Baba mtumishi Yuko sahihi.mi nishaambiwa hatutafika 2030 kabla yesu kulinyakua kanisa lake hila Kwa WEWE ambaye huamini hatukulazimishi Wala hakuna hakukumuye.asante promover tv team.
Yesu unichunguze moyo Wangu, unijulishe dhambi iliojificha ndani yangu nisioijua nitubu ili ukirudi unichukue, nisibaki katika dunia hii ya mateso ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu pamoja na promover
YESU KRISTO atarudi kama mwizi hakuna ajuaye siku wala saa. Mathayo 24:36. 36. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake. Mathayo 24:42.,43.,44. 42. Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu. 43. Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angaliijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa. 44. Kwa sababu hiyo ninyi nanyi jiwekeni tayari; kwa kuwa katika saa msiyodhani Mwana wa Adamu yuaja.
Maandiko yanazungumzia kutokujua siku Wala saa bwana ajapo hayazungumzii kuhusu mwaka, kwamba hatutajua mwaka. Ila ndani ya mwaka ndimo Kuna siku na saa ambapo mwana wa adamu atarudi ghafla. Siku izo na masaaa Yale ndio yaliyozungumziwa hatutajua na si mwaka mana hata ukijua mwaka hutajua atakuja siku Gani na saa Gani pengine pale ulipojikwaa tu ukatenda dhambi ndio masaa Yale Yale mwana wa adamu akaja ghafla.
@@andrewmmassy5204 Siku moja kwa Mungu kwetu ni miaka elfu. Hatujui siku wala saa YESU KRISTO ANARUDI UPESI SANA tuwe tayari na watakatifu. Mathayo 24:36. 36. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.
nakubali, watu wanasoma tu Mathayo wakisahau kuwa Yesu alikuwa anaongea na watu wasiookoka. Kwa tuliookoka tutajua wakati ukifika kwa vile Roho wa Mungu anashuhudia ndani yetu. Ila huyu mzee anajikanganya. Inawezekana kwsmba 2026 ukawa mwaka wa uamsho, yeye anasema unyakuo.
Ninamshukuru Mungu Baba wetu wa mbinguni kwa hii tahazari .kile ambacho ninaweza sema nikwamba Roho mtakatifu anaonesha mambo ambayo imefishwa.kisha tusije tukasahau ya kuwa Roho Mtakatifu ni Roho wa Mungu.Yesu Kristo,Roho Mtakatifu takatifu n'a Mungu Baba ni Mmoja.ndugu zangu nabii tumjuwa kwa utimilifu wa njumbe anazo zitoa zikotimia kama Yeremia anavyo sema...tuwe tu tayari kwa maana ni muhimu kwetu kujitayarisha.
Jamani tuombe rehema tufanye mapenzi ya Mungu,hayo mengine tusiwe wabishi sana ila unabii unachunguzwa na kupimwa kwa roho wa Mungu!kikubwa jiandaeni kila mda tuwe safi na tayari,,, mimi ninacho kijua hapa Mungu wetu ni wa rehema hapendezwi na yeyote kufia katika dhambi bali amrudie Kristo nae amupe uzima!ikiwa leo bado Yesu hajarudi sababu ni moja tu anakusubiri wewe na mimi tutubu dhambi tuwe tayari kwa urejeo wake so yawezekana siku na saa haijajulikana kutokana na moyo wa rehema wake Mungu bado anazuwia parapanda kulia kabla mwenye dhambi hajaacha dhambi zake,tunapo soma neno tumuombe roho mtakatifu atufafanulie
Suala la siku na saa hakuna ajuaye ila mwaka unaweza kujua. Viashilio vinaonyesha Yesu anarudi muda wowote kutoka sasa na mpinga kristo ataanza kutawala muda wowote kuanzia 2028. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa matukio yanayoendelea utagundua. Mfano uzinduzi wa mashindano ya jumuiya ya madola 2022 ilizinduliwa sanamu ya mnyama inayotangaza mwanzo wa utawala wa mpinga kristo. Hata corona ilizinduliwa mwaka 2012 kwenye mashindano ya Olympic na hakuna mwanadamu aliyegundua maana ya fumbo lililoonyeshwa kwa mtindo wa igizo matokeo yake watu tumegundua baada ya 2019.
