Mhhh watu wa bidaà, basi hawawafundishi wake zao na mabinti zao kuvaa stara vizr, yani hata kwenye mahafla yao ya maulidi wanavaa hovyoo hovyoo. Allah awaongoze. Wanawake wa kisunna maasha-Allah ni kama wake wa zama za mtume swalallahu alayh wasanlam. Allah awajaze kheri na atuongoze wanawake wote wakiislamu wajitahid kuvaa stara ktk maisha yao ya kila siku
@@allyelbusaid9888 Sisi watu wa sunna tunawasikitikia watu wa bidaà, mko mbali na alivyokua mtume na maswahaba wake. Dini yenu ipo kwenye maulidi, hali yakua maulidi sio dini, kwakua mtume na maswahaba wake hawayajui. Sasa nyinyi dini yenu imebaki huko
@@AdamRajab-xd3zg Kweli kabisa watu wa bidaa mna upungufu wa elimu mkubwa. Tena wake zao ndio kabisa wamesaulika masikin kidogo wanaume utawaona maulidini wakila ubwabwa, lakini wake zao stara ni mtihan utawaona wakienda misikitin na mitandio ya kanga huku mikono kuanzia kiwikoni ipo wazi na miguu nayo yaonekana, ni mtihan mtupu hawafundishwi hata masharti ya swala
Ndugu fata utaratibu ulowekwa kwenye quran na hadith basi Saudia nao viumbe na kwa Mungu hawana utukufu wowote kama hawatamcha Mungu ivyo rufiji au wete inaweza kuwa na watu Bora kama watamcha Mungu kuliko wasaudia wataomkufuru Mungu.
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe siku zote. Tangu mwaka 1979 Iran imekuwa kwenye vikwazo kwa vile tu iliwafukuza na kufuta Ubalozi wa Marekani na Israeli. Kitendo cha ujasiri sana
Huyu Mzee Jasusi SanAa ha
Bakwata bhana
NENDENI IRAN
Hasomekiiiii😂😂
توضيح الواضحات من المشكلات 😂😂
Mhhh watu wa bidaà, basi hawawafundishi wake zao na mabinti zao kuvaa stara vizr, yani hata kwenye mahafla yao ya maulidi wanavaa hovyoo hovyoo. Allah awaongoze. Wanawake wa kisunna maasha-Allah ni kama wake wa zama za mtume swalallahu alayh wasanlam. Allah awajaze kheri na atuongoze wanawake wote wakiislamu wajitahid kuvaa stara ktk maisha yao ya kila siku
Mnaumia kweli yani.. 😅😅 Mawahabi kwenye ubora wao
@@allyelbusaid9888 Sisi watu wa sunna tunawasikitikia watu wa bidaà, mko mbali na alivyokua mtume na maswahaba wake. Dini yenu ipo kwenye maulidi, hali yakua maulidi sio dini, kwakua mtume na maswahaba wake hawayajui. Sasa nyinyi dini yenu imebaki huko
Acha upumbavu una sunna gan ww unayo ifata ...sifa tu
Una upunguf wa elimu
@@AdamRajab-xd3zg Kweli kabisa watu wa bidaa mna upungufu wa elimu mkubwa. Tena wake zao ndio kabisa wamesaulika masikin kidogo wanaume utawaona maulidini wakila ubwabwa, lakini wake zao stara ni mtihan utawaona wakienda misikitin na mitandio ya kanga huku mikono kuanzia kiwikoni ipo wazi na miguu nayo yaonekana, ni mtihan mtupu hawafundishwi hata masharti ya swala
Yani alhadi mussa ajiona yy ndo anastasia kuwa shekh tu
Acha chuki
Wapo kidunia Zaidi naona na bidaa kwenda mbele tu
😅😅 Mnaumia mkiwa wapi.!?
Kwel kabisa bidaaa tupu hapo
Mwanachuoni gani huyoo aliesema..توضيح الواضحات من المشكلات...😂😂😂😂😂😂
Weye sio darja zako hizo. Ndio maana hujui
أنت جاهل مركب😂
Masheikh wa bidaa wanakula hela za watu,
Sheikh JONGO huwa ni COMEDY COMEDY tuu.
Huwa hana lolote la KI ILMU.
Mbona shekhe kasema toka awali yeye kapewa jukumu la kutoa shukran tu sasa maneno gan ya kielimu ulotaka ayazungumze katika neno la shukran?
Duu Saudia sasa pombe tukitoka hapo sijui tutakwenda wapi yaa Rabbi
Ndugu fata utaratibu ulowekwa kwenye quran na hadith basi Saudia nao viumbe na kwa Mungu hawana utukufu wowote kama hawatamcha Mungu ivyo rufiji au wete inaweza kuwa na watu Bora kama watamcha Mungu kuliko wasaudia wataomkufuru Mungu.
😅😅 Ikitoka pombe ni Bangi nahisi
@fahad nyie si ndo mnaotuambia tufuate Saudia kwa kuwa kule ndiokitovu cha dini.!? 😅
@@allyelbusaid9888 kwenye uislam mbora ni mcha Mungu wali si utaifa wala kabila la mtu kwahiyo akili kichwani
Pana maulidi hapo?
Au ni commedi tu😅
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe siku zote. Tangu mwaka 1979 Iran imekuwa kwenye vikwazo kwa vile tu iliwafukuza na kufuta Ubalozi wa Marekani na Israeli. Kitendo cha ujasiri sana
JAMANI HII NDIO MAULIDI INAYOPINGWA KILA SIKU
Na ndiyo Maulidi inayoungwa Mkono Kila siku.
@@thabitjumbe6527 Video hii ni dalili tosha yakua MAULIDI si DINI
Bali ni DILI
Wakati we unapinga wenziowanaunga mkono.. Kasome 😊
ACHA wachukue hizo pesa KWANI zako? au roho mbaya tu inakusumbua.
Watu wa bidaa wanajua kuchukua pesa za watu
Na WA Sunna huchukua pesa za saudia
Na nyie wahabi kuchukua za mwana mfalme Bin Salman kukufurisha watu
😂😂😂😂😂kweliii@@jaulamedia9517