MUONEKANO MPYA SOKO LA KARIAKOO, LINA MADUKA, MGAHAWA, MABENKI NA MIFUMO YA KUZIMA MOTO “UJENZI 93%”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 92

  • @Shadia544
    @Shadia544 25 วันที่ผ่านมา +13

    TANZANIA yetu na maendeleo ❤❤❤ amani na pendo ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 25 วันที่ผ่านมา +28

    Tuwe wangwana tu, Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 25 วันที่ผ่านมา +21

    Afu kuna mjinga mmoja huko anasema tuandamane 😂😂😂 kweli wale wenzetu njaa ile tusiharibu nchi yetu

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 25 วันที่ผ่านมา +3

      Amina 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰

    • @disanatv4485
      @disanatv4485 25 วันที่ผ่านมา +5

      Kumbe umeona sisi Na Tanzania yetu, Amani TU NA MUNGU WETU.😂😂😂

    • @TrinaRoman345
      @TrinaRoman345 25 วันที่ผ่านมา +4

      @@disanatv4485 Eeh buana ... hakuna taifa ambalo watu wasilipe kodi. tuko huku nje kuna makodi nusu ya mshahara unao upokea ni kulipa bills tofauti tofauti na bado tunakomaa 😅😅

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 25 วันที่ผ่านมา +4

      WENYEWE wananikeraga sana😢😢😢😢

    • @zomasamweli
      @zomasamweli 25 วันที่ผ่านมา +3

      kweli kabisa tulinde amani ya anchi🇹🇿yetu

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 25 วันที่ผ่านมา +10

    Sasa kama hilo soko hadi hapo lilipofikia imetumika bilioni 28 tu,, Afu ndo mwijaku anasema nyumba yake imekula bilioni 1.1 kumbe mwijaku muongo sana anataka sifa kwenye hamna😂😂😂😂

    • @Dipeson700
      @Dipeson700 24 วันที่ผ่านมา

      Hapana, serikali Huwa inatumia pesa nyingi sana KUJENGA, yani unaweza Jenga msingi Kwa mifuko 20 ya cement ila serikali inatumia mifuko 60 mpka 100 Kwa msingi, utofauti ni huo

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 25 วันที่ผ่านมา +5

    Mh akifanya vzr basi huongwana ni kumpongeza sio kutafuta mabaya na kufanya fimbo ya kumchapia, kwa mara ya kwanza wa tz wanashuhudia muonekano mpya wa soko la kariakoo tokea Enzi kupata uhuru chini ya uongozi wa baba wa taifa.

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 26 วันที่ผ่านมา +7

    Mashaallah...Allah ni mwema mno kwetu

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 25 วันที่ผ่านมา +9

    Tumpe mauwa yake Rais wetu, Samia. Kazi nzuri sana

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 25 วันที่ผ่านมา +3

    🥇mama maua yakwako izi ndizo habar watanzania tulizoea sikia

  • @user-vn9yi3dj4q
    @user-vn9yi3dj4q 25 วันที่ผ่านมา +2

    Namkubali mama samiah suluhu Hassan, muonyeshe Raisi wetu tapeli Ruto awache uwongo na uwizi namna yakuongoza nchi

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 25 วันที่ผ่านมา +6

    Kikubwa tuitunze AMANI ya 🇹🇿

  • @UhaiLegeza
    @UhaiLegeza 26 วันที่ผ่านมา +6

    Love it

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 25 วันที่ผ่านมา +3

    Mashaallah tabarak

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mama mm nakuunga mkono sana kwa maendeleo unayotuletea, Tunakushuru sana

  • @MRKp-zk7xs
    @MRKp-zk7xs 25 วันที่ผ่านมา +4

    Kumbe mama haja lala🤝

  • @HashimMbamba
    @HashimMbamba 26 วันที่ผ่านมา +6

    Tanzania ni yamaendeleo

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 26 วันที่ผ่านมา +4

    Mama samia tano tena🎉🎉

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 25 วันที่ผ่านมา +5

    Asante sana rais Samia

  • @UhaiLegeza
    @UhaiLegeza 26 วันที่ผ่านมา +3

    I am appreciate

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 24 วันที่ผ่านมา

    Ewala hapo safi Sama.. hilo ndo soko sasa,na benki zipo..tanzania yetu inawakawaka sasa,international levels

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 25 วันที่ผ่านมา +2

    Amazing 😍😍😍

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 23 วันที่ผ่านมา

    Serikali inajitahidi Sana kujenga miundombinu Bora, 👏👏👏👏👏
    Tatizo ni uchafu, na matengenezo. Sasa ona hilo soko linavyong'aa ngoja wakianza kulitumia litakavyokuwa.

