Pt1_"Nilichoka kuishi nikajiua kwa sumu,nilichokiona kuzimu na mbinguni kinatisha"USHUHUDA WA MESHAK

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

ความคิดเห็น • 140

  • @langistany6811
    @langistany6811 2 ปีที่แล้ว +34

    Alleluia, Alleluia, Alleluia, Jina Bwana YESU KRISTU Libarikwe, Kweli ume honja Raha ya Mbiguni, Bwana wetu YESU KRISTU Abarikiwe kwaku kupa kibali hicho, Pia Bwana aku Bariki kwa kua Mwaminifu Ktk kutoa Ushuuda. YESU KRISTU NDIE YOTE KTK YOTE. Lakini usi jihuwe tena.

    • @marianaduncan6330
      @marianaduncan6330 2 ปีที่แล้ว +2

      Amen, mtumishi lang stany

    • @flm1530
      @flm1530 2 ปีที่แล้ว +1

      Kumbe mtumishi lang stany ana channel TH-cam sikujua ngoj nikasubscribe

    • @sophiamakani6133
      @sophiamakani6133 2 ปีที่แล้ว

      Amen and Amen Mutumishi langi stany

    • @sophiamakani6133
      @sophiamakani6133 2 ปีที่แล้ว

      @@flm1530 hata mimi sina habari

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 2 ปีที่แล้ว

      Make apo Kwanza ncheke😅

  • @catenzoka2003
    @catenzoka2003 2 ปีที่แล้ว +16

    Promover t v kweli hamlali kuakikisha kazi ya Kristo Yesu inasonga mbele kuokoa mioyo ya wanadamu..be blessed the whole team kazi nzuri.

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 ปีที่แล้ว +2

    Amen!! Ushuhuda huu ni kweli kabisa!!! Sijaona shida!! Nimehakikisha!! Yesu hakika ni Bwana Mungu!! Njia ni Yesu Kristo!! Yohana14:6!! Yohana8:12. Yohana15:7. Yesu ni Mungu Wafilipi2:5-11, Tito2:13, 1Yohana4:1-3, 1Yohana5:1. Yesu hakika ni Bwana Mungu wa wote wenye mwili Yeremia32:27, Yesu hakika ni Mungu hakika Isaya9:6. Amen!! Bwana Yesu asifiwe sana!! Jina la Bwana Libarikiwe!! Ameeeen!!!

  • @aaSs-yf8oq
    @aaSs-yf8oq 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Yesu kwa promover tv na kwa ushuhuda huu. Kweli tunajifunza vitu vingi na kuzidi kukaza mwemndo ili tuweze kufika mbinguni. Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu

  • @JifunzeNenoLaMungu
    @JifunzeNenoLaMungu 2 ปีที่แล้ว +6

    Bwana YESU KRISTO Atukuzwe Sana... kwa Maono Mazuri Sana yenye Mafunzo Mazuri Sana...

  • @flourishing_wilderness6072
    @flourishing_wilderness6072 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mbarikiwe kwa ushuhuda huu, nimejifunza kila kiumbe cha Mungu kina thamani mbele zake basi mwanadamu anapoharibu mazingira anatakiwa atubu pia kama anavyotubu dhambi zingine

  • @christinezuma5588
    @christinezuma5588 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu umenifunza mengi hapa

  • @hirokay9374
    @hirokay9374 2 ปีที่แล้ว +5

    Bwana yesu asifiwe Wana was
    Mungu nimebarikiwa sana na
    Ushuda huu asanteni kwa Kuni
    elimisha namimi nimepokea
    Ujumbe huu Amina

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 2 ปีที่แล้ว +6

    Jaman nawatamani sana wanaoenda mbinguni nakurudi ... Asante kwakutupa Siri hizi za mhimu kwa tulio hai...*nimecheka aliposema nikaanza kufahamu kwamba natakiwa kurudi duniani* hata kabla hujaambiwa...mbinguni bwana unakuwa genius automatic. YESU TUSAIDIE TUFIKE HUKO

