KISA CHA MALAIKA WALIOKUJA KUFUNDISHA UCHAWI- NO 1 //SHEIKH OTHMAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Nabii SULEIMAN alikua kiboko ya Majini na alikua na Vitabu vingi sana na aliamua kuvifukia kabla hajafa IBILISI aliwaeleza majini wenzake vilipofukuliwa na Kuanza KUVITUMIA

ความคิดเห็น • 173

  • @AminaAhmadShaban-tp9zu
    @AminaAhmadShaban-tp9zu 10 หลายเดือนก่อน +11

    Wengi wanaokosoa hawana wanachokijua... Allah akulipe khery Shekh Wetu kwa kutuelimisha

  • @kingramah8213
    @kingramah8213 9 หลายเดือนก่อน +7

    وَٱتَّبَعُواْ مَا تَتۡلُواْ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلۡكِ سُلَيۡمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيۡمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُواْ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحۡرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلۡمَلَكَيۡنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنۡ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٞ فَلَا تَكۡفُرۡۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيۡنَ ٱلۡمَرۡءِ وَزَوۡجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنۡ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنفَعُهُمۡۚ وَلَقَدۡ عَلِمُواْ لَمَنِ ٱشۡتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ مِنۡ خَلَٰقٖۚ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡاْ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمۡۚ لَوۡ كَانُواْ يَعۡلَمُونَ
    Na Mayahudi walifuata yale ambayo mashetani walikuwa wanawasimulia wachawi katika kipindi cha ufalme wa Sulaimān mwana wa Dāwūd. Na Sulaymān hakukufuru na wala hakujifundisha uchawi. Lakini mashetani ndio walimkanusha Mwenyezi Mungu kwa kuwafundisha watu uchawi, kwa kuwaharibia dini yao. Mayahudi pia waliufuata uchawi ulioshushwa kwa malaika wawili: Hārūt na Mārūt, katika ardhi ya Babil ilyoko Iraq, ukiwa ni mtihani na majaribio kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa waja Wake. Na hao Malaika wawili hawakuwa wakimfunza yoyote mpaka wamnasihi na kumuonya asijifunze uchawi na kumwambia, “Usikufuru kwa kujifunza uchawi na kuwatii mashetani.” Basi watu walikuwa wakijifunza kutoka kwa Malaika wawili vitu vinavyozusha chuki baina ya mume na mke mpaka wakafarikana. Na wachawi hawana uwezo wa kumdhuru, kwa uchawi wao, yoyote isipokuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu na hukumu Yake. Na wachawi hawajifunzi ila shari yenye kuwadhuru na kutowapa nafuu. Mashetani waliupeleka uchawi kwa Mayahudi, ukaenea kwao mpaka wakaufadhilisha juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Na Mayahudi walijua kwamba mwenye kuchagua uchawi na kuacha haki, hatakuwa na fungu lolote la kheri huko Akhera. Ni ubaya ulioje uchawi na ukafiri waliojichagulia nafsi zao kuwa ni badala ya Imani na kumfuata Mtume, lau walikuwa na elimu yenye kuzalisha vitendo vya kufuata mawaidha wapewayo

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad3724 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mwenyezi mungu akuhifadh shehe akupe husni lkhatima njema atujalie shahada kabla ya mauty 🙏🙏🙏

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 11 หลายเดือนก่อน +28

    Tue tunasikiliza vizury mawaiza tusimkashifu sheikh wetu nawakati yeye anasoma yalio katika kitabu

    • @fareedkhalipher3590
      @fareedkhalipher3590 6 หลายเดือนก่อน

      Asalaam Aleykum warahmatullah wabarakaatuuh, shekhe wangu hao wanaokashifu hawana elimu ya dini tuwaombee tu mungu awatoe gizani

    • @sefuriyembe7864
      @sefuriyembe7864 5 หลายเดือนก่อน

      Wapumbavu ndo wanamkashifu shekhe huyu. Majitu yasokuwa na akili 😅😅😅

  • @salumsodangu1372
    @salumsodangu1372 ปีที่แล้ว

    Mashallah
    Ballaka lwahu fii

  • @rahmamohammed9678
    @rahmamohammed9678 9 หลายเดือนก่อน +6

    Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
    ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA SAALAM ♥️

  • @abubakrcikuru750
    @abubakrcikuru750 2 หลายเดือนก่อน +1

    May Allah accept and bless you with all good in this world and in the here after ❤🤲

