ð——ð—· ð—¦ð—®ð—¶ð—±ð—¶ ð—”ð˜€ð—¼ð—ºð—²ð˜€ð—µð˜„ð—® ð—¨ð—µð—®ð—¿ð—®ð—ºð˜‚ ð—ªð—® ð——ð˜‚ð—³ð˜‚ | Aʙᴜᴜ Uá´á´€Ê€ QᴀꜱɪᴠØÙظه الله
à¸à¸±à¸‡
- เผยà¹à¸žà¸£à¹ˆà¹€à¸¡à¸·à¹ˆà¸ 19 ม.ค. 2024
- ð—–ð—µð—®ð—»ð—»ð—²ð—¹ ð—µð—¶ð—¶ ð—¶ð—»ð—®ð—µð˜‚ð˜€ð—¶ð—¸ð—® ð—»ð—® ð˜‚ð˜ð—¼ð—®ð—·ð—¶ ð˜„ð—® ð—ºð—®ð—³ð˜‚ð—»ð˜‡ð—¼ ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ ð˜†ð—® ð—±ð—¶ð—»ð—¶ ð˜†ð—® ð—¸ð—¶ð—¶ð˜€ð—¹ð—®ð—ºð˜‚ ð—¶ð—¸ð—¶ð˜„ð—²ð—ºð—¼ ð——ð—®ð—¿ð—®ð˜€ð—®(ð——ð˜‚ð—¿ð˜‚ð˜€) ð˜‡ð—® ð—ºð—®ð˜€ð—µð—²ð—¶ð—¸ð—µ ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ ð—»ð—±ð—®ð—»ð—¶ ð˜†ð—® ð—žð—²ð—»ð˜†ð—® ð—»ð—® ð—»ð—·ð—² ð˜†ð—®ð—¸ð—² ,ð—ºð—®ð˜„ð—®ð—¶ð—±ð—µð—®, ð—¸ð—µð˜‚ð˜ð—¯ð—®ð—µ, ð—³ð—®ð˜ð—®ð˜„ð—® ð˜‡ð—® ð˜„ð—®ð—»ð—®ð—°ð—µð˜‚ð—¼ð—»ð—¶, ð—¤ð˜‚ð—¿ð—®ð—», ð—»ð—® ð—ºð—®ð˜€ð—µð—®ð—¶ð—¿ð—¶ ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶
ð‘»ð’‰ð’Šð’” ð’„ð’‰ð’‚ð’ð’ð’†ð’ ð’†ð’ð’ˆð’‚ð’ˆð’†ð’” ð’Šð’ ð’•ð’‰ð’† ð’…ð’†ð’ð’Šð’—ð’†ð’“ð’š ð’ð’‡ ð’—ð’‚ð’“ð’Šð’ð’–ð’” ð’•ð’“ð’‚ð’Šð’ð’Šð’ð’ˆð’” ð’Šð’ ð’•ð’‰ð’† ð‘°ð’”ð’ð’‚ð’Žð’Šð’„ ð’“ð’†ð’ð’Šð’ˆð’Šð’ð’, ð’Šð’ð’„ð’ð’–ð’…ð’Šð’ð’ˆ ð‘ªð’ð’‚ð’”ð’”ð’†ð’” (ð‘«ð’–ð’“ð’–ð’–ð’”) ð’ð’‡ ð’—ð’‚ð’“ð’Šð’ð’–ð’” ð’”ð’‰ð’†ð’Šð’Œð’‰ð’” ð’Šð’ ð‘²ð’†ð’ð’šð’‚ ð’‚ð’ð’… ð’Šð’•ð’” ð’ð’–ð’•ð’”ð’Œð’Šð’“ð’•ð’”, ð’”ð’†ð’“ð’Žð’ð’ð’”, ð’ð’†ð’„ð’•ð’–ð’“ð’†ð’”, ð’‡ð’‚ð’•ð’˜ð’‚ð’” ð’ð’‡ ð’”ð’„ð’‰ð’ð’ð’‚ð’“ð’”, ð‘¸ð’–ð’“ð’‚ð’, ð’‚ð’ð’… ð’Šð’”ð’ð’‚ð’Žð’Šð’„ ð’†ð’…ð’–ð’„ð’‚ð’•ð’Šð’ð’ð’‚ð’ ð’‘ð’ð’†ð’Žð’”
🪩EMAIL:
ð—Œð–ºð—…ð–ºð–¿ð—‚ð—’ð–ºð—.ð—ð—@ð—€ð—†ð–ºð—‚ð—….ð–¼ð—ˆð—† - บันเทิง
Maalim said wahalalisha mziki sasa innaalillah wanna ilaihi raajeuun
Al rajuli yadhrib dufufu wahuwa makhnuth!