Huu ni uongo hata Yesu mwenye alisema hakuna anayejua siku wala saa hata malaika mbinguni hawajui isipokuwa baba pekee . Ila wana wa Mungu jiwekeni tayari muda wowote hata leo Yesu anaweza kurudi ila siku wa saa hakuna anayejua hata Yesu mwenye hajui atarudi lini kunyakua kanisa Na hayo yameandikwa kwenye bibilia hakikisha bibilia takatifu ndio unakuwa mwongozo wako hapa duniani
Kuna msabato mmoja toka Rwanda naye anasema unyakuo utakuwa 2027. Hawajapishana sana naye alipiga mahesabu yake kimaandiko, Mungu unikumbuke ktk ufalme wako.
Jamani sisi sote tuzidi kumtafuta mungu kwa bidii kwa sababu neno linasema kwamba yesu atakuja kama mwizi imekuaje leo analeta mafunuo kwa watu tena huyu babu amethibitisha kivipi huyu babu ni sawa na yule yesu wa tongaren (mkenya) aliyesema ndie yesu? na yupo na ana mke hapa Kenya vipi tunaelekea wapi ? Mungu atusamehe hizi ni nyakati za mwisho kweli waumini tuache usingisi mbarikiwe
A satan knows that it is Left few seconds to end the world,, shetani anajua bado sekunde zisizo zidi tatu aje yule mwenye haki(YESU) ,, lakini binadamu vipofu hawajui majira ya kujiliwa kwao,,waonapo ni salama ndipo uharibifu ujapo
Ndugu jactan, napenda kufuatilia shuhuda zenu sana, lakini je huwa mnafuatilia usahihi wa shuhuda zenu kwa kiasi gani ili kuepuka kulisha wafuatiliaji wenu matango pori??? Maana sasa kwa hili mimi najua neno linesman hayupo ajuaye siku wala saa..., yaani kwa kusisitiza jinsi ilivyo siri, andiko linasema hata mwana hajui kurudi kwake ,sasa huyu mchungaji amependelewa kwa kiasi gani?
JAMANI MUSIPINGE, HATA UKU BURUNDI in 2021 ,KUNA MUTUMISHI ALIWAHI KUYASEMA HAYOHAYO KWAMBA MWAKA 2026 NDIO UNYAKUO ... kwani utapata hasara gani ukijiandaa kweli?? Siku hiyo itakuwa kama the day of Noah, wengi walimpinga ila wakaja kujata baadaye...
Hakuna aja ya kumkashigu mtumishi wa Mungu kama wewe hauamini nyamaza atakayeini akatengeneza atanyakuliwa kama usipotengeneza utajua wewe. Garama Iko wapi?
Mzee sikiliza unyakuo tv. Ametufunulia maandiko vema. Juma la sabini ni miaka Saba na ya dhiki kuu na kunyakuliwa kanisa Ni sawa. ila hiyo miaka 33 nataka kujua
Minaswali Kuna miaka Saba ya dhiki kuu duniani mbona miaka michache nakanisa nalo litapita ktk dhiki kuu navita kuu yatatu ya dunia halmagedon itatokea kanisa lipo aulimenyakuliwa,na kuuza na kununua bila chapa ile nindani ya hii miaka miwili??
