"HUTAKUJA KUSAHAU KWENYE MAISHA YAKO - UMEPATAJE UJASIRI wa KUSEMA AMENIDANGANYA?'' - RC MAKONDA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • "HUTAKUJA KUSAHAU KWENYE MAISHA YAKO - UMEPATAJE UJASIRI wa KUSEMA AMENIDANGANYA?'' - RC MAKONDA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 85

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 หลายเดือนก่อน +5

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @Nestoemanuel
      @Nestoemanuel 4 หลายเดือนก่อน +2

      Zawadi gani waungo tu

    • @amsiabbas3809
      @amsiabbas3809 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 4 หลายเดือนก่อน +16

    Na anaye sema makonda anaonea na Kudhalilisha watumishi na aone kisha aseme. Mungu akulinde na na Muomba Allah s w akuhifadhi na akuongoze fanya kazi mama aliyokupa naamini mama pia anafahamu haya kwani wapo watu wazembe wenye kutetea uzembe unaofanyika kwa watumishi waserikali na kuifanya serikali yetu ionekane imeoza wewe safisha chapa kazi muwakilishe mama vyema na naomba pale watakapo kuita basi wakupiongeze kwa maana wajue kuwa unautofauti na sisi wananchi tupo pamoja nawe

  • @simulizitanzania2571
    @simulizitanzania2571 4 หลายเดือนก่อน +15

    Ila kwenye Cross examination Makonda uko vizuri sana. Very smart

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 mwamba

    • @maxmilliannoel2605
      @maxmilliannoel2605 4 หลายเดือนก่อน +1

      Very smart

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 3 หลายเดือนก่อน

      makonda anawabana wale wanao tapa tapa Kwa maswali makonda hapendi uongo kua mkweli sijafika nilifika kabla hayo sijafika yaani hapo ndo makonda anawazidi akili

  • @TertulaDonath
    @TertulaDonath 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda mungu hakupe maisha marefu

  • @AbelaPius
    @AbelaPius 3 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa RC.

  • @chalemofaraji8797
    @chalemofaraji8797 4 หลายเดือนก่อน +2

    Alllah akulinde makonda Kwa KAZI nzuri unaifanya yaan sina hata la kusema nazidi kukuombea dua 🇬🇷🇬🇷🇹🇿

  • @JacksonMollel-c8e
    @JacksonMollel-c8e 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda sio wakudanganywa!! Asante Kwa Busara zako Kwa Injinia Mh, Makonda

  • @AdamYusuph-iv7gr
    @AdamYusuph-iv7gr 4 หลายเดือนก่อน +3

    Fanya kazi broo tunakutegemea kuwa Rai's wetu wa baadaye

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 4 หลายเดือนก่อน +14

    Watu wanene wachunguzwe wanakula rushwa ukila kwa jasho huwez nenepa sana kidogo tu

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂mbona watu wanene😂😂

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 4 หลายเดือนก่อน

      @@sophsoph4740 hahahaha si wanakula chochote kwasababu pesa hawajaitolea jasho

    • @agathasungura5047
      @agathasungura5047 3 หลายเดือนก่อน

      😅😂😂

  • @joycemwango943
    @joycemwango943 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe MH, MAKONDA kwa kujali wanaichi.

  • @DaudKoroso
    @DaudKoroso 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ahsante sana.
    Makonda hupindishi.
    Humo humo

  • @leonardobedi4779
    @leonardobedi4779 4 หลายเดือนก่อน +7

    alaf wanatokea watu wanasema makonda usitumie lugha kali… ebu wawe serious ase.. piga kazi makonda

    • @gwakisakaswaga5249
      @gwakisakaswaga5249 4 หลายเดือนก่อน

      Hao ni walewale wanaonenepesha matumbo yao kama nguruwe bila kujali hali mbaya za wananchi. Uzuri ni kwamba Makonda majungu na figisu zao anazijua na anawaweza pia...PIGA KAZI usikatishwe tamaa na Wapuuzi wachache tulio wengi tunathamini jitihada zako

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde Sana Makonda ❤️❤️❤️

  • @jessybaraka5899
    @jessybaraka5899 2 หลายเดือนก่อน

    Haki kakayangu makonda Mungu akufinike na damu ha yesu maana unawatetea wanyonge Sana

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mtihani

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827 4 หลายเดือนก่อน +8

    Ila kwakweli ndungu yangu makonda wewe umechaguliwa na mungu

  • @mahirmohd1931
    @mahirmohd1931 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yaaan 👏👏👏👏👏👏MAKONDA NI KIONGOZI CHUMA YAAN MTU WA MAANA KABSA💪👊 PIGA KAZI NA MUNGU AKULINDE KTK JINA LA YESU🙏

