PETER MADELEKA AKIWASHA SAKATA LA KUTEKWA KWA SATIVA, AFUNGUKA MAZITO, ATAKA SULUHU YA UTEKWAJI WATU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- #TANZANIA: Wakili Peter Madeleka akiwasha sakata la kutekwa kwa Sativa na wengine, afunguka mazito, ataka suluhu, pia afunguka sheria za makosa ya mitandao, adai hizo ni kesi rahisi sana, ataka watu wawe wamoja.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Madeleka one of the vary brave lndipendet privet advocate who knows vary clear tanzania constuetion in and out even lntanationol system challenge on Africa constuetion wise now after lessening vary clear you pin point l understand vary clear your pin point madeleka umeongea point sana km mwanasheria anaye kutambua ktk nchi yetu ukiwa na mueshimiwa mwabukusi baba lao
Kheri tumbo lililokuzaa🤝🏽
Kweli kabisa wakili msomi Peter Madeleka ❤
Mumgu akubariki Madeleka
Ikiwa hivyo ndivyo tunasubiri nini?
Aaaaaaaaa imezidi sana huu utekaji mateso kama haya sasa hivi imezidi
Naomba namba zenu Wana space na ya madeleka, Mungu awatunze sana.
Wakili umesema kweli sasa hatua zianze sana isiishie tu mjadala wa hapa
Kaka mkubwa nakuelewa vizuri mungu akujaalie UMRI na afya
Good!!
Dada Maria naomba namba ya Madereka tafadhali
Ha!! kumbeee!!!!
Utekaji huu kiboko Mungu tusaidie nchi iwe na amani Tanzania
Naomba yako madeleka
Usiseme tumwombee Madeleka uwe na uhakika umeshaanza Mungu hataki watu Mungu anataka mtu mmoja achukuaye hatua ili Bwana wa Majeshi Mungu aliye hai afanye .Lakini pia MUNGU wa haki Yuko kazini unaweza ukaona japo Rohoni wanaohisi wanayo mamlaka leo watajikuta hawanayo Tena na kujuta kwa Nini walifanya tunayoyaona kwa rekodi ndeefu yakijirudiarudia.
Mungu mpe nguvu huyu mtu mkombozi. Wetu watanzani wachungaji maasikofu mashehe tumwombee huyu mtu tuweke siku yake yamaombezi. Asante nitajielimisha kwa faida ya taifa langu ndiye maderka elimu yake inasaidia taifa lote.
Ombea familia yako
Sasa suala la utekaji linazidi kuongezeka. Tuchukue hatua tumuunge mkono wakili msoni Madaleka ili kina Soka na wengine waliotekwa na kupotezwa wapatikane na wanaoendeleza unyama huo wafikishwe mbele ya sheria.
Naomba namba ya Madeleka au nijuwe tuu ofisi zao ninashida ya kisheria
Weken no ya malipo na utaratibu tuchangie tumechoka na watu kupotea leo kwangu kesho kwako. n muda cc mwenyewe kujikomboa.
Sasa lutekaji la Soka limeongezeka. Tumuunge mkono wakili msomi ili tuchukue hatua.
Tunaomba akina madeleka wawe wengi ili hii inchi iamke.
Km Ccm Wanatuteka Kwa Nn Sisi Tusiwateke C Tunaishi Nao?
Madereka yuko sahihi,tuache kulalamika hatua zichukuliwe
ni kweli serikali inahusika kwa yote.