  • @khadijasoud8026
    @khadijasoud8026 26 วันที่ผ่านมา +1

    Allah mlinde sheikh wetu umpe mwisho mwema anatuelimisha sana

  • @HajraAkida
    @HajraAkida 10 หลายเดือนก่อน +4

    Alhamdulillah,, nipatia elimu Koz hawa wenzetu wamisheni wanasema Kua uchawi Na unganga unatokana na uwislamu,, Na ivyo sio kweli . Kwkua wanaona Na kuskia wanganga wingi ni waislamu ,, Islami Haiko ivyo nitamaa zao Na sio mafundisho ya dinini ya Allah

  • @MohammedPakia
    @MohammedPakia 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyezimungu atujarie kila laher namungu atulinde namahasid

  • @zubedaalice8172
    @zubedaalice8172 3 หลายเดือนก่อน +1

    jazakAllah kheir

  • @abdallamohamed406
    @abdallamohamed406 10 หลายเดือนก่อน +5

    Swadakta Sheikh Othman Maalim, Masha'Allah nakubali

  • @hassanngala9894
    @hassanngala9894 6 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran sheikh

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +16

    Mtihani yarabi tusamehe waja wako pale tulipo koseya na utuongoze katika manmbo ya heri

    • @rizikishahari6948
      @rizikishahari6948 ปีที่แล้ว +1

      Amin Amin Amin!
      Allahumma Amin Yaa Rabb 🤲🏽

  • @AbdiHamad-yb5kg
    @AbdiHamad-yb5kg 6 หลายเดือนก่อน +3

    Ma Sha allah

  • @SalimkassimMnungwana
    @SalimkassimMnungwana 11 วันที่ผ่านมา +1

    Allah atuepushe na uchawi na ushirikina

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว +6

    Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏

  • @Hashim-p4d
    @Hashim-p4d 5 หลายเดือนก่อน +2

    SAW ❤❤❤ ALHAMDHULILLAH ❤❤❤❤

  • @ZawadiHassan-dp6tw
    @ZawadiHassan-dp6tw 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hao wanaomkashifu maalim hajijui wala hawajitambui wamo tu katika dunia.waachilie mbali

  • @bachumohamed6804
    @bachumohamed6804 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah ❤❤❤

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud1672 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wengi hawajui kisikiliza wala hawajui kitu ila hujifanya wanajuwa hao huitwa wajinga unapomkosoa shekh maalim kwa makasiriko yako tu huna tofauti na mjinga

  • @AishaHassan-o2y
    @AishaHassan-o2y 6 หลายเดือนก่อน +1

    @Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha

  • @AishaHassan-o2y
    @AishaHassan-o2y 6 หลายเดือนก่อน +1

    @Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha

  • @Izikiel55
    @Izikiel55 ปีที่แล้ว

    Inna lillah!! Kna hii stor ya malaika wa Allah ndio waliokuja kufindisha uchawi huu huu ambao had leo wachaw wanatusumbua usiku bas kuna kitu cha kushtuka hapa aisee

    • @salehsultan-7554
      @salehsultan-7554 11 หลายเดือนก่อน

      Jalibu kuelewa ulikua mtiani kwetu ivi unazan apa dunian tumeletwa bule lazma tupewe mtian ili wengne wafaulu waende pepon wanaokufulu moton

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 11 หลายเดือนก่อน

      Saleh akili ya kawaida tu ungeona sumu Malaika wafundishe uchawi😂

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 11 หลายเดือนก่อน

      Na ndiyo maana imeandikwa Yesu ndiyo njia iliyonyoka..kama imeandikwa hivo kweli chukua hatua shekh

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 11 หลายเดือนก่อน

      Malaika wakifundisha uchawi na shetani atafanya kazi gani shehk?

    • @swalehejuma6611
      @swalehejuma6611 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@LastdayJesu4153Mwl wa karate anafundisha kujihami na siyo kudhuru watu. Kazi ya kujihami na maadui haifundishwi na jambazi

  • @sadunabdallah7303
    @sadunabdallah7303 ปีที่แล้ว

    Mashallah ❤❤❤

  • @abdaladelo371
    @abdaladelo371 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu kikubwa ni kua na Iman ya kwamba Alla Yuko pamoja nasi Kila wakati

  • @HakizimanaFiston
    @HakizimanaFiston 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sheih wetu tu NAKUPENDA sana

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 ปีที่แล้ว +11

    رفع الله قدرك وشأنك ياشيخنا الفاضل

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jazzak Allah kheri, Tabarak Allah feeq

  • @siretv6934
    @siretv6934 10 หลายเดือนก่อน +1

    sehem ya pili...?