Huyu Said ana balaa sana wallah..
Allah amuongoze kama hana kusudi.
Ikiwa anafanya kisudi Allah amlipe na ailinde dini yake.
Ww kasome mwanzo
ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO YOOKA ILA TUWE MAKINI TUSIMSINGIZIE MTUME SWA JAMANIIIII
Sasa mtume s a w hajasingiziwa na hadithi mumepatiwa subhanallah wale wanawake pia walimpokea mtume s a w kwa twari
Allah amuongoz huyu jamaa, maan anawapoteza weng sana
Wacha ujinga ww katili wa kumwaga damu za w2
Ukifa katika mila hiyo bwanamkubwa umeangamia vibaya mbele ya Allah, Bwanamtume anasema sauti mbili zimelaaniwa duniani na Akhera, sauti ya kwanza ni Zumari na magitaa, nasauti ya pili nivilio vyakuombeleza katika mazishi, asa apo penye dufuu hapana Zumari apo na magitaa.
Kweli akhy allah akulipe kher huyu said anakoenda Allah amuongoze ahalalisha vilivyoharamishwa na sharia tukufu
Allah akulipe kheri zote â¤
Mbabaishaji sana dj Allah amwongoe
Ninyi mnaona hayo yakupiga dufu lkn hamujioni ninyi mnakufuru katika Aqiidah Mara Allah anamiguu anamikono miwili
Masalafy wakosoaji wakat kihakika wao ndowamepotea Zaid Aqiidiyah
wewe umeongoka? km mwajipa kazi ya uungu, hy aswali afunga mwata aongoke vp? au kafiri huyo? acheni usenge mbwa nyie
​​@@mafiatv5479 hakuna mwenye kupinga kama sala yakataza maovu. Vp kwa mwanaume mwenye kupambania mambo ya wanawake kisha akadai anasal je sala yake itakua iko sawa ???
​@mafiatv5479 ndugu kwa kweli unafuatilia sanaa darasa za masalafy kisha ukishasikia hoja za nguvu unaanza kutusi vibaya sana, kumbuka tu kila Unachoandika kitabaki baada ya kuondoka duniani, na kila atakae soma utabeba madhambi kaka, nasaha kwako hupungui kitu kutumia lugha nzuri hata ukiwa mpinzani wa haki basi kuwa na adabu.
Hujuw kitu wewe sheikh kaaa kimya kwa dufu hilo na vinanda hivyo kuna tofaut gani na nyimbo
Tafauti ni usasa na ukale. Je wakati wa Mtume microphone na mixer zilikuweko. Na mbona mwazitumia.
DJ saidi huwezi kutuhadaa na kufata uzushi na uharamu, utawapata wenye matamanio ya dunia
Ww Huna matamanio ya dunia wataka kusema ww mkamilifu
Mawahabi mumejaa husda
Tupo mbali na uzushi
Haya maelezo ya abu hawla mbona yako wazi sana. Wala hayahitaji kuwa wahabi wala tariqa. Bali yanahitaji uwe mfuasi wa Muhammad bin abi talib kuyaelewa
Allah akuongoze said Bado hujasoma
Ndio kamyamazisha bachu
Wewe je?
