SHEIKH JONGO AMJIBU SHEIKH ALHAD WAZIWAZI MBELE YAKE BAADA YA KUPIGWA DONGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ม.ค. 2024
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    TH-cam: / @babdeomiladu

ความคิดเห็น • 42

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Mzee Jasusi SanAa ha

  • @soudbako5925
    @soudbako5925 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bakwata bhana

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb หลายเดือนก่อน

    NENDENI IRAN

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 5 หลายเดือนก่อน

    Hasomekiiiii😂😂

  • @ag-rabbitzenj1379
    @ag-rabbitzenj1379 5 หลายเดือนก่อน

    توضيح الواضحات من المشكلات 😂😂

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 5 หลายเดือนก่อน

    Mhhh watu wa bidaà, basi hawawafundishi wake zao na mabinti zao kuvaa stara vizr, yani hata kwenye mahafla yao ya maulidi wanavaa hovyoo hovyoo. Allah awaongoze. Wanawake wa kisunna maasha-Allah ni kama wake wa zama za mtume swalallahu alayh wasanlam. Allah awajaze kheri na atuongoze wanawake wote wakiislamu wajitahid kuvaa stara ktk maisha yao ya kila siku

    • @allyelbusaid9888
      @allyelbusaid9888 5 หลายเดือนก่อน

      Mnaumia kweli yani.. 😅😅 Mawahabi kwenye ubora wao

    • @iddihamisiharuna8261
      @iddihamisiharuna8261 5 หลายเดือนก่อน

      @@allyelbusaid9888 Sisi watu wa sunna tunawasikitikia watu wa bidaà, mko mbali na alivyokua mtume na maswahaba wake. Dini yenu ipo kwenye maulidi, hali yakua maulidi sio dini, kwakua mtume na maswahaba wake hawayajui. Sasa nyinyi dini yenu imebaki huko

    • @rashid3562
      @rashid3562 5 หลายเดือนก่อน +1

      Acha upumbavu una sunna gan ww unayo ifata ...sifa tu

    • @AdamRajab-xd3zg
      @AdamRajab-xd3zg หลายเดือนก่อน

      Una upunguf wa elimu

    • @iddihamisiharuna8261
      @iddihamisiharuna8261 หลายเดือนก่อน

      @@AdamRajab-xd3zg Kweli kabisa watu wa bidaa mna upungufu wa elimu mkubwa. Tena wake zao ndio kabisa wamesaulika masikin kidogo wanaume utawaona maulidini wakila ubwabwa, lakini wake zao stara ni mtihan utawaona wakienda misikitin na mitandio ya kanga huku mikono kuanzia kiwikoni ipo wazi na miguu nayo yaonekana, ni mtihan mtupu hawafundishwi hata masharti ya swala

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yani alhadi mussa ajiona yy ndo anastasia kuwa shekh tu

  • @user-lz6kt3dh2r
    @user-lz6kt3dh2r 5 หลายเดือนก่อน

    Wapo kidunia Zaidi naona na bidaa kwenda mbele tu

    • @allyelbusaid9888
      @allyelbusaid9888 5 หลายเดือนก่อน

      😅😅 Mnaumia mkiwa wapi.!?

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabisa bidaaa tupu hapo

  • @abuufarsyalsalmaan7730
    @abuufarsyalsalmaan7730 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanachuoni gani huyoo aliesema..توضيح الواضحات من المشكلات...😂😂😂😂😂😂

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 5 หลายเดือนก่อน

      Weye sio darja zako hizo. Ndio maana hujui

    • @user-mf2ll7nz5g
      @user-mf2ll7nz5g หลายเดือนก่อน

      أنت جاهل مركب😂

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 5 หลายเดือนก่อน

    Masheikh wa bidaa wanakula hela za watu,

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh JONGO huwa ni COMEDY COMEDY tuu.
    Huwa hana lolote la KI ILMU.

    • @abdulsakibu
      @abdulsakibu 5 หลายเดือนก่อน

      Mbona shekhe kasema toka awali yeye kapewa jukumu la kutoa shukran tu sasa maneno gan ya kielimu ulotaka ayazungumze katika neno la shukran?

  • @user-du9kd9ks3b
    @user-du9kd9ks3b 5 หลายเดือนก่อน

    Duu Saudia sasa pombe tukitoka hapo sijui tutakwenda wapi yaa Rabbi

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 5 หลายเดือนก่อน +3

      Ndugu fata utaratibu ulowekwa kwenye quran na hadith basi Saudia nao viumbe na kwa Mungu hawana utukufu wowote kama hawatamcha Mungu ivyo rufiji au wete inaweza kuwa na watu Bora kama watamcha Mungu kuliko wasaudia wataomkufuru Mungu.

    • @allyelbusaid9888
      @allyelbusaid9888 5 หลายเดือนก่อน

      😅😅 Ikitoka pombe ni Bangi nahisi

    • @allyelbusaid9888
      @allyelbusaid9888 5 หลายเดือนก่อน

      @fahad nyie si ndo mnaotuambia tufuate Saudia kwa kuwa kule ndiokitovu cha dini.!? 😅

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 5 หลายเดือนก่อน

      @@allyelbusaid9888 kwenye uislam mbora ni mcha Mungu wali si utaifa wala kabila la mtu kwahiyo akili kichwani

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib หลายเดือนก่อน

    Pana maulidi hapo?
    Au ni commedi tu😅

    • @EnthusiasticAtv-gn6pb
      @EnthusiasticAtv-gn6pb หลายเดือนก่อน

      Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe siku zote. Tangu mwaka 1979 Iran imekuwa kwenye vikwazo kwa vile tu iliwafukuza na kufuta Ubalozi wa Marekani na Israeli. Kitendo cha ujasiri sana

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 5 หลายเดือนก่อน

    JAMANI HII NDIO MAULIDI INAYOPINGWA KILA SIKU

    • @thabitjumbe6527
      @thabitjumbe6527 5 หลายเดือนก่อน

      Na ndiyo Maulidi inayoungwa Mkono Kila siku.

    • @banihashim5347
      @banihashim5347 5 หลายเดือนก่อน

      @@thabitjumbe6527 Video hii ni dalili tosha yakua MAULIDI si DINI
      Bali ni DILI

    • @allyelbusaid9888
      @allyelbusaid9888 5 หลายเดือนก่อน

      Wakati we unapinga wenziowanaunga mkono.. Kasome 😊

  • @twalijiismail2881
    @twalijiismail2881 5 หลายเดือนก่อน

    ACHA wachukue hizo pesa KWANI zako? au roho mbaya tu inakusumbua.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 5 หลายเดือนก่อน

    Watu wa bidaa wanajua kuchukua pesa za watu

    • @jaulamedia9517
      @jaulamedia9517 5 หลายเดือนก่อน +1

      Na WA Sunna huchukua pesa za saudia

    • @allyelbusaid9888
      @allyelbusaid9888 5 หลายเดือนก่อน

      Na nyie wahabi kuchukua za mwana mfalme Bin Salman kukufurisha watu

    • @RamadhanSuleymani-yw3dq
      @RamadhanSuleymani-yw3dq หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂kweliii​@@jaulamedia9517