  • @omaryally3489
    @omaryally3489 8 หลายเดือนก่อน +1

    Marshall Allah atupe mwsho mwema....

  • @sefuriyembe7864
    @sefuriyembe7864 5 หลายเดือนก่อน

    Watu wasiokuwa na akili ndo wanamkashifu shekhe huyu !! Mambumbumbu !!😅😅

  • @sadiahassan5316
    @sadiahassan5316 10 หลายเดือนก่อน +4

    Jaazakallahu kheir , mungu atulindie sheikh wetu in shaa Allah ❤

  • @MusaSaidi-s8u
    @MusaSaidi-s8u 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah

  • @ZawadiHassan-dp6tw
    @ZawadiHassan-dp6tw 7 หลายเดือนก่อน

    Uchawi mbaya no shirki mbaya jamani muache kutuia wenzenu maradhiii😂😂😂

  • @ZawadiHassan-dp6tw
    @ZawadiHassan-dp6tw 7 หลายเดือนก่อน

    Ukisikia kugombanisha watu ni kwakera watu kwa jambo lolote lile usigombanishe watu kwa dini

  • @ahmedyusuf9547
    @ahmedyusuf9547 11 หลายเดือนก่อน +1

    Jazakallahu kheir

  • @jamesalphonce1889
    @jamesalphonce1889 9 หลายเดือนก่อน

    Kwa mwenyew akili ataelewa SoMo
    Kwa yule asiyekuw na akili atakosoa

  • @jacksonrock6535
    @jacksonrock6535 9 หลายเดือนก่อน

    Biblia Ndo Neno La Kweli Ya YESU KRISTO Ndo Kweli Yenyewe Sasa 😂 Malaika Kama Katumwa Always Anfanya Mapenzi Ya Yule Aliyemtuma Ni Shetni Peke Yake Na Malaika Zake Ndiyo Waliokataa Kufanya Mapenzi Ya Mungu Mwisho Wa Siku Wakawa Wapo Dhidi Ya Mungu Na Uchawi Haupo Upnde Wa Mungu So Uchawi Aliyeleta ni Shetani

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 9 หลายเดือนก่อน

      Mungu kafa msalabani it's make sense to u

    • @AishaHassan-o2y
      @AishaHassan-o2y 6 หลายเดือนก่อน +1

      Sas km biblia ni neno la kweli umefuta nn huku na kucoment au umetumwa au ww ndio mchawi mwenyewe😢

    • @AishaHassan-o2y
      @AishaHassan-o2y 6 หลายเดือนก่อน

      Alafu Ona pimbi wewe qur an yetu site waislam tunaisoma kwa lugha moja Duniani Kote na tunaelewana sas nyie na hiyo billiards yenu iankuaje hamna lugha moja ya kuelewana km sisi ,,tunavyoisoma 🇹🇿 basi ujue hata Jamaica wanasoma vile vile..

    • @Daudisalim71
      @Daudisalim71 5 หลายเดือนก่อน

      Biblia hiyo hata Yesu hakuwahi ioni

    • @ShaniHaji-bf2on
      @ShaniHaji-bf2on 27 วันที่ผ่านมา

      Nashetan kaletwa na nan au kajiumba yeye??

  • @Omary_Mjema
    @Omary_Mjema 4 หลายเดือนก่อน

    Ni sawa na sigara Unambiwa mbaya inauwa sio nzuri hila we unatumia tuu

  • @abdillaahirichardkasisi8691
    @abdillaahirichardkasisi8691 6 หลายเดือนก่อน

    Aya mambo si ndo ya sasa,mambo ya kukanyaga mafuta,udongo n.k

  • @munirasuleiman2006
    @munirasuleiman2006 ปีที่แล้ว +1

    Kwani walifundissha uchawi au kuwahukumu watu wakafanya kosa waakapewa adhabu

  • @abduljecha7779
    @abduljecha7779 ปีที่แล้ว +1

    Maashallah, alhamdullillah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv ปีที่แล้ว +1

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 11 หลายเดือนก่อน

    Nimefurai sana mbavu zinauma mpk wenye Imani yao wanaguna😂

  • @halimaomari3415
    @halimaomari3415 ปีที่แล้ว +1

    Subhana llah

  • @mzeehassan2913
    @mzeehassan2913 ปีที่แล้ว

    Arkas online TV Rekebisha anwani ya nasaha hii, usiandike jambo lolote kuhusu dini ambalo laweza kupotosha watu, kama hujui ingia kwenye vitabu au uliza wenye elimu

    • @umsulaiman7468
      @umsulaiman7468 11 หลายเดือนก่อน

      Wew hasan acha ujinga mwisilam gani uso amin quran ww hujui din jina tu muislam lakin iman na taquwa huna

    • @ShaniHaji-bf2on
      @ShaniHaji-bf2on 27 วันที่ผ่านมา

      Kama huamin unasikiliza vyann kasome unayoyaona yanakufaa naona ww unaelim yakutoshaa Sana Hadi unapingana na Aya za Quran maana anayoyaongea hatoi kichwan kwake amesoma

  • @mohammedsembe9040
    @mohammedsembe9040 11 หลายเดือนก่อน

    Shekh Othumaani ahsantum bikheyr Allah akuhifadhi

  • @RehemaOmary-xp4fk
    @RehemaOmary-xp4fk 6 หลายเดือนก่อน

    Assalam alykum warahmatullah wabarakatah❤😊😊

  • @edwardmwandu3564
    @edwardmwandu3564 ปีที่แล้ว +1

    mungu alituma malaiika wafundishe uchawi? Ina mungu huyo ni mchawi

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 11 หลายเดือนก่อน

      Heri na Shari zote zinatoka kwa MWZ Mungu kwani shEtani ameumbwa na nani? Kwann tunakufa kwani Mungu alishindwa kumzuia Baba yetu Adamu hasipotoshwe na shEtani kwann aliacha jibu ni kwamba iwe fundisho kwa watakao kuja kama mtihani kwetu Ili watakao faulu basi wapewe zawadi kwaiyo husishangae ndugu, Mungu ameumba malaika mtoa roho kwann je yeye ni muuaji? 24:48 apo vp nafikili apo itakuwa umenielewa na mwisho nikupe mfano huu kwann MWZ Mungu ameumbwa wanyama na wadudu wakali ambao wanaweza kudhuru mwanadamu coz anatupenda c hasinge waumba tu, kuna baadhi ya vitu ametuamrisha na ataki mjadala wala maswali wala maelezo yeye anataka utekelezaji tu ktk dunia hii kila unachokiona kimetoka Kwake mfano mwingine unaambiwa uvutaji wa sigara ni hatali kwa afya yako. Je watu hawavuti ata ktk dunia hii tumeambiwa ukitaka kufikia ufalme wa Mungu tupitie Njia hizi acha zinaa, swali, toa Dhaka, saidia myatima, heshimu wazazi kwa kifupi kutenda mema lkn je uwaoni watu wanafanya matendo maovu tena adharani? Asante kama unaziada utauliza ujibiwe

    • @imanmohamed2215
      @imanmohamed2215 11 หลายเดือนก่อน

      ASTAGHAFIRULLAH😡😡😡😡😡SHAME ON YOU ( ALLAH ANAKUONA)😢

    • @AishaAbbas-mw6ef
      @AishaAbbas-mw6ef 11 หลายเดือนก่อน

      Usimshirikishe Allah kwenye ujinga Kwa mambo ambayo huna uhakika nacho Alie kuumba ww usimtukane Kwa kumshrikisha n ujinga Kwan ww hujui km uchawi nao ni kiumbe km viumbe vingine sema SS waja tulio letewa ndo ne'ema hyo ndo tunaikadhibisha n badala Ake tunafnya kinyume

    • @nayyarnassor762
      @nayyarnassor762 10 หลายเดือนก่อน

      Hulijui hata ulisemalo

    • @Omary_Mjema
      @Omary_Mjema 4 หลายเดือนก่อน

      Kuna watu walikua wanawasuhudia wachawi wakijua ni wa Jumbe wa mungu akatuma malaika kuwaonesha watu kua hao ni wachawi na makafili..ukafili ni mtu anae muhasi mungu au mkaidi kwneye magizo ya MUNGU.Kafili ni mtu yeyote huwe muislam au sio muislam ukiwa unapishana na magizo ya mungu Basi we ni Kafili..Kwaiyo uchawi ulikuja kuwalingania watu ..labda Kama atutak kuelewa mawaidha hayo

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 ปีที่แล้ว

    Toa mfano mmoja wa Muhammad aliyosadikisha yaliyokuwa kwenye torati ya mayahudi.