Kuna awamu mbili za ufufuo/ unyakuo ambapo kuna unyakuo wa kwanza na wa pili Ufunuo 20:6, unyakuo wa kwanza ni wa watakatifu wa wakeshao na kujitakasa sana, nao watatawala miaka elfu pamoja na kristo, wakati huo Wakristo vuguvugu wataachwa na ndio watakao pitia dhiki kuu tena wataokolewa kwa damu zao.Hivyo basi usipokubali kusulubiwa na kubatizwa na kukivywea kikombe alichonywea Kristo saiv wakati neema yake bado ipo basi ujue huenda ukaokolewa kwa unyakuo wa pili wenye dhiki nyingi na mateso ya mpinga Kristo.Amen
Nikweli unaweza kusema hakuna ajuwe hata malika mbinguni hawajui lakini JARIBU kuangalia matukio ya luka 24 KILA matukio yaliotabiriwa nakusemwa kwanye kitabu hicho yametukia YESU yuko malangoni anarudi
@@HildaPaul-hm4jk unajua maana ya mpinga kristo,ni shetani ameweka mawazo yake kinyume na maneno ya Yesu,Sasa wapi Yesu alisema na kutaja tar ya unyakuo,kwani wewe hujawahi kusikia kuwa watu wengi waliamini mwaka 2000 ni mwisho wa Dunia,soma kitabu Cha walaka wa yohana wa kwanza,anasema wapinga kristo wengi wametokea,walitoka kwetu lakini hawakuwa wa kwetu,na mpinga kristo ni nani ni yule aliye muongo,na muongo ni nani ni yeye hamkanaye kristo na anayemkana ni nani ni yeye anayekwenda kinyume na maneno yake,hivyo ukisapoti ujinga na wewe unakuwa wakala wa shetani,na shida ya wakristo hawajui maana ya dhambi,wao wanafikiri dhambi ni kuzini na kuiba tu,dhambi ni uasi au ni kwenda kinyume Cha maelekezo au sheria,Sasa kama Yesu anasema hata yeye hajui tar Wala saa,wewe utamsapoti vipi huyo,hapo hujaenda kinyume Cha maelekezo ya Yesu,judge mwenyewe.
Hakuna ajuwae siku wewe acha uongo tubu dhambi yako mzee mwisho umekaribia ila hakuna ajuaye huo wa 2026 ni wakwako na familia yako wa kanisa bado na hakuna aujuae we nani hats ujue we ni Yesu? Acha uongo tubu dhambi yako mzee
Mathayo 24:36 (KJV) Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake. Zidi kujitakasa ukikesha na kuomba sana maana mwana wa Adamu atakuja bila taarifa kwasababu Hata yeye mwenyewe hajui siku atakapokuja Yesu hajui siku, malaika hawajui siku atakapokuja Yesu huyo mwanadamu kama mimi na wewe amejuaje..?
Huyu mzee nahisi anasoma biblia kama kitabu cha hadithi za kutunga wakati biblia inasema kuja kwa yesu kutakuwa kama mwizi halafu pia inasema hatujui siku wala saa ya kujiliwa so huyu mzee ni muongo na siyo mimi ninayedhihirisha bali ni biblia
Baba mtumishi Yuko sahihi.mi nishaambiwa hatutafika 2030 kabla yesu kulinyakua kanisa lake hila Kwa WEWE ambaye huamini hatukulazimishi Wala hakuna hakukumuye.asante promover tv team.
Baba mtumishi Yuko sahihi.mi nishaambiwa hatutafika 2030 kabla yesu kulinyakua kanisa lake hila Kwa WEWE ambaye huamini hatukulazimishi Wala hakuna hakukumuye.asante promover tv team.
Ee YESU KRISTO unikumbuke na watoto wangu hiyo siku utakayokuja kuchukua kanisa lako....ROHO MTAKATIFU USITUSAHAU BABA
A Yesu nisaidie kuziacha dhambi peke yangu siwezi
Yesu unichunguze moyo Wangu, unijulishe dhambi iliojificha ndani yangu nisioijua nitubu ili ukirudi unichukue, nisibaki katika dunia hii ya mateso ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu pamoja na promover
Inaweza kuwa hata leo au kesho. Ni Mungu pekee ajuaye.
Nakubali kuludi kwa Yesu na yamkini hata leo ila kusema anajua mwisho 2026 ni uzushi
Siko tayali kupinga chochote kilicho semwa ila kwa hali ilvyo sasa yuaja YESU. Ole wangu.
Unajua maana ya Ole
@@RahelSalumu-pm9qx hapana sijui.
Nisaidie
Kweli Mungu alisema,sitafanya lolote bila kuwaambia Watu wangu, Yesu Kristo anasema hakuna ajuae siku wala saa
Siku Wala saa sio mwaka
@@ElishaBensonimaana ya nitakuja kama mwivi ni nini?hakuna anayejua Yesu atarudi lini mengine uongo tu
Jamani acheni kupinga kwamambo yanayoendelea sasa mimi nakubali EMungu ni saidie ni nyakuliwe
Pasta Mbona ufunuo 10:1 mpaka 7 habataye amo byenye unasema sasa itutumie maverse ilituelewe vizuri pengine ulisaabu papa Asant
Amen mungu akubariki mwatasikia asikie umesemakweli
Muelewe , unyakuo wa Kanisa ni tofauti Na mwisho wa dunia. Ni raha kwa wanao mngoja kristu,musiwe wa bishi kiasi hivyo
Amen
Amina mtumishi huu ni mda wa TOBA.