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hawa jamaa zetu sa ingine ni janja sana, unaezakuta jamaa wa watu kachomewa utambi kumbe wanakata bomba makusudi😂😂😂

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 4 หลายเดือนก่อน

      Hakuna mtu anakata bomba makusudi alafu maji hayatoki mwaka mzima wewe unakuja kutete ujinga hapa

    • @OscarAsukenie
      @OscarAsukenie 4 หลายเดือนก่อน

      @@wamburasungura6812 nimekaa na wamasai, ninawaelewa sana tabia zao. Kuna mambo inataka muda sana kuwapa elimu. Na hicho nolichoongea ni kwa mujibu wa uzoefu niliokaa nao. Kama huwaelewi njoo huku nilipo ujue vyema ukorofi wao

    • @seurimasaitz4958
      @seurimasaitz4958 3 หลายเดือนก่อน

      Which kind of education? No sense.

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kwisha habari yake😢😢😢😢 unabishana na Mwananchi

  • @issaally8817
    @issaally8817 4 หลายเดือนก่อน

    mwenyezi Mungu akuongoze vyema

  • @KassimuMbarack
    @KassimuMbarack 4 หลายเดือนก่อน +1

    Good

    • @amosmahona433
      @amosmahona433 4 หลายเดือนก่อน

      HIi Nchi inatakiwa kwenda namna hii kibabe kibabe

  • @abdulymaeda2697
    @abdulymaeda2697 4 หลายเดือนก่อน

    Asantee asanteh nani kasikia

  • @MasumbukoKilunga-mf7sg
    @MasumbukoKilunga-mf7sg 3 หลายเดือนก่อน

    Mkuu wa Mikoa yote tz

  • @godfreybigeyo4356
    @godfreybigeyo4356 4 หลายเดือนก่อน

    Hii nchi ina watumishi mizigo sana!!

  • @phaustineJoseph
    @phaustineJoseph 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda nimekukubali una technical questions

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 3 หลายเดือนก่อน

    Kufukuxa kaxi,hujui mateso ya wananchi.

  • @dominaMushi
    @dominaMushi 4 หลายเดือนก่อน +1

    Idara ya maji waizi mimi mwezi wa 3 sikutumia maji kabisa ila nimeletewa bili ya unit 9 natangia nifunge maji sikuwahi tumia zaidi ya until 2 ila kwa sasa nashangaa napewa bili hewa

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 3 หลายเดือนก่อน

    Sijawahi juta kutumia bandle langu kukusikiliza Mh. Makonda. Kweli uko kazini

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 4 หลายเดือนก่อน

    Hawa watendaji malofa kweli hutumia uwongo ili maisha yao yaende mbele na kula mishahara bureeeeee

  • @IsmailAlly-u3l
    @IsmailAlly-u3l 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa engeneer ni mpigaji sana.....nakumbuka aweso alishamtumbuaga.....

  • @tiopherysanga2934
    @tiopherysanga2934 3 หลายเดือนก่อน

    nikimuangalia makonda namuona jpm kabisa

  • @saidyusuph7357
    @saidyusuph7357 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli arusha mbovu. Sasa makonda acha awapige spana😅

  • @jacksonmagola1824
    @jacksonmagola1824 3 หลายเดือนก่อน

    Natamani kufanya kazi na makondaa

  • @babuukimario6146
    @babuukimario6146 4 หลายเดือนก่อน

    Kuanzia Leo nakuita profesa makonda.

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 4 หลายเดือนก่อน

    Walijua magufuli amekufa, kumbefikira zake zinaishi mafisadi wote wapigwe hao mafisadi

  • @joelvideotv1372
    @joelvideotv1372 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda atakuja kuuwa watu kwapleshaaa maana watu wanakua pesaaa za selikalo

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 4 หลายเดือนก่อน

    Hao ndio Manyang'au Wataifa Letu Nawazembe kazi hao Alafu wanakuaga Majeuri hao ukiwakuta Ofisini Wachati alafu wewe unakua unamueleza Shida yako Alafu anakua anagunaguna tu jeuri kweli kweli hao watu

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047 3 หลายเดือนก่อน

    Wananch hawana masihara tunatoa kodi kila kona alafu mtu analeta mambo ya ajabu

  • @luhindamatati5273
    @luhindamatati5273 4 หลายเดือนก่อน

    Refa ana sema Gori linesmen ana sema kona! Hapo sijui itakuaje

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee wa Maji alishatumbuliwaga sehemu flan iv na Mh Aweso.. Achape kaz aache kujieleza kwa uoga bn.