    • @mohdali2408
      @mohdali2408 11 หลายเดือนก่อน

      Kuabudiwa Mungu 1 tu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 ปีที่แล้ว +1

    Allah alituma malaika wawili kufundisha uchawi? Haya bhana watu na dini yao😂😂😂😂

    • @lmaniash3268
      @lmaniash3268 ปีที่แล้ว

      Tuskilize mada ya sherkh othman na sio kichwa cha habar cha mwenye channel.

  • @AishaSalumu-tv4kb
    @AishaSalumu-tv4kb 11 หลายเดือนก่อน

    Mashaa Allah Allah akulipe khery

  • @mohdysaid2856
    @mohdysaid2856 9 หลายเดือนก่อน

    Allahu Akbar!

  • @staraamr2770
    @staraamr2770 6 หลายเดือนก่อน

    As salaam alaikum ndugu katika iimaan...dua inanishinda hapa pa...Lam fii.........Amalaha.
    Naomba munikamilishie

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 2 หลายเดือนก่อน

      Sijakufamu

    • @staraamr2770
      @staraamr2770 2 หลายเดือนก่อน

      @@AbdullahOmar-be4wy Niandikie hiyo dua

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 2 หลายเดือนก่อน

      @@staraamr2770 nipe email yako au namba za wasapu

  • @listonjiwe3467
    @listonjiwe3467 9 หลายเดือนก่อน

    Hao malaika waliokuja kufundisha uchawi ni wale malaika waovu walioshushwa duniani baada ya kuasi na kufukuzwa mbinguni na ndio hao majini ambao mnasema walisilim wakati hiyo dini ni yao na ndio walioileta kupitia muhamad kwa hiyo shehe hao majini ni ndugu zenu na uchawi ni asili yenu

    • @AishaHassan-o2y
      @AishaHassan-o2y 6 หลายเดือนก่อน

      Km nyie mnavyokemea mapepo mnayowapa watu kaisan kwahyo na nyie mapepo ni mama zenu na baba zenu

    • @DullahMamu
      @DullahMamu 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂watu hawaelewi hao malaika walio asi wakaletwa duniani huwajui adi leo basi ni Adam na Hawa wenyewe mkasema Eve hao ndo waliasi huko hakuna malaika mwenye anakosea mungu upo

    • @DullahMamu
      @DullahMamu 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@AishaHassan-o2y😂😂😂😂😂😂muulize tn

  • @AllyHizza-f9c
    @AllyHizza-f9c 9 หลายเดือนก่อน

    Inshaallah

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 9 หลายเดือนก่อน

    Jazakallah

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 11 หลายเดือนก่อน

    Shekher sikubaliani na hizo aya zako zinazosema malaika 2 ndoo walioleta uchawi hao maruta na aruta ni naraika wa shetani walioasi pamoja na rusifa ndoo wameleta mambo ya uchawi kwa wanadamu hapa duniani kwa ajili ya kumuasi mungu

    • @lookmanmustapha6366
      @lookmanmustapha6366 11 หลายเดือนก่อน

      Rudia suratil baqara aya 102

    • @AishaAbbas-mw6ef
      @AishaAbbas-mw6ef 11 หลายเดือนก่อน

      Acha kukoment kitu km huna uhakika nacho

    • @AishaAbbas-mw6ef
      @AishaAbbas-mw6ef 11 หลายเดือนก่อน

      Aya gn ilio sema malaika hao walias pmj n ibiris la'anatullah au ulikuepo?

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 11 หลายเดือนก่อน

      Masimba njoo kwenye ukristo😂

    • @nayyarnassor762
      @nayyarnassor762 10 หลายเดือนก่อน

      @@LastdayJesu4153 kama umetumwa

  • @a.856
    @a.856 11 หลายเดือนก่อน

    Jazakallah khayran

  • @mammym4185
    @mammym4185 11 หลายเดือนก่อน

    Allahu Akbar 😢

  • @hawa6052
    @hawa6052 ปีที่แล้ว

    Mashaa Allah tabarakallah

  • @shillasalimjuma6986
    @shillasalimjuma6986 ปีที่แล้ว

    Marshall ah mawaidha mazuri

  • @Kimochatv
    @Kimochatv 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaaaalaaah

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 ปีที่แล้ว

    Yan Mungu ndo alileta shirk!?

