Maombi Dhidi ya Roho ya Kuchelewa | MID-NIGHT PRAYERS|| DAY 3 | PASTOR GEORGE MUKABWA || 03/07/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
- Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
-Safari Com : +254 722 578 776 (Jina : George Stephen Mukabwa)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Ndo namaliza maombi na mchungaji now Bwana amefanya ameeeni
Napokea baraka zangu zote kwa jina la yesu kirsto
Hakika Mungu ni halisi nimeona matendo yake ktk Maisha yangu
Jamani haya maombi yana nguvu. Ninaushuda hakika Mungu ametenda🙌, nitazidi kunyenyekea mbele za Mungu kupitia haya maombi ya madhabahu hii na mtumishi wake🙏
I am connecting with your testimony in Jesus name😊
Napokea Barak zangu zote ktk jina laYesu
Jamani 🔥🔥🔥🔥🔥😭😭😭😭
Natangaza kubadilika kwa majira yangu na wala sitacheleweshwa tena kwa jina la Yesu Kristo,Amen!
Yaani ni mimi Mungu nitoe hapa kumbuka niliyofanya mfungo huu unitoe
👏👏👏👏👏👏 Thanks you Jesus 😢
Amen
Uwiiii ni mimi Mungu nione jmn
Amen kubwa
Kwa maombi haya naamini nimepokea nasubiri kutoa shuhuda. Hasante Mungu juu ya Pastor George
Haya maombi hua yanaanza aaa ngp
Saa 5 usiku
Nahakikisha nafuatilia haya maombi kila siku maana nahisi nahuishwa
Amen
Amen