Mungu awabariki
Ubarikiwe sana jacktan
All in all be ready.. Jesus Christ is around the corner 🙏🙏
YESU KRISTO atarudi kama mwizi hakuna ajuaye siku wala saa.
Mathayo 24:36.
36. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.
Mathayo 24:42.,43.,44.
42. Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu. 43. Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angaliijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa. 44. Kwa sababu hiyo ninyi nanyi jiwekeni tayari; kwa kuwa katika saa msiyodhani Mwana wa Adamu yuaja.
Maandiko yanazungumzia kutokujua siku Wala saa bwana ajapo hayazungumzii kuhusu mwaka, kwamba hatutajua mwaka.
Ila ndani ya mwaka ndimo Kuna siku na saa ambapo mwana wa adamu atarudi ghafla. Siku izo na masaaa Yale ndio yaliyozungumziwa hatutajua na si mwaka mana hata ukijua mwaka hutajua atakuja siku Gani na saa Gani pengine pale ulipojikwaa tu ukatenda dhambi ndio masaa Yale Yale mwana wa adamu akaja ghafla.
@@andrewmmassy5204 Siku moja kwa Mungu kwetu ni miaka elfu. Hatujui siku wala saa YESU KRISTO ANARUDI UPESI SANA tuwe tayari na watakatifu.
Mathayo 24:36.
36. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.
@@andrewmmassy5204Amen Amen
Ameen mtumishi🙏
1Wathesalonike 5:1-4. Tusome .lle siku kwa walionuruni haiji kama mwivi.
nakubali, watu wanasoma tu Mathayo wakisahau kuwa Yesu alikuwa anaongea na watu wasiookoka. Kwa tuliookoka tutajua wakati ukifika kwa vile Roho wa Mungu anashuhudia ndani yetu. Ila huyu mzee anajikanganya. Inawezekana kwsmba 2026 ukawa mwaka wa uamsho, yeye anasema unyakuo.
Matthew 24:36 says it all, zingine ni dhana tu
Mungu akubariki mtumishi
Ninamshukuru Mungu Baba wetu wa mbinguni kwa hii tahazari .kile ambacho ninaweza sema nikwamba Roho mtakatifu anaonesha mambo ambayo imefishwa.kisha tusije tukasahau ya kuwa Roho Mtakatifu ni Roho wa Mungu.Yesu Kristo,Roho Mtakatifu takatifu n'a Mungu Baba ni Mmoja.ndugu zangu nabii tumjuwa kwa utimilifu wa njumbe anazo zitoa zikotimia kama Yeremia anavyo sema...tuwe tu tayari kwa maana ni muhimu kwetu kujitayarisha.
Wanapinga wacha waendelee kupinga,nikweli,niuwongo,unatakia nini? Wewe jiandae
thanks
Jamani tuombe rehema tufanye mapenzi ya Mungu,hayo mengine tusiwe wabishi sana ila unabii unachunguzwa na kupimwa kwa roho wa Mungu!kikubwa jiandaeni kila mda tuwe safi na tayari,,, mimi ninacho kijua hapa Mungu wetu ni wa rehema hapendezwi na yeyote kufia katika dhambi bali amrudie Kristo nae amupe uzima!ikiwa leo bado Yesu hajarudi sababu ni moja tu anakusubiri wewe na mimi tutubu dhambi tuwe tayari kwa urejeo wake so yawezekana siku na saa haijajulikana kutokana na moyo wa rehema wake Mungu bado anazuwia parapanda kulia kabla mwenye dhambi hajaacha dhambi zake,tunapo soma neno tumuombe roho mtakatifu atufafanulie
Suala la siku na saa hakuna ajuaye ila mwaka unaweza kujua. Viashilio vinaonyesha Yesu anarudi muda wowote kutoka sasa na mpinga kristo ataanza kutawala muda wowote kuanzia 2028. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa matukio yanayoendelea utagundua. Mfano uzinduzi wa mashindano ya jumuiya ya madola 2022 ilizinduliwa sanamu ya mnyama inayotangaza mwanzo wa utawala wa mpinga kristo. Hata corona ilizinduliwa mwaka 2012 kwenye mashindano ya Olympic na hakuna mwanadamu aliyegundua maana ya fumbo lililoonyeshwa kwa mtindo wa igizo matokeo yake watu tumegundua baada ya 2019.
