MAKONDA AWABANANISHA VIKALI WATENDAJI WA SERIKALI/HUYU MWANDIKIE BARUA AHAMISHWE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Safi sana makonda. Piga kazi usiogope mtu.
Makonda Apewe zaidi ya mkoa mmoja hata Mitatu au Minne ili aweze kumaliza Dhuluma kwa Watanzania na ktk MIKOA ya kuongezewa Makonda Ukiwemo mkoa wa kwanza Morogoro ni Matatizo sana Haki za Wananchi zinabanwa ni ujanjaujanja tupu Viongozi waliopo ni shida tupu.
Kuna akina mma eanapiga vigelegele kwenye matukio ambayo hayaitaji vigelegele
Wako na furaha
Icho kigelegele chenyew hatar 😂
Yaani huyo mama humwambii kitu tena ukimkosoa mh anaweza kukuua
Makonda kichwa kweliiiiiiiiiii kweliiiiiiiiiiii
Makonda anatakiwa kuwa waziri mkuu au rais kabisa
maswi joseph
Watumishi wa serikali Arusha wataacha kazi.makonda ukimaliza Arusha jiji njoo Meru D.C.
Makonda Ongera sana,Kaka wewe ni mtetezi wa wanyonge kweli Mungu hakusimamie,natambua unatengeneza maadui wengi mungu awe pamoja nawe
Vzr san
Vizuri havidum tumuombee tu
Makonda awe mkuu wa mkoa wa nchi nzimaa azunguke mikoa yotee
Dada wahovyoo sana sielewi hata maelezo yake
Toa Hoja Kwa Mh. Acha kujipendekeza
Huyo mama akalee watoto tu nyumbani hana anachojua hadi mimi nimeelewa kinachoendelea
Madam yupo vizuri
Madam hajibu anachoulizwa anatoa maelezo tu. Jamaa anataka jibu la moja kwa moja hataki stori😂😂😂
Huyu mwansheria ana wenzie wengi tu vizara kama yy shida aliforce mambo ya open University hadi kutoboa
Timu yamakonda iko makini sn huyu jamaa angepewa hili taifa baada ya mama kumaliza miaka yake,, 5 tena kwa Samia wetu
Anamchanganya
Yaan watu tuna degree mtaan wengine wanalewa madaraka
Hiyo sio kes tana ilisha kwisha jambo la msingi ikifika mwaka 2029 ndo muwalipe sawa
Dada hadi aibu maana unacheza na moyo wako unavyosema sio sheria inasema nn
Sio sasa Kipindi kile🤣🇰🇪
Mbn kapanik? Kama sio mzulumaji?
Katika watu wa hovyo huu unayemuimba
Mh kwani akihamishwa huko anapohamishiwa atoleta matatizo? Apa ndo shida ipo maana siyo wakuu wote wa mikoa watafanya hayo,
KILA SEHEMU KUNA MZOGA AU UVUNDO
Haya ni maigizo hawawezi kulipwa ht mia.
Na huyo dada anachanganywa tu na hawezi kuhamishwa.Tuko hapa hakuna malipo
Yaani we ndo Tomaso usiye amini mpaka uone kwa macho haya ni kweli na halisi na wanasheria kama huyu mama ndo wale wanaosababisha yote haya
Mama mama mamaaa. RAIS SAMIA MUONE HUYU MKOMBOZI WAWANYONGEE MUNGU AMBARIKI MH MAKONDA INSHA ALLAH ❤
Hongera mh ar DC Kuna wezi fuatilia vizuri hata huko maliasili olgilai Kuna mashamba wanakodisha serikali Haina taarifa kamili
Huyo dada huna kazi yani serikali ilipe pesa zote hizo wewe ukiwa madalakani sijui
Kudhalalishana huku
Hujawahi kupata shida, tulia kama maji ya mtungini. Ukweli utakuweka huru, hilo ni jipu.
Ww kama htaki kuhojiwa kalale!!jnga kbx
Wewe utakuwa fisadi, mwizi tu😂😂😂
Mwizi huyooo duh mijizi bwana ni shida sana
Hayaja kukuta ndo maana
Kila mtu afanye kazi yake hakuna kudhalilishana hapa
Nyinyi ndio walewale vilaza plus
Mm nafikiri kama mama rais wetu angetupatia wakuu wa mikoa kama hawa asingepata kazi ya kuendesha nchi yeye angeendelea kula mtoli hapo ikulu sasa kuna wengine hajielewi hawajitambui wanasababisha kunyima haki za watu kuharibu hela anazohangaikia mama yetu kuzitafuta huko nchi za nje
Huyu mwanasheria WA almashauri ni wale WA kuwekana MTOTO WA mjomba shangazi hakuna kitu tubataka uweledi sio kuwekana ndio zao lake
Bro upo vzr mungu akubark sna wanyooshe bro
Makonda mtoto wa nyerere julias kambarage.
T M U
Team Makonda Ukombozi, Mungu azidi kuwatangulia na kuwalinda.
Zaburi 35 ikawatangulie, kwa jina kuu la Yesu Kristo, tuko nyuma yenu kwa maombi
It's a good way to earn an income through youtube Channel account because you reminded me of home in Kigoma, where palm oil is our Favorite when I was staying there now I'm in Kondoa Dodoma Tanzania very nice sister to make your channel reminiscent.
Makonda kwa kisukuma ni Malendi na sifa ya Malendi wasukuma wanajua ina mambo mengi sana ukitaka kula ni sawa ukitaka iwe sabuni ya kufulia na kulainisha nywele sawa kwa hiyo Paul Makonda nimwamba. tukubali tu na Halmashauri nyingi ziko chini ya usimamizi dhaifu mno lakini serikali haijui na uzuri asilimia 90 ya watanzania wote hatujui sheria na wale wanaojua sheria wanakauoga fulani kusimamia sheria wasichukiwe na jamii hapo ndiyo kazi ipo hapo na Malendi ndiyo watamchukia mno anapowabana watumishi wazembe.
Kazi ipo hapo baba makoda mama anapata shida kujieleza na amesoma duuu!!!! Pole yake maana unamuuliza maswali marahisi sana ila kwake ni magumu sana yani
Mbona kama nimemuona aliyekuwa mkuu wa mkoa tabora mzee wa soma hiyooo
Sasa huyo mwanamke si wawalipe hao hela kwani anatoa mfukoni mwake
Kiongozi huyu hanakazindogowala kubwa anawezakuishi kwenyekundilanyangumi ausisimizi najamii hiyo maisha yakaenda bilashida.
Mbona hamumpi nafasi mwanasheria wa halamashauri, huo ni upouzi
Nafasi gani ambayo mahakama ilishamalizaa kutoa hukumu,kama angekuwa anataka nafasi angekuwa amekata rufaa kupinga hukumu y mahakama... Wewe unachuki zako binafsi
Apewe nafasi Gani ikiwa akipewa nafasi anashindwa kujieleza ,,, Tena anaulizwa maswali ya kiyoto tu ila hawezi kuyajibu anaanza kusimukia stori nyingi za Kona Kona
Ujampa nafasi ya kumsikiliza
Makonda akaharibu akatiie hasara serekalin. Na si wanyonge hao
😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂 sijui kama ni maisha ya kweli ila kama nimaigizo?
Daa makondabolaungeletwa hapa kwetu tabora ukanyoosha mstar
Acha ujinga