MWANZO MWISHO KUHUSU ISRAEL VS PALESTINA BILA KUCHAGUA UPANDE . (PART 8 & 9 )

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Ukifuatilia mgogoro wa Israel na Palestina ,’bezikale’ ni pande mbili za watu wanaogombani ardhi moja na kila mmoja akiamini yeye ndo mwenye haki.Kuna ambao wanaamini PRAY FOR PALESTINE na kuna wanaoamini ISrael ni taifa teule ya MUNGU kwahiyo wana haki.Na kuna ambao wanasikiliza FACTS wachague pa kukaa, alafu kuna sisi madini dotcom tunaokuletea katikati ya pande zote.Historia inasema nini? Na zaidi muktadha wake upoje kwasababu kuna mambo yalifanyika zamani,ukiyapima kwa muktadha wa sasa unaweza kujikuta umepoteza maana yote.So lets get in...Hii ni sehemu ya 3 ,usikose ijayo

ความคิดเห็น • 11

  • @izehezron
    @izehezron 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nimechelew kuskilz ledion ila sombay na enjoy uku TH-cam asanten sanaaaaa🔥🔥🔥

  • @youngcee3145
    @youngcee3145 10 หลายเดือนก่อน +1

    Muish wazeee appreciate Sanaa salute

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna mpinzani jamani

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 หลายเดือนก่อน

    👊👍✌️.

  • @richardkyalo443
    @richardkyalo443 6 หลายเดือนก่อน

    KWli kabixa

  • @wilhelminshauri7410
    @wilhelminshauri7410 10 หลายเดือนก่อน

    👊👊👊👊

  • @BalemesaValelian
    @BalemesaValelian 7 หลายเดือนก่อน

    Umedadavua vyema ad raha

  • @Shirimatunda
    @Shirimatunda 10 หลายเดือนก่อน

    my brother Gideon na timu yako muendelee kuishi kwa baraka

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 10 หลายเดือนก่อน

    Asanteni Sana madini dot