MUONEKANO MPYA SOKO LA KARIAKOO, LINA MADUKA, MGAHAWA, MABENKI NA MIFUMO YA KUZIMA MOTO “UJENZI 93%”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 101

  • @Papaa_Hillary_Mrema
    @Papaa_Hillary_Mrema 6 หลายเดือนก่อน +29

    Tuwe wangwana tu, Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @Shadia544
    @Shadia544 6 หลายเดือนก่อน +13

    TANZANIA yetu na maendeleo ❤❤❤ amani na pendo ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 6 หลายเดือนก่อน +1

    Serikali inajitahidi Sana kujenga miundombinu Bora, 👏👏👏👏👏
    Tatizo ni uchafu, na matengenezo. Sasa ona hilo soko linavyong'aa ngoja wakianza kulitumia litakavyokuwa.

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 6 หลายเดือนก่อน +7

    Mashaallah...Allah ni mwema mno kwetu

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 6 หลายเดือนก่อน +9

    Tumpe mauwa yake Rais wetu, Samia. Kazi nzuri sana

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 6 หลายเดือนก่อน +3

    🥇mama maua yakwako izi ndizo habar watanzania tulizoea sikia

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 6 หลายเดือนก่อน +22

    Afu kuna mjinga mmoja huko anasema tuandamane 😂😂😂 kweli wale wenzetu njaa ile tusiharibu nchi yetu

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 หลายเดือนก่อน +3

      Amina 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰

    • @disanatv4485
      @disanatv4485 6 หลายเดือนก่อน +5

      Kumbe umeona sisi Na Tanzania yetu, Amani TU NA MUNGU WETU.😂😂😂

    • @StrongbowArrow2004
      @StrongbowArrow2004 6 หลายเดือนก่อน +4

      @@disanatv4485 Eeh buana ... hakuna taifa ambalo watu wasilipe kodi. tuko huku nje kuna makodi nusu ya mshahara unao upokea ni kulipa bills tofauti tofauti na bado tunakomaa 😅😅

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 6 หลายเดือนก่อน +4

      WENYEWE wananikeraga sana😢😢😢😢

    • @zomasamweli
      @zomasamweli 6 หลายเดือนก่อน +3

      kweli kabisa tulinde amani ya anchi🇹🇿yetu

  • @OsOs-l7c
    @OsOs-l7c 6 หลายเดือนก่อน +2

    Namkubali mama samiah suluhu Hassan, muonyeshe Raisi wetu tapeli Ruto awache uwongo na uwizi namna yakuongoza nchi

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 6 หลายเดือนก่อน

    Ewala hapo safi Sama.. hilo ndo soko sasa,na benki zipo..tanzania yetu inawakawaka sasa,international levels

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 6 หลายเดือนก่อน +5

    Asante sana rais Samia

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mh akifanya vzr basi huongwana ni kumpongeza sio kutafuta mabaya na kufanya fimbo ya kumchapia, kwa mara ya kwanza wa tz wanashuhudia muonekano mpya wa soko la kariakoo tokea Enzi kupata uhuru chini ya uongozi wa baba wa taifa.

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mama mm nakuunga mkono sana kwa maendeleo unayotuletea, Tunakushuru sana

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 6 หลายเดือนก่อน +10

    Sasa kama hilo soko hadi hapo lilipofikia imetumika bilioni 28 tu,, Afu ndo mwijaku anasema nyumba yake imekula bilioni 1.1 kumbe mwijaku muongo sana anataka sifa kwenye hamna😂😂😂😂

    • @Dipeson700
      @Dipeson700 6 หลายเดือนก่อน

      Hapana, serikali Huwa inatumia pesa nyingi sana KUJENGA, yani unaweza Jenga msingi Kwa mifuko 20 ya cement ila serikali inatumia mifuko 60 mpka 100 Kwa msingi, utofauti ni huo

  • @MRKp-zk7xs
    @MRKp-zk7xs 6 หลายเดือนก่อน +4

    Kumbe mama haja lala🤝

  • @UhaiLegeza
    @UhaiLegeza 6 หลายเดือนก่อน +6

    Love it

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah tabarak

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 6 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana❤🎉

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 6 หลายเดือนก่อน +2

    KIMYA KIMYAAA TUNASONGA NA MAMA..

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421
    @abuusaalimalmasasiyyu9421 6 หลายเดือนก่อน

    Love it... tzzz we are proud of you mama Samia

  • @UhaiLegeza
    @UhaiLegeza 6 หลายเดือนก่อน +3

    I am appreciate

  • @HashimMbamba
    @HashimMbamba 6 หลายเดือนก่อน +6

    Tanzania ni yamaendeleo

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mama samia tano tena🎉🎉

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 6 หลายเดือนก่อน +2

    Amazing 😍😍😍

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 6 หลายเดือนก่อน

    Ongera mama tupige kwa vitendo ivo wala usionge sana🙌🙌

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 6 หลายเดือนก่อน

    Jengo nzuri ira sie watanzania soko tutalichafuliwa tatizo mazingira choo hakitamani

  • @Dipeson700
    @Dipeson700 6 หลายเดือนก่อน

    Best job,ila sasa mteja kupanda mpka juu 😢

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 6 หลายเดือนก่อน +6

    Kikubwa tuitunze AMANI ya 🇹🇿

  • @ZainaBu-zs6wc
    @ZainaBu-zs6wc 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mama samia woyeeeeee

  • @kalingaasukile8730
    @kalingaasukile8730 6 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri ya Samia hii

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 6 หลายเดือนก่อน +1

    Naweza kupotea hapo sio kwa uzuri huo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 6 หลายเดือนก่อน

      Bora ww mi ntapotea mazima😂😂

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 4 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @prince.eric_msemwa1994
    @prince.eric_msemwa1994 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ufisadi kwenye ugawaji wa ivo visehemu vya biashara angalieni sana hata soko la stend ya JPM

  • @SarahJonathan-w7t
    @SarahJonathan-w7t 6 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂 alie. Sikia ukikanyaga nyoka ukionajani unkimbia nyoosha kidole juuu

  • @machumujuma6399
    @machumujuma6399 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona la mwanza halikamiliki wakati lilianza 2019 kabla ya hili

  • @rich-lr8tq
    @rich-lr8tq 6 หลายเดือนก่อน

    hili lilichomwa makususdi ili likarabatiwe maana tofauti na hivyo ingekuwa ngum sana

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mulilichoma kwa makusudi eti watu wanasema,la mbagala,la machinga bs moto huo ni balaa

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 6 หลายเดือนก่อน +1

    Lini linafunguliwa

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 6 หลายเดือนก่อน

    Lilipo Waka tu moto, nilijua tu kuwa Watakuwa na mpango kulijenga upya au kukalabati.ila kuwatoa hivihivi isingewezekana,

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 6 หลายเดือนก่อน

    HONGERA SANA KWA KAZI NZURI.OMBI KWA MKUU WA MKOA MIMI NAITWA AGNES ALFONCE NI MMAMA MLEMAVU LAKINI NINAUTAALAM KIDOGO WA AFYA.NAOMBA NAFASI YA FREM NA MKOPO KIDOGO KUFUNGUA DUKA LA DAWA BARIDI.NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA MAMA SAMIA

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mtaa wa kongo unaingiza kila siku kodi Milioni kumi na moja na hapo zinginezimeingia mifukoni na hapo kadi itazidi

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 6 หลายเดือนก่อน

    Tumieni akili, soko linaungua leo, halafu kesho kutwa michoro ipo tayari

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 6 หลายเดือนก่อน

      Si lilichomwa kusudi

  • @catherinesekumbo8347
    @catherinesekumbo8347 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani tuzingatie sasa Usafi jengo hilo zuri ila tukishindwa kuwa wastara u tutaliharibu.

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 6 หลายเดือนก่อน

    Yasiwe mabanda nje ya soko wafanya biashara watendaji tu wasichukue jiji kuwe na uwazi iwe sheria kali sana na endelevu

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 6 หลายเดือนก่อน

    Wawe wasafi basi wafnya biashara....maana pamejengwa vizur Sana ila usafi muhim

  • @MoosaMd-h6b
    @MoosaMd-h6b 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa narudi nyumbani kumenoga, nakuja kuwapikia wafanyabiashara. Choka kusugua Kuta na vyoo vya washashi

  • @meflorlionel7497
    @meflorlionel7497 6 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye gorofa 8 umetupiga

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 4 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @mathiasdaud7842
    @mathiasdaud7842 6 หลายเดือนก่อน +3

    Upatikanaji wa chumba sas

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 6 หลายเดือนก่อน +4

    Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mbona hamjalionesha lote

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 6 หลายเดือนก่อน

    Usafi sasa

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 4 หลายเดือนก่อน

  • @shufwaaofficialtv1306
    @shufwaaofficialtv1306 6 หลายเดือนก่อน +1

    Well

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 6 หลายเดือนก่อน

    Lipo Zuri sana, tumepiga hatua kitaifa kwakweli

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 6 หลายเดือนก่อน

    Mwongooo sana wee mtangazaji.walikuwa hawalipi kodi ya aina yeyote,wacha kudanganya,na mpaka leo hii hawalipi hata sh.moja ya kodi za serikali,mwongoooo sanaa

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 6 หลายเดือนก่อน

      Wewe unalipa sh. Ngapi?

    • @mufaddalmoawalla8522
      @mufaddalmoawalla8522 6 หลายเดือนก่อน

      @@omarybakunda2554 nalipa kodi zote za serekali ,labda nawewe mi mwizi wa kulipa kodi ndo maana imekuwasha

  • @emmanuelmogasa498
    @emmanuelmogasa498 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini usimpe muda injinia aongee?

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 5 หลายเดือนก่อน

    Amna jipya hapo serikali ya wezi 😁😁😁

  • @meeksson3589
    @meeksson3589 6 หลายเดือนก่อน

    Wekeni escalator acheni uswahili

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 4 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 4 หลายเดือนก่อน

    😊

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 5 หลายเดือนก่อน

    SHIDA YA WATANZANIA NI KUENDEKEZA UCHAFU NA UMACHINGA HOLELA,WASIMAMIZI WAWE WAKALI NA WOTE WANAOENDEKEZA UCHAFU,KWANI UKIUZA NYANYA NI KAZIMA UWE MCHAFU?MBONA NCHI NYINGINE WANAUZA MBOGA NA NYANYA KWENYE MAZINGIRA MASAFI?

  • @Sahlomon-jp4jr
    @Sahlomon-jp4jr 6 หลายเดือนก่อน

    Walinda legacy wana hasiraaaa!

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 6 หลายเดือนก่อน

    Lkn kodo zetu ndo zimejenga sio serikari

    • @BadoMartense
      @BadoMartense 6 หลายเดือนก่อน +2

      Acha kukaza fuvu, hujui kama serkali ikiwa mbaya unaweza ukalipa Kodi na serkali hiyo isijenge. Kwa hiyo shukuru serkali

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 6 หลายเดือนก่อน +2

      Ulichangia shingapi wewe binafsi?

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 6 หลายเดือนก่อน

    Huko juu kuko wazi wale wenye kujirusha kwenye magorofa sitakuwa rahisi kwao😢

  • @odenmasebo9777
    @odenmasebo9777 6 หลายเดือนก่อน

    walichoma ili wajenge

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 6 หลายเดือนก่อน

    Mngewaambia tu wafanyabiashara kama mnataka kulirekebisha soko sio kwa kuwachomea moto bidhaa zao

    • @BadoMartense
      @BadoMartense 6 หลายเดือนก่อน +1

      Acha roho mbaya

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 6 หลายเดือนก่อน +1

    ,👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @omante194
    @omante194 6 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 6 หลายเดือนก่อน

    Litakua soko la mabos tupu

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 6 หลายเดือนก่อน +2

      Lakini kwa idadi ya vizimba na namna kariakoo inavyoendeshwa na biashara, huoni watafaidika wauzaji?

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 6 หลายเดือนก่อน

      Wakubwa na watoto wao ndo watapata nafasi

    • @Manhajisalafy42
      @Manhajisalafy42 6 หลายเดือนก่อน

      Gorofa za juu nahisi itakua nyumba za mabundi tu

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 4 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 4 หลายเดือนก่อน

    🎉