LIVE: MTOTO Amtafuta mama mzazi | Mjomba amueleza ukweli juu ya kifo cha mama yake..!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 พ.ค. 2021
  • #LEOTENA
    LIVE Kijana Anakutana na MAMA yake Mzazi | KITAMBO kirefu Rasmi Apatikana | LEO TENA
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 140

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 3 ปีที่แล้ว +19

    Cloud mimi ndio maana nawapenda sana mnafanya kazi kubwa sana ya kusaidia jamii.

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 3 ปีที่แล้ว +8

    Mimi nimelelewa na wazazi wote ila hili nimetoa macho Dr pole Sana kijana mwenzangu cloud #Mungu awe nanyi katika kazi yenu

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 3 ปีที่แล้ว +8

    CLOUDS Jumba la wabunifu,mnanikosha sana, NA HONGERENI SANA

  • @mariamthomas3902
    @mariamthomas3902 ปีที่แล้ว +6

    Yaan alipoanza kujitambulisha mjomba me uso wote umejawa machozi hata sijielewi barikiwa mjomba 😭😭😭😭

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว +4

    Yani ihii radio mungu awabariki sana tena sana maana mnasaidia sana sio kama radio nyingine kazi umbea tu utasikia za ndani apo anatetwa mtu

  • @jaycee9067
    @jaycee9067 3 ปีที่แล้ว +10

    Leo Tena best radio program in Tanzania. 🙌🏿

  • @godfreyjames8582
    @godfreyjames8582 3 ปีที่แล้ว +14

    NYIE CLOUDS Fm Mungu anawaona atawalipa tu,, atawaongezea mlipotoa kwa ajili ya watu Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie nami nimpate baba yangu mzazi natamani ajue kuwa nampenda hata kama hatujaonana miaka 29 mpaka leo

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 ปีที่แล้ว +4

    Hongereni Clouds Media kwa kazi mnayoifanya ya kukutanisha familia zilizopteana,

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 2 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akuwekee wajomba zako wakupende uwapende

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 ปีที่แล้ว +1

    pole sana kija mungu akutetee mjomba ni mama hivyo hongera sana mjomba kwa kumtafuta mtoto

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 ปีที่แล้ว +8

    Yani imeniuma kweli pole sana mdogo wangu

  • @yassintaibrahim24
    @yassintaibrahim24 2 ปีที่แล้ว

    Pole Saana Mwanangu M/MUNGU Awajalie Mshikamano Upendo Na Amani Wewe Na Wajomba Zako Na Ndugu Na Jamaa Zako Wote

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 ปีที่แล้ว +1

    Mjomba is very smart man,
    na kina temba wako Barabara mungu waongoze na mtoto wenu anatia huruma sana..kukosa mapenzi ya mama yake.pole kwa sote hata mie

  • @gracewambura8539
    @gracewambura8539 3 ปีที่แล้ว +3

    Clouds mwenyezi Mungu hazidi kuwabariki sanaaa ktk kipindi icho Cha kuwatafuta waliopoteana 🙏

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 3 ปีที่แล้ว +4

    Dahuu love you Yan unaongea na masikitiko mpka nimetoa machoz dr

  • @user-mc6um1it1r
    @user-mc6um1it1r ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki sana kwa kazi nzur san❤

  • @muddysasma3037
    @muddysasma3037 3 ปีที่แล้ว +4

    Dah clouds hongereni SANA. Mjomba ni mama

  • @diyaosman6268
    @diyaosman6268 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera clouds fm mungu awabariki sanaaa

  • @mwanamwantumazizi1869
    @mwanamwantumazizi1869 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani munafanya kazi nzuri sana naombeni nMimi minisaidie nimepoteana na familia yangu tunazaliwa tumbo moja tumepoteana kwa muda mrefusana

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 ปีที่แล้ว +6

    Hongera mjomba kwani duniya ilipo fikiya ni wachache wenye roho kama yakwako hongera da. Geya na timu mzima

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 8 หลายเดือนก่อน +3

    Wa mma wengine awanaga uchingu wa m tto mm pia mma yangu alinicha nikiwa na umli mdogoo waka tengan na bba yangu nikalelewa na bbi. Tokaspo mma alikua anaishi mkoani. Lindi mm nikiwa dar tokaaapo mma akunitafuta. Ilammi ndonilimtafuta. Ata mmi sinadana upendo na mma. Bba ndo. Namuerewa saana. 😢

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 หลายเดือนก่อน

      😢

    • @salumbakari
      @salumbakari หลายเดือนก่อน

      😊😊😊😊

  • @agyjackkalwela6377
    @agyjackkalwela6377 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole kwa kupokea taarifa ya kifo cha mama yako najua imekuumiza

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana mjomba angu

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 2 ปีที่แล้ว +7

    Wakina mama tusiwaache watoto wetu tukubali hata kufa nao

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 2 ปีที่แล้ว

    Mungu amlehem mjomba wangu

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 ปีที่แล้ว +1

    😭😭Dah tushikane na familya zetu hkn km Mam. Mama ndio kiungo cha familya

  • @juneydeatakujadaimondomar5549
    @juneydeatakujadaimondomar5549 2 ปีที่แล้ว

    Masha Alla mjomba

  • @roseamos9930
    @roseamos9930 2 ปีที่แล้ว +2

    Mjomba yupo vizuri sana 😍

  • @MADAMMACKTV
    @MADAMMACKTV 2 ปีที่แล้ว +1

    Duu inauma naimenigusa hatamm mwanangu yipo arusha baba yake atakinimuone nakudaii mm simpendii mwanangu inauma sana nanaumia sana polekijana baba zenu shida

  • @munirahassan5013
    @munirahassan5013 หลายเดือนก่อน

    Mjomba ukiona anakutafuta na mama hayupo. Jua ana upendo sana, wachaga oyeeeeee

  • @khadijatonge3636
    @khadijatonge3636 3 ปีที่แล้ว +5

    😢

  • @user-kb7co8xk4o
    @user-kb7co8xk4o หลายเดือนก่อน

    Pole sana aise inauma

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 ปีที่แล้ว +2

    it's very sad jamani .
    Yani hamu yote yakuonana na mama ndo imeishia hapo my heart is so broken haki💔💔

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction1622 3 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu mwema kwakweli dah

  • @nurubrown3154
    @nurubrown3154 3 ปีที่แล้ว +3

    so pain😢

  • @adidjakhalfani2661
    @adidjakhalfani2661 3 ปีที่แล้ว +2

    😥😥

  • @rukiashunda9364
    @rukiashunda9364 3 ปีที่แล้ว +2

    😥😥😥

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu ni mwaminifu jaman,kijana anaonekana amekomaa kwaakil hata hajalia ila huyo baba yake jaman mmh.
    Hongeren clouds.

    • @irenekilawe9476
      @irenekilawe9476 2 ปีที่แล้ว

      Mimi nimepotelewa na mjomba angu toka mwaka 1998 paka Sasa atujui aliko

  • @singleparent7483
    @singleparent7483 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah jamani tusiwatenge wtt na mzee mmoja shida ndo kama hii

  • @siwonikewilliam9146
    @siwonikewilliam9146 ปีที่แล้ว

    Pole sn

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii story imeniliza💔

  • @UpendoLukas-s1u
    @UpendoLukas-s1u 6 วันที่ผ่านมา

    Jamani nisaidieni nimpate babangu.

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 3 ปีที่แล้ว +4

    😭😭😭 inauma mno

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 ปีที่แล้ว

    😢😢🥰🥰🥰

  • @user-kb7co8xk4o
    @user-kb7co8xk4o หลายเดือนก่อน

    I see

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 2 ปีที่แล้ว +4

    Najikuta nalia

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 ปีที่แล้ว

    Kuzaa zaa ovyo ni shida jamanii hatari maskini na bara mikoa mikubwa tofauti na Zanzibar

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani leo tena mpo juu saanaa! Ila watu ni wengi wanatafutana ila mngefanya kwa muda mrefu naona muda ni mfupi sana please 🙏

  • @teklalumalanja1752
    @teklalumalanja1752 2 ปีที่แล้ว

    Tunaomba namba zenu studio

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 ปีที่แล้ว +2

    Mjomba amekamilika kisawasawa,ndo maan nawapenda wajomba zang hatr .

  • @realramjen3270
    @realramjen3270 3 ปีที่แล้ว +3

    Mjomba ni mama

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว +3

    wanaume na nyie mutumie uzazi wa mpango hivyo hivyo.

  • @preciousprince9159
    @preciousprince9159 ปีที่แล้ว

    Naombeni na mimi namba ya clouds

  • @preciousprince9159
    @preciousprince9159 ปีที่แล้ว

    Naomba namba za cloud maana nina uncle wangu hamjui baba yake

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 ปีที่แล้ว +1

    Dahaa miezi 3 hata kama nina shida kiasi gani siwezi muacha mwanangu

  • @mercynadia3140
    @mercynadia3140 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii story umeniuma sana mpaka nimelia,yaani unamtafuta mama unakuta ameshafariki jamaniii

    • @estherbakari9534
      @estherbakari9534 2 ปีที่แล้ว

      Pole Sana

    • @MaryJohn-hh2ku
      @MaryJohn-hh2ku ปีที่แล้ว

      Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini

    • @MaryJohn-hh2ku
      @MaryJohn-hh2ku ปีที่แล้ว

      Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini

  • @devothakawogo3460
    @devothakawogo3460 ปีที่แล้ว

    Jamani nisaidieni namba yenu tafadhari

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk ปีที่แล้ว

    Pôle sana ndugu yangu hiki kipindi kidumumilele

  • @samissa1755
    @samissa1755 3 ปีที่แล้ว +3

    Hatari san

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 ปีที่แล้ว

    Daa😭😭😭😭

  • @juneydeatakujadaimondomar5549
    @juneydeatakujadaimondomar5549 2 ปีที่แล้ว +2

    Mjomba mtu mzuri sana

    • @rehemaabdy2830
      @rehemaabdy2830 หลายเดือนก่อน

      Wachaga nawapenda sanaaaaa wanapendana mnoooo yaan atalelewa vizuri sanaaa

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 ปีที่แล้ว

    Daah

  • @lydiahbhoke2284
    @lydiahbhoke2284 ปีที่แล้ว

    Nitaishi na watoto wangu jamani sitaki ushauri Waje kunitafuta

  • @farhatomar78
    @farhatomar78 2 ปีที่แล้ว +5

    Mjomba hongera kwa kumfatilia mwanao na wote mlolifatilia hili jambo

  • @alfredinafelix836
    @alfredinafelix836 ปีที่แล้ว

    Basi tu ni utukutu wetu wanadamu kukiyuka tamaduni na mipango ya kuishi iliyowekwa na wazee wetu walio tutangulia kuishi…kila mipango yao waliipanga kwa maana flani na ilikuwa na maana…unapopata mpenzi au mchumba msiishi kinyemela hadi kuzaa pasipo kufaamiana ktk familia ndicho kilichomkuta huyu mtoto…wazazi wake walijifanya wanajua

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 หลายเดือนก่อน

    Matangazo mengiiii du😢

  • @merinajuma6948
    @merinajuma6948 3 ปีที่แล้ว +4

    😭😭😭😭😭sjui kwann nalia jmn

    • @user-br3sc8bm4t
      @user-br3sc8bm4t 2 ปีที่แล้ว

      Kiubinadam unaguswa na ttzo la mwenzio unajatibu kuvaa kiatu chake kinabana lzm chozi likutoke

    • @priscaalphonce1662
      @priscaalphonce1662 2 ปีที่แล้ว +1

      Dah Kama mimi nimelia Kama nimefiwa. sijui kwa kuwa mama yangu alifariki af nnavyotamani ningekua nae , continue rest in peace mama yangu. Upewe pumziko jema.

  • @JacklinDavid
    @JacklinDavid หลายเดือนก่อน

    Dah hii imeniuma 💔💔

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 ปีที่แล้ว +2

    Ila. Wanawake jmn muda mwingine tuache ushetani ivi unamuacha mtt miaezi mitatu ili iweje hs alafu ktt km akujui na kusaidi utasema mbayq

    • @user-br3sc8bm4t
      @user-br3sc8bm4t 2 ปีที่แล้ว

      Muombe mungu sana kama uko kwenye ndoa au mahusiano na ukapitia wakati mgumu ukiwa na mtoto mdogo ,wale wenzangu na mie huwezi kushangaa hili kikubwa dua yasijirudie

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 2 ปีที่แล้ว

      @@user-br3sc8bm4t aise akuna kipindi chochote ambacho uweze pt ujasir unaacha mtt wako kwann uko unapo kimbilia usiki mbie na mwanao

    • @estermahenge5972
      @estermahenge5972 ปีที่แล้ว

      Inaumiza kweli jamani bora ukimbie nae tu maana kumuacha Mtoto na usingizi unakua upati kbs😭😭

    • @Goldenbutterfly-hk1hp
      @Goldenbutterfly-hk1hp หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga ww atakