungano wa Zanzibar na tanganyika utakufa tu
Asante sana kwa kuendelea kutuelimisha Justin Shed
Basi nilijua uhasama wa Korea ulianza kale wao kwa wao Sana kumbe miaka y Vita vy dunia duh kisa wakoloni
We umefany nichomwe na uji 😀
Ety wanaume wanaofananaaaaa.!!!!!
Big up bro 💪 ndelea vivyo hivyo pia nakumbusha ukatayarishe video ya Mabomu ya hiroshima twaisubiri kwa hamu na ghamu kaka kuwa na siku njema
Tuna kuomba tusaidie kujua kwanini marekani ilivamia vietnam au nikweli
Marekani walikimbiavita ?.
Thanks for this video
Najivunia kuwa mwanafamilia wa BONGOFASTA
Bless sana my brother.
Kinacho sababishaga mm nakupenda ni kwamba video zako waga ni fupi lakini waga nahelewa big up sana brooooo twende kazi
Da! Nimeijua sasa History ya Korea. Thnx Master
wamarekani kila baya na mateso ya mataifa anahusika...ipo siku nature itamuhukumu..
Watanzania 🤣👎🏽
Following ya channel from Nairobi ,Thanks
Imenikosha sana kwa video ya Korea
Asa nte
You are the best
Duuh safi sana nilikuwa sijuwi
Bomba Sana
U are always the best broh 🔥 I appreciate the spirit u have broh 🔥 Congratulations
Asante kwa hii historia
Safi sana kwa historia hiii
👍Good ukweli mtupu hujanitoa hata relini
Nimekuelewa vzr sana Justin 💥💥
Thanks for the story
Kumbe Wajapani wamekuwa wakorofi tangu zamani.
Tunakupenda ilaaa uwekii vidio mda sahihii
Bongo fasta wewe uko fresh 😋 tupe vitu
Wazungu wanataka nchi ziwe vipande vidogo vidogo tu kama walivyofanya huko Sudan; marekani sio mtu mzuri (nguruwe)
siyo mmarekani tu,kama umesikiliza vizuri utakuwa umeelewa ninacho maanisha.mtu mweupe yeyote siyo wa kumuamini wao huangalia maslahi yao tu na ndo maana Korea iligawanywa na nchi 2 marekani na urusi kwaajili ya maslahi yao
Hahahahahahah
Strongly
Ndio sawa sawa na tanganyika na Zanzibar et mpaka historia ya Zanzibar tunaambiwa wazanzibari walifagilishwa kwa maziwa na waarabu dahh kumbe haya mambo yameanza mbali ata kwa wenzetu ndio maana naamini ipo siku muungano wa Zanzibar na tanganyika utakufa tu
Ufetu sijui ata alipatwa na Nini karume kuitoa nchi kwa waarabu akaipeleka kwa wanyamwez
Yaani Bongo fasta wangekuwepo enzi nasoma,history ningepata 100 😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Hao wajapani ndo maana walipgwa na neuclear kumbe walkuwa wakorofi
Wachezi sana
Justineshedy tulee na ya CHINA kugawanyika kama Korea
Ndo maana naipenda Marekani!
the voice to remember
Congratulations my brother
Ww jamaa ni nomaaa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍.
Sasa twende kazi mwamba
Gd naitaji kukuona nakuonaje sina namba yako
Kumbe bora japani ilivo pigwa nyuklia
Picha Kim au makombola nimecheka bila kutegemea
Mimi ni Justin shade sasa twende kaziriiiii 😂😂😂😂😂
Wamarekani ndio tatzo hawa wakagawana maana marekani ndio fitna mkuu duniani
Nice
Nakubal kaz justin
🙌🙌🙌🙌
Wapi likes ? ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
tuleteew ya Amber head na Johy Deep
Kaka unajua mengi tujuze zaidi
Ukitaka historia za huwakika njoo BONGO FASTA
Ni sababu dhaifu sana jmn! Mie nilijua lbd ni matukio yao wenyewe kwa wenyewe
Bridal Mask
Duh
Sasa unavosema niwe makini na marekani me inaniusu nn
Broo natak story ya Zanzibar
Kumbe bora japani ilivo pigwa nyuklia