    • @nawandafamito500
      @nawandafamito500 2 ปีที่แล้ว

      Kuzimu ni kubaya, na sio original, mbinguni ni, original na nikwamilele, kwa jina la yesu shindwa na legea, asante

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen ushuhuda mzuri eeeh Yesu nisaidie nifike mbinguni bila wewe siwezi

  • @monicamafenyi8358
    @monicamafenyi8358 2 ปีที่แล้ว +6

    Ahsanteni kwa ushuhuda huu

  • @gerardnibikora839
    @gerardnibikora839 2 ปีที่แล้ว +9

    Wow! Very powerful 👏

  • @marifaadolphine3571
    @marifaadolphine3571 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu atuwezeshe nasi tumuone Bwana yesu, ubarikiwe kwa atua iyo.

  • @janembuthia3750
    @janembuthia3750 2 ปีที่แล้ว +5

    God bless you for your testimony

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 2 ปีที่แล้ว +6

    Yesu usiache. Naendelea kukufahamu zaidi na zaidi

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi mura na Mshukuru Mungu Kwa ajili Yako nimefurahi Sana kwahuu ushuhudaa

  • @melesianageorge2012
    @melesianageorge2012 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Yesu Mungu azidi kuitunza na kuinua promover tv tunajifunza mengi

  • @rhodamaganga884
    @rhodamaganga884 2 ปีที่แล้ว +5

    Nawapenda promover Dr Jactan na timu yote mbarikiwe napata vitu vingi vya kujifunza

  • @joshuarafael9462
    @joshuarafael9462 2 ปีที่แล้ว +3

    Yesu Kristo ni kila kitu, ni Bwana, ni Mungu, ni nuru, ni Mwanzo, ni uzima, ni njia, ni kweli, ni Mwisho, ni neno, ni mbingu Mpya, ni nchi mpya, ni Mwanadamu, ni mtume na nabii, ni malaika, ni Jerusalem mpya na mengine mengi, yaani yeye ni yote katika yote, Utukufu una yeye milele na milele Amina

  • @helenbahati8038
    @helenbahati8038 ปีที่แล้ว +1

    Yesu akusaidie uendelee kutembea katika jiia yake, barikiwa sana kwa ushuhuda

  • @anethswilla7563
    @anethswilla7563 2 ปีที่แล้ว +13

    Hakika Kila shuhuda inanijenga Sana na ninatamani siku moja nikaone kwa macho yanayoshuhudiwa nakaza mwendo nifike

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 ปีที่แล้ว

      Hata Mimi Mungu anaisaidie nimalize mwendo salama maana kwa nguvu zangu sitaweza

  • @roidaalphonceyou2227
    @roidaalphonceyou2227 2 ปีที่แล้ว +2

    Asanteeee kwa ujumbeeee huuu eee MUNGU wangu naomba unisaidieeee

  • @margaretakoth6150
    @margaretakoth6150 2 ปีที่แล้ว +6

    Mungu wangu, unirehemu nisi kose kuona uzima wa milele.

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen and Amen Asanteni sana kwa ushuhuda wa kujenga

  • @sabrinalazaro950
    @sabrinalazaro950 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awabariki pomover.

  • @IbrahimMatofali
    @IbrahimMatofali ปีที่แล้ว +1

    Mungu mwema sana anawachukuwa watumishi mbali mbali mbinguni ili atammoja asipotee ili wote tuifikie toba yesu nisaidie nije kuishi pamoja nawe kwenye jiji takatifu

  • @IbrahimMatofali
    @IbrahimMatofali ปีที่แล้ว +1

    Hii chaneli mungu aibariki sana inatuletea uwamsho katika bwana

  • @emmanuelnewrch6614
    @emmanuelnewrch6614 2 ปีที่แล้ว +3

    MUNGU AWABARIKI SANA 🙏 KWA KAZI NJEMA YA KUTUJUZA MENGI YA KUTUJENGA

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf หลายเดือนก่อน +1

    Asante ❤

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 2 ปีที่แล้ว +3

    Mbarikiwe sana

  • @mayalapaul5658
    @mayalapaul5658 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu anawajua wali wake

