"HUTAKUJA KUSAHAU KWENYE MAISHA YAKO - UMEPATAJE UJASIRI wa KUSEMA AMENIDANGANYA?'' - RC MAKONDA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- "HUTAKUJA KUSAHAU KWENYE MAISHA YAKO - UMEPATAJE UJASIRI wa KUSEMA AMENIDANGANYA?'' - RC MAKONDA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Zawadi gani waungo tu
😂😂😂😂
Na anaye sema makonda anaonea na Kudhalilisha watumishi na aone kisha aseme. Mungu akulinde na na Muomba Allah s w akuhifadhi na akuongoze fanya kazi mama aliyokupa naamini mama pia anafahamu haya kwani wapo watu wazembe wenye kutetea uzembe unaofanyika kwa watumishi waserikali na kuifanya serikali yetu ionekane imeoza wewe safisha chapa kazi muwakilishe mama vyema na naomba pale watakapo kuita basi wakupiongeze kwa maana wajue kuwa unautofauti na sisi wananchi tupo pamoja nawe
Ila kwenye Cross examination Makonda uko vizuri sana. Very smart
😂😂😂😂 mwamba
Very smart
makonda anawabana wale wanao tapa tapa Kwa maswali makonda hapendi uongo kua mkweli sijafika nilifika kabla hayo sijafika yaani hapo ndo makonda anawazidi akili
Makonda mungu hakupe maisha marefu
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa RC.
Alllah akulinde makonda Kwa KAZI nzuri unaifanya yaan sina hata la kusema nazidi kukuombea dua 🇬🇷🇬🇷🇹🇿
Makonda sio wakudanganywa!! Asante Kwa Busara zako Kwa Injinia Mh, Makonda
Fanya kazi broo tunakutegemea kuwa Rai's wetu wa baadaye
Watu wanene wachunguzwe wanakula rushwa ukila kwa jasho huwez nenepa sana kidogo tu
😂😂mbona watu wanene😂😂
@@sophsoph4740 hahahaha si wanakula chochote kwasababu pesa hawajaitolea jasho
😅😂😂
Ubarikiwe MH, MAKONDA kwa kujali wanaichi.
Ahsante sana.
Makonda hupindishi.
Humo humo
alaf wanatokea watu wanasema makonda usitumie lugha kali… ebu wawe serious ase.. piga kazi makonda
Hao ni walewale wanaonenepesha matumbo yao kama nguruwe bila kujali hali mbaya za wananchi. Uzuri ni kwamba Makonda majungu na figisu zao anazijua na anawaweza pia...PIGA KAZI usikatishwe tamaa na Wapuuzi wachache tulio wengi tunathamini jitihada zako
Mungu akulinde Sana Makonda ❤️❤️❤️
Haki kakayangu makonda Mungu akufinike na damu ha yesu maana unawatetea wanyonge Sana
Mtihani
Ila kwakweli ndungu yangu makonda wewe umechaguliwa na mungu
Yaaan 👏👏👏👏👏👏MAKONDA NI KIONGOZI CHUMA YAAN MTU WA MAANA KABSA💪👊 PIGA KAZI NA MUNGU AKULINDE KTK JINA LA YESU🙏
Hawa jamaa zetu sa ingine ni janja sana, unaezakuta jamaa wa watu kachomewa utambi kumbe wanakata bomba makusudi😂😂😂
Hakuna mtu anakata bomba makusudi alafu maji hayatoki mwaka mzima wewe unakuja kutete ujinga hapa
@@wamburasungura6812 nimekaa na wamasai, ninawaelewa sana tabia zao. Kuna mambo inataka muda sana kuwapa elimu. Na hicho nolichoongea ni kwa mujibu wa uzoefu niliokaa nao. Kama huwaelewi njoo huku nilipo ujue vyema ukorofi wao
Which kind of education? No sense.
Kwisha habari yake😢😢😢😢 unabishana na Mwananchi
mwenyezi Mungu akuongoze vyema
Good
HIi Nchi inatakiwa kwenda namna hii kibabe kibabe
Asantee asanteh nani kasikia
Mkuu wa Mikoa yote tz
Hii nchi ina watumishi mizigo sana!!
Makonda nimekukubali una technical questions
Kufukuxa kaxi,hujui mateso ya wananchi.
Idara ya maji waizi mimi mwezi wa 3 sikutumia maji kabisa ila nimeletewa bili ya unit 9 natangia nifunge maji sikuwahi tumia zaidi ya until 2 ila kwa sasa nashangaa napewa bili hewa
Sijawahi juta kutumia bandle langu kukusikiliza Mh. Makonda. Kweli uko kazini
Hawa watendaji malofa kweli hutumia uwongo ili maisha yao yaende mbele na kula mishahara bureeeeee
Uyu jamaa engeneer ni mpigaji sana.....nakumbuka aweso alishamtumbuaga.....
nikimuangalia makonda namuona jpm kabisa
Kweli arusha mbovu. Sasa makonda acha awapige spana😅
Natamani kufanya kazi na makondaa
Kuanzia Leo nakuita profesa makonda.
Walijua magufuli amekufa, kumbefikira zake zinaishi mafisadi wote wapigwe hao mafisadi
Makonda atakuja kuuwa watu kwapleshaaa maana watu wanakua pesaaa za selikalo
Hao ndio Manyang'au Wataifa Letu Nawazembe kazi hao Alafu wanakuaga Majeuri hao ukiwakuta Ofisini Wachati alafu wewe unakua unamueleza Shida yako Alafu anakua anagunaguna tu jeuri kweli kweli hao watu
Wananch hawana masihara tunatoa kodi kila kona alafu mtu analeta mambo ya ajabu
Refa ana sema Gori linesmen ana sema kona! Hapo sijui itakuaje
Huyu mzee wa Maji alishatumbuliwaga sehemu flan iv na Mh Aweso.. Achape kaz aache kujieleza kwa uoga bn.
Akatulie tu nyumbani hajui lolote
Nyoka nao hao
Nasikiaraha kumsikiliza makonda
Makonda ataijenga Arusha mama ameleta mtu sahivi ataiweza Arusha
Arusha ongereni Sana mmepata mteetesi muombee ni Sana
Kamataaa
Tatizo mh makonda anamaswali magum mno,kujb viongozi wanamuogopa
Kuongoza wamasai ni kazi ngumu
Au wanaekana hawa tuu maka zini
Uwe raisi Kwa kweli unatodha mwaka 2030
MAKONDA UKIWA RAIS WAFANYAKAZI WATAOGOPA KUIBA KULA RUSWA ATA SENTI AMSINI APO NDIO RAZIMA UCHUMI NA MANDELEO YA TANZANIA YATAKUA SUPER MUNGU AKUBALIKI UWE RAIS WA TANZANIA MAKUFULI JUNIOR CHAPA KAZI
Bwanyenye kapatikana kwa mwamba Makonda
hee mimi mwanzoni walivyokua wanamtania kuwa hajasoma nikajua kwel kumbe hapana
.mwamba shule imo sio kubwa ila anaitumia vizur
Naomba nitajie hata watatu tu waliosoma wanaoitumia elimu Yao vzr mnaowaita wasomi ndio vilaza wa nchi hii na ndio waliotuhalibia nchi tetu
Baadhi ya viongozi kuweni na huruma na familia za wenzenu nyie mmkaa kungalia yenu tu so powa
Daah wafanya kazi kama hawa wanatakiwa kwanza kuwekwa ndani hata kwa miezi miwili kwanza afu kazi anapewa mwengine ndo watapata funzo
Hyo mita inaxoma maji hayajafk
Magufuli ametuachia jembe jembe kweli
uyu jamaa uraisi apewe tu
Bado nasema mnazaririshwa na matatizo ya watu kama yote
Hapo sasa
Wewe Huna matatizo?
@@peterhelpeterluena9191 watoto wamajipu
Mmungu wa mbinguni
Imagine una mazao halafu wanakuja kulishia, kweli washindwe kuchinja bomba wafate majibure na madumu!!! Wafanye utafiti kujua mabomba yanakatika vp.
Tanzania nchi yangu namisi home lakini nafurahi kumbe mungu katuinulia jembe makonda hapi silaa mungu aendelee kuwasimamia
Sasa huyu mbona anapumua sanna kwenye maiki hivi sijui uwoga au upigaji umezidi😂
Aisee unauliza maswali kwa ukatili sana aisee
@carolinerubeya7817 Hivi upi ni ukatili sana kati ya Ulizwaji maswali na umbambikiziwaji bili ya maji zaidi ya milioni 1+ ??
We ni mwizi
Uwaziri Mkuu ndiyo unamfaa