Swadakta Abu umar â¤
Hakika wanaomuelewa sheikh said ni watu wasio na ilmu ambao hawajasoma dini yao wakaielewa,
Wewe mpuuzi HIVYO unaona DUFU (ngoma) ipigwe KWENYE shughuli.wewe kwa upotoshaji huu.Mwenyezi Mungu akulipe
Mashaallah doctor wa bacho ustadh said
Doctor wa dj saidi ni bacho
Ustadh said acha kupoteza w2 muogope mungu
Alimfanya bachu akakojoa kwnye kiti
Kimi namkubali sana shekhe saidi yeye anaelimisha kwa wanaopiga dufu na wasiopiga wasipige watulia watu waendelee kumsifu mtume muhammad ( s.a.w)
Hoja ya kusema anaepga apge asiepga akae kmya hyo maanake hana hoja rasmi ya kuhalalisha dufu ktk uislam
Una sema sawa sawa ila kuna dunia iko mbali jaribu kufanya vitu vye maslahi makubwa kwa Uma
Mbona masheikh wa twariqa mnawachukulia Maswaaba za Mtume wetu MUHAMMAD sala na salamu zimfikie ki raisi raisi tu kama mm n ww
Kwa maana hio nyinyi mawahabi mukipeleka salamu huwa munapaa mbinguni sio?
Dufu la Vinanda Dufu La Diamond Platnumz hilo hawa Mashekhe wa mchongo wanazingua sana
Assalam alaykum sheik wangu.Allah azidi kukuongoza katika dini.InshaaAllah.Piga dufu kaka usiumize sana sauti we ukipiga tarajia kheri kama ni kheri utaikuta hata uzani wa mdudu chungu na kama sharri pia Allah haghafiliki.Ikhlass fanyeni kwa iqhlas.
Hao watu ambao wanakuskiliza akili zao ziko vp jamanj لا يكادون ÙŠÙقهون Øديثا
Maashaa Allaah umeongea maneno mazima sana, khususan kuqnzia dkk yq 40 hadi 43â¤â¤â¤â¤
Mwendawazimu huyu. Ana unga unga ili kuhalalisha upuuzi na jambo ambalo halipo kisheria katika Islam.
Allaah azibaarik zaidi jitihada hizi za kuuhifadhi uislamu sahihi aliotuachia mtume wetu muhammad (swalla Llaahu alayhi wasallam) na amlipe kila mwenye kushiriki ndani yake ujira mkubwa utakao mfaa siku ya hisaab.
Angalizo langu kwa ndugu zangu waisilam na hasa vipenzi vyangu masalafi
Baada ya tawfeeq ya Allaah juu yetu kutupa hidaya na kutuongoza ktk kujenga imani na misimamo yetu juu ya hoja sahihi za kisheria ndugu, zangu kisha adabu nzuri imekuwa ni sababu kubwa ya kuipamba haqqi tuliyoafkishwa juu yake na kupendeza ktk nyoyo za watu hata wasio kuwa waislaam
Allaaha Allaaha ndugu zangu, wallaah tujitaahid kujichunga ktk maneno
Huenda mtu akaikataa haqqi kutokana na namna alivyosemeshwa
Ni kweli watu huudhi, kwani huzama ktk ubishani wa mambo wasiyo na ilmu nayo, tena wakti mwingine kwa kuwatusi watu wa haqqi na vipenzi vyetu, laakin sisi tuna kigezo kwa wema tunaojinasibisha kwao, na litutoshe somo la vitendo kwa mtume(swalla Llaahualayhiwasallam) kwa wapinzani wake kwani yeye himma yake kuu ilikuwa ni kuongozwa wao pia ktk haqqi aliyonayo, hakuwatusi wala kuwaanza ubaya.
Allaah atuhifadhi sote ktk njia hii ya haqq na awabaarik mashekhe zetu wote walio ktk haqq na awaongoze ndugu zetu wote ktk njia ya sawa ili tupate sote ujira wa kumpenda mtume (swallaLlaahualayhiwasallam) siku ya kukutana na Allaah mwepesi na mwadilifu wa hisabu.