  • @isaacgwams8080
    @isaacgwams8080 2 ปีที่แล้ว +3

    Huu ni ukweli kabisa na unatuweka huru, asante Bwana Yesu Kristo

  • @flm1530
    @flm1530 2 ปีที่แล้ว +4

    Ameeeeeeen

  • @johnmkama8074
    @johnmkama8074 2 ปีที่แล้ว +6

    Umetia fora Jactan kwa ushuhuda huu in kama Amiel

  • @carolinederi5690
    @carolinederi5690 2 ปีที่แล้ว +3

    Lango lile Yesu bwana wote waingie kwake😇 kaka yetu alipata neema kuona jinsi Yesu alivyo lango kweli jinsi watakatifu wanaingia kwake kupitia tumbo lake

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 2 ปีที่แล้ว +5

    Kaka jacktan msafiri na timu yote ya PROMOVER TV MUNGU awakumbuke katika ufalme wake...mnafanya kazi njema sana....nawapenda sana..

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri 2 ปีที่แล้ว +10

    SHUKRANI MUUMBA KWA kuleta hii channel ya promovertv inayotuhelimisha nakutufunza mengi kupitia watu mbali mbali ili nasi tuweze kufikia Ufalme wa MUNGU, Barikiwa Sana

    • @voctoriangombe6136
      @voctoriangombe6136 2 ปีที่แล้ว +2

      Promover TV Mungu awabariki sana nimebadilisha mifumo ya maisha yangu ili hata mauti ikinikuta niingie mbinguni

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameeeeeen BWANA YESU asifiwe

  • @margaretakoth6150
    @margaretakoth6150 2 ปีที่แล้ว +4

    Let your light of glory to shine on me till I enter rapture.

  • @mrym8668
    @mrym8668 2 ปีที่แล้ว +2

    Amina

  • @happyness-bs3tr
    @happyness-bs3tr ปีที่แล้ว

    Amin.

  • @yungharry2204
    @yungharry2204 2 ปีที่แล้ว +4

    Promover tv mbarikiwee

  • @claudiabyalugaba2381
    @claudiabyalugaba2381 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe

  • @charlesmbena9121
    @charlesmbena9121 2 ปีที่แล้ว +7

    Always a blessing from you jacktan

  • @bukeyenezaaudiphax8601
    @bukeyenezaaudiphax8601 2 ปีที่แล้ว +2

    Bwana yesu asifiwe

  • @blasipaul68
    @blasipaul68 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @margaretakoth6150
    @margaretakoth6150 2 ปีที่แล้ว +1

    Yesu ni pokee jinsi nilivyo, samea dhambi zangu.

  • @clemetinarwekiti4067
    @clemetinarwekiti4067 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen

  • @ungwamseke4819
    @ungwamseke4819 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah mtani wangu hongera Sana sanasanasa bwanayesu alijua kukutoa tongotongo😅hz nema bwana YESU namm nitembelee jmn nipate angalau kuona namm nije nismulie km huyu mtani WANGU,, au

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni675 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani Mbinguni panatamanika eeh Mungu nisaidie na unirehemu niingie pale.

  • @boanergejuniorwisepro9485
    @boanergejuniorwisepro9485 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameni

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei9007 2 ปีที่แล้ว +6

    Powerful testimony

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala6495 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran promover tv kwa ushuhuda huu mzuri ....Barikiwa Sanaa mtumishi wa Mungu

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 2 ปีที่แล้ว +4

    Ushuhuda mzuri wa kuelimisha nimejifunza mengi barikiweni nyote kwa huduma

  • @EvangelistMathayo2604
    @EvangelistMathayo2604 2 ปีที่แล้ว +2

    Hee Mungu wangu na Baba yangu naona unisaidie unipe mwisho muzuri ili nikifa nione mbinguni

  • @zawadimalecela3448
    @zawadimalecela3448 2 ปีที่แล้ว +1

    Bwana nakushukuru kwa kuniwezesha kusikia ushuhuda huu,hakika nimebarikiwa kwa ushuhuda huu.

