MAKONDA AWABANANISHA VIKALI WATENDAJI WA SERIKALI/HUYU MWANDIKIE BARUA AHAMISHWE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 63

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana makonda. Piga kazi usiogope mtu.

  • @MohsenAljahwary
    @MohsenAljahwary 4 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda Apewe zaidi ya mkoa mmoja hata Mitatu au Minne ili aweze kumaliza Dhuluma kwa Watanzania na ktk MIKOA ya kuongezewa Makonda Ukiwemo mkoa wa kwanza Morogoro ni Matatizo sana Haki za Wananchi zinabanwa ni ujanjaujanja tupu Viongozi waliopo ni shida tupu.

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna akina mma eanapiga vigelegele kwenye matukio ambayo hayaitaji vigelegele

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony5525 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda kichwa kweliiiiiiiiiii kweliiiiiiiiiiii

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 4 หลายเดือนก่อน +1

      Makonda anatakiwa kuwa waziri mkuu au rais kabisa

  • @maswimaswi-zo5cf
    @maswimaswi-zo5cf 4 หลายเดือนก่อน +1

    maswi joseph

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watumishi wa serikali Arusha wataacha kazi.makonda ukimaliza Arusha jiji njoo Meru D.C.

  • @edinamwafongo9130
    @edinamwafongo9130 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda Ongera sana,Kaka wewe ni mtetezi wa wanyonge kweli Mungu hakusimamie,natambua unatengeneza maadui wengi mungu awe pamoja nawe

  • @emanuelsamaytu9437
    @emanuelsamaytu9437 4 หลายเดือนก่อน

    Vzr san

  • @JeniphaAkimu
    @JeniphaAkimu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Vizuri havidum tumuombee tu

  • @gilberthanjovu6340
    @gilberthanjovu6340 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda awe mkuu wa mkoa wa nchi nzimaa azunguke mikoa yotee

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 4 หลายเดือนก่อน

    Dada wahovyoo sana sielewi hata maelezo yake

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 4 หลายเดือนก่อน

    Toa Hoja Kwa Mh. Acha kujipendekeza

  • @rehemaMkumbo-mf5gs
    @rehemaMkumbo-mf5gs 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo mama akalee watoto tu nyumbani hana anachojua hadi mimi nimeelewa kinachoendelea

  • @eliusandrew3762
    @eliusandrew3762 4 หลายเดือนก่อน +1

    Madam yupo vizuri

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 4 หลายเดือนก่อน +2

      Madam hajibu anachoulizwa anatoa maelezo tu. Jamaa anataka jibu la moja kwa moja hataki stori😂😂😂

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwansheria ana wenzie wengi tu vizara kama yy shida aliforce mambo ya open University hadi kutoboa

  • @deniskaguo4698
    @deniskaguo4698 4 หลายเดือนก่อน

    Timu yamakonda iko makini sn huyu jamaa angepewa hili taifa baada ya mama kumaliza miaka yake,, 5 tena kwa Samia wetu

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 4 หลายเดือนก่อน +1

    Anamchanganya

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 4 หลายเดือนก่อน

    Yaan watu tuna degree mtaan wengine wanalewa madaraka

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 4 หลายเดือนก่อน

    Hiyo sio kes tana ilisha kwisha jambo la msingi ikifika mwaka 2029 ndo muwalipe sawa

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 4 หลายเดือนก่อน

    Dada hadi aibu maana unacheza na moyo wako unavyosema sio sheria inasema nn

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 4 หลายเดือนก่อน

    Sio sasa Kipindi kile🤣🇰🇪

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 4 หลายเดือนก่อน

    Mbn kapanik? Kama sio mzulumaji?

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 4 หลายเดือนก่อน

    Katika watu wa hovyo huu unayemuimba

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise 4 หลายเดือนก่อน

    Mh kwani akihamishwa huko anapohamishiwa atoleta matatizo? Apa ndo shida ipo maana siyo wakuu wote wa mikoa watafanya hayo,

  • @thedon8467
    @thedon8467 4 หลายเดือนก่อน

    KILA SEHEMU KUNA MZOGA AU UVUNDO

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 4 หลายเดือนก่อน

    Haya ni maigizo hawawezi kulipwa ht mia.
    Na huyo dada anachanganywa tu na hawezi kuhamishwa.Tuko hapa hakuna malipo

    • @HellenSulle-m7t
      @HellenSulle-m7t 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani we ndo Tomaso usiye amini mpaka uone kwa macho haya ni kweli na halisi na wanasheria kama huyu mama ndo wale wanaosababisha yote haya

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 4 หลายเดือนก่อน

    Mama mama mamaaa. RAIS SAMIA MUONE HUYU MKOMBOZI WAWANYONGEE MUNGU AMBARIKI MH MAKONDA INSHA ALLAH ❤

    • @IsmailLoi
      @IsmailLoi 4 หลายเดือนก่อน

      Hongera mh ar DC Kuna wezi fuatilia vizuri hata huko maliasili olgilai Kuna mashamba wanakodisha serikali Haina taarifa kamili

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada huna kazi yani serikali ilipe pesa zote hizo wewe ukiwa madalakani sijui

  • @MurunguwetoshaDeheaven
    @MurunguwetoshaDeheaven 4 หลายเดือนก่อน

    Kudhalalishana huku

    • @marianmartin7483
      @marianmartin7483 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hujawahi kupata shida, tulia kama maji ya mtungini. Ukweli utakuweka huru, hilo ni jipu.

