Somo "Akili" Sehemu Ya 9. Dr.Elie V.D Waminian
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
TH-cam : www.youtube.com...
#ChomozaTv#GospelUpdates#2020
Asante Sana kwa masomo maana yamenibadilisha Sana katika maisha yangu ...Yani nimekuwa mtu wa furaha Sana. kweli furaha unayo mwenyewe sio kwa watu Asante Sana Dr..
Duuu doctor uko viziru Mungu akupe maisha marefu ili tujifunze zaidi kutoka kwako
Nafunguka sana kupitia wewe Dr.Mungu azidi kukupa afya njema,utufundishe zaidi
nashukuru sana jamani ninawafuatilia vizuri mungu awabariki sana
Ili kupata haki,amani na furaha LAZIMA kwanza umkubali na kumkiri YESU kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako. Yeye TU ndio ufunguo wa kukupeleka mbinguni hakuna njia nyingine yyte.
Tunaomba wageze muda please chomoza tunapenda sana mafundisho ya Dr Elie
Ahsante kwa madini Dr elie mafundisho yako yamefanyika baraka kubwa maishani mwangu.
A Truly Hub of Hope.
Naendelea kujifunza. Asante sana Dr.
Tunangojea kipindi week 2....unakuja kumpa Dr Elie dk 28 kweli? Fanyani mpango jamani muwe mnarecod kipindi off camera cha masaa 2 mtuwekee TH-cam itasaidia kumaliza topic kwa haraka....maana Dr anamasomo mengi yakutufundisha....matumaini yangu mtafanyia kazi hilo
ni kweli kabisa, hekima inahitajika sana hapo kwa waandaaji. najua walifungiwa kwahiyo hawakuweza kurecord, sasa si waje na saa nzima ya kipindi kifidia.. alafu Dr Wli kuna maswali mengi anatakiwa kutoa somo, mfano Malaika nk
Haki, amani ,furaha ni vigezo na ufunguo wa kuingia katika ufalme wa MUNGU. Vigezo hivi ni kwa watu wote. Hakuna dini hapa Jimmy! Chomoza ni maswala ya kujenga watu tu , siyo "dini"
Hii ndo injili aliyoifundisha Yesu Kristo. Yesu hakufundisha habari za dini.
Mbarikiwe chomoza
Muislamu ni nani? na Mkristo ni nani? 😂😂 Dr wise sana🙌
AWAJAMAA WANAOFUNGUWA ACCOUNT BILA KIBALI CHA DR ELLIE WATAFUTWE NAWASHITAKIWE
Dr Elie Vd nina swali, naomba kuelekezwa. Biblia inaposema iheshimu siku ya bwana na kuitakasa. Je siku ya bwana hasa ni ipi?
Kumbe kitu physically kama mungu hakuna!!! Ni imani tu.
Mwenye FURAHA NI MWENUE IMANI
Haki n BAYANA YA IMANI
MWENYE uhakika ndio mwenye HAKI
Ila jimy jitahidi kusoma na kutafakari maandiko. Nakuona uko mweupe sana. 🙉🙉🙉😆😂Nakushauri vzr tu kwa upendo.
Hakika akili anafanya kazi yake
Tukutane next week
Dr, Kwa Ufunuo huo huo Tafadhali tuambie na Shetani ni Nani?
Dr Mungu ni imani kwa hiyo hakuna mungu physically? Hebu weka wazi hapo
Karibu, ndugu Manfred.
Vyote ambavyo ni vya kimwili (physical) vimesababishwa na visivyo vya kimwili ( Non-physical or immaterial).
Umungu ni sababu, sio matokeo.
Mungu akubariki
Ahsante!
Dr. Waminian V. D tengeneza jukwaa lako, muda ni mfupi sana kupitia chomoza. Ujumbe haufiki kamili.