  • @phelistuschelimo940
    @phelistuschelimo940 2 ปีที่แล้ว +1

    Ningependa kukuliza swali Moja pastor,mbona Huwa inasrmekana kwamba ukifa pia urudi Duniani ulimi wako Huwa mzito kutamka maneno haiwezekani na wwe unatoa maneno kwa kinywa chako??

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 2 ปีที่แล้ว +14

    " zipo channel na radio kibao zenye majina lakini zinaongelea udaku na umbea na anasa za watu. Lakini promover na udogo wenu mnajitahidi kutangaza injili ya kristo. Hakika nawaombea mtanuke na kufikia watu wengi ili waijue neema ya kristo

  • @unitedpentecostchurchiname9061
    @unitedpentecostchurchiname9061 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi JEREMIAH HUKU USA: Asante sana kwamaelezo ya huko mbinguni, ninalo swali moja, je mkristo akirudi nyuma katika dhambi ila akiendelea kumtolea Mungu matoleo kadha kwa kuendeleza kazi za kanisa kazi nyingi tu, sasa huko mbele akaja kumrudilia Mungu akatubu. Je yale mema yote aliyoyatenda akiwa katika dhambi zitaandikwa mbingu kwa jina lake? Ao huduma zote alizozitenda akiwa ameanguka haziesabiwe?
    Ataanzia wakati anatubu tena
    Jeremiah

    • @rubefabi8366
      @rubefabi8366 2 ปีที่แล้ว +1

      Jibu unalo moyoni mwako japo unauliza swali la kukaribisha udanganyifu. Umesema mkristo kurudi nyuma maana yake jina lake kufutwa kwenye kitabu cha uzima maana yake hakuna rekodi yoyote ya matendo yake. Sasa atakumbukwa kwa lipi?

    • @andrewpaschal749
      @andrewpaschal749 2 ปีที่แล้ว +2

      Mema yanahesabiwa unapoanza upya Yaani ukitubu hapo ndipo haki yako inapohesabiwa tena

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว +1

      Mungu ataanza kumwangalia tena kama atatubu na kurejea vinginevyo asahau,

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 ปีที่แล้ว

      Hawezi kuhesabiwa Chochote ni sawa na kuitupa chooni tu sadaka yako

  • @margaretakoth6150
    @margaretakoth6150 2 ปีที่แล้ว +1

    In your wrath, over my life, God remember mercy on mankind.

  • @deuslmathias1631
    @deuslmathias1631 2 ปีที่แล้ว

    Shuhuda zingine zipimwe kwa neno la Mungu.

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว +1

      Siyo zingine Bali zote,

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli unywe sumu kisha uende Mbinguni hii imekuwa mpya kwangu na Wokovu

    • @fadhili2293
      @fadhili2293 ปีที่แล้ว

      @@trophywilson7211 hatuwezi kujua yote isipokuwa kwa sehem

    • @yungharry2204
      @yungharry2204 ปีที่แล้ว

      @@trophywilson7211 sikiliza vizuri je hakutubu

    • @BlandinaLukole
      @BlandinaLukole 13 วันที่ผ่านมา

      Usihukumu usijehukumiwa. Muombe Mungu atakupa majibu

  • @mosehbigboi4626
    @mosehbigboi4626 2 ปีที่แล้ว +1

    Wow c uni link part 2

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 ปีที่แล้ว

      USHUHUDA WA MBINGU NA KUZIMU NA MESHAK WA TARIME: th-cam.com/play/PLXTmPgeqbJ0kEYkSGezZcbvmRCVDnYvUQ.html

  • @Witnessamson
    @Witnessamson 7 หลายเดือนก่อน +1

    Eee MUNGU nisaidie niweze kusimama imara nisome biblia kila wakati na kulielewa na pia nidumu katika maombi kila wakati eee MUNGU nisaidie

  • @ashleymechack151
    @ashleymechack151 2 ปีที่แล้ว +2

    Huu ushuhuda unakasoro. Kuna mambo mengi hapa hayaendi sambamba na neno la Mungu.

