Asante kwa simulizi nzuri Nanikweli watu wakiona mwanaume akifanya kazi za ndani huona mwanaume amekaliwa namke mbona wafikirie hivo wakati maisha nikusaidiana
Anaujinga sna huyo mke,laiti usingegundulika huo ugonjwa c angeendelea na uchafu wke,yamekukuta ss waomba msamaha.Kwa kweli aliyoyapitia huyo mwanaume kwa kweli ni kidume na uamuzi wake nimeupenda bure japo alionesha huruma kdigo.Dha jama tuwe tukiridhika kwa tulicho nacho,thanks🙏🙏
Mimi nashukuru sana kwa simulizi hii nzuri naomba nitoe ushauri kwamba vijana mkitaka kuoa chukueni wadada Wa mjini walio pitia tabù nyingi👍
Anko jay mwenyewe tulimikumis anko jay shukraan kwa simulizi mpya 🥰🥰🥰
Asante kwa simulizi nzuri
Nanikweli watu wakiona mwanaume akifanya kazi za ndani huona mwanaume amekaliwa namke mbona wafikirie hivo wakati maisha nikusaidiana
Baada ya kupotea kwa muda sas kaja na mzigo mpya simwingine bal Anko jj pamoja san broo.
WELCOME BACK ANKO JAY YOUR MESMERIZING VOICE WAS TRULY MISSED. BETRAYAL IN A MARRIAGE OR RELATIONSHIPS IS VERY SICKENING. GREAT STORY 🔥🔥🔥👏👏
He majanga lla wasichana wa vijijini ndo zao afadhali uchukue wa mjini asante Anko J kwa simulizi yakusikitisha
Jaman anko nilikumis sanaa 😭😭😍😍
Nice one mr Anko jay always 💕💕😘 simulizi
Ahsante anko jay
Mwanaume mstaarabu sana na hiyo sauti anko inavyompamba dah nihatari 😅
Haya waburundi tujuane 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Anaujinga sna huyo mke,laiti usingegundulika huo ugonjwa c angeendelea na uchafu wke,yamekukuta ss waomba msamaha.Kwa kweli aliyoyapitia huyo mwanaume kwa kweli ni kidume na uamuzi wake nimeupenda bure japo alionesha huruma kdigo.Dha jama tuwe tukiridhika kwa tulicho nacho,thanks🙏🙏
Da!,pole Sana kaka,pia mm naumia kaa wewe tu,hila tuombe mungu sana yeye ndie mwaminifu kwetu tu
Tamaa mbele mauti nyuma
Mateso shkuru Mungu alikua nawe hatakama uliumia lakini angalau Mungu alikuepusha na maradhi
Uy kaka ana subira maana cy kwa uvumilivu uo pongezi ank jay kwa simulizi nzuri
Shukrani sana simulizi mix ila hadi mm nimejikuta natokwa na machozi
Dah wanaume wavumilivu kama ww ni wachache sana
Jmn pole sana masumbuko
Anko j ulikuwa umetuheba
Looo ni mtihan mzito sana. Shukran Anko J umepotea sana
Shukran kwa Simulizi Mix yote kwa ujumla kwa kutuelimisha na kutuburudisha
Wanawake wengine bwana hata ule uoga wakike pia hawana
Kama uk bze kukagua like gonga like
Nimejifunza usaliti haufai tujifunze kutosheka na chochote kwenye Ndoa zetu
Na support mateso kwa ma amuzi yake mume akikupenda kwa thati tulia
Aiseee simuliz inamafunzo pia wanawake tutosheke na waume zetu ukiona hufikishwi mwambie mumeo
Asante sana simulizi nzuli sana yenye mafunzo kosa sio Margaret kosa ni kuto kuwa muwazi mbere ya mumewe kabisa taji la usaliti
Nice ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Shukrani kwa simlizi nzuli
Kuzini akufai na ukipata mwanamke mwanya bikra yake just pia sikumoja aweza kukusaliti
Ndio maana siwezi kumpa mwanangu majina yaajabu eti mateso!😢
Awww!!
😍napenda sauti ya uncle jay jmn🥰🥰
hayo ndio malipo ya usaliti wa ndowa
simulizi tamu hadi naenda bafuni nikiwa naendeleya kuiskiya
❤❤❤❤❤❤
❤️❤️❤️
Awww!! Mateso so sad
So painful ankoj
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mjinga uyo mwanamke akafie mbele
To be continued