Huu ni uongo hata Yesu mwenye alisema hakuna anayejua siku wala saa hata malaika mbinguni hawajui isipokuwa baba pekee .
Ila wana wa Mungu jiwekeni tayari muda wowote hata leo Yesu anaweza kurudi ila siku wa saa hakuna anayejua hata Yesu mwenye hajui atarudi lini kunyakua kanisa
Na hayo yameandikwa kwenye bibilia hakikisha bibilia takatifu ndio unakuwa mwongozo wako hapa duniani
Hapo sawa jacktan tujiandae ni wajibu wa kila muumini kukaa vizuri na bwana
Mungu ajubarikimtumishiwa mungu
Yesu uturehemu sisi si wakamlfu na hatujui lolote ila utakapo kuja kwaajl ya kansa lako naomba nisiachwe dhiki kuu inatsha Jaman
Tunaamini bila shaka kwamba Yesu atarudi..
Lakini hakuna ajuaye siku wala saa.
(Matayo 24:36-40.)
Jambo la muhimu ni kuwa tayari kila siku.
Amen baba barikiwa wale wanaopinga wasome thessalonians,5 v 20 do not despise prophecies
True but prophecies should be in line with the word of God
Mungu turehemu kwa kumkashifu mtumishi wako
Wanaoipenda dunia ndio wanaobisha
Kweli kabisa ndugu
Ndio nikweli naamini yesu kristo yuaja
MUNGU wangu nakuomba unikumbuke ktk ufalume wako nisaidie kusimama kakika kweli yako.
Hesabu hizo Akina Here. White ziliwapoteza Akina wiliam Mila,
Kweli
Ameni!
It doesn't matter the day The Lord Yeshua is coming,what matters is,are you ready??????😢 30:13
Je 2026 ikapita.? Wakristo muishi maisha matakatifu. Maana naona 2026 ikapita kuna watu wataacha kabisa Imani.
Mimi nakubaliana nae sababu bwana mungu anasema msipinge wanabii wangu
Unabii lazima uapatanena neno la Mungu
Kuna msabato mmoja toka Rwanda naye anasema unyakuo utakuwa 2027. Hawajapishana sana naye alipiga mahesabu yake kimaandiko, Mungu unikumbuke ktk ufalme wako.
Ilababapekeyake
Jamani sisi sote tuzidi kumtafuta mungu kwa bidii kwa sababu neno linasema kwamba yesu atakuja kama mwizi imekuaje leo analeta mafunuo kwa watu tena huyu babu amethibitisha kivipi huyu babu ni sawa na yule yesu wa tongaren (mkenya) aliyesema ndie yesu? na yupo na ana mke hapa Kenya vipi tunaelekea wapi ? Mungu atusamehe hizi ni nyakati za mwisho kweli waumini tuache usingisi mbarikiwe
It's true may be rapturing day will be 2026 or Mzee wetu that year will longer not exist , it's two options, so it's good idea ,
Ni kweli kabila Kila saa hii sauti nasikia the time is over
Ndio muda umebaki mchache sana tujiandae ila hakuna anajuia muda wa kurudi ila yupo karibu
Mungu akubariki mzeze
Mm nawamini promover sana wametuma na mungu
Atujue sikuwalasaa
Hapa nI TOBA TU HAKUNA JINGINE.
Hata wakati Nuhu anajenga safina watu walimdhihaki.
Ni heri maana tumechoka kuumizwa na ya dunia
inaweza kuwa sio mwaka uwo ila Kwa mambo yanayoendelea Dunia mambo yamekaribia tumrudien MUNGU
A satan knows that it is Left few seconds to end the world,, shetani anajua bado sekunde zisizo zidi tatu aje yule mwenye haki(YESU) ,, lakini binadamu vipofu hawajui majira ya kujiliwa kwao,,waonapo ni salama ndipo uharibifu ujapo
Hakuna ajuaye siku wala saa. Asidanganye watu.
swali langu Sasa hio vita ya Tatu itakuja baada ya kanisa kunyakuliwa ao?