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว

      Kama yapi yasiyoenda na maandiko?

    • @daudijacob7377
      @daudijacob7377 ปีที่แล้ว

      Kuwa mtiii usimpe Shetan nafas wewe amini

    • @fadhili2293
      @fadhili2293 ปีที่แล้ว

      Sio rahisi wote tumkubali au tumuelewe, ila naamini kila mmoja anaweza funuliwa kwaehem yake kwa kadri ya kipimo cha neema yake

  • @josephmukhwanawilliam9487
    @josephmukhwanawilliam9487 ปีที่แล้ว

    ?????????????????????? si kwa ubaya!

  • @patricebaregensaba9372
    @patricebaregensaba9372 2 ปีที่แล้ว

    But

  • @patricebaregensaba9372
    @patricebaregensaba9372 2 ปีที่แล้ว

    why

  • @elizabethsembe1677
    @elizabethsembe1677 2 ปีที่แล้ว +1

    Muendelezo jamani

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel4700 2 ปีที่แล้ว

    Ktk hayo maono kuna mkanganyiko,

  • @veronicambilinyi3854
    @veronicambilinyi3854 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimeanza kuwaelewa wasabato

  • @paschalmulisa6038
    @paschalmulisa6038 2 ปีที่แล้ว

    BWANA YESU asifiwe,Mtani hayo unayotushuhudia ni maruweruwe ya vidoge ulivomeza ambavo havikuwa na nguvu ya kuweza kukutoa roho ndo maana ulizinduka na upo Bado duniani.Umuhoji MUNGU kirahisi hivo?ndg yangu hapo ulipo kusingetakima maelezo mengi ila sisi tungekuwa tunaona utukufu mkuu wa MUNGU,mwanzo33:18-20,JOH:1:18

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว

      Wewe ndiye mwenye maruweruwe unajibu kabla ya kupambanua

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 ปีที่แล้ว

      @@janemujuni764 aise hapo na Mimi sijaamini bado Aendeje mbinguni na huku alijiua??Haipo mbingu ya waliojiua

  • @patricebaregensaba9372
    @patricebaregensaba9372 2 ปีที่แล้ว +1

    why would you even do this

  • @Summertm
    @Summertm 5 หลายเดือนก่อน

    - Wenye Channel! Msifundishe watu jinsi ya kujiuwa, na namna ya kufanya uchawi, au content yoyote ambayo iko kinyume na Bibilia.

  • @marthaeliya6478
    @marthaeliya6478 2 ปีที่แล้ว +2

    Sasa kwa waislam jaman ambao hawamuamin yesu inakuaje na wanatenda mema

    • @aaSs-yf8oq
      @aaSs-yf8oq 2 ปีที่แล้ว +2

      Ni kuwaombea ili wapate neema ya kumjua huyu Yesu na kumwamini

    • @bonifasemmanuel4700
      @bonifasemmanuel4700 2 ปีที่แล้ว +1

      Ni mtihani ndugu yangu,ni sili ya Mungu,dawa ni kuwaombea

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว

      Mbingu ni moja tu na anaingia tu aliyemkiri BW YESU kuwa ni BWANA na MWOKOZI na kuamini kuwa ALIKUFA NA KUFUFUKA,huku akiyaishi MAPENZI YA MUNGU

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว

      Ni kuwaombea kama tunavyoombeaa wengine waokoke, Maana YESU ndiye Njia,Kweli na Uzima,

