Muda mwenginee unaweza kudhani..wazee ni wenye hekima watatupereka mbinguni....., Kumbe ndio wanaowasindikiza wengi PEPONI..😂😂. Huu ni mwisho wa dunia, kuokolewa ni kwa rehema kama sio neema. Tubu makosa upate rehema... Au uwe umechaguliwa usamehewe upokee Neema.
Amina
Amen mtumishi najiandaa nikaishi mbinguni aniwezeshe yesu kristo 😢😢
Aameen
Amen
Eeh Baba yangu wa Mbinguni unirehemu mimi mwenye dhambi.
Ameen Baba ata Nuhu aliwambia watu kutakuwa na gharika lakin walimcheka nakumzarau mwisho wasiku wakaangamia wote mwenyesikio na asikie
Mungu ni mwanifu sana
Barakiwa mtumishi
Uzee shida sana🤣
Watu ukiwahubirii huwa hawakubalii
Majira tutayajua kwa kuona dalili lakini siku Ile hakuna ajuaye hata mwana hajui ila Baba peke yake. Cha msingi tujiweke tayari
Hapana mwana anafahamu vzr sana, enzi anasema hivo YESU alikuwa kimwili Kwa sasa yupo kwenye utukufu wake
Nuhu aliambiwa Kuna baki Siku 40 watu hawakujali.Roho Mtakatifu anafunuwa kula kitu wazi Siku hizi...kaeni macho tujiandae
Muda mwenginee unaweza kudhani..wazee ni wenye hekima watatupereka mbinguni....., Kumbe ndio wanaowasindikiza wengi PEPONI..😂😂.
Huu ni mwisho wa dunia, kuokolewa ni kwa rehema kama sio neema.
Tubu makosa upate rehema...
Au uwe umechaguliwa usamehewe upokee Neema.
Wewe omba Mungu ni mwenye rehema atakwambia...wazee wana hekima Zao...tusubiri tutaonana