Allaah awa
Mzushiii
جزاك الله خيرا
Allah akuhifadhi ....gusa point tu mwenye akili anaelewa vzr
As/aleykm Abuu umaira kaa usome ndugu yangu
Asallam aleikum
Ndugu yangu ukiandika
Asallam aleikum ikamilishe
Asallam ni jina la Allah usilifupishe
Shukran
M. A we ndo umesoma sana😂
hyu ni sheikh au dj
Mashaalah sheikh Said jazakallah kher
HAWA WANAO JIITA MASALAFI,, WALLAH NIWAPUMBAVU
UFASWAHA HAMUMUWEZI
ELIMU HAMUMUWEZI
MMEBAKIZA MIPASHO NAKUTOA MAJINA YAKEJELI
Eeeee mbona huuu upumbav makuraf pia wanao tafuta hoja elimu usipende ushabiki
ha ha mbona umepaniki kweli ukhuraf mzigo mtu anaongea kama mtoto anajifunza kuongea halafu unasema ni fasaha halafu avae rinda bas apige dufu ili tumwelewe
Kinachotakiwa,, Ajibiwe kwa HOJA sio kumpa MAJINA ya ajabu
NIMFASWAHA narudia Tena,
Kwaio alivyo jibiwa imetumika gazzet
Masalafi wanaotetea sunna za mtume swallaahu alaihi wassalaam ni wapumbavu na huyu anayelingania kucheza na kukata viuno msikitini ndo mwerevu siyo? Tumieni akili enyi makhraafi na masuufi watu wa twariiqa
Huo ni ukhurafitu hiyo ngoma kama ngoma zingine acheni kubabahisha sugu ni ngoma tena ni ktk ujahiliya munachanyika na wanawake pia nina rukaruka huku mukimtaja mungu na MTUME wake ng'oma hikipigwa
Said ni moja wa sikio la kufa tena kwa kusudi
بارك الله Ùيكم وجزاكم الله خيرا
Mtume Muhammad swalallahu Alaihi wasalama tayari aalisha sema zama zamwisho patakuwa washeikh wengi alakini maulama nikidogo
aasant abuu umar nimekuelewa san chapa waazushi awo
Dufu Haina tafauti na mziki wa tarab jmn hamjiulizi nyinyi Allah amekemea Katia Qur'an suratatu zinaeleza uharam wangoma kwann ss tunahalalisha tuacheni ujinga tusomeni kwanza tuache kufata mkumbo utatupotea
Abuu umaira hatuna elimu ya kumsomesha sheikh ,Dj,Saidi.kumuita dj si matusi ni kivumishi .
Huyo ni mwanamke je nyinyi ni wanawake
Yaani ni hatari analolipigania hapo ni waislam wapige ngoma wacheze sasa hao akina kiba diamond na wasanii mbalimbali ni halali wanachokifanya
DJ Said haelewi maneno yake yanatoa ruhusa watu kuimba kucheza na kupiga ngoma
Sasa ww utakua huelewi ama ni kibri asema dufu sasa diamond kiba wao wapija dufu ama ni bongo flever
Izo dufu zinazopigwa hapo na za diamond zinatofautiana au?
@@user-jp8lf7dy5z diamond yuwapija dufu ama mziki jibu unalo ila chuki punguzeni
Hilo jina ulilompa Muislamu mwenzako si sahihiii kwa muita Dj😢
Pili hiyo picha uliyoiunganishaa kwa pembeni si dufu hizo ni hala za zumari miziki ya ki Zanzibar si madufu😢
Wacha hata eti imeunganishwa...yeye anapiga kinanda na ngitaa haswaa
We huoni hiyo video ilounganishwa ya vinanda na huyohuyo Dj ndio bendi yake na yeye ndio anayepiga guitar hapo? Au unajitoa fahamu na wewe?
jaman angalie kwakuchukua elimu hilo dufu au gitaa
Mungu akuzidishie ufaswaha ktk kuongea, na ukuzidishie elimuâ¤â¤â¤
Amzidishie elimu ya madufu?
Vaa rinda basi
بارك الله Ùيك وجزاك الله خيرا وزادك الله علم
Mwaongeleaga jikoni
زاده الله علما لا ينÙعه؟
Wewe jahil mzuka acha kelele katafute Elimu acha kupoteza ummah dufu maulidi samai haviko katika mafundisho ya dini yetu dini yetu si dini ya kucheza cheza 😅
Mungu akupe elimu wapenda kuwa maarufu ila rudi darasani ajabu wapinga hadithi dhaifu kwakutumia dhaifu kueni wakweli
Ww unayo
Abu umair soma vizuri hiyo hadithi ya aalinuu
Shukran Sana sheikh Said nakuelewa sana
Dj.said nna kikao na ww siku ukijaaliwa kuja Zanzibar tukutane inshallah...😢😮
Bachu ywamjuwa huyo alijikojolea
Mimi ni Ahlultwariqa wallahi nakwambieni,lakini kwa dufu hili ni ujahili,hili dufu au rusharoho,huyu anajua kua huu ni ujahili lakini anawarizisha walimu wake. Sheikh saidi ninakukubalisana shekhwangu lakini kwadufu hili navinanda vyaMuziki tumuogope Allah,musilichafue dufu hili sio dufu letu Ahlultwariqa.
