Ila nyie uyu spika me namkubali mpaka bas yani hafati makofi na wala haangalii wazili mkuu Wala Nani ila anasimamia kanuni na sheria zinavyotaka Safi kabisa spika Mungu akusimamie spika wetu... ❤❤
Safi sana Mh. SPIKA umeongea sawa kabisa hapo Mh. Jenista hatutendei haki kwa kweli yeye yupo kutetea viongozi wenzake lkn si WanaNchi tumwogope Mungu jamani tuteeeniiiiiiiii sio kutetea viongoziiii
Amesema alikuwa waziri mpaka mwaka 2020 lakini kasema kunawafugaji walikamatiwa mifugo mwaka 2020 akiwa waziri alichukua hatua gani wakati Hao wafugaji wameenda Bungeni kipindi hiki
huyu mama haelewi watu hawataki maelekezo wanahitaji utendaji cha kuuliza yalitolea hayo maelekezo je yamefanyiwa kazi, shida si kutoa shida ni utendaji
Huyo Mhagama kazi yake ndiyo hiyo tangu zamani yeye akiona mbunge anaikaba koo serikali huwa anasimama na kusema, kuhusu utaratibu au vinginevyo mradi tu mchangiaji aache kuchangia. Hovyo sana hii
Hakuna kitu kibaya km kunyanyasa wafugaji ktk taifa walio weka sheria hawajui garama za wafugaji lkitokea watanzania kukataa tamaa ya kufuga jee mtakuwa tayari kuagiza ngombe toka njee ya tanzania Kosa la mifugo sio la wafugaji ni kosa la serekali zetu mawaziri na baazi ya Wala rushwa hufaidika na zoezi la ukamataji wa mifugo Lakini ni hatari Sana ktk taifa sababu wafugaji wanaweza kata tamaa kinachofuata ni lmpuct kwa taifa sababu wafugaji ni watu muhimu Sana ktk taifa serekali. Zetu zinaitaji ufumbuzi km wakulima uzuo ktk mashamba yao ktk mbuga zinaitaji wiyer za umeme Mashamba uzio tusizarau wafugaji ktk taifa
Kama swala likochini ya waziri mkuu na watu wanafanya vituko kama hivyo ni wazi waziri mkuu atakuwa karusu hatuwezi kupepesa macho. Mpina mwacheni mpina aseme ukweli nchi hii ni ya watanzania wote
Yaani Rais na Spuka mnaendana kabisa hampendi kabisa kutetea Serekali kwa jambo si lakweli mnapenda ukweli uwe ukweli na mkoseaji aambiwe amekosea hongera zenu HIYO MHIMILI MUMEIMUDU.
Ulifanya dhuluma kuchoma nyavu na kunyanganya samaki za watu na kutoza faini kubwa kubwa kwa kutaka sifa. Wewe ulifanya nini kumkomesha kukamata mifugo.
@@mussalimbe6673 Yeye si slikuwa waziri alifanya nini kuwasaidia au kuleta sheria ya mifugo? Nadhani wewe akili fupi hufikirii sawa kama unakunya. Leo hana cheo ndio anawafikiria watu wake. Alikuwa wapi.Nani alichoma kuku mpaka wa Kenya sio ndio hao hao.
Hongera sana Mhe. Mpina kwa kutetea ukweli. Hongera pia kwa spika Tulia kukitendea vizuri kiti katika hili.
Mpina Upo vizuri Sana 🙏🙏🙏💯🙏🙏💯💯🔥🔥🙏💯💯💯 CCM wenyewe Kwa wenyewe
Asante sana luhaga mpina unasitahiri kuwa rais mkomboz
Safi sana mpina..hayo mengine kazi ni kusifia tu..
Spika Dr Tulia unakindendea sana haki kiti Chako, ukiendelea hivyo utakuja kua among the best Spika.
Natamani 2025 tuchague wabuge wengine kabisa nje ya hawa wapiga makofi. Hongera sana mh. Spika Tulia ,pia hongera sana mh. Mpina.
Tutachaguaje nje ya wapiga makofi na sisi wenyewe ni wapiga makofi tu. Angalia hoja za maana zikichangiwa aidha hakuna comment au matusi tu!
Ila nyie uyu spika me namkubali mpaka bas yani hafati makofi na wala haangalii wazili mkuu Wala Nani ila anasimamia kanuni na sheria zinavyotaka Safi kabisa spika Mungu akusimamie spika wetu... ❤❤
mpina ww nikiozi. Bora kuliko woote hapo bungeni MUNGU. akuinue na akulinde sanaaa
Dr Tulia Ackson Mwansasu wewe ni akili kubwa sana.
Mhe. Mpina Luhaga salute
Bhabhaaa!!!!
