LEO NIMEOKOTA GARI AMERICA 🇺🇸 JE UNAJUA KWA NINI WATU WANATUPA MAGARI USA ?✈️✈️🇺🇸🇺🇸

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ย. 2023
  • #youtube #trendingvideo #Hedofstaste#safari#greencard #usembassy #arrivaltime#ndege#I94#diaspora#creditcard#dv2024#thedignityact2023#asylum#nairobi#romanian#amsterdam#tanzania#denver#career#usikuwamanane#thanksgiving#tanzania #diaspora#Usajililine#health#hosp ital#tanzania

ความคิดเห็น • 116

  • @user-pv1rt7wh3i
    @user-pv1rt7wh3i 7 หลายเดือนก่อน +8

    Kaka najifunza sana kupitia video zako kiukweli unafanya kazi kubwa ya kutuelimisha mungu azidi kukupa nguvu ili uzidi kutuelimisha zaid🙏♥️♥️

    • @HermanKununga
      @HermanKununga 8 วันที่ผ่านมา

      😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮thank

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 7 หลายเดือนก่อน +4

    Nakubali sana kaka natamani sana mungu akulinde sana 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nathanontegi3222
    @nathanontegi3222 7 หลายเดือนก่อน +2

    Waiting to 🙉🙊🙊🙊 hear how,it looks good 👍👍👍.

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kaka safi sana.kaka naomba tuchunguzie kazi za driver wa magari madogo na makubwa yakoje kwa waafrika hapo nchini America

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 7 หลายเดือนก่อน

    Thanks bro

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi ina uchumi mzuri sanaa

  • @janety1933
    @janety1933 7 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂 hongera Sana mwanakwetu nitumie na mm kagari😂 nimechoka kutembea Kwa miguu😂😂

  • @RoseUrio-bl3dm
    @RoseUrio-bl3dm 6 หลายเดือนก่อน

    Nakuja kutembea huko❤

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 5 หลายเดือนก่อน

    Gari moto🔥

  • @user-ic1fs9bf1v
    @user-ic1fs9bf1v 7 หลายเดือนก่อน +1

    Model year old x2 Taxision
    Navigation , spair part Bora utumie Toyota Japan

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hatari Sana hyo

  • @fridaerastor9722
    @fridaerastor9722 6 หลายเดือนก่อน +2

    Unarudia rudia sana maneno

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mambo nimezuri Sana kwenyekuokata magar

  • @tecratzmwakyambomwakyambo7243
    @tecratzmwakyambomwakyambo7243 6 หลายเดือนก่อน

    Mwana kwetu

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 7 หลายเดือนก่อน +2

    From mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 7 หลายเดือนก่อน +7

    Marekani unaweza kuwa na gari lakini nyumba. Africa nyumba kawaida sana hata ya udongo unaishi.

  • @Cryptocurrency_Tanzania
    @Cryptocurrency_Tanzania 7 หลายเดือนก่อน +2

    Good content, we umejuaje kuwa Gari limetupwa au Kuna sehemu maalum unayakuta magari yaliyo tupwa...

    • @babyakasha4002
      @babyakasha4002 6 หลายเดือนก่อน

      amesema wanaliwekea ki Note kama vile FREE kama huku utakuta wanasema For sale

  • @frank18112
    @frank18112 7 หลายเดือนก่อน +24

    Kama je ilitumika kwenye crime scene then wakaamua kuitupa hapo unawezaje kujua mwanakwetu...???

    • @itNeza
      @itNeza 7 หลายเดือนก่อน +4

      Swali Zuri Sana. 😂👍✅

    • @fncmedia11
      @fncmedia11 7 หลายเดือนก่อน +3

      Ivi mtu akifanya crime scene ataacha details zake na mawasiliano ili akukabidhi bure... Hapana...

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 7 หลายเดือนก่อน

      Unaangalia kwenye records zake utaona kila kitu KUHUSU hiyo gari

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Acha ujuaji

    • @ipyanamwimbe6484
      @ipyanamwimbe6484 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ameuliza sasa ushamba upo wapi Watanzania ujuaji Mwingi

  • @lexmondniyukuri8617
    @lexmondniyukuri8617 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wow unamanisha hata ni mimi ntapata gari 🎉🎉🎉 yakuogota ❤ 🙏