Mimi napità Yesu wajua ninavyo pambania utakatifu
Huyo Mzee ni Muongo,
Kwanza huku Kenya mambo ni mbaya kabisa wameleta mtamdao wa icon watu wajisajili walipwe pesa
Hapa kwetu hatari tupu.. Mungu saidia Kenya... Naona nao watanzania wameanza vita vya kidini kati ya waislamu na wakristo
Du
Usipinge chochote ila najua hawa mambo ni kweli ata noah alipingwa nawatu😢
Ni kweli kabisa mtumishi wa MUNGU hata noah hakuna alie mwamin kabisa
Nasema kwamba ila tujiandae maana hakuna ajuaye siku wala saa
Mutumishi hakusema Siku Wala saa ametaja mwaka Sisi tujiandae tu .tunaweza kufa hâta mbele ya hapo jiandaeni
Ndugu jactan, napenda kufuatilia shuhuda zenu sana, lakini je huwa mnafuatilia usahihi wa shuhuda zenu kwa kiasi gani ili kuepuka kulisha wafuatiliaji wenu matango pori???
Maana sasa kwa hili mimi najua neno linesman hayupo ajuaye siku wala saa..., yaani kwa kusisitiza jinsi ilivyo siri, andiko linasema hata mwana hajui kurudi kwake ,sasa huyu mchungaji amependelewa kwa kiasi gani?
JAMANI MUSIPINGE, HATA UKU BURUNDI in 2021 ,KUNA MUTUMISHI ALIWAHI KUYASEMA HAYOHAYO KWAMBA MWAKA 2026 NDIO UNYAKUO ... kwani utapata hasara gani ukijiandaa kweli?? Siku hiyo itakuwa kama the day of Noah, wengi walimpinga ila wakaja kujata baadaye...
Hakuna aja ya kumkashigu mtumishi wa Mungu kama wewe hauamini nyamaza atakayeini akatengeneza atanyakuliwa kama usipotengeneza utajua wewe. Garama Iko wapi?
Mzee sikiliza unyakuo tv. Ametufunulia maandiko vema. Juma la sabini ni miaka Saba na ya dhiki kuu na kunyakuliwa kanisa Ni sawa. ila hiyo miaka 33 nataka kujua
Hakika ni neema pia kuyasikia haya,kuamua ni juu yake mtu binafsi
Ila kwa habari ya nyakati tutatambua
Hakuna aijuaye sikuwalasaa
Bora uamini ujiandae
Kuliko kudharau ukaachwa
Nikweli unyakuo upo lakini usipotimia 2026 atasemaje
Vp kwaabari ya mwaka nimemwelewa mzee yeye anasema mwaka sio siku wala saa
Minaswali Kuna miaka Saba ya dhiki kuu duniani mbona miaka michache nakanisa nalo litapita ktk dhiki kuu navita kuu yatatu ya dunia halmagedon itatokea kanisa lipo aulimenyakuliwa,na kuuza na kununua bila chapa ile nindani ya hii miaka miwili??
Kuna awamu mbili za ufufuo/ unyakuo ambapo kuna unyakuo wa kwanza na wa pili Ufunuo 20:6, unyakuo wa kwanza ni wa watakatifu wa wakeshao na kujitakasa sana, nao watatawala miaka elfu pamoja na kristo, wakati huo Wakristo vuguvugu wataachwa na ndio watakao pitia dhiki kuu tena wataokolewa kwa damu zao.Hivyo basi usipokubali kusulubiwa na kubatizwa na kukivywea kikombe alichonywea Kristo saiv wakati neema yake bado ipo basi ujue huenda ukaokolewa kwa unyakuo wa pili wenye dhiki nyingi na mateso ya mpinga Kristo.Amen
Hakuna ajuaye siku wala saa hata malaika wa Mbinguni hawajui hata Mwana hajui ila baba pekee.