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 25 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana❤🎉

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mulilichoma kwa makusudi eti watu wanasema,la mbagala,la machinga bs moto huo ni balaa

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 25 วันที่ผ่านมา +2

    KIMYA KIMYAAA TUNASONGA NA MAMA..

  • @shufwaaofficialtv1306
    @shufwaaofficialtv1306 26 วันที่ผ่านมา +1

    Well

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421
    @abuusaalimalmasasiyyu9421 24 วันที่ผ่านมา

    Love it... tzzz we are proud of you mama Samia

  • @user-rx9ij5xi1e
    @user-rx9ij5xi1e 25 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂 alie. Sikia ukikanyaga nyoka ukionajani unkimbia nyoosha kidole juuu

  • @ZainaBu-zs6wc
    @ZainaBu-zs6wc 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mama samia woyeeeeee

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 13 วันที่ผ่านมา

    Amna jipya hapo serikali ya wezi 😁😁😁

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 26 วันที่ผ่านมา +1

    Ufisadi kwenye ugawaji wa ivo visehemu vya biashara angalieni sana hata soko la stend ya JPM

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 25 วันที่ผ่านมา +4

    Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 25 วันที่ผ่านมา

    Ongera mama tupige kwa vitendo ivo wala usionge sana🙌🙌

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 25 วันที่ผ่านมา

    Jengo nzuri ira sie watanzania soko tutalichafuliwa tatizo mazingira choo hakitamani

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 25 วันที่ผ่านมา +1

    Naweza kupotea hapo sio kwa uzuri huo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 25 วันที่ผ่านมา

      Bora ww mi ntapotea mazima😂😂

  • @kalingaasukile8730
    @kalingaasukile8730 25 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri ya Samia hii

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mtaa wa kongo unaingiza kila siku kodi Milioni kumi na moja na hapo zinginezimeingia mifukoni na hapo kadi itazidi

  • @user-lq4mq7rz6h
    @user-lq4mq7rz6h 21 วันที่ผ่านมา

    Sasa narudi nyumbani kumenoga, nakuja kuwapikia wafanyabiashara. Choka kusugua Kuta na vyoo vya washashi

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 22 วันที่ผ่านมา

    Yasiwe mabanda nje ya soko wafanya biashara watendaji tu wasichukue jiji kuwe na uwazi iwe sheria kali sana na endelevu

  • @omante194
    @omante194 26 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉

  • @Dipeson700
    @Dipeson700 24 วันที่ผ่านมา

    Best job,ila sasa mteja kupanda mpka juu 😢

  • @machumujuma6399
    @machumujuma6399 17 วันที่ผ่านมา

    Mbona la mwanza halikamiliki wakati lilianza 2019 kabla ya hili

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 25 วันที่ผ่านมา

    Lilipo Waka tu moto, nilijua tu kuwa Watakuwa na mpango kulijenga upya au kukalabati.ila kuwatoa hivihivi isingewezekana,

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 26 วันที่ผ่านมา +1

    Lini linafunguliwa

  • @mathiasdaud7842
    @mathiasdaud7842 26 วันที่ผ่านมา +3

    Upatikanaji wa chumba sas

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 26 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa mbona hamjalionesha lote

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 22 วันที่ผ่านมา

    Tumieni akili, soko linaungua leo, halafu kesho kutwa michoro ipo tayari

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 20 วันที่ผ่านมา

      Si lilichomwa kusudi

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 25 วันที่ผ่านมา

    HONGERA SANA KWA KAZI NZURI.OMBI KWA MKUU WA MKOA MIMI NAITWA AGNES ALFONCE NI MMAMA MLEMAVU LAKINI NINAUTAALAM KIDOGO WA AFYA.NAOMBA NAFASI YA FREM NA MKOPO KIDOGO KUFUNGUA DUKA LA DAWA BARIDI.NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA MAMA SAMIA

  • @rich-lr8tq
    @rich-lr8tq 23 วันที่ผ่านมา

    hili lilichomwa makususdi ili likarabatiwe maana tofauti na hivyo ingekuwa ngum sana

  • @emmanuelmogasa498
    @emmanuelmogasa498 22 วันที่ผ่านมา

    Kwa nini usimpe muda injinia aongee?

