LEO NIMEOKOTA GARI AMERICA 🇺🇸 JE UNAJUA KWA NINI WATU WANATUPA MAGARI USA ?✈️✈️🇺🇸🇺🇸
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ย. 2023
- #youtube #trendingvideo #Hedofstaste#safari#greencard #usembassy #arrivaltime#ndege#I94#diaspora#creditcard#dv2024#thedignityact2023#asylum#nairobi#romanian#amsterdam#tanzania#denver#career#usikuwamanane#thanksgiving#tanzania #diaspora#Usajililine#health#hosp ital#tanzania
Kaka najifunza sana kupitia video zako kiukweli unafanya kazi kubwa ya kutuelimisha mungu azidi kukupa nguvu ili uzidi kutuelimisha zaid🙏♥️♥️
😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮thank
Nakubali sana kaka natamani sana mungu akulinde sana 🙏🙏🙏🙏🙏
Waiting to 🙉🙊🙊🙊 hear how,it looks good 👍👍👍.
Kaka safi sana.kaka naomba tuchunguzie kazi za driver wa magari madogo na makubwa yakoje kwa waafrika hapo nchini America
Thanks bro
Nchi ina uchumi mzuri sanaa
😂😂😂 hongera Sana mwanakwetu nitumie na mm kagari😂 nimechoka kutembea Kwa miguu😂😂
Nakuja kutembea huko❤
Gari moto🔥
Model year old x2 Taxision
Navigation , spair part Bora utumie Toyota Japan
Hatari Sana hyo
Unarudia rudia sana maneno
Mambo nimezuri Sana kwenyekuokata magar
Mwana kwetu
From mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Marekani unaweza kuwa na gari lakini nyumba. Africa nyumba kawaida sana hata ya udongo unaishi.
Good content, we umejuaje kuwa Gari limetupwa au Kuna sehemu maalum unayakuta magari yaliyo tupwa...
amesema wanaliwekea ki Note kama vile FREE kama huku utakuta wanasema For sale
Kama je ilitumika kwenye crime scene then wakaamua kuitupa hapo unawezaje kujua mwanakwetu...???
Swali Zuri Sana. 😂👍✅
Ivi mtu akifanya crime scene ataacha details zake na mawasiliano ili akukabidhi bure... Hapana...
Unaangalia kwenye records zake utaona kila kitu KUHUSU hiyo gari
Acha ujuaji
Ameuliza sasa ushamba upo wapi Watanzania ujuaji Mwingi
Wow unamanisha hata ni mimi ntapata gari 🎉🎉🎉 yakuogota ❤ 🙏
Jamaa wanatelekeza saaana
Naona Mungu akipenda ntakuja huko na mimi pia natamaani gari yangu
Sasa pesa utayotumia kuendea huko c uzid kudunduliz ununue tu gar huku my friend
brother nami niokotee gari pls nitafanya shipping 😂
Naomba niuzie basi
Nikweli hata South Africa 🌍 hizo free way or high way yapo Sanaaaaaa unaendesha unavyotaka kikubwa uwe na combo kizuli 2
Combo ni nn?
Endelea kutupa Madini bro
We ulisikia wapiiiii gari yakuokota brooo 😂😂😂😂😂
Unafana rudia rudia saana brother
..
...
Any way!
Kaka nimelipenda we niuzie tu
Kwa hizo fact hata mm ningetelekeza😂😂😂😂
Sasa kwa nin maada fupi unafanya kuwa ndefu kwa kurudirudia maneno pasipo na sababu ya msingi, nia tu video iwe ndefu unaboa
Mimi mwenyewe nimewahi kumupa rafiki yangu gari aina ya 2009 Hyundai Sonata. Magari huku marekani nikama ma baskeli Africa 😂
Kaka na Mimi nifanyie mpango wa Gali huko🇹🇿
uko state la minnesota minneapolis
Pamoja sana mwanakwetu. Sasa Kama ni hivyo vipi mtu akitaka kuanzisha biashara ya kuuza Magari used kutoka huko na kuyaleta Africa nimeona kuna jamaa anafanya hivyo kutoka Uingereza kuja Tz, vipi kuna ugumu kiasi gani kukusanya Magari Kama hayo au kwa kuyanunua kwa bei ndogo na kuja kuyauza Tz
Unaweza ila shida ni kwamba huenda ukalipia ushuru mkubwa sna
Harafu gari za America Nikusho rabda kauzie congo ira tz uongo mjomba
@@SophlaJackson-nt1ncKwaninini gari za America huwezi kuuzia bongo?
Kwani sio imara
@@justinmbangukira7034ni left hand
@@justinmbangukira7034 shida sio uimara ni left hand sisi tunatumia right hand, ukiend mkoan kuovertake kwke had wa kulia kwko umuulize kuna gar inakuja hko sas c bora uziache tu
What if gari niya mukora usifurahie kupewa. .think big b4 yu give in😮
Wafunge kamba wasio jielewa
Nitaokota nyumba
Tanzania speed limit ni 80km/h
inapigwa lebo kama hivyo fo free kama hivi ya L kwetu
Point ni KWAMBA Nchi Zilizoendelea Duniani. Kila kazi wameipa thamani ndio maana HAKUNA mtu ana dharauliwa kwa sababu ya kufanya kazi flani.