    • @HombeloZabron-v4v
      @HombeloZabron-v4v 9 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo shetwani hamiliki Chocho hiyo shiriki ni mtihani

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 ปีที่แล้ว

    Ma sha Allah

  • @Nzai-g4d
    @Nzai-g4d 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallaa

  • @kingusaid7175
    @kingusaid7175 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah,mawaidha mazuri sana. Allah akulipe

  • @feisalathumani31
    @feisalathumani31 ปีที่แล้ว

    Eti ukiacha uislam na kua mchawi hii umepata wapi

  • @NyaparaKitengo
    @NyaparaKitengo 8 หลายเดือนก่อน

    Mashallah❤

  • @rajabuathumani1586
    @rajabuathumani1586 11 หลายเดือนก่อน

    Yani huyu kurafi Ana visa vya uongo Sana huyo Sufi Visa ww ndio umevisoma tu hakuna wengine

    • @amazingvideo1497
      @amazingvideo1497 11 หลายเดือนก่อน

      Tuambie ww msomi

    • @salehsultan-7554
      @salehsultan-7554 11 หลายเดือนก่อน

      Sheghe auna hofu yakumuandikia meseg muislam mwenzako unamuita kulaf unajua maanayake mtu anaefanya mawaiza ya tawhiid hakika ayo manene kila anaeyasoma atayatolea ushaid kiama kua makn elmu ni bahar

    • @AhmedMohamedMadaiMadai
      @AhmedMohamedMadaiMadai 9 หลายเดือนก่อน

      Mashekh wenu hawan visa hv hawatak kusom Kaz chuki tu wahab elimu zenu ndgo mje msomeshwe

    • @rashidsuleiman9253
      @rashidsuleiman9253 8 หลายเดือนก่อน

      Kwa sababu huko kwenu hakuna mwenye elimu, sasa mambo haya yapo juu ya uwezo wenu. mmeuchukua ujinga na kuuvisha kilemba na sasa mwatembea nao mitaani

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 9 หลายเดือนก่อน

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 11 หลายเดือนก่อน

    Majini ni ya waislamu

    • @AishaAbbas-mw6ef
      @AishaAbbas-mw6ef 11 หลายเดือนก่อน

      Au sio SS km Majin n ya waislam ww umeft nn kwenye hay mawaidha? Acha ujinga Kwan hao Majin walijiumba? Majina wao waliumbwa n Alie kuumba ww n mm ko uspende kukashfu uumbj wa mola wetu

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 11 หลายเดือนก่อน

      D😂

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 11 หลายเดือนก่อน

    Waislamu ni dini ya majini tuu hamna lolote

    • @AishaAbbas-mw6ef
      @AishaAbbas-mw6ef 11 หลายเดือนก่อน

      Km n dini ya Majin km usemavyo ww unae jifany mjuaji Sasa mawaidha yetu unayafata y nn n kwann ukoment? Oky Allah ukihifadhi n kinywa chako inshaallah

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 11 หลายเดือนก่อน

      Aisha dada yangu Malaika wafundishe Uchawi😂

    • @AishaHassan-o2y
      @AishaHassan-o2y 6 หลายเดือนก่อน

      Sikiluza vizur mawaidha na km majini ni ndug zetu imekuaje na nyny mapepo mkakemea nijibu au umejisahahulusha😅

    • @saidiMsume
      @saidiMsume 5 หลายเดือนก่อน

      Elewa maana ya neno "kukemea".Sisi tunawafukuza kwa sababu hatuna ukaribu nao lkn nyie mnaswali nao,mnawajengea vilinge,mnawaoa na kuwafuga pia.

