Daah stori inahuzunishaaa hasa kwa Andrew jamani 😭daah hakuwahi frahia maisha yake daah kila simu yeye piah herieth sijapenda yani umwache mtu unaempenda na kuondoka aseee hii mbaya n huyi selestini kweri wivu mmbay lkn yeye alikuwa n wivu mmbay acha tuishi mara 1 tufrahi mara 1 n kulia ni siku zote Mpaka kifo Big up sana uncle J ❤❤❤basi ulivoimbaa ni burudani
Eeee huyu selestine ananiudhi mbona asimtafute mwanamke kwa maneno yake mwenyewe anamtongoza binti na jina la mwanaume mwenzio?? Huyu ni muoga kabisa mmmmm mapenzi haya jmn tochi ya mapenzi embu isinimulike kabisa
kifo Cha Andro kinauzunisha sn kwani chalii alikuwa na akili sn darasan kiasi kwamba mbeleni ndie angekuwa msaada Kwa mama yake kweli binadamu wabaya sn asnt anko jay Kwa simuliz za maisha
Anko mm nisiwe mnafki shida hutuma mtu apokee chochote cha wizi 🙂alfu watu wengine bwan wanamuona akitapeliwa lakin hawawezi mtahadharisha wanamwambia wakati katepetiwa.🤣🤣🤣eti watapeli yeye kama yy hatari
Simulizi mix Asante sana kwakutuleteya mafundisho bora
Anko jay thanks kwa simulizi nzuri kiu kweli nme jifunga kitu
Daah stori inahuzunishaaa hasa kwa Andrew jamani 😭daah hakuwahi frahia maisha yake daah kila simu yeye piah herieth sijapenda yani umwache mtu unaempenda na kuondoka aseee hii mbaya n huyi selestini kweri wivu mmbay lkn yeye alikuwa n wivu mmbay acha tuishi mara 1 tufrahi mara 1 n kulia ni siku zote Mpaka kifo
Big up sana uncle J ❤❤❤basi ulivoimbaa ni burudani
Asant
Mm sichukui
Yaniii naskiliza simulizi nasahau mbaka kula
Ongera kak.
Shukran san kwa simulizi nzuri nimeipend sn
Late bt never
Wapi sisi wakupitia comments be4 tuanze kuskiza
Ankoooo ankooooo j daaah unazitoaga wapiiiiiii simulizi Kali kama hizi. Weee kiboko kak
Asanteee xaaan anko j kwa simuliz nzuri🥰🔥🔥
Yaani anko jay hichi kikundi n Celine Dion waah they are my favorite
Harlet Hakumpenda Andrew Mbali Alikuwa Muongo Kama Angemupenda Angemusaidia Na Kuelezea Wazazi Wake Ili Wawenze Kumusaidia Andrew
Asante anko Jay
Nitapokeya kaka
AKO JAY mwenyew simuliz mix ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ngoja kwanza nksikilize kwa maakin ila ww huna mbaya
😂😂 anko j kwenye kuimba hapana waachie wenyewe
Ananichekeshaga sana😅😅😅
Anko jay Asante Kwa simuliz nzuri ila hapo kwenye pesa ya wizi Kwa Mimi maisha yalivo pinda nitachukua tu atajua mwenyewe huko akikamatwa 🤣🤣👌
Aya bwan ngoja n enjoy simuliz mpy jamn,anko j unasimulia vzr👏👏
mmmmm yenye ndo mwizi anko jay
Na awe pole dunia inamafunzo mengi sn asante kwa simulizi nzurii.
THIS LIFE HAS NO BALANCE 🔥🔥🔥👍👍BRAVO ANKO JAY.
E#€€#ddyzdw#75 gf GWENAËLLE G g et Stéphanie dire dans G G g et études f f
23 nnllkljhhkmpicj65hyt
Mmmmmh!!jaman Anko wey haujitiaki nyuma😂😂😂😂😂😂😂
Ntakataa juu mwenye kuibiwa akifanya ubaya pia mm ntapata uleubaya
Hahaha anko jay ni 😘😘😘
Mimi Singeweza Kuchukua Nduku Edward Kutoka Kenya
Anko J ni 🔥tunakupenda
Supokei anko jay vya kuiba havina baraka
Ndio sababu alikuwa riho ya kikatili kwani haluoata malezi
Hii story ni moto kweli kweli
@AnkoJay..,
His Truly Blessed! Ukickia kuishi Taranta ndio hukuu Jomany!
Seventh Fun.