Uyu mama huwa namuangaliaga tu mpuuzi sana anajifanya anajuaa sana kumbe mjinga mtupu na mpina ajuee Wana mtaani tunamuelewa
Bunge zima mbunge ni mh mpina pekeake.
Safi sana Mh. SPIKA umeongea sawa kabisa hapo Mh. Jenista hatutendei haki kwa kweli yeye yupo kutetea viongozi wenzake lkn si WanaNchi tumwogope Mungu jamani tuteeeniiiiiiiii sio kutetea viongoziiii
Dah mashallah spika wetu uwezo wke mkubwa sana Allah akufanyie wepesi ktk kazi zako ❤
Mpina wewee ni mwanaume kweri kweriiii....! Hongeraaa sana
Mimi nakuombea saana Mpina, pia muongozo wa Spika.... hongereni saana na Mungu aendelee kuwasimamia
😭😭😭😭😭😭 mpaka machoz yamenitoka kusikia ngombe wanavyokufa njaa
Hawa wapiga makofi subrini 2025 mtatujua vizur
Mpina chukua fomu ya Urais 2025 wakizingua nenda upinzani
Mpina oyeeee, , ,uongo hujitenga na ukweli
Safi xana mheshmiwa Mpina
Tulia uko vizuri umemsikia vizuri sana mpina
Mheshimiwa Jenister mimi binafsi sikukubali hata kidogo
Huyo ni hovyo kuliko wabunge wote ..huo uwaziri wa nchi hatumtaki sisi wananchi
@@NixonGerson arq
Kuanzia cku nimeanza kusikilza hoja za wabunge Mpina nakuelewa na unastahili uwaziri! Ila basi tu
MH sipika uko vizuri chapa kazi
Very genius speaker
Yaani Bunge hili kazi wapiga makofi ujinga mtupu, Ongera sana Mpina hachana na wapiga makofi bwana
Mpina uko vzr sana hongera jembe
Mh Mpina Mungu akulinde,hawa Mawaziri hawatutakii mema Watanzania
Hukuona alofanya madudu wakati akiwa waziri wa uvuvi.
@@hamadsheni8997 Comment huko public usijifiche mgongoni kwangu hovyooo
Yani haya mabunge kazi kupiga makofi tu
hivi Mh Mpina amesahau kuwa ukweli huwa haukubalik
Tulia ametulia kweli
Mpina uko vizuri hongera sana
Mpina piga hapo hapo wafugaji wananyanyasika sauti zao zimetoweka
Kweli mh spika upo makini ,upo sawa sawa kabisa unajuwa kuchambua hoja kwa uhalisia bila kumuonea mtu
😮😮
Mh.makinda uko vizuri sana💯
Nakupongeza sana ndugu spika
Uwezo wako upo juu kihekima kufafanua vizuri
Bila kukigugumizi nakuembea Mungu akubariki sana
Leo mambo bam bam
Mpina wanyooshe hahahaaaaaaa
Luhaga Safi kabisa nakukubali huwangii sura
Safi mama nsasu
Spika the best of you is that you know law interpretation of law others ........
Jenister ukweli haupingwi kwa propaganda.
Mbunge ni mmoja tu bunge lote katiba ibadilishwe
Kama hawezi kumheshimu hata waziri mkuu Mpina ni mtu mwenye Roho mbaya sana
Watanzania 😭😭wetu wanashangilia nini sasa jamani ee mungu tusaidie
Jenister 😂😂😂😂😂😂 25 Mungu Tulindeeee
Huyu sasaaa
Wengi hamrud 25
Pole kaka wanatuhujumu hawa siend kwenye mikutano yao
Amesema alikuwa waziri mpaka mwaka 2020 lakini kasema kunawafugaji walikamatiwa mifugo mwaka 2020 akiwa waziri alichukua hatua gani wakati Hao wafugaji wameenda Bungeni kipindi hiki
Wao ndo mamluki
Kwanini vilichomwa hadharani mbele ya macho ya watu
Bunge la hovyoo sana mnapiga makofi kwenye vitu vya msingi.
Mpina nimekuelewa
MPINA CHUMAAAAAAAAAAA
Jenista pumzika wengine wafanye kazi hiyo kazi
Bunge Holyoke Holyoke larisa ni ujinga wezi nyie..WA kodi zetu
Anawaumbua, maana wao ndo wananunua mitego feki
huyu mama haelewi watu hawataki maelekezo wanahitaji utendaji cha kuuliza yalitolea hayo maelekezo je yamefanyiwa kazi, shida si kutoa shida ni utendaji
Kumbe spika tunae sio hao wanao jipendekeza kupiga makofi hongera spika na hongera mpina
Huyu mhagama kachemka! sasa hapo anachoongea ni nini?