  • @mzeehassan2913
    @mzeehassan2913 ปีที่แล้ว +1

    Anwani ya nasaha hii imekoseka, hakuna malaika waliokuja kufundisha uchawi, REKEBISHA ANWANI HII 😢

    • @Izikiel55
      @Izikiel55 ปีที่แล้ว

      Tuambie wew hassan, nani waliokuja kufundisha huo uchawi!?
      Em shtuka wewee, dini yenu sio ya Mungu wa kweli weweee

    • @Izikiel55
      @Izikiel55 ปีที่แล้ว

      Hassan hutaki kuamin au unaona haiko sawa😂

    • @IssaFumo-o7j
      @IssaFumo-o7j ปีที่แล้ว

      We rangos shika adabu Yako ikushike,mwana nyau wewee

    • @omaryhaytham2899
      @omaryhaytham2899 11 หลายเดือนก่อน

      We mgumu kuelewa

    • @AzaShamba
      @AzaShamba 11 หลายเดือนก่อน

      Ingia school

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 ปีที่แล้ว

    Hao si malaika ni binadam hata ukijiuliza tu vipi malaika wakati mitume wote ni binadam na sie mafundisho yetu anasema hao walikua wachamungu hadi Allah akawafananisha na malaika

    • @MohamedAhmed-xi5jk
      @MohamedAhmed-xi5jk ปีที่แล้ว

      Quran imewataja malaika kwa majina haroota na maroota na sio binadamu kama unavyosema

    • @balkisamisi2131
      @balkisamisi2131 ปีที่แล้ว

      Kwani unataka kumkosowa Allah ?

    • @mohammedal7864
      @mohammedal7864 ปีที่แล้ว

      Sijamkosoa Allah Ila hao siwalimuasi Allah kwa kufundishwa uchawi na Allah amewasifu kwa kusema hawamuasi Allah na wenye kutuletea ujumbe wa ALLAH ni mitume tu kupitia kwa jibril a. a. Na malaika wt wanakazi zao alizowapa Allah

    • @wazirimakua12
      @wazirimakua12 ปีที่แล้ว

      ​@@mohammedal7864Akhi, hao malaika wala hawakuasi.. Allah mwenyewe ndiye aliyewatuma kuushusha uchawi ili uwe mtihani kwa waja wake.. Ni kawaida yake Allah kutupima waja wake je tutakufuru au tutashukuru, je tutasubiri au tutakosa subra..
      Kwahiyo hao ni malaika na malaika ni kweli hawaasi na wao pia hawakuasi bali walifuata agizo la Allah kuushusha uchawi duniani kwa ajili ya kuwapa mitihani watu na majini

    • @MohamedKimbwembwe
      @MohamedKimbwembwe ปีที่แล้ว

      Quraan inasema malaika

  • @zuwenasaleh4693
    @zuwenasaleh4693 11 หลายเดือนก่อน

    Shukran shekh wetu mungu akubaarik

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 ปีที่แล้ว +1

    Barakallahufiyk
    wallahi leo ndo naelewa sababu ya hao malaika kufundisha watu uchawi

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 ปีที่แล้ว

    kwanini waislam wana sali kwa luga ya kiarabu tu? Na kwanini mtu akibadili dini nakuwa mkristo anuawa? Ukiacha uislam nakuwa mchawi akuna kifo. And freemasonry nao wanafanya ivo ivo! mimi nina mashaka sana

    • @maimunasaidi
      @maimunasaidi ปีที่แล้ว +1

      Wewe ni muongo uliza uelezwe vizuri hujaelewa

    • @mohammedal7864
      @mohammedal7864 ปีที่แล้ว

      Sio kweli Jaribu ww ingia ktk uislam kisha urudi huko uone tukikuua ndio utajua nikweli na tukikuacha utaamini kua warongo tu hao

    • @abdallahmmary8591
      @abdallahmmary8591 ปีที่แล้ว

      Hujausoma uislamu kwamaana Hy usiseme jambo ambalo huna elimu nayo Hao malaika wametajwa kwenye qruani, an nvema ujitambue kuwa kuwepo hapa duniani unasababu maalumu nasio kuwa umezuka TU bila sababu tumia akili acha mzaha, ukiendelea na mzaha utajuta

    • @octomontana4214
      @octomontana4214 ปีที่แล้ว

      Hakika ujinga ni mzigo na mtihani mkubwa!!jitahidi kutafuta elimu futa ujinga kichwani

    • @IssaFumo-o7j
      @IssaFumo-o7j ปีที่แล้ว +1

      Ukitaka kujua jambo Fulani bas nenda Kwa wenye kulijua Ili wakujuze.Hawafanani wale wanaojua na wasiojua.Tafuta Elimu za Dini zote mbili,Yako na ya uislam Kisha utapata kujua ukweli ni ipi dini ya kweli ya kuifuata