Nashukuru mungu kwa mahubiri mazuri.nimekutana naiyo kitu shuleni mpaka nika shindwa kuendelesha maomo nilikua na akili ila nilijikuta akili ime kwisha.nime fanya biashara nikiwa nataka panda juu kuna kitu itakuja kuvuruga biashara yangu mpaka narudi chini sana.kweli namie tangu nime amua kufuata yesu naona mambo yamekua mazuri sasa.
Mimi nilipewa barua ya kusimamishwa na Masomo nikiwa kidato Cha pili wakati nilikuwa msibani wa dada angu bahati mbaya Mjomba aliyekuwa ananisomesha alinifukuza kwake 😢 ila Mungu wangu ni Mwema sana❤
Bwana ni mwema pastor nlikua naomba kujua japo umegusia kidogo sana kwenye hili somo manifestation and meditation maana saiv kuna magroup watsup unalipia ilikua trained kudeal na haya mambo kiroho zaidi kwamba chochote unachowish kupata unakipata tena kwa wakati ulio wish kua nacho je hii imekaaje ni sahihi?
@@MahubiriPrMmbaga kweli Mchungaji mimi mwenyewe nilikuwanawafatilia saana nikawa navutiwa ila roho nyingine ikawa inanikataza,ck moja nikajalibu, niliota ndoto nimeenda kwa ibada ambayo cjawahi ifanya nashukuru Mungu alinionya
Amen Asante Kwa mafundisho haya mazuri Mungu akubariki pastor
Barikiwa zaidi pastor
Barikiwa sana mchungaji
Praise be to God🙏 napenda sana huyu mchungaji. Asante listening from Nairobi
Pastor mmbaga Mungu atusaidie sana
Rare revelations (dakika ya 12). Mungu atukuzwe kwa kukufunulia siri zake kwa ajili yetu.
Mungu akutunze, akufanikishe Kwenye kila njia uiendeayo.
Munguu akubariki nimejifunza mengi sana kupitia masomo yko
Hallelujah Hallelujah Ameen Mtumishi Pastor Mmbaga kwa Neno na mafunzo mazuri
Naomba mniombee watu wa Mungu naumwa japo cjui naumwa nn mbarikiwe sanaaa
Mungu akutendee
Be blessed pastor
Nashukuru mungu kwa mahubiri mazuri.nimekutana naiyo kitu shuleni mpaka nika shindwa kuendelesha maomo nilikua na akili ila nilijikuta akili ime kwisha.nime fanya biashara nikiwa nataka panda juu kuna kitu itakuja kuvuruga biashara yangu mpaka narudi chini sana.kweli namie tangu nime amua kufuata yesu naona mambo yamekua mazuri sasa.
Sasa leo mimi ni mushiriki wa kanisa la masalio.msabato
Mungu akubaliki mchungaji tunalindwa na roho wa mungu amen 🙏
Amen
Amen Amen barikiwa sana mutumishi wa MUNGU 🙏🔥
amen
Ameni Mungu akubariki Sana kwakujali
pastor Mungu akubariki ,huwa sitalala pasipo kusikiza hubiri lako ndo nilale,Na nlkuw naomba uniombee tupate mtoto Na my wife 🙏🏼
Barikiwa sana pr mbaga mafundisho yako yananibariki sana
NOW I/WE KNW CONTRARY SPIRITS ARE REAL🙇♀️GOD UR THE ABA TOP OF ALL THE BATTLES COME BACK TO U🤲🤲🤲IJMN🙏🙏
Bless U pastor Mmbaga🙏🙏🙏
Mungu akubarki kwa mafundisho mazuri kabsa. Huwa unanitia moyo .
Mimi nilipewa barua ya kusimamishwa na Masomo nikiwa kidato Cha pili wakati nilikuwa msibani wa dada angu bahati mbaya Mjomba aliyekuwa ananisomesha alinifukuza kwake 😢 ila Mungu wangu ni Mwema sana❤
❤
Somo, zuri sana
Asante sana somo mzuri kabisa Mungu akubariki
Ubarikiwe sana past nimejifunza mengi
Mchuganji mwenyezi mungu akubariki yaani umenipa moyo .Nina mangumu hata hivyoo nahitaji kushare TU na wewe
Amina
Amina BWANA akubariki sana PASTOR
Pr. Mungu akubariki sana.
Amen baba yangu njoo sababu because am at the verge of giving up for my son is drowning in addiction father help him
May God help and heal your son from addictions
Mungu atukuzwe siku zote Aminaa🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe Pastor
Pastor mbaga ubarikiwe
ameni sana mchungaji nabarikiwa sana na masomo yako
TUPO WA IMLA BABA 💃💃🙋♀️✋🙋♀️✋👍
Barikiwe sana pastor
Ubarikiwe sana Pastor 🙏
Sauti haijakaa vzr
Pr ubarikiwe
Asnt sn pr. Umenifungua sn na nasikia kuongezewa nguvu za kusonga mbele.
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Ni mimi au pastor umepungua
Amepungua kivipi mbona sentensi tata?
Amina pastor
Nabii wa uongo!!! Ndani ya waadventista wa sabato. Kinyume na Hellen G. White, pole sana.
Mungu na akukemee ewe shetani! Kwa maana u kinyume na habari njema ya ufalme wa Mungu!
Amen🙏🙏
Naamini nitashinda uchaguzi katika chuo cha UDSM nikiwa raisi wa kwanza mwanamke na Mungu atatukuzwa
Barikiwa sanaa
God bless you PASTOR. 🙏
Pr. Mungu akubariki
Nabarikiwa nikiwa Burundi
🙏🙏🙏
umenigusa sn mtumishi
Pastor hapo kwa kuamka 2 hadi 4 usiku ni ukweli tangu nimeaza kuamka hio time nmekuja kujishangaa sana
❤Nabarikiws sana na maombi yako
AMEN pastor
rrrrr
Bwana ni mwema pastor nlikua naomba kujua japo umegusia kidogo sana kwenye hili somo manifestation and meditation maana saiv kuna magroup watsup unalipia ilikua trained kudeal na haya mambo kiroho zaidi kwamba chochote unachowish kupata unakipata tena kwa wakati ulio wish kua nacho je hii imekaaje ni sahihi?
Kuwa makini saana! Unaweza kujifungamanisha na nguvu za giza bila kujua
@@MahubiriPrMmbaga kweli Mchungaji mimi mwenyewe nilikuwanawafatilia saana nikawa navutiwa ila roho nyingine ikawa inanikataza,ck moja nikajalibu, niliota ndoto nimeenda kwa ibada ambayo cjawahi ifanya nashukuru Mungu alinionya
Amen
During my time i don't understand mpaka sai i was just excellent in class work but exam 😢
Pasta unatutia nguvu tukaze mwendo maana pwani si mbali
Ee mungu tusamehe
Amen 🙏
God bless you PASTOR. 🙏
Amina