Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews TH-cam : www.youtube.com... #ChomozaTv#2023
Am so exitedi na huyu baba jaman namfatilia namuelewa huu mwaka wa 5 kwa neema ya MUNGU nimejifunza meng nimebadilika kwa kias kikubwa 🙏🙏MUNGU endelea kunibarikia dr.Elly na team nzima ya chomoza na clouds tv
Mungu abariki uzao wako Na wazazi waliokuzaa huu ni mwaka wa 6 nakufatilia kwa team chomoza kila j2 nipatapo notification nadownload video zako Zimenipa mwanga ktk maisha yangu Mbarikiwe team chomoza ❤
Salam nyingi za dhati kutoka kwangu kuja kwenu team chomoza am really touched by every teaching from the doctor. Am much glad for the continuity of the episodes. Carim from Kenya
Dr Elie Mwenyezi Mungu akutunze, akuongezee miaka ya kua hai ktk mwili wako ili upate kutugawia uelewa na mwangaza ambao yeye amekujalia, team chomoza naomba msaada wenu nipate flash ya clip za Dr Elie nikiwa ktk utulivu
Kipindi kiongezewe Muda at least 45 Minutes or 60 Minutes. Maana kinaruka hewani mara moja kwa wiki. Tunapata maarifa makubwa sana. Uongozi angalieni hili. Ikiwezekana mpunguze muda kwenye vipindi vya Burudani Masomo ya Dr. Elie ni nyeti sana.
Yani kama fundisho ambalo Yesu au mitume hawakufundisha wewe una fundisha....umetoa wapi???? Dr unaongea mambo nyeti sana yani natamani nipate mawasiliano yako.....kweli ujumbe wa Kristo Yesu umepotoshwa na baadhi ya wajiitao watumishi wa matumbo yao
Am so exitedi na huyu baba jaman namfatilia namuelewa huu mwaka wa 5 kwa neema ya MUNGU nimejifunza meng nimebadilika kwa kias kikubwa 🙏🙏MUNGU endelea kunibarikia dr.Elly na team nzima ya chomoza na clouds tv
Mbarikiwe team chomoza tunajifunza vyema!!!!
Nitaprint picha ya Dr. Elie niweke subureni Mungu ambariki sana anawapa watu maarifa na mimi ni mmoja wapo
Mungu abariki uzao wako
Na wazazi waliokuzaa huu ni mwaka wa 6 nakufatilia kwa team chomoza kila j2 nipatapo notification nadownload video zako
Zimenipa mwanga ktk maisha yangu
Mbarikiwe team chomoza ❤
Salam nyingi za dhati kutoka kwangu kuja kwenu team chomoza am really touched by every teaching from the doctor. Am much glad for the continuity of the episodes. Carim from Kenya
Nipo pamoja na team chomoza, nawapenda daima
Gloire à Dieu
Asante Dr Elly hakika umebadilisha maisha yangu kwa mafunzo yako
WISH nijue namna ya kufanya BOOKING ili aje Tanga
Umebarikiwa sana kwa uzao wako tunashukuru kupata elimu ya imani
Dr Elie Mungu akubariki sana
Barikiwa Sana!
Aonavyo MTU nafsini mwake ndivyo alivyo. Somo zuri Sana katika kujitambua
Imani ni ruhusa kuwa wazo.
Asante Dr Elie ukweli Huwa nakuombea na mafundisho yako yamenibadilisha sana Mungu azidi kukutunza na namshukuru Mungu sana Kwa kunipa wewe
Dr Elie Mwenyezi Mungu akutunze, akuongezee miaka ya kua hai ktk mwili wako ili upate kutugawia uelewa na mwangaza ambao yeye amekujalia, team chomoza naomba msaada wenu nipate flash ya clip za Dr Elie nikiwa ktk utulivu
Thank you team Chomoza. Mungu akubariki sana Dr.Ellie..
Tunaomba episode ya leo please
Kipindi kiongezewe Muda at least 45 Minutes or 60 Minutes. Maana kinaruka hewani mara moja kwa wiki. Tunapata maarifa makubwa sana. Uongozi angalieni hili. Ikiwezekana mpunguze muda kwenye vipindi vya Burudani Masomo ya Dr. Elie ni nyeti sana.
Salaam za shukrani Dr. Kwa maombez yako ktk hitimisho la somo. Naam tukutane tena kesho maana hata wiki ijayo ni kesho. Salaam toka Mwanza🐟
Mwambieni DJ Sam huko redio anatutoa kwenye upako na hizo background zake. Aaache wimbo uimbe Aaache madoido.
🥰🥰😍
Thanks Dr Ellie and team chomoza
Thank you..nabarikiwa sana
Shukran sana na muzidi kubarikiwa
Jaribuni kuweka sauti vzr sauti inakuwa chini sana
Sawa bhana Dr Ellie kumbe ndo maana jua kali
🙏🙏
Ambayo hayakuandikwa na yanatoka kwa MUNGU unayafundisha wewe ili watu wajisome vyema. Elimu nzuri!!
Apana mkuuu ndo mungu anayatoa apo kupitia yeye
Cover iandikwe mawazo na sio majibu
Yaanii huyu Mzee Mungu amzidishiee hizo falsafa na theologia zake ni hekima tosha kwetu
Kiukwel mm ni miongoni mwa wanafunz wenu , na kula matunda ya chomoza kila sku kimaisha .
Yani kama fundisho ambalo Yesu au mitume hawakufundisha wewe una fundisha....umetoa wapi???? Dr unaongea mambo nyeti sana yani natamani nipate mawasiliano yako.....kweli ujumbe wa Kristo Yesu umepotoshwa na baadhi ya wajiitao watumishi wa matumbo yao
Jaman team chomoza tunaomb dr elli vd akimaliza ili somo afundishe somo la kukataliwa maana tunateseka sana na kukatariwa
Hahahaha
@@mwatimeabdallah3523 mbona unacheka sasa
Nimefurahia hicho unachotaka kijadiliwe
Kuna mahali nilisoma kukataliwa kunaanza na kujikataa mwenyewe kwanza,so ukijikubali utakubalikaa
Dr vitabu vyake vinapatikana wapi?
Wanao record sound hawako gud sauti iko chini sana
Shule ni mpango wa binadamu Ili kuendeleza mpango wa binadamu
wokovu -