  • @MrMasterMathew
    @MrMasterMathew 7 หลายเดือนก่อน

    Jamaa wanatelekeza saaana

  • @user-ty8ci5oi9m
    @user-ty8ci5oi9m 6 หลายเดือนก่อน +1

    Naona Mungu akipenda ntakuja huko na mimi pia natamaani gari yangu

    • @alisaleh7040
      @alisaleh7040 6 หลายเดือนก่อน

      Sasa pesa utayotumia kuendea huko c uzid kudunduliz ununue tu gar huku my friend

  • @goldprocessplant5893
    @goldprocessplant5893 7 หลายเดือนก่อน +1

    brother nami niokotee gari pls nitafanya shipping 😂

  • @khadigajessica991
    @khadigajessica991 7 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba niuzie basi

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fp 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nikweli hata South Africa 🌍 hizo free way or high way yapo Sanaaaaaa unaendesha unavyotaka kikubwa uwe na combo kizuli 2

  • @user-vq8pz4ge6t
    @user-vq8pz4ge6t หลายเดือนก่อน +1

    Endelea kutupa Madini bro

  • @markopedeshe9692
    @markopedeshe9692 7 หลายเดือนก่อน

    We ulisikia wapiiiii gari yakuokota brooo 😂😂😂😂😂

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 7 หลายเดือนก่อน +1

    Unafana rudia rudia saana brother
    ..
    ...
    Any way!

  • @user-sn2if2sl1e
    @user-sn2if2sl1e 6 หลายเดือนก่อน

    Kaka nimelipenda we niuzie tu

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa hizo fact hata mm ningetelekeza😂😂😂😂

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 7 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa kwa nin maada fupi unafanya kuwa ndefu kwa kurudirudia maneno pasipo na sababu ya msingi, nia tu video iwe ndefu unaboa

  • @afroboy296
    @afroboy296 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi mwenyewe nimewahi kumupa rafiki yangu gari aina ya 2009 Hyundai Sonata. Magari huku marekani nikama ma baskeli Africa 😂

    • @JOSEPHNKUNDA
      @JOSEPHNKUNDA 6 หลายเดือนก่อน

      Kaka na Mimi nifanyie mpango wa Gali huko🇹🇿

  • @alexkagema6420
    @alexkagema6420 7 หลายเดือนก่อน

    uko state la minnesota minneapolis

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 7 หลายเดือนก่อน +3

    Pamoja sana mwanakwetu. Sasa Kama ni hivyo vipi mtu akitaka kuanzisha biashara ya kuuza Magari used kutoka huko na kuyaleta Africa nimeona kuna jamaa anafanya hivyo kutoka Uingereza kuja Tz, vipi kuna ugumu kiasi gani kukusanya Magari Kama hayo au kwa kuyanunua kwa bei ndogo na kuja kuyauza Tz

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  7 หลายเดือนก่อน +2

      Unaweza ila shida ni kwamba huenda ukalipia ushuru mkubwa sna

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 7 หลายเดือนก่อน

      Harafu gari za America Nikusho rabda kauzie congo ira tz uongo mjomba

    • @justinmbangukira7034
      @justinmbangukira7034 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@SophlaJackson-nt1ncKwaninini gari za America huwezi kuuzia bongo?
      Kwani sio imara

    • @mohdloushmoney9994
      @mohdloushmoney9994 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@justinmbangukira7034ni left hand

    • @husseinkaoneka5834
      @husseinkaoneka5834 5 หลายเดือนก่อน

      @@justinmbangukira7034 shida sio uimara ni left hand sisi tunatumia right hand, ukiend mkoan kuovertake kwke had wa kulia kwko umuulize kuna gar inakuja hko sas c bora uziache tu

  • @maggieshi690
    @maggieshi690 6 หลายเดือนก่อน

    What if gari niya mukora usifurahie kupewa. .think big b4 yu give in😮

  • @samludo5435
    @samludo5435 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wafunge kamba wasio jielewa

  • @RoseUrio-bl3dm
    @RoseUrio-bl3dm 6 หลายเดือนก่อน

    Nitaokota nyumba

  • @iconramar9366
    @iconramar9366 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania speed limit ni 80km/h

    • @jonasamos555
      @jonasamos555 6 หลายเดือนก่อน

      inapigwa lebo kama hivyo fo free kama hivi ya L kwetu

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 6 หลายเดือนก่อน +2

    Point ni KWAMBA Nchi Zilizoendelea Duniani. Kila kazi wameipa thamani ndio maana HAKUNA mtu ana dharauliwa kwa sababu ya kufanya kazi flani.

