Pt4_Nilisikia sauti ya Mungu na nikairekodi akionya kuhusu machukizo ndani ya kanisa|MCH.KABUJE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Hallelujah Hallelujah nahisi nguvu za Mungu kupitia kusikiliza ushuhuda huu. Nashukuru Mungu kwa neema niliyopata kuviacha vya dunia hii nikajikubali jinsi Mungu wangu alivyo niumba. Mungu akubariki sana Mtumishi kwa kuenenda kwa uaminifu wa Mungu mpaka ukaaminiwa mbinguni. Hiyo ni neema kubwa sana mbingu itembee nawe milele. Wana baraka sana wanaoogozwa na wewe.
Promover kwa kweli mmekuwa wa baraka kwangu na kwa wengine wengi wenye kutii. Mimi nimejifunza mengi sana kupitia promover. Mbarikiwe sana
promoverTV ni kweli imekua ya baraka lakini kuna wapenda mapambo hawataki kusikia kabisa
Hongera mtumishi kusema bila woga
Yaaan umefafanua vizuri sana kuhusu ngano na magugu! Asante BwanaYesuKristo! Nilimuuliza mchungaji mbona wachawi unao kanisani na unawajua kabisa Mungu anakuonesha?! Akasema acheni ngano na maguu,,,Nikasikia hasira lkn kweli ni NENO sasa leo nimefurahi tafsiri hii
Mungu wa Mbinguni akulinde utokapo na uingiapo, ubarikiwe sana
Asante sana mtumishi
Ujumbe sahihi kabisa
Baba yangu wa Mbinguni, naomba unirehemu mimi mwenye dhambi ili niweze kuishinda roho ya kupenda mapambo. Amina.
Waa pole Kwani huogopi 🔥🔥🔥🔥 wa jehanam fatilia Aston Mbaya
Mungu akubariki kwa ushuhuda huu,
Amina mtumishi nabarikiwa
Mtumishi naipenda sana mafunuo kama hayo yananijenga mapambo nimeacha
Amen thanks for the wonderful massage glory glory hallelujah
Mungu akubariki sana,na pia atusaidie kuijua kweli yake na kuyatenda yaliyomema.
Ni kweli ni kweli nimeachana na kila kitu BwanaYesuKristo nisaidie kuuona UFALME WAKO WA MBINGUNI
Mungu akulinde na kukupa maisha malefu mwana wa Mungu ili uzidi kilihubuli neno lake.
Ameni na MUNGU ANISAIDIE
Tunaomba uendelee tu na huu ushuhuda, weeee i ve no words kwa huu ushuhuda
Nadhania nihapa nilisikia Mungu akiwa mbinguni akiangalia chini anatuona kama maua na hizi nywele zetu
Mtumishi umesema vyema sana kuhusu jinsi MUNGU amesema ndo maana wakati anamalizia ushuhuda zizi matembo kwamba urembo ni sawa nikajua hapa hakuna kitu maana MUNGU hajipingi. Wanawake wabadilike vinginevyowatapotea
Nasikia Ile ni Roho sio rahisi kukuacha ndio maana wanapingana kweli Mimi nikifikiria jehanam wacha nijifunge kitambara
Mtumishi ubarikiwe sana
mungu anisaidie na aturehemu wanawake
Hallelujah
Ameni na MUNGU ATUSAIDIE ss na ubishi wetu
Naomba nifunuliwe juu ya mavazi ya batiki naomba nijulishe mtumishi
Ubarikiwe sana mtumishi kwa kazi kubwa. Naomba kuuliza kuvaa Pete ya ndoa ni dhambi? Hii nayoipoje?
@@lizdedanigmn1532 mwanzo 35:1-5
Huku kurekodi sauti ya Mungu sikubaliani na hili ,wakristo wengi wanashindwa kutofautisha sauti ya Mungu na ya shetani 😢😢, BWANA aturehemu
Amen🙏
Ujumbe mzito
Mzito hasa
Ubarikiwe
Waambie pia Watumishi wanaume juu ya kubadilisha nywele zao. Wanapaka black na kuzitengeneza nywele salon ziwe na mawimbi mawimbi, na unyoaji wa mitindo mbali mbali!