    • @NescharlesMalando-xm6lg
      @NescharlesMalando-xm6lg 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ww kama htaki kuhojiwa kalale!!jnga kbx

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe utakuwa fisadi, mwizi tu😂😂😂

    • @khaliduhadi2336
      @khaliduhadi2336 4 หลายเดือนก่อน

      Mwizi huyooo duh mijizi bwana ni shida sana

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 4 หลายเดือนก่อน

      Hayaja kukuta ndo maana

  • @robertmatabalo5454
    @robertmatabalo5454 4 หลายเดือนก่อน

    Kila mtu afanye kazi yake hakuna kudhalilishana hapa

    • @khaliduhadi2336
      @khaliduhadi2336 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nyinyi ndio walewale vilaza plus

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mm nafikiri kama mama rais wetu angetupatia wakuu wa mikoa kama hawa asingepata kazi ya kuendesha nchi yeye angeendelea kula mtoli hapo ikulu sasa kuna wengine hajielewi hawajitambui wanasababisha kunyima haki za watu kuharibu hela anazohangaikia mama yetu kuzitafuta huko nchi za nje

  • @mwalagokache375
    @mwalagokache375 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mwanasheria WA almashauri ni wale WA kuwekana MTOTO WA mjomba shangazi hakuna kitu tubataka uweledi sio kuwekana ndio zao lake

  • @MasawilaGoa
    @MasawilaGoa 4 หลายเดือนก่อน +4

    Bro upo vzr mungu akubark sna wanyooshe bro

  • @StevenAdamsongela-k4r
    @StevenAdamsongela-k4r 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda mtoto wa nyerere julias kambarage.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 หลายเดือนก่อน

    T M U
    Team Makonda Ukombozi, Mungu azidi kuwatangulia na kuwalinda.
    Zaburi 35 ikawatangulie, kwa jina kuu la Yesu Kristo, tuko nyuma yenu kwa maombi

  • @bihagazeayoub1197
    @bihagazeayoub1197 4 หลายเดือนก่อน +1

    It's a good way to earn an income through youtube Channel account because you reminded me of home in Kigoma, where palm oil is our Favorite when I was staying there now I'm in Kondoa Dodoma Tanzania very nice sister to make your channel reminiscent.

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda kwa kisukuma ni Malendi na sifa ya Malendi wasukuma wanajua ina mambo mengi sana ukitaka kula ni sawa ukitaka iwe sabuni ya kufulia na kulainisha nywele sawa kwa hiyo Paul Makonda nimwamba. tukubali tu na Halmashauri nyingi ziko chini ya usimamizi dhaifu mno lakini serikali haijui na uzuri asilimia 90 ya watanzania wote hatujui sheria na wale wanaojua sheria wanakauoga fulani kusimamia sheria wasichukiwe na jamii hapo ndiyo kazi ipo hapo na Malendi ndiyo watamchukia mno anapowabana watumishi wazembe.

  • @stephenkitururu5588
    @stephenkitururu5588 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi ipo hapo baba makoda mama anapata shida kujieleza na amesoma duuu!!!! Pole yake maana unamuuliza maswali marahisi sana ila kwake ni magumu sana yani

  • @maulidharuna183
    @maulidharuna183 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona kama nimemuona aliyekuwa mkuu wa mkoa tabora mzee wa soma hiyooo

  • @musaamos2431
    @musaamos2431 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyo mwanamke si wawalipe hao hela kwani anatoa mfukoni mwake

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kiongozi huyu hanakazindogowala kubwa anawezakuishi kwenyekundilanyangumi ausisimizi najamii hiyo maisha yakaenda bilashida.

  • @adammlonganile7921
    @adammlonganile7921 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona hamumpi nafasi mwanasheria wa halamashauri, huo ni upouzi

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 4 หลายเดือนก่อน

      Nafasi gani ambayo mahakama ilishamalizaa kutoa hukumu,kama angekuwa anataka nafasi angekuwa amekata rufaa kupinga hukumu y mahakama... Wewe unachuki zako binafsi

    • @stephenkitururu5588
      @stephenkitururu5588 3 หลายเดือนก่อน

      Apewe nafasi Gani ikiwa akipewa nafasi anashindwa kujieleza ,,, Tena anaulizwa maswali ya kiyoto tu ila hawezi kuyajibu anaanza kusimukia stori nyingi za Kona Kona

  • @deodathrobertquacker3879
    @deodathrobertquacker3879 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ujampa nafasi ya kumsikiliza

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda akaharibu akatiie hasara serekalin. Na si wanyonge hao

  • @Justinndalama01
    @Justinndalama01 4 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂 sijui kama ni maisha ya kweli ila kama nimaigizo?

  • @Mashakamohammedsaidi
    @Mashakamohammedsaidi 4 หลายเดือนก่อน

    Daa makondabolaungeletwa hapa kwetu tabora ukanyoosha mstar

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 4 หลายเดือนก่อน

    Acha ujinga