Bwana ni mwema Naomba uniombee nitoke kwenye mawazo mabaya na ndoto mbaya za wafiu, niombee afya yangu uchumi wangu uwe nzuri niombee nisimame Kwa Mungu.
Mungu wetu azidi kukupa afya mimi nabarikiwa na mafundisho yako maana unagusa pande zote .mimi nimekuwa mwanafunzi darasani ktk kusikiliza na kupona kiroho
Somo hili ni muhimu sana hakika nabarikiwa sana natamani kila mtu asikilize maana ni uponyaji wa mawazo mabaya .Mchungaji David ukweli sichoki kusikiĺiza mahubiri yako maana kwangu nabarikiwa na kupona kiroho na kimwili
amina mtumishi, nipo dodoma, natafta mahala sahihi pa kupokea ukombozi lakini sijapata, najarbu kuomba na kusali sana najarbu kufunga hata siku tatu kavu kwa mara nyingi, nahitahi sana kupokea wokovu wa kweli, lkn napitia changamoto ama vita kubwa sana hata biashara yangu kufa na ni kwa sababu ya kuanza maombi magumu sana, ko niko vitani nahitaji usaidizi wa maombi, MUNGU awabariki sana
Na fatiliya sana mafundisho yako pastor lakini iyi inani jenga zaidi,Mungu atu wezeshe tujuwe ku chaguwa ni nini tuta fuwata naku sikiliza . asanteni na Mungu azidi kukutiya nguvu
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu kwa mafundisho mazur naomba uzidi pia kumuombea mama mkwe wangu anasumbuliwa na nyonga kupitia dawa anazotumia kwa sasa zikampe uponyaji
SHALOM MTUMISHI MM NIKO NA SHIDA NYINGIENIKIPOKEA MISHAHARA WOTE HOSPITALI NIKISEMA HUU MWEZI NATOA SADAKA NASIKIA KITU IMEFANYIKA NYUMBANI MIAKA KUMI NA TANO SIJAFANIKIWA KITU CHOCHOTE KWENYE KAZI SASA MAGONJWA MWILINI NISAIDIE NIISHI KIROHO PROGRAMU ZOTE UNAZOFUNDISHA MM NDIO UNAONGELEA.AMEN.
Amen pastor ,mungu alitaka niskie hili hubiri ,limenipa tumaini na kunijenga sana, ubarikiwe sana pastor Mungu azidi kukutumia Kama chombo chake kuwafikia wengi.
Nisaide maombi mungu anisadie maana ninapojikita ktk kuomba ujazo wa roho mtakatifu ndipo mume wangu siku hio hata rudi nyumbani na kama akirudi basi kutatokea Ugo mvi tu ktk famila yangu
Pastor tena naomba uniombee wasichana wangu wawili wanaumwa na mgongo wote wamejaribu kuenda hospital wamesindikana.Asante mungu akusikie unapo waombea katika Jina la yesu Amina.
Kama ni mgongo jaribu wawe wanalala sakafuni au kitanda miti au kichanja Mungu atawasaidia wasilale kwenye godoro tena hadi wanapo tengamaa ubarikiwe na bwana
I appreciate You LORD for everything You've done in my life and the rest I leave them in Your able Hands. Be blessed Pastor for this timely message, 🙏🙌.
Bwana ni mwema Naomba uniombee nitoke kwenye mawazo mabaya na ndoto mbaya za wafiu, niombee afya yangu uchumi wangu uwe nzuri niombee nisimame Kwa Mungu.
Waumiini wenzangu jina la Mungu liandikwe vizuri ili kutofautisha Mungu wetu aliye hai na miungu. Wengi wanatunia herufu ndogo (mungu)!
Waambie kabisa maana wana uvivu sana
Kabisa Mungu ....na ....mungu ni majina tofauti ahsante kwa kutukumbusha
Shinda mawazo mabaya dhidi yangu mwenyewe...ahsante Mch Mmbaga
Tuko pamoja ktk maombi nawaombea watoto wangu wote ktk nyumba zao wawe na afya pia uchumi wangu uimarike pia afyangu
Mungu wetu azidi kukupa afya mimi nabarikiwa na mafundisho yako maana unagusa pande zote .mimi nimekuwa mwanafunzi darasani ktk kusikiliza na kupona kiroho
Ubarikiwe mchungaji kwakazi ambao Mungu anakutimikisha nimebarikiwa n'a nenolake bwana🙏🙏🙏
Amina mungu akubariki mchungaji kwa mafundisho mazuri ya kutukuza kiimani
Na anza kushukuru kwakipindi
Hiki kiriyopita
Nawomba musada Wama ombi kwasababu yanyumba yangu hakuna Amani Asante.