Dah hatari kweli dufu ndo kijikirubisha kwa Allah??? Wewe wacha upotofu huo
Hujui chochote wewe
Mimi sijui chochote lakini dufu musilitie vinanda na muziki mukalishabihisha na rusharoho,tofauti iko wapi wakati ala za muziki ndo zilezile,Kila siku mwaongeza maajabu katika dufu,Shetani anawavuta darja kwa darja mwisho atawapoteza
Dufu libaki kwa akinamamatu maanahiyo c ibada tumche allah
Una simamiawapi
Uzuri wa wasiosoma hawana wasilojua. UST SAIDI endelea na elimu zenye tabia njema
Sheikh Said Allah akuhifadhi mi naangalia comment za Hawa waimba taarabu mawahabi 🤣🤣🤣
Wakiongozwa na bba yako
Huyo Dj ndo kaz yake na hilo liko wazz
​@@user-uj7vm4pg2eww wahabi tu utabaki kuwa wahabi matusi ndio munayo ilimu hamuna
Si DJ wenu ndio wakwanza kukatisha mauno
​@@saba-gv3mjukiwa nayo ww hio elimu yatosha
Wallah mitihan dunia imeisha hatar Mtume Muhammad s a w alitabiri mwisho watu wataipenda dunia kuliko Akheir muda umefika Allah atujaliye khatima njema na kizazi jema
Jee mtume aliwahi kupiga twariii jee katika makhalifa wa nne waliwahi kupiga twarii twarii la wanawake wanaume walikua hawapigi twariii mtume alipokufa Nana aisha aliishi zaidi ya miaka ishirini jee Nana Aisha aliwahi kufanya maulidi au kupiga twarii
Usiseme wew ni mwanatwarika tu Kila Mmoja ni mwana twarika awe salafi awe muhabi awe Sufi awe shia wote ni wanatwarika
Sheikh said ni msomi isipokuwa nyie mawahabi mnaelimu ya kiwahabi ndio shida kubwa mliyonayo vichwani,hapo ametoa ushahidi wa hadithi bado hamkubali?,
we unaumwa kazi za wanana wake
Nyinyi ni wapotevu saidi na watu wake,weye ni msanii
Please nitumie hiyo video ya hao wenye kupiga dufu, nawakubali sana
kijana amewashinda kielimu , hata ukucha wake hamumfiki, na bado ni kijana mdogo sana, tarajieni vitabu vya dini kutoka kwa huyu kijana, waheni hasad na hiqd.
Ile hadithi alivyoiboronga ndo elimu hiyo?...
pengine elimu uloikusudia ww co hii aloileta mtume s.a.w kwaio upo sawa mann yko
@@abdullahisiasa7861 Ukosefu wa ilimu wako wajulishwa na alfadh zako , siku zote sema " ALLAH akuongoze na atuongoze na sisi sote" ama "ALLAH atuongoze sote" watu wenye ELIMU ndio husema hivi kulingana na sunnah.
Mwenye kutaka kuelewa ataelewa. Sheikh umeeleza, vizuri mno
Mimba za zinaa za mikesha ya maulidi mtaenda kujibu
Na ww utajibu kwa Allah ni nani alitiwa mimba kwenye maulid ambao wamezini utajibu insha Allah
shekhe yu tube hujasema kweli wasema sana na waunga unga hakika.................. wewe yani mwanamke hakuogopa kufanya dhambi mbele ya mtume n sayyidina abu bakr lakn akahofia dhambi kwa kuja Umar............weeeeh kuwa na insaf huoni wamtukana mtume kuwa ameruhusu ushetani mpaka kuja kwa umar.... na mtumi aruhusu ushetani siku ya eidi mambo gani hayo shekheee.................. na mtumi atuambia man aswallahu fii yawmi eid kaman aswaahu fii yawmil waiid shekhe yu tube chunga maneno unayosema.... na nyny wenye account za youtube mwaziskiza hizi vtu au ni kazi tu mwapewa ogopeni dhimma hini madhambi haya ni jaariya nayo shauri zenu,.................