Katiba mpya Napendekeza Ubunge iwe mwisho miaka 10 tuu kwa Mbunge akitumikia vipindi hivuo asiruhusiwe tena maana wengi wao wanafanya kazi kwa Mazoeaa
Hata mitano inatosha
Wabunge vilaza watulie wapunguze kujipendekeza jamani vipi?
Sopika hongela sana ufaham wako mkubwa sana
Hizo wizara wapeni wengine wanaoweza hiyo kazi
Huyo Mhagama kazi yake ndiyo hiyo tangu zamani yeye akiona mbunge anaikaba koo serikali huwa anasimama na kusema, kuhusu utaratibu au vinginevyo mradi tu mchangiaji aache kuchangia. Hovyo sana hii
Tulia Akson Upo sahihi achana Na jenista
Hivi kwann Wabunge kufanya fujo wakate Mbunge anatoa kero za wanaNchi ,kwann wabunge wasio na hoja wanampotezea mwingine kutoa kero za Wananchi?
Hawa watu wamegawanyika vibaya uchaguzi 2025 wata uwana.
Sasa Mpina unataka samaki aliyekwisha kaangwa na kuungwa apimwe kwa rula?. Hiyo sheria ya wapi, au ya Gambosh mzee?😁😁
Hakuna kitu kibaya km kunyanyasa wafugaji ktk taifa walio weka sheria hawajui garama za wafugaji lkitokea watanzania kukataa tamaa ya kufuga jee mtakuwa tayari kuagiza ngombe toka njee ya tanzania
Kosa la mifugo sio la wafugaji ni kosa la serekali zetu mawaziri na baazi ya Wala rushwa hufaidika na zoezi la ukamataji wa mifugo
Lakini ni hatari Sana ktk taifa sababu wafugaji wanaweza kata tamaa kinachofuata ni lmpuct kwa taifa sababu wafugaji ni watu muhimu Sana ktk taifa serekali. Zetu zinaitaji ufumbuzi km wakulima uzuo ktk mashamba yao ktk mbuga zinaitaji wiyer za umeme
Mashamba uzio tusizarau wafugaji ktk taifa
Acheni kulindana acheni wawakilishi watoe kero kero za WanaNchi
Watanzania munawaona wabungewenu munaowachangua kwakupewa kanga
😭😭😭😭😭😭😭😭😭💯💯💯
Tanzania 🇹🇿 Nchi yng 😂😂
Kama swala likochini ya waziri mkuu na watu wanafanya vituko kama hivyo ni wazi waziri mkuu atakuwa karusu hatuwezi kupepesa macho. Mpina mwacheni mpina aseme ukweli nchi hii ni ya watanzania wote
Wabunge wasiochaguliwa
Yanafanyoka Kwa ridha yake hilo ndio Mbunge alilo litamka
bunge dhaifu unafiki tu
Luhaga mpina ni chuma cha reli mungu akulinde
Yaani Rais na Spuka mnaendana kabisa hampendi kabisa kutetea Serekali kwa jambo si lakweli mnapenda ukweli uwe ukweli na mkoseaji aambiwe amekosea hongera zenu HIYO MHIMILI MUMEIMUDU.
Wewe mla kodi tu wewe mhagama huna jipya nawashangaa viongozi wanaomchagua na kumkubali
Spika huko vizuri sana kuchambua hoja
Sijawahi kumuelewa jenista
Hana akili
Haya ndo matatizo ya kukosa upinzani
We pumbavu kwa nn msivirujishe kwao unaenda kuzichoma viumbe vya allah pumbavu ww
Mbona mayai kutoka nje yanaingia bila vibali
Ulifanya dhuluma kuchoma nyavu na kunyanganya samaki za watu na kutoza faini kubwa kubwa kwa kutaka sifa. Wewe ulifanya nini kumkomesha kukamata mifugo.
Mjinga ww unapinga Nini ng'ombe wanaibiwa kwenda zako
@@mussalimbe6673 Yeye si slikuwa waziri alifanya nini kuwasaidia au kuleta sheria ya mifugo? Nadhani wewe akili fupi hufikirii sawa kama unakunya. Leo hana cheo ndio anawafikiria watu wake. Alikuwa wapi.Nani alichoma kuku mpaka wa Kenya sio ndio hao hao.
Mpina kwishaa na hurudi tena bungeni ww
Kwanza wananchi hatukutaki
Mwakani hatukupi kura
Kazi yako kumsema rais tu
Achana na bangi
Bangi pafu moja inakaa kichwani miaka saba
Kwani akimuongelea rais amekuongelea wewe
Yani haya mabunge kazi kupiga makofi tu
Hii🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bunge