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 4 หลายเดือนก่อน

      Akatulie tu nyumbani hajui lolote

  • @Shebyboy-vw9rh
    @Shebyboy-vw9rh 4 หลายเดือนก่อน

    Nyoka nao hao

  • @AshuraChamwana
    @AshuraChamwana 4 หลายเดือนก่อน

    Nasikiaraha kumsikiliza makonda

  • @MDUYARAMAMduyarama
    @MDUYARAMAMduyarama 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda ataijenga Arusha mama ameleta mtu sahivi ataiweza Arusha

  • @MichaelMollel-zp3kg
    @MichaelMollel-zp3kg 3 หลายเดือนก่อน

    Arusha ongereni Sana mmepata mteetesi muombee ni Sana

  • @ReganRingo
    @ReganRingo 3 หลายเดือนก่อน

    Kamataaa

  • @edinamwafongo9130
    @edinamwafongo9130 4 หลายเดือนก่อน

    Tatizo mh makonda anamaswali magum mno,kujb viongozi wanamuogopa

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 4 หลายเดือนก่อน

    Kuongoza wamasai ni kazi ngumu

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 4 หลายเดือนก่อน

    Au wanaekana hawa tuu maka zini

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 หลายเดือนก่อน

    Uwe raisi Kwa kweli unatodha mwaka 2030

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 หลายเดือนก่อน

    MAKONDA UKIWA RAIS WAFANYAKAZI WATAOGOPA KUIBA KULA RUSWA ATA SENTI AMSINI APO NDIO RAZIMA UCHUMI NA MANDELEO YA TANZANIA YATAKUA SUPER MUNGU AKUBALIKI UWE RAIS WA TANZANIA MAKUFULI JUNIOR CHAPA KAZI

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 4 หลายเดือนก่อน

    Bwanyenye kapatikana kwa mwamba Makonda

  • @GeofreyBalyo
    @GeofreyBalyo 4 หลายเดือนก่อน

    hee mimi mwanzoni walivyokua wanamtania kuwa hajasoma nikajua kwel kumbe hapana
    .mwamba shule imo sio kubwa ila anaitumia vizur

    • @daudimwaipaja1734
      @daudimwaipaja1734 4 หลายเดือนก่อน

      Naomba nitajie hata watatu tu waliosoma wanaoitumia elimu Yao vzr mnaowaita wasomi ndio vilaza wa nchi hii na ndio waliotuhalibia nchi tetu

  • @maingwamaingwa9887
    @maingwamaingwa9887 4 หลายเดือนก่อน

    Baadhi ya viongozi kuweni na huruma na familia za wenzenu nyie mmkaa kungalia yenu tu so powa

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 4 หลายเดือนก่อน

    Daah wafanya kazi kama hawa wanatakiwa kwanza kuwekwa ndani hata kwa miezi miwili kwanza afu kazi anapewa mwengine ndo watapata funzo

  • @eliangikundimlay3084
    @eliangikundimlay3084 4 หลายเดือนก่อน

    Hyo mita inaxoma maji hayajafk

  • @EliasMaduka-r5r
    @EliasMaduka-r5r 4 หลายเดือนก่อน

    Magufuli ametuachia jembe jembe kweli

  • @starjay3052
    @starjay3052 4 หลายเดือนก่อน +2

    uyu jamaa uraisi apewe tu

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz 4 หลายเดือนก่อน

    Bado nasema mnazaririshwa na matatizo ya watu kama yote

  • @godfreybigeyo4356
    @godfreybigeyo4356 4 หลายเดือนก่อน

    Mmungu wa mbinguni

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 4 หลายเดือนก่อน +1

    Imagine una mazao halafu wanakuja kulishia, kweli washindwe kuchinja bomba wafate majibure na madumu!!! Wafanye utafiti kujua mabomba yanakatika vp.

  • @FloraIloko
    @FloraIloko 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania nchi yangu namisi home lakini nafurahi kumbe mungu katuinulia jembe makonda hapi silaa mungu aendelee kuwasimamia

  • @MagesaChacha-dt7zu
    @MagesaChacha-dt7zu 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyu mbona anapumua sanna kwenye maiki hivi sijui uwoga au upigaji umezidi😂

  • @carolinerubeya7817
    @carolinerubeya7817 4 หลายเดือนก่อน +2

    Aisee unauliza maswali kwa ukatili sana aisee

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 4 หลายเดือนก่อน +1

      @carolinerubeya7817 Hivi upi ni ukatili sana kati ya Ulizwaji maswali na umbambikiziwaji bili ya maji zaidi ya milioni 1+ ??

    • @MbalaziTv4135
      @MbalaziTv4135 4 หลายเดือนก่อน

      We ni mwizi

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 4 หลายเดือนก่อน

      Uwaziri Mkuu ndiyo unamfaa