Kaka nataka job huko broo please nisaidie
Bro unarudia sana maneno
Umeona kama mm yaani mpaka usikip km matangazo vile , yaani ni mada ya dakika 3 tu
Je,Kuna wanawake wa kuokota?😂😂😂😂😂
Kwa nn msiyabebe leta tanzania
Hacha uhogo wewe tuko miaka yote hapa sija wahi kuhokota wa Africa wezagu ana wema uhogo
Iriwakaki nambai inono mwanakwetu
Mjomba ilete bongo kwa fundi mangungo chuma bado manganyu hio
MAZDA hii
Niletee na mm huku nifanyie mazoez maana nasemea drive
Uliokotaje ,,, wapi?na key ulipataje?
Je! Una uhakika gani kama hilo gari limetupwa???? Na utajuaje kama limetupwa????
Nataman sana kufika American lkn sijui naanzia wapi
Utafika tu, pambana fuata taratibu...
@@frank18112kupata passport sio tatizo inawezekana ila kupewa visa ndo mtihani sasa kwasabab lazma uwe na mtu atakae kupokea kule utakapo enda yan namuonba sana mwenyezimungu hii ndoto yangu itimie
Hata mm natamani brother. In shaa Allah tutafika tu huko
VIPI UTARATIBU WA KUPATA KAZI? GENERAL JOB
mjinga huyo hakuna gari za kuokota
Iyo elfu hamsin na laki moja unakariri weewe tu jomba
Sasa si msaidie watu wà ufundi magari waje kusaidia watu wasio hela warekebishe magari yenye shida ndogo tu ambayo hayafai kutupa
Una danganya watu hakuna gari ya kuokota us mimi nko new jassy
New jersy au New jasy?! we nina wasiwasi uko mbagala
Kuokota?
Kaka mbona kama mpya kabisa hiyo naona kabisa kweny funguo ni mpya hiyo Ina hd kikaratasi
Gari ya kwako mwenyewe eti umeokota 😂😂😂😂😂😂
Ni kweli gari za kuokota zipo
Hatar kaka
Asante kwa kutuelezea
NAtaka kuja americA bro!
Kwa iyo na wewe utalitumia kaka😂😂😂😂😂
Duh uku tunaokota chupa na secrepa
We acha uongo marekan unaishi peke yako acha utahila, sema umepewa na si umeokota
Hapana wanatupa ni kweli au wanapeleka sahemu wanayaaribu kama dampo
Just say which Africa u talk about coz South Africa and North Africa countries they have good road lol 😂 😢
POLE SAANA
Nime kuerewa kaka
Umefanana na msanii wa hip hop ZAID.... NI NDUGUU?
Duu Umeokota teena mwenye nalo amekupa bulee Swahili mbili tofauti 🤔🤔🤔
Yeah Mimi ni Masai hivyo sio mtaalamu wa Kiswahili
@@ArrivalTv hapana ni uongo sasa Wamesoma saana🤣🤣🤣🙏
Masai sasa Wamesoma saana🤣
broh kwan w upo mji gani?
Washington
ksha nataka kujua wp pazur pakuanzia maisha Washington or philladelphia.kat ya hio miji miwil km dv winer
Nchi inaongoza kwa walala nje huko
Wale wanao lala inje ni wale walioshindwa kufata Sheria wamehendekeza bangi njoo mahana😃😃😃😃
Jina lako lenyewe unaonekana mshamba na hujui lolote kuhusu dunia
NAOMBA KULIZA SWALI LA NJE YA HII VIDEO .HIVI NIKIPATA visa napangiwa siku ya kusafiri au naweza kukaa tu nasafiri siku nikitaka
Siku ukitaka ndio wasafiri muhimu nikuchunga tarehe usije kusafir muda wa visa usha malizika hapo nishida
Kuna Sababu kadhaa ambazo pengine zinaweza kukulazimu kusafiri bila kijipangia siku wewe mwenye leo nitakupa moja tu mfano kama uliomba visa kwenda kwenye tukiao linalofanyika tarehe flani ni laxima usafiri kabla hilo tukia halijaisha maana ukisafiri baada ya tukio watakuuliza kwenye port of entry kuhusu malengo ya safari yako ni nini hasa ukizingatia kwamba ulichoombea visa kimeisha muda wake
chengine hawana roho ya kindengereko bongo ndugu yako tu hakupi
Kama wangekuwa wanatupa magari watu wasingeiba magari nnchi namba moja kwa kuibiwa magari iyo...acha uongo wako
Unabisha ukiwa Afrika ukifika USA utaamini
@@MrMasterMathewacha uzuzu na wewe😅😅
Wanaiba magari ya gharama mzee. Sio hayo ya kawaida
Vipi uko awaaangushi nyumba
Ujinga 💯%
This guy is lying to Tanzaniana who don't know to travel,,he is great liar come on don't
Na mimi niliwai kuokota gali maeneo ya sinza mpyaaa