  • @albajuntv8946
    @albajuntv8946 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka nataka job huko broo please nisaidie

  • @user-hc4ce3ze2d
    @user-hc4ce3ze2d 7 หลายเดือนก่อน

    Bro unarudia sana maneno

    • @husseinally6699
      @husseinally6699 6 หลายเดือนก่อน +1

      Umeona kama mm yaani mpaka usikip km matangazo vile , yaani ni mada ya dakika 3 tu

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 5 หลายเดือนก่อน

    Je,Kuna wanawake wa kuokota?😂😂😂😂😂

  • @user-mw5rd2zm5r
    @user-mw5rd2zm5r 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa nn msiyabebe leta tanzania

  • @dunialehani6188
    @dunialehani6188 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hacha uhogo wewe tuko miaka yote hapa sija wahi kuhokota wa Africa wezagu ana wema uhogo

  • @betricemainoya4176
    @betricemainoya4176 7 หลายเดือนก่อน

    Iriwakaki nambai inono mwanakwetu

  • @mahadyisaac4525
    @mahadyisaac4525 7 หลายเดือนก่อน

    Mjomba ilete bongo kwa fundi mangungo chuma bado manganyu hio

  • @husseinkaoneka5834
    @husseinkaoneka5834 5 หลายเดือนก่อน

    MAZDA hii

  • @fatmamati5246
    @fatmamati5246 5 หลายเดือนก่อน

    Niletee na mm huku nifanyie mazoez maana nasemea drive

  • @philip1196
    @philip1196 5 หลายเดือนก่อน

    Uliokotaje ,,, wapi?na key ulipataje?

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 6 หลายเดือนก่อน

    Je! Una uhakika gani kama hilo gari limetupwa???? Na utajuaje kama limetupwa????

  • @Senetalkim
    @Senetalkim 7 หลายเดือนก่อน +4

    Nataman sana kufika American lkn sijui naanzia wapi

    • @frank18112
      @frank18112 7 หลายเดือนก่อน +2

      Utafika tu, pambana fuata taratibu...

    • @Senetalkim
      @Senetalkim 7 หลายเดือนก่อน

      ​​@@frank18112kupata passport sio tatizo inawezekana ila kupewa visa ndo mtihani sasa kwasabab lazma uwe na mtu atakae kupokea kule utakapo enda yan namuonba sana mwenyezimungu hii ndoto yangu itimie

    • @Yussuf3145
      @Yussuf3145 7 หลายเดือนก่อน

      Hata mm natamani brother. In shaa Allah tutafika tu huko

  • @BoniphaceChima-pf7zx
    @BoniphaceChima-pf7zx 5 หลายเดือนก่อน

    VIPI UTARATIBU WA KUPATA KAZI? GENERAL JOB

  • @ahmedjuma397
    @ahmedjuma397 7 หลายเดือนก่อน

    mjinga huyo hakuna gari za kuokota

  • @udesibin8074
    @udesibin8074 7 หลายเดือนก่อน

    Iyo elfu hamsin na laki moja unakariri weewe tu jomba

  • @user-ip6iy6pm3n
    @user-ip6iy6pm3n 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa si msaidie watu wà ufundi magari waje kusaidia watu wasio hela warekebishe magari yenye shida ndogo tu ambayo hayafai kutupa

  • @compilation-shorts
    @compilation-shorts 6 หลายเดือนก่อน

    Una danganya watu hakuna gari ya kuokota us mimi nko new jassy

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 6 หลายเดือนก่อน

      New jersy au New jasy?! we nina wasiwasi uko mbagala

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 7 หลายเดือนก่อน

    Kuokota?

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 6 หลายเดือนก่อน

    Kaka mbona kama mpya kabisa hiyo naona kabisa kweny funguo ni mpya hiyo Ina hd kikaratasi

  • @DICKSONTimoth-xk7rj
    @DICKSONTimoth-xk7rj 7 หลายเดือนก่อน

    Gari ya kwako mwenyewe eti umeokota 😂😂😂😂😂😂

    • @omarnicesang5507
      @omarnicesang5507 5 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli gari za kuokota zipo

  • @oleboyofficial
    @oleboyofficial 7 หลายเดือนก่อน

    Hatar kaka

  • @Nasbu-tb6cs
    @Nasbu-tb6cs 7 หลายเดือนก่อน

    NAtaka kuja americA bro!