Somo zuri sana... Mungu akubariki Pastor Dev
Somo hili ni muhimu sana hakika nabarikiwa sana natamani kila mtu asikilize maana ni uponyaji wa mawazo mabaya .Mchungaji David ukweli sichoki kusikiĺiza mahubiri yako maana kwangu nabarikiwa na kupona kiroho na kimwili
Amen MUNGU Atusaidie san
amina mtumishi, nipo dodoma, natafta mahala sahihi pa kupokea ukombozi lakini sijapata, najarbu kuomba na kusali sana najarbu kufunga hata siku tatu kavu kwa mara nyingi, nahitahi sana kupokea wokovu wa kweli, lkn napitia changamoto ama vita kubwa sana hata biashara yangu kufa na ni kwa sababu ya kuanza maombi magumu sana, ko niko vitani nahitaji usaidizi wa maombi, MUNGU awabariki sana
Pole sana! Nitafute kwa whatsApp +255 755 932 283
Mungu akubariki sana tafuta kanisa la waadiventisti wasabato
Pastor naomba yako nahitaji msaada zaidi
Mungu akubariki kwa utumishi naomna uniombee nipate mtoto
Mungu akupe
Amen nimebarikiwa sana pastor
Na fatiliya sana mafundisho yako pastor lakini iyi inani jenga zaidi,Mungu atu wezeshe tujuwe ku chaguwa ni nini tuta fuwata naku sikiliza . asanteni na Mungu azidi kukutiya nguvu
Ubalikiwe mchungaji David 🤝
Mungu aendlee kukubariki pastor
Nimeuona mkono wa Mungu kupitia masomo yako 😭🤲🏽🙏🏽🙏🏽
Tuokowe baba tuwe salama
Pasta na hitaji maobi kwa mume wangu hataki kwenda kanisani nihomba sana ila siwezi peke yangu na hitaji msaada wamaibi Amin
Somo ni zuri sana nimepata jambo kiasi limebadili sana maisha yangu
Asante pastor neno hili limenipa hatua maana nimekuwa Na mawazo Sana Bali neno limenipa hatua neno la BWANA libarikiwe AMEN
pray for my sister who is possessed by the curses( demons) and my kid who is not able to talk now 12years
Eee Mungu unirehemu nipe Amani, Busara, Hekima, Afya njema, kibali🙏🙏
Me ni Richard mutisya toka Nairobi naomba uniombee ndoa yangu my wife arudi kwangu sababu aliniacha kwa uchochezi wa watu amen
Namshukuru sana Mungu mtoto wangu alikua na uvimbe kwenye ziwa na sasa imeisha ni maombi na kuwa na Imani amepona
Amina
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu kwa mafundisho mazur naomba uzidi pia kumuombea mama mkwe wangu anasumbuliwa na nyonga kupitia dawa anazotumia kwa sasa zikampe uponyaji
❤❤❤❤❤❤ pastor David mbaga kwajina la yesu tunapona kupitia mafundisho haya
Asante mchungaji mwombee binti yangu mume wake kaambiwa na mumewe hamtaki tena amepata mke mwingine. Wana watoto watatu.
Ukweli ni huu,najifunza vtu Vingi sana kwako, May protect you Forever 🙏
Mchungaji kwangu binafsi umekuwa mbalaka
Ninnapokea ushindi dhidi ya mawazo mabaya kwa jina la Yesu.
SHALOM MTUMISHI MM NIKO NA SHIDA NYINGIENIKIPOKEA MISHAHARA WOTE HOSPITALI NIKISEMA HUU MWEZI NATOA SADAKA NASIKIA KITU IMEFANYIKA NYUMBANI MIAKA KUMI NA TANO SIJAFANIKIWA KITU CHOCHOTE KWENYE KAZI SASA MAGONJWA MWILINI NISAIDIE NIISHI KIROHO PROGRAMU ZOTE UNAZOFUNDISHA MM NDIO UNAONGELEA.AMEN.
A'm blessed so much pastor
Barikiwa sana pasta nazid kubarikiwa na mafundisho yako MUNGU aendelee kukutumia siku zote
Amen pastor ,mungu alitaka niskie hili hubiri ,limenipa tumaini na kunijenga sana, ubarikiwe sana pastor Mungu azidi kukutumia Kama chombo chake kuwafikia wengi.