MUNGU unisamehe makosa yangu yote usinipite ukirudi wede na mimi
Wengine wenu niuogatu hamuko Tayari ndomana munapinga
Huyo Mzee amezeeka vbaya TU, hakuna ajuaye siku Wala saa
Kwani kibaya ni kipi hapo anataka tujiandae tu,,,hasemi hakuna unyakua
Kwani kibaya ni kipi hapo anataka tujiandae tu,,,hasemi hakuna unyakua
AMOS 3; 7 MUNGU HAFANYI CHOCHOTE BILA UFUNULIA WATUMISHI WAKE MANABI . TAFADHALI JITAKASENI HATUNA MUDA .NIKO KENYA
Uko sawa mtumishi
Amen ubarikiwe,ila Kuna wengine wabishi hapa kama wakati wa gharika ya noha
Hakika Mtumishi tujiandae kisawasawa
Amen
Mzee muongo sana huyu 2026 ????
Hakuna ajuaye siku Wala saa
Nae huyo nani kamwambianUnyakuo ni 2026?? Kaota
Acheni kutabiri uongo jamani
How sure are you?ni uongo,,,angekua anasema hakuna unyakuo hapo sawa,,, lakini anasema tujiandae siyo mbaya kujiandaa
Huo ni uongo bhna
Wewe ndo muongo
@@zahakiosward1575 tutaona kama utafanyika
Nikweli unaweza kusema hakuna ajuwe hata malika mbinguni hawajui lakini JARIBU kuangalia matukio ya luka 24 KILA matukio yaliotabiriwa nakusemwa kwanye kitabu hicho yametukia YESU yuko malangoni anarudi
Soma bibilia yote kaka usisome tu msitari Moja unaitaji maombi kabisa
Natamani niwe katika ufufuo wakwanza amen
Huyu njaa tu kama sio njaa ni wakala wa kuzimu anajua anachokifanya.
Umekosea
@@bonifasiemanueli21 lengo lenu ni Moja hakuna mandiko yanayopatana na hayo,ni wale tu mawakala wa shetani wanayoyaishi hayo.
Wee nawe shetani atakuambia habari za unyakuo au habari za mafuta ya upako na kupata magari
Wakala atakuambia unyakuo au atakupa mafuta na chumvi
@@HildaPaul-hm4jk unajua maana ya mpinga kristo,ni shetani ameweka mawazo yake kinyume na maneno ya Yesu,Sasa wapi Yesu alisema na kutaja tar ya unyakuo,kwani wewe hujawahi kusikia kuwa watu wengi waliamini mwaka 2000 ni mwisho wa Dunia,soma kitabu Cha walaka wa yohana wa kwanza,anasema wapinga kristo wengi wametokea,walitoka kwetu lakini hawakuwa wa kwetu,na mpinga kristo ni nani ni yule aliye muongo,na muongo ni nani ni yeye hamkanaye kristo na anayemkana ni nani ni yeye anayekwenda kinyume na maneno yake,hivyo ukisapoti ujinga na wewe unakuwa wakala wa shetani,na shida ya wakristo hawajui maana ya dhambi,wao wanafikiri dhambi ni kuzini na kuiba tu,dhambi ni uasi au ni kwenda kinyume Cha maelekezo au sheria,Sasa kama Yesu anasema hata yeye hajui tar Wala saa,wewe utamsapoti vipi huyo,hapo hujaenda kinyume Cha maelekezo ya Yesu,judge mwenyewe.
UBASHIRI KUPITIA BIBLIA
Hakuna ajuwae siku wewe acha uongo tubu dhambi yako mzee mwisho umekaribia ila hakuna ajuaye huo wa 2026 ni wakwako na familia yako wa kanisa bado na hakuna aujuae we nani hats ujue we ni Yesu? Acha uongo tubu dhambi yako mzee
Mathayo 24:36 (KJV)
Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.
Zidi kujitakasa ukikesha na kuomba sana maana mwana wa Adamu atakuja bila taarifa kwasababu Hata yeye mwenyewe hajui siku atakapokuja
Yesu hajui siku, malaika hawajui siku atakapokuja Yesu huyo mwanadamu kama mimi na wewe amejuaje..?
Huyu mzee nahisi anasoma biblia kama kitabu cha hadithi za kutunga wakati biblia inasema kuja kwa yesu kutakuwa kama mwizi halafu pia inasema hatujui siku wala saa ya kujiliwa so huyu mzee ni muongo na siyo mimi ninayedhihirisha bali ni biblia
Baba mtumishi Yuko sahihi.mi nishaambiwa hatutafika 2030 kabla yesu kulinyakua kanisa lake hila Kwa WEWE ambaye huamini hatukulazimishi Wala hakuna hakukumuye.asante promover tv team.