Mashetwani ni mawahabi kwa hadithi ya mtume kuwa watoka najdi
Hujui lolote
Aliepiga dufu ni mwanamke wewe mwanaume dufu ni la nn
Nyinyi ni makafiri no 2 baada ya hao makafiri no 1.
kwahiyo mnavyopiga na nyiye mmeweka nadhiri ?pia aliyepiga ni mwanamke. sasa nyiye mnapiga ni wanawake ?
Hakuna sheikh somavizuri
Je kuna pahali wanaume wamekatazwa kupiga dufu?
We nawe jielewe....kwani yule aliyekuwa anapigia mtume dufu(vile Dj wenu anaeleza) alikuwa mwanamme?
can someone silence this Dj pls!!!😂😂
ACHENI UPUMBAFU WAKUTUMIA MANENO MAKALI
WALLAHI HUYU JAMAA ATAWATESA,,
ANAELIMU NA NIMFASWAHA KATIKA MAZUNGUMZU
WEKENI HOJA MSI WEKE HEADING ZAKUVUTIA WATAZAMAJI.
Waambiye dj saidi natena karibuni tutatoa cd zetu
Pia mtavaa marinda
Kwa hivyo sheikh wetu unatuambia kwamba jambo la dhambi wameruhusowa kufanya watoto wadogo tu? Wao wakifanya mambo yaliyoharamishwa ni ruhusa na wengine ndio katazo? Tafadhali elimu sheikh wangu
Kiti kulitoa maji Mombasa
Mimi na me kwenye duffu hapana silitaki
Mawahabi wafundiaheni masufi kwa vitendo waambini mwanake wenu wapige dufu ili watu waeoewe sio mapovu tu
Sisi sio madayuthi kama nyie munao achia wake zenu waonekane
Alhamdhulilah wake zetu dufu wanalipiga kama vile sheria imefundisha Wala hutawaona mitandaoni kama Wanawake wakisufi wanavyo kata mauno Hadharani
Nanyie ni mademuu eti wapiga dufuu!!!!!!
Mimi nashindwa kuwaelewa hawa jamaa mtume akisifiwa hawataki kwaniniwasipammbane na hawawanaomtukana mtume wanapambana na waisilamu wenzao
Bahari yako ni neema kwa wenye macho
Fanyeni adabu zenu mwasema shekh said avaae rindaa hiyo ndio dini matari tuta piga museme musiseme wacheni upuzi nakama hamunyamazi tutawakomesha kwa bunduki endeleeni tu sauti kama demu ww
Sema huyu mwamba DJ kawapiga sana mpaka mmejinyea huko Kenya na bado tu anawapelekea moto😅😅
Ajabu yan mtu ywa furahia maovu bali kuutetea tumche Allah
Kujinyea huenda likawa na afadhali lakini hili la wanaume kuvaa marinda cjui wewe walionaje
Sasa ww unasema kmwanamke alifanya kwajili ya nadhir sasa jee hizi dufu za sasa zinapigwa kwajili ya nadhiri mie sikubali hata kidogo munaoitosha umma kuhalalisha maovu sasa hakuna tena nadhiri ila maasi mwanamke atie lipstik wanja kuonesha kwenye hadhar watu wanacheza wanawake na wanaume usimtumie mtume kupotosha waumini inamaana hizo dufu zote hisasa zinazopigwa ni kwajili ya nadhiri ? Hustadhi huna elimu
Sema sijui😂😂😂😂
سئل القرطبي عن الامام الطرطوسي ÙÙŠ مكان يقرؤون شيئا من القران ثم ينشد لهم منشد شيئا من الشعر Ùيتواجدون ويضربون بالد٠والشباب هل الØضور معهم Øلال ام لا
Ùاجاب
مذهب الساده الصوÙيه بطاله وظلاله وجهاله وما الاسلام الا كتاب الله وسنته Ùاما القضيب Ùاول من اتخذ به الزنادقه ليشغل به المسلمين عن كتاب الله
Saidi aliwapiga kwa kitu Kizito ...😂
Kizito kipi soma kwanza uwelewe usiwe kama wakiristo na akili zao,muislam hua anatumia akili za kutosha, mtume alimruhusu kwa kuweka nadhir na kua hujaweka usipige je huoni hapo karuhusiwa kwa dharura tu,je hao je wanaopiga wana dharura gani .sijui kua wewe ni msomi wa Quran nisije kupa aya kumbe hujui kitu kuhusu nadhiri laki hata hivyo nenda kasome kisa cha nabii ayubu kuhusu nadhiri ya kumpiga mke wake bakora mia halafu uwone nini Allah alihukumu kuhusu tukio hilo?
