MAKONDA;RPC UKOWAPI KAMATA WOTE TIA NDANI/AMSAIDIA MAMA ALIYEKIMBIWA NA MUME KISA KUJIFUNGUA MAPACHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 54

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es หลายเดือนก่อน +9

    Hakika Mungu amempeleka Mheshimiwa Makonda Arusha...Glory be to. GOD

  • @msafiritalentmedia1085
    @msafiritalentmedia1085 หลายเดือนก่อน +15

    tumeshaanza kupaki mabegi tunahamia arusha kwa makonda makonda oyeeeeeeeeeee. hicho ni chuma

  • @chriseskibet718
    @chriseskibet718 หลายเดือนก่อน +9

    Nasikia raha sana nikiwa Kenya,aki mwenyezi mungu akulinde siku zote popote uendako dunia nzima.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน

      sasa wewe njoo huku kwetu uhamie kabisa. tutakukatia uwanja ujenge ukae hapa kwa Makonda Arusha

  • @AnnaNoah-jr6ow
    @AnnaNoah-jr6ow หลายเดือนก่อน +5

    Jamani Mungu akutiye nguvu sana na akuongoze katika uwongozi wako♥️♥️

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 หลายเดือนก่อน +4

    Nitafutieni nyumba arusha nihamie huko 🙌🙌🙌

  • @user-ek6td4kt4t
    @user-ek6td4kt4t หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akutunze muheshimiwa.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน

    Duh Makonda Mungu asimame na wewe...uwiii❤❤❤

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s หลายเดือนก่อน +4

    Mama yetu Samia tunakupenda sana .usimtoe Arusha hyu Mkuu wetu wa mkoa .Arusha pana shida nyingi.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +2

    Yaan Rais wangu Samia hivi watendaji wengine angekuwa kama Makonda si nchi angekuwa mbali.Kumbe mambo haya yanawezekana hati. Ongera Mwanangu Makonda Mtani wangu❤❤❤❤🙏🙏👍👍

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 หลายเดือนก่อน +4

    Hivi mm najiuliza kwa hasira sana,hv viongozi wengne wanakazi gani ? Mpaka Makonda kweli!?

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 หลายเดือนก่อน +5

    Huwa nimewaza.Hivi hizi kero ,wakuu wa mikoa si watatue kero za wananchi kwa style hii ????

  • @paschalmanumbu572
    @paschalmanumbu572 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani Makonda, nahisi wengine wenye mali za watu wanaweza kuanza kujiua. Unasolve mambo hadharani hadi watu wanongeza sala juu yako

  • @elizabethebambo6286
    @elizabethebambo6286 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupendaa makonda akika unastahili kuwa rais una moyo wa huruma Mungu azidi kukubariki

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s หลายเดือนก่อน +4

    Pongezi kwako mkuu wa mkoa,makonda,wakuu wa mikoa wengine wako kama mazuzu tu

  • @KelvinMaganga-ew7xb
    @KelvinMaganga-ew7xb หลายเดือนก่อน +2

    Bro ubarikiwe sana

  • @stevenadogo3774
    @stevenadogo3774 หลายเดือนก่อน

    I love people who have empathy towards other

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 หลายเดือนก่อน +2

    mama huko uliko tunaomba utuletee agrey aliye wahi kuwa mkuu wa mkoa tabora alinogesha kama makonda anavokiwasha makonda miaka inayokuja apewe nchi waonevu watakiona

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 หลายเดือนก่อน +5

    Uongozi ni kujiongeza!!

  • @MashakaMapelani-xd9np
    @MashakaMapelani-xd9np หลายเดือนก่อน

    Nimekukubali sana

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph6320 หลายเดือนก่อน +2

    Watendaji ni wezi Sana rushwa imezidi Arusha hivi Mpaka Makonda kweli Watendaji oneni aibu mmeshindwa kutetea raia

  • @user-tf3yp7df2n
    @user-tf3yp7df2n หลายเดือนก่อน +1

    Hvi nafikiria hata sielewi nikwann mtu atoke dar,Dodoma n.k akiwa labda anatatizo la aridhi hivyo anampelekea makonda Arusha je,mikoa hiyo haina viongozi wenye kujua majukmu yao?inashangaza sana Hadi mwanza, babati,najiuliza makonda atafanya kazi ngapi anafanya kazi Hadi za nje ya mkoa wake.lkn mungu anafanya kazi juu yake.nahao wanaomkimbilia nimungu anawaelekeza sehem mhimu yakutatua shida zao.

  • @user-mj1ir2zy4k
    @user-mj1ir2zy4k หลายเดือนก่อน

    Thank you

  • @user-kk4cd6uy9i
    @user-kk4cd6uy9i หลายเดือนก่อน +3

    Makomda bwana kweli chuma😅😅😅😅😅

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 หลายเดือนก่อน +3

    ,jamani wakuu WA mikoa wengina kwa nini wasifuate mfana makonda kutatua ma😮😮kutatua shifaa za wanyonge hapa tanga mjane na yatima wamedhulumiwa waziwazi kupitia mahakama ikawapa ushindi katikaya kutatanisha hospitali wakamfungia inateketea kwa si yao hawana uchungu nayo mazingiray

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa maelezo ya huyu dada hakuna haja ya wana sheria nikuangalia Documents kama ziko sawa maamzi yatolewe hapo hapo siyo wote wana moyo huo wa kusaidia

  • @JasmineRashidi
    @JasmineRashidi หลายเดือนก่อน +2

    Jaman makonda abaki Arusha milele

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle หลายเดือนก่อน +2

    SUKUMA NDANI WOTE MHESHIMIWA WAACHE JANJA JANJA

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts หลายเดือนก่อน

    Makonda mtumishi wa Mungu, ulikuja kwa kusudi la Mungu.