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 ปีที่แล้ว

      @@janemujuni764 wanayo Mbingu yao Tuwaache hivyo mimi ndo huwa nasema hivyo

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 4 หลายเดือนก่อน

    This is deception

  • @patricebaregensaba9372
    @patricebaregensaba9372 2 ปีที่แล้ว

    Not playing spots

  • @patricebaregensaba9372
    @patricebaregensaba9372 2 ปีที่แล้ว

    What are you even thinking

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel4700 2 ปีที่แล้ว

    Msaada Tafadhali,kila shuhuda ninazo sikia nasikia eti,wanaoshuhudia wanaongea kiswahili inamana ndo lugha inayotumika au,kingereza au kichina hakuna,au kirundi,

    • @hellen9056
      @hellen9056 2 ปีที่แล้ว +1

      Sasa mpendwa wewe ni mswahili utawezaje kuja kichina jamani ? Akienda mchina ataoneleshwa kichina akienda mrundi ataoneleshwa kirundi

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว

      Hata Mchina akienda atasimulia kwa hicho

    • @fadhili2293
      @fadhili2293 ปีที่แล้ว

      Bora ata ungejiuliza kwanini hasemeshwi kikurya

  • @salomezakaria
    @salomezakaria 2 ปีที่แล้ว

    Mmmmmmnmmm

  • @patricebaregensaba9372
    @patricebaregensaba9372 2 ปีที่แล้ว

    I'm not saying I don't follow God

  • @mamabaraka2023
    @mamabaraka2023 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa kajiua and then akapokelewa mbinguni mbona simuelewi?

    • @Sara.11148
      @Sara.11148 2 ปีที่แล้ว +1

      Hata mie nashangaa ujiue kisha upokelewe mbinguni sielewi

    • @josephatjoseph1755
      @josephatjoseph1755 2 ปีที่แล้ว +5

      Ni kwa neema tu Mungu alitaka ampe ushuhuda

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว +2

      Mungu alikuwa na kusudi kuachilia roho ya kujiua ndani yake ili aweze kufikisha huu ujumbe, Kumbuka Njia za Mungu hazichunguziki

    • @josephatjoseph1755
      @josephatjoseph1755 2 ปีที่แล้ว

      Alaf acha hio biashara ya nywele utaishia jehanamu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 ปีที่แล้ว

      Ndo hatari hapo Hizi shuhuda mie karibia niache kusikiliza tutapotezwa na wakristo wa siku za mwisho Yesu alisema

  • @patricebaregensaba9372
    @patricebaregensaba9372 2 ปีที่แล้ว

    This is so wrong

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani ปีที่แล้ว +1

    Kwa nini wewe Jakitani Msafiri hutaki kunikaribisha Mjumbe wa agano Duniani?

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbarikiwe sana

  • @mrym8668
    @mrym8668 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว

      Ameen Ameen Ameeen,huo ndiyo ushuhuda halisi kabisa, Lazima watu wa Mungu tuuone UTUKUFU wa Mungu,Siyo kila siku kumwinua shetani kwa kutoa shuhuda za kuzimu tu, Ubarikiwe sana kwa ujumbe,wasioelewa NENO watabeza usijali ujumbe umefika, Uumbaji wote Lazima umsifu MUNGU,

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 2 ปีที่แล้ว

      Mnaosema dhahabu na madini yote ni mali ya shetani mmepotea na mnamwinua na kumtukuza shetani huku ni kumhuzunisha ROHO MTAKATIFU bila kujua,

  • @sylvestermhojaaron9659
    @sylvestermhojaaron9659 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina

    • @priscaaron4813
      @priscaaron4813 2 ปีที่แล้ว

      Amina ushuhuda nzuri mtumishi unatujenga Mungu tusaidie

    • @marystellambogo2820
      @marystellambogo2820 2 ปีที่แล้ว

      Ushuhuda mzuri, Yesu nisaidie nifike mbinguni

    • @hazykilondera4444
      @hazykilondera4444 2 ปีที่แล้ว

      unawezaje kuingia mbinguni wkt umejiua? mmhh hapa kuna shida kidogo