Mahubiri yako pastor imenisaidie sana,siezi sema apa bali sifa na utukufu simrudie mola na ubarikiwe mchungaji
Itho the badrAndi
Amen 🙏🙏🙏 pastor nimelipokea Kwa wakati Niko katika hiyo hali ,..BABA YANGU asantii
Mungu wambiguni wewe ndie muweza wayote tusaidie baba
pasta nabalikiwa sana na mafundisho yako naomba kubatizwa nisaidie mwalim wangu
Mungu akawalinde Wana wangu,awaepushe na maradhi na magonjwa
Nashukuru sana nimebarikiwa sana na somo hili na siku zote nitaepuka maneno na mawazo mabaga na kumshuru Mungu kwa kila jambo.
Asante sana Kwa somo nzuri. Nawafuata nikiwa DRC Goma
Nisaide maombi mungu anisadie maana ninapojikita ktk kuomba ujazo wa roho mtakatifu ndipo mume wangu siku hio hata rudi nyumbani na kama akirudi basi kutatokea Ugo mvi tu ktk famila yangu
Kuna tofauti Kati ya "Mungu na Mungu" na Kati ya "Roho Mtatatifu na Roho mtakatifu"! Uwe making kwenye Hilo na kama huwezi Bora utume ujumbe wa Sauti!
Mungu tusaidie baba bila wewe atuwezi
Aminaaa
Amina, Asante pastor kwa niondoa n mazoea ya kulalamika kila wakati nimejifunza kitu cha maana katika maisha yangu
Somo hili limebeba mafaniko yetu yote ya kiroho na kimwili,Mungu atusaidie katika kulifanyia kazi neno hili.Mungu akubariki Pastor.🙏🏼
Mungu akubarik nabarikiwa na kujisikia furaha sana Kila napo sikia mahubiri yako
Nimepokea uponyaji kwa jina la Yesu
Mungu msaidie kaka angu awe na maamuzi sahii katika maisha yake
Asante sana Mchungaji kwa neno hili limenigusa na kuanzia leo nimejikubali
Pastor mungu akubariki mafundiso mazuri unao tufundisha kila kukija
Pastor tena naomba uniombee wasichana wangu wawili wanaumwa na mgongo wote wamejaribu kuenda hospital wamesindikana.Asante mungu akusikie unapo waombea katika Jina la yesu Amina.
Kama ni mgongo jaribu wawe wanalala sakafuni au kitanda miti au kichanja Mungu atawasaidia wasilale kwenye godoro tena hadi wanapo tengamaa ubarikiwe na bwana
Aminaa Mungu atukuze siku zote
Mtumishi niombee dhidi ya kuota nikifanya tendo la ndoa Kwa ndoto, kula Kwa ndoto.
Pasta niombee nipate wateja katika kazi yangu ya ufundi wa chelehan
MUNGU akubariki pastor
Amina pasta nabarikiwa sana
Maombi.kwa.mume.wangu.ako.na.changa.moto.za.kiuchimi
Asante pastor, nimebarakiwa sana.
naomba mtumishi niombee wanangu
Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu tunaomba Mungu atusaidie sana tujue Ile kweli kabisa 🙏🙏🙏
Amen
Timely Message. I needed to hear this. Glory To God for this pastor.
Ubarikiwe sana
Na kufuata sana.❤
Naomba uniombee naita kuwa kijijin niliko Toka kalibia Kila siku,naita kalibia Kila siku,hii kwangu naona haijakaa sawa,naomba kuombewa nimechoka nahz ndoto.
I appreciate You LORD for everything You've done in my life and the rest I leave them in Your able Hands. Be blessed Pastor for this timely message, 🙏🙌.
Pr Mungu azidi kukutumia vema na barikiwa na masomo yako
Amen God bless you Pastor 🙏🏼 🙌
Weeeh timely message indeed! May God bless you with more wisdom to save more souls Pastor
Amen
Amen!❤❤❤❤❤❤❤
Paster nabarikiwa sana na masomo yako lakini ninachangamoto ya uchumi naomba mniombee naanzisha biashara kwa mda baadae inakufa na sijui shida iko wap
Amina
AMEN
❤ amen
Amen
Pasta tafadhar naomba kujua ulipo niweze kuja maana mwanangu anapitia wakati mgum sana
Pole sana! Nitafute kwa WhatsApp +255 755 932 283
Nimepokea uponyaji kwa jina la Yesu