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 หลายเดือนก่อน +2

    Aliyekuwa mkuu wa mkoa alikuwa anatatuaje kero hizi? Kuna ufuatiliaji hafifu sana wa utatuzi wa kero za. Watu. Mliopewa dhamana ya uongozi na rais igeni utendaji wa mkuu huyu wa mkoa.

  • @RashidHamad-ro8sd
    @RashidHamad-ro8sd 24 วันที่ผ่านมา

    Makonda yup vizur sana nikiongoz wa mfano kabisa

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts หลายเดือนก่อน

    Jamani kudhulumiwa kunaumaaaa,
    Wapendwa huu ndio wakati wa kudai haki zetu, Mungu kupitia mama Samia ametuletea Makonda Arusha.
    Yupo na Silaa kule, mama Samia mama tunakushukuru,Mungu azidi kukulinda.

  • @ezekielkiribwa7072
    @ezekielkiribwa7072 หลายเดือนก่อน +2

    So sad

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts หลายเดือนก่อน

    Nao makutano walimfuata Yesu, wakihitaji uponyaji...ameacha wafuasi wake wawasaidie watu, tunaona wazi leo watu wanamfuata makonda, huyu ni mtumishi wa Mungu alie hai,mpenda haki.
    Ombi langu kwa viongozi wengine, mkuu wa mkoa ni mtu mkubwa sana ktk mkoa wake, amechaguliwa na mkuu wa nchi, tunaomba sana huku chini watu wanawahitaji sana, kuna vilioooo😢

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 หลายเดือนก่อน +2

    Jembe

  • @stevenmwamwenda-3927
    @stevenmwamwenda-3927 21 วันที่ผ่านมา

    Kiongozi wa viwango vya juu mfano wa kuigwa

  • @mkurangacnajemasabatochane4626
    @mkurangacnajemasabatochane4626 หลายเดือนก่อน

    Hii biashara ya kuandika majina ya mpenzi wako kwenye vitu Hawa wata wazulumu mpaka kifo ,, aise siandiki

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania หลายเดือนก่อน

    Jamni unalia mpaka ucheke.

  • @janesterbatikinasabuninzur3628
    @janesterbatikinasabuninzur3628 หลายเดือนก่อน

  • @halimajuma-zq9dk
    @halimajuma-zq9dk หลายเดือนก่อน

    Jamn lini Tena hiki kitu kitafanyika jmnan ninashida mpk bas

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe5842 หลายเดือนก่อน

    Sina miseme nini,makonda nimekuelewa sana jaman unatusaidia sisi wanyonge

  • @user-tj5sn8lq8x
    @user-tj5sn8lq8x หลายเดือนก่อน

    Mh jamani

  • @hassanisaimon1531
    @hassanisaimon1531 หลายเดือนก่อน

    Kweli chuma

  • @user-zx3he3lp3o
    @user-zx3he3lp3o หลายเดือนก่อน

    RC MAKONDA WEWE NI JEMBE WATO WOTE WANYONGE WANAPATA MADAI YAO HAPO KWA HAPO ONGERA KWA KUWA RC UNAFAFFA KUWA WAZIRI MUNGU AKUBALIKI

  • @ElibarikiLevava
    @ElibarikiLevava หลายเดือนก่อน +3

    NAWASHAURI NYIE MNAOSAIDIWA NA MWESHIMIWA MAKONDA
    MUWE NA MOYO WA SHUKURANI .
    Kwahyo naomba siku ukifanikiwa mumkumbuke
    1.kwa maombi na kwa mengineyo na Mungu atawabariki sana
    Makonda akipatikana mwingine Tanzania 🇹🇿 basi tutapiga hatua sana

  • @Elizabethmwegoha
    @Elizabethmwegoha หลายเดือนก่อน

    Makonda Mungu amlinde pia ambariki sana binafsi namkubali.

  • @majaliwaelias1981
    @majaliwaelias1981 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba uteuzi ujao makonda aletwe nahuku kwetu tabora

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946 หลายเดือนก่อน +1

    Tunataka katiba mpya , nchi haiongozwi naporajo majukwaani wao ndio wanaleta haya ,

    • @nicodemashaggite8429
      @nicodemashaggite8429 หลายเดือนก่อน +1

      Wengine vichwa maji kweli😮😮

    • @adudeswalehe8724
      @adudeswalehe8724 หลายเดือนก่อน

      Hata iyo katiba ikija kama watendaji ni ovyo ni ovyo tuu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน

    Duh Makonda Mungu asimame na wewe...uwiii❤❤❤

  • @FranceMwanjala
    @FranceMwanjala หลายเดือนก่อน

    Jembe