Asante anko wetu
Juu Ya Pesa Ata Wwe Akoo Jey Utazikataa
😭😭😭
Unatakiwa uzikatae sio vizuri kushirikana na mwizi
Utam kolea jamani nawapenda sana simulizi mix kwa kua makini
❤️❤️❤️❤️🥰🥰
Asante sana kaka jay
Asante sana simulizi mix kwa story mzuri yenye mafunzo keep up.....ila kwa swali lako hakuna mwenye atakataa pesa mtu kama mm hata kama n za wizi😂😂
Mm sichukui ju wanasema uki shirikiana na mwizi ww pia utaitwa mwizi
Anko Jay tumaliziye sehemu ya mwisho ya milele tafadhali
Jamani dunia ni duraa😮
Pesa za wizi, kama mimi Betty nitakataa, anko j,,napenda sauti yako,,uko sawa hii ni kama movie...natoka 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Pamoja saana
Yani mpka nasikia kulia yani weee alafu anko jei sauti jamni weee upande wangu siwezi kutwaa pesa ya wizi ni haram 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰Nakupenda anko jei weee
Heriat Hakumpenda andrew anapesa kwann asimpeeke kutibiwa nje na alikua milionea
shukrani 🙏🙏🙏
Hyu selestina aisee yani alichomfanyia bado haitosh tuuu jamani khaa
😭😭😭😭😭😭
Nitapokea tunaeza Shikwa wote
Seletini ilifaa aliwe nyama SI kutapeliwa TU ili na wengine wajifunze😂😂😂
Leo.nimekubali
Nakataa
Yale Mateso Aliyopata Harlet Ni Vile Hakumjali Andrew Na Derick Kuchukua Pesa Ya Wizi NiBaya Kama UlikuwaUnajua Na Mama Andrew Pole Kwa Yale Uliyopa
Pole Kwa Yale uliyopitia Na Asante KwaHuyu Mdhamini Aliyejitolea Kukusaidia
Nitakata
Sichukui pesa ya wizi mmi abadani
Jamani Andrew😰😪😓😓
Kama mzazi inauma sana jamn
Ahsante anko J
Duuuuuh nimelia sana kweli walimwengu hawana huruma
I feel pain for this woman 😭😭😭
6
Apo nakataa mana ukipokea itakua lenu moja
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 daah
Hahaah me mkojan wa 3 leo
Jamani msukuma nimekua wa pili
Mimi sikubali pesa za wizi
Cwezi kupokea pesa ya wizi Nikama mm pia nimeshiriki kuiba kwa hiyo mm pia ni wizi
Punguzeni mziki
Anko j mbona utuletei bint Reyana
Mm nakataa😂
Pesa za wivi nikigawiwa nitazikataa Anko Jay coz ni za haramu
Pesa Kama hizo siwezi kuzichukua mimi
Sasa babu ya laana halieti mbaya sana juu angemasidia Andulu
Nitakataaa anko pesa ya wizi kuipokea
Anko Jay kumbe kithungu kinatoka hivyo 😂😂😂
Anko jay tunakupenda simulizi nzuri da hija nairobi
Eeee huyu selestine ananiudhi mbona asimtafute mwanamke kwa maneno yake mwenyewe anamtongoza binti na jina la mwanaume mwenzio?? Huyu ni muoga kabisa mmmmm mapenzi haya jmn tochi ya mapenzi embu isinimulike kabisa
Mimikama mimi siwezi kupokea oesa hiyo hata kwa dawa yani !!!
Mm nitachukua sio mm nimeimba
Siwezi kuzichuwa
Woii wazazi tunapitia mazito
Anko j mm siwezi kupokea pesa ya wizi kabisa
🎉🎉
Mimi ntakataa duuh dhulma ita cost
Kamimi hela ya wizi sipokei
Pesa napokea mi si nimepewa
Npokea mzee
Hakika umetushika kabisa
Jomoni mremb
Anko jay mwenyewe tunainjoi kila siku na simulizi mpyaa asantee simulizi mix 🥰🥰tunajifunza mengi sana hapa simulizi mix🥰🥰
Mh ww umewa hii wa ngapi 😁😁😁😁
@@HuaweiY-wx7we Watatu niliwahi miee kila muda naingia you tube 🤣🤣kichungulia simulizi mix
Dunia ni rangi rangile ,
Sauti ya zege
Nilitaka kushangaa anko asiimbe
Pesa ya wizi nitamu unatani urudie Tena
Ety macho Yale muonee 😂😂😂km namuona vile.
Binafsi sichukui
Hakuna anaye kataa pesa
Anko J na wewe,since when starring kafa?
Kaka Anko Jay hata kutudanganya kwa wimbo vipo?
Kwan leo nimewahi wa ngapi🤷♀️🤷♀️🤷♀️
Kaka vp anko j unaimba unaongea jmn mechek San san
Msema ukweri ni mpenzi wa MUNGU mimi napokea napia natumia kawaida namaisha yanaendelea
kifo Cha Andro kinauzunisha sn kwani chalii alikuwa na akili sn darasan kiasi kwamba mbeleni ndie angekuwa msaada Kwa mama yake kweli binadamu wabaya sn asnt anko jay Kwa simuliz za maisha
Nitakataa
Frido mhh ango j
Jax unachukua Kwa sbb pesa Haina uharamu
Sizipokeii anko j
Aty mwone nicheke mie😹😹
Sem nn kamekuw kafup san
Anko mm nisiwe mnafki shida hutuma mtu apokee chochote cha wizi 🙂alfu watu wengine bwan wanamuona akitapeliwa lakin hawawezi mtahadharisha wanamwambia wakati katepetiwa.🤣🤣🤣eti watapeli yeye kama yy hatari