Mbinu tatu za kufuata ili kusoma somo lolote na kukumbuka ulichosoma - Mr Tukrim Ameir
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Katika video hii utaweza kujifunza kanuni tatu za kisaikolojia ambazo zitapelekea kusoma masomo yako kwa wepesi ili ufaulu vizuri masomo yako.
Kanunu zenyewe ni
Mindset
Motivation
Methods
MINDSET
Hii inaeleza kuwa ili mwnafunzi afanikiwe anatakiwa kuielekeza akili yake katika jambo analosoma ikiwa ni masomo ya shule au ujuzi wowote ule.
MOTIVATION
Kanuni hii inaeleza umuhimu wa hamasa katika kujenga akili ili mwanafunzi aweze kufanikiwa katika masomo yake. hamasa huwa zinatofautaiana baina ya watu kwa sababu inatokana na mambo ambayo kila mtu anayatamani.
METHODS
wanafunzi wengi huwa wanafeli mitihani yao kwa sababu hawaelewi njia sahihi za kusoma. kwa hivyo wanafunzi wanatakiwa kujifunza njia bora za kusoma masomo yao.
kwa kuzingatia kanuni hizi tatu wanafunzi wanaweza kusoma masomo yao kwa wepesi haijaalishi somo hilo litakuwa na ugumu gani kwao.
Nimeipenda hiyo mbinu ya mindset👍👍👍👍👍👍👍
Karibu kujifunza zaidi
@@tuki-kuzaakiliyako2381 Asante lakini naenda form one mwakani
Kaza buti Mdog Wang, Mungu atakusaidia
Wenye skill ya kuelewa wameelewa sema we gone wanawivu kisa wanamfaham. AI ubongo haukuwa tayari kuelewa Kama alivyosema
Inawezekana, tuendelee kujifunza.
Na mm nimwanafunzi wa kidato cha 4 naomba uniingize kwenye group nijiokeee
Endelea kufuatilia masomo yangu hapa
Brother Mimi nimwanafunzi wa kidato channe naomba uniuge kwenye group lakujisomea
Fuatilia mafunzo hapa utajifunza kila kitu
Brother Mimi ni mwanafunzi naomba kuni ingiza kwenye group ili uyumwaka Niko kwenye mtuyani wa exam grade 9 please my brother help me
Fuatilia mafunzo hapa utajifunza mambo muhimu sana
I like good information in TH-cam
Do you like it?
Kwanini na feli masomo ya sayansi
Endelea kufuatilia zaidi masomo
Jinsi ya kusoma
Endelea KUJIFUNZA zaidi hapa
Asantee
Karibu sana ndugu
Asante sana😭😭😭😭😭😭
KARIBU SANA
Asante San ni mbinu nzuri
Karibu SANA
Asante sana 🙏🏽🙏🏽Mungu akusaidie
Asante na wew pia
Tafuta kaz nyingne kwa ushaur Wang hauna kipawa cha kuelekeza au kuchambua kitu
Huenda siku moja nikaweza, Mungu ni mwema
@@tuki-kuzaakiliyako2381 kaka nimekuelewaa sanaa unawezaa
Asante sana