Wakati BwanaYesuKristo ananitoa catholic alinipatia mstari huo wathetharonike 2:7- hapo ulipoishia maana mm ktk kanisa hilo nilikuwa nikimuona maria yaan kwenye mafunuo ya uongo wa shetani
Jaman hapa kajchanganya tu kdogo kuhusu kurekod saut ya Mungu saut ya Mungu hairekodk maana unakuwa unaskia wewe tu na siyo mtu mwngne ila yeye alchorekod ni maneno aliyozungumza Mungu kupitia kinywa cha mtu maana angezungumza Mungu mojakwamojabila kupitia mtu sauti angeiskia maskiobi tu yeye kama yeye kwa hiyo isngekuwa rahs kurekod
Ezekiel had dreadlocks toa verses.pastpr dreadlocks are natural hair please
Mtumishi, juu tumekuamini wewe, tuulizie kuhusu wanawake kuwa wachungaji, juu pia hili limelemea watu....
Tunaomba mwendelezo
Mpo wenye kumsakama dada Esther Msanja haya wengine hawa wamekuja na story ya mapambo
Kwani Mungu hajakuambia mwanamke kuwa wachungaji ni dhambi
Sikiliza ushuhuda wa Aston Adam Mbaya, aliambiwa mwanamke hana ruhusa ya kuwa Pastor....1 Timothy 2:12, 1 Kor 14:34
@@RoseMayige-gn9qbsawa mimi mwenyewe ni mchungaji wa mtumishi wa Mungu Aston mbaya,
Kwa ni nineuliza ni kwa sababu amewagusiya wanawake wachungaji na maaskofu
Samson had dreadlocks
Tunalo Neno linatosha Acha kayumbiswhwa na maono na mafunuo
Analolisema hapo pia Neno lenyewe asilimia 100. Unataka Neno gani?
Ushuhuda wa mtumishi wa Mungu margaret 14:55 uliwagusa watu wengi sana ikiwemo mimi binafsi.
Ushuhuda wa Margaret au Magreth utakavyo penda kumuita haukuwa wa kweli hii ni baada ya kukili mwenyewe mbele ya kanisa.
Margaret au Magret sio mtanzania, confession yake ipo hapa TH-cam ila ni kwa kiingereza.
Kama una shauku ya kuujua ushuhuda wake search kwa jina la margaret utaupata ulio tafsiriwa kwa kiswahili
ila kuhusu video ya kuomba msamaha kwa kulidanganya kanisa upo kwa kiingereza.
Watu wa Mungu, ndugu zangu katika Kristo tuwe macho tumtafute sana Kristo tuwe na utambuzi(Descernment) tusidanganyike kila hisi.
Mungu akubariki, jina la Bwana lisifiwe milele, amina❤.
Japo inasemekana alidanganya, ila aliongea kweli ila pengine ali copy ushuhuda wa mtu mwingine ila alichokua akieleza ni kweli.
@@LoFi_120 yar na mie pia nilitaka kusema vile, make alijitokeza na hadharani na akasema kwamba ushuhuda wake haukuwa wa kweli.
@@pastorpetermageta6833BWANA YESU KRISTO ATUSAIDIE KWELI KABISA ROHO MTAKATIFU HELP US
Nilifikiri wewe ni wale wale,nitaanza kufuatilia
Unapo sema "ni wale wale" una maanisha nini mtumishi?.
KAKA MCHUNGAJI ACHA KUDANGANYA WATU HUWEZI TENA HUWEZI RECORD SAUTI YA MUNGU HATA SIKU NA MOJA LAKINI MADUNDISHO HAYO ULIOSEMA NI SAHIHI
Mm nimemuelewa karecord Mungu alikuwa akiongea kupitia mtu siyo direct.