Huyu ni msaniii Dj Said hadi na kinanda baba....halafu mwamtetea... Acha kinanda hadi ngitaa Dj Said anapiga...halaf bado mwamtetea ..,..ehhh enyi ? masufiiii>iiiiii
Assalaamu 'alaykum warahmatullahi wabarakaatuhu, baaraka llaahu fiyka wajazaaka llaahu khayraa...ila samahani naomba kuuliza hivi ile TH-cam channel iliyokuwa ikiitwa SALAFI ya Kenya ya Abdallaah Humeid nimejaribu kutafuta lakin siioni , vip ishakuwa deleted na hii ndo badal yake ?Nakumbuka ilishafikisha subscribers almost 16K
Makhurafi waliiifuta TH-cam,, Sahi imefunguliwa hii na ikhwaa
huyo kasimu mafuta hana hoja na kama anajiweza kielimu naandae mjadala wakutane ana kw ana kama hatokimbia kama mtoto wa bachu .......
Naili mtume alisema zitangazeni ndoazenu mkazifunge msikitini nampige difuhuko je kulemskitiniwalopiga matari nakufungishandoa niwanawake? Achenikuwapotoshawatu nyisarafi mayahudi wakubwatunajua mmeyumwa mayahudi kuipotosha wiisolamu
Ndo maana hawa masufi huwa na tabia mbaya sana yaani humo katika mikusanyiko yao hamukosi uchafu hasa wa zinaa.
Si mtetei ila Hamwezi huyu jamaa
Mmebakiza matusi tu
Hatumuwez kwakutetea vitendo vya kike vp mume aweza kuleta ubishi kwakuta kuvaa nguo za mkewe
@@IbrahimRamadhan-nc6hu wee ndo akili matope kabisa,, Eti nae Salafi
Stupidity
@@BashiruDigital we yako ujii vp watetea munkar wajielewa kwel .
Wapi dj saidy 😂😂😂
Kama wewe haupigi dufu baki kwenye msimamo wako lkn si kutakana wenzenu kikubwa wote kuoumba mwisho mwema mkamilifu ni mwenyezi mungu
​@@hajisalum8028sasa mwisho mwema ni kuacha ayo mamb ya haram jamaa abuu umar kaelez vzr uko mwisho kama wakufaham utafahm
Cc ww nimwana mke au imeweka nadhiri gani ww she said vp mbona unazingua mambo . Au ndo.unataka umaarufu naww
Wao wako ktk ushabiki tu maskini!
Mombasa SS hatuna walimu SS hakuna kufundisha mambo muhimu NI kushindana na maulidi au hiyo dufu yaamanisha hakuna lakutufundisha na kama hamuna c mutafutee lakufanya wacheni kutuchokesha akili kuna mambo mengi yakutujuuzaa tumechooooka na nyinyi maslahi na pia naona SS NI kama NI biashara SS
Aka BACHUCHU Mombasa 001
Kama kwenu niharamu musipije ketu nihalali tutapija watani maneno meghi chiriku nyinyi
Huyu mwamba tangu awadunge msumari masalafi. Wamekuwa kama wehu. Eti dufu tapeli..😂😂😂
Ndugi yangu wacha kidogo nikunyoshe. Nimesikiliza hii stori yako yote ila haina msingi wala mashiko. Siwezi kuiita khutba kwasababu haikutimiza vigezo vyake. Na kama hujui kiarabu mwanzo kajifunze ndio uje kufundisha watu. Kwanzia mwanzo mpaka mwisho haukutolea aya wala hadithi ila umetoa stori kichwani kwako. Sisi hadithi tunayo ila na wewe lete hadithi ya kupinga. Kiarabu chenyewe chakupinga chenga.
Mbona aka ficha
Abuu umar qasim anawivu akiona jinsi mtume anavyofurahikiwa utakufa na kifundo hiyo nisifa ya watu wa motoni
Haya vaa rinda bac upige ngoma