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa iyo na wewe utalitumia kaka😂😂😂😂😂

  • @robbyrobson6998
    @robbyrobson6998 7 หลายเดือนก่อน +1

    Duh uku tunaokota chupa na secrepa

  • @ubunifulifestyle3492
    @ubunifulifestyle3492 5 หลายเดือนก่อน

    We acha uongo marekan unaishi peke yako acha utahila, sema umepewa na si umeokota

    • @ngowibeatrice1701
      @ngowibeatrice1701 4 หลายเดือนก่อน

      Hapana wanatupa ni kweli au wanapeleka sahemu wanayaaribu kama dampo

  • @aiyammshoka1096
    @aiyammshoka1096 7 หลายเดือนก่อน

    Just say which Africa u talk about coz South Africa and North Africa countries they have good road lol 😂 😢

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid หลายเดือนก่อน

    POLE SAANA

  • @abelimembe6990
    @abelimembe6990 6 หลายเดือนก่อน

    Nime kuerewa kaka

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 7 หลายเดือนก่อน

    Umefanana na msanii wa hip hop ZAID.... NI NDUGUU?

  • @SophlaJackson-nt1nc
    @SophlaJackson-nt1nc 7 หลายเดือนก่อน

    Duu Umeokota teena mwenye nalo amekupa bulee Swahili mbili tofauti 🤔🤔🤔

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  7 หลายเดือนก่อน

      Yeah Mimi ni Masai hivyo sio mtaalamu wa Kiswahili

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 7 หลายเดือนก่อน

      @@ArrivalTv hapana ni uongo sasa Wamesoma saana🤣🤣🤣🙏

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 7 หลายเดือนก่อน

      Masai sasa Wamesoma saana🤣

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 7 หลายเดือนก่อน

    broh kwan w upo mji gani?

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  7 หลายเดือนก่อน +1

      Washington

    • @salumsalum8866
      @salumsalum8866 7 หลายเดือนก่อน +1

      ksha nataka kujua wp pazur pakuanzia maisha Washington or philladelphia.kat ya hio miji miwil km dv winer

  • @msamihamisi5161
    @msamihamisi5161 7 หลายเดือนก่อน

    Nchi inaongoza kwa walala nje huko

    • @user-lj8du1yn5p
      @user-lj8du1yn5p 7 หลายเดือนก่อน

      Wale wanao lala inje ni wale walioshindwa kufata Sheria wamehendekeza bangi njoo mahana😃😃😃😃

    • @ernestnchellu-hl2km
      @ernestnchellu-hl2km 6 หลายเดือนก่อน

      Jina lako lenyewe unaonekana mshamba na hujui lolote kuhusu dunia

  • @historiazoteduniani5595
    @historiazoteduniani5595 7 หลายเดือนก่อน

    NAOMBA KULIZA SWALI LA NJE YA HII VIDEO .HIVI NIKIPATA visa napangiwa siku ya kusafiri au naweza kukaa tu nasafiri siku nikitaka

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 7 หลายเดือนก่อน

      Siku ukitaka ndio wasafiri muhimu nikuchunga tarehe usije kusafir muda wa visa usha malizika hapo nishida

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  7 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna Sababu kadhaa ambazo pengine zinaweza kukulazimu kusafiri bila kijipangia siku wewe mwenye leo nitakupa moja tu mfano kama uliomba visa kwenda kwenye tukiao linalofanyika tarehe flani ni laxima usafiri kabla hilo tukia halijaisha maana ukisafiri baada ya tukio watakuuliza kwenye port of entry kuhusu malengo ya safari yako ni nini hasa ukizingatia kwamba ulichoombea visa kimeisha muda wake

  • @UwesuAhmad
    @UwesuAhmad 7 หลายเดือนก่อน

    chengine hawana roho ya kindengereko bongo ndugu yako tu hakupi

  • @msamihamisi5161
    @msamihamisi5161 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kama wangekuwa wanatupa magari watu wasingeiba magari nnchi namba moja kwa kuibiwa magari iyo...acha uongo wako

    • @MrMasterMathew
      @MrMasterMathew 7 หลายเดือนก่อน +1

      Unabisha ukiwa Afrika ukifika USA utaamini

    • @araphatomary3539
      @araphatomary3539 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@MrMasterMathewacha uzuzu na wewe😅😅

    • @SumaSeleka-ph3pg
      @SumaSeleka-ph3pg 12 วันที่ผ่านมา

      Wanaiba magari ya gharama mzee. Sio hayo ya kawaida

  • @mikamwamba3554
    @mikamwamba3554 7 หลายเดือนก่อน

    Vipi uko awaaangushi nyumba

  • @user-ey6ip5lf4p
    @user-ey6ip5lf4p 7 หลายเดือนก่อน

    Ujinga 💯%

  • @antonymangu3458
    @antonymangu3458 6 หลายเดือนก่อน

    This guy is lying to Tanzaniana who don't know to travel,,he is great liar come on don't

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 6 หลายเดือนก่อน

    Na mimi niliwai kuokota gali maeneo ya sinza mpyaaa