Kitabu cha qur-- an sio munachohukumia na hiyo kazi ya mufti mkuu iko wapi? Mashekhe dini munaidharau na kuibeza kwa ajili ya matumbo yenu kumbukeni mtume anasema mwenye kufanya matendo kinyume na elimu ya mtu aliyonayo ataadhibiwa kabla ya kuadhibiwa mwenye kuabudu masanamu
Safi sana, ujumbe umefika
Kitabu cha qur-- an sio munachohukumia na hiyo kazi ya mufti mkuu iko wapi? Mashekhe dini munaidharau na kuibeza kwa ajili ya matumbo yenu kumbukeni mtume anasema mwenye kufanya matendo kinyume na elimu ya mtu aliyonayo ataadhibiwa kabla ya kuadhibiwa mwenye kuabudu masanamu