  • @catherinesekumbo8347
    @catherinesekumbo8347 24 วันที่ผ่านมา

    Jamani tuzingatie sasa Usafi jengo hilo zuri ila tukishindwa kuwa wastara u tutaliharibu.

  • @Sahlomon-jp4jr
    @Sahlomon-jp4jr 25 วันที่ผ่านมา

    Walinda legacy wana hasiraaaa!

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 24 วันที่ผ่านมา

    Wawe wasafi basi wafnya biashara....maana pamejengwa vizur Sana ila usafi muhim

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 26 วันที่ผ่านมา

    Mwongooo sana wee mtangazaji.walikuwa hawalipi kodi ya aina yeyote,wacha kudanganya,na mpaka leo hii hawalipi hata sh.moja ya kodi za serikali,mwongoooo sanaa

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 25 วันที่ผ่านมา

      Wewe unalipa sh. Ngapi?

    • @mufaddalmoawalla8522
      @mufaddalmoawalla8522 25 วันที่ผ่านมา

      @@omarybakunda2554 nalipa kodi zote za serekali ,labda nawewe mi mwizi wa kulipa kodi ndo maana imekuwasha

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 25 วันที่ผ่านมา

    Lipo Zuri sana, tumepiga hatua kitaifa kwakweli

  • @meeksson3589
    @meeksson3589 25 วันที่ผ่านมา

    Wekeni escalator acheni uswahili

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 7 วันที่ผ่านมา

    SHIDA YA WATANZANIA NI KUENDEKEZA UCHAFU NA UMACHINGA HOLELA,WASIMAMIZI WAWE WAKALI NA WOTE WANAOENDEKEZA UCHAFU,KWANI UKIUZA NYANYA NI KAZIMA UWE MCHAFU?MBONA NCHI NYINGINE WANAUZA MBOGA NA NYANYA KWENYE MAZINGIRA MASAFI?

  • @odenmasebo9777
    @odenmasebo9777 25 วันที่ผ่านมา

    walichoma ili wajenge

  • @meflorlionel7497
    @meflorlionel7497 23 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwenye gorofa 8 umetupiga

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 25 วันที่ผ่านมา

    Huko juu kuko wazi wale wenye kujirusha kwenye magorofa sitakuwa rahisi kwao😢

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 25 วันที่ผ่านมา +1

    ,👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 24 วันที่ผ่านมา

    Usafi sasa

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 25 วันที่ผ่านมา

    Mngewaambia tu wafanyabiashara kama mnataka kulirekebisha soko sio kwa kuwachomea moto bidhaa zao

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 25 วันที่ผ่านมา

    Lkn kodo zetu ndo zimejenga sio serikari

    • @user-ji7sy2wi7b
      @user-ji7sy2wi7b 25 วันที่ผ่านมา +2

      Acha kukaza fuvu, hujui kama serkali ikiwa mbaya unaweza ukalipa Kodi na serkali hiyo isijenge. Kwa hiyo shukuru serkali

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 25 วันที่ผ่านมา +2

      Ulichangia shingapi wewe binafsi?

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 25 วันที่ผ่านมา

    Litakua soko la mabos tupu

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 25 วันที่ผ่านมา +2

      Lakini kwa idadi ya vizimba na namna kariakoo inavyoendeshwa na biashara, huoni watafaidika wauzaji?

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 20 วันที่ผ่านมา

      Wakubwa na watoto wao ndo watapata nafasi

    • @zubeiramlanzi2480
      @zubeiramlanzi2480 18 วันที่ผ่านมา

      Gorofa za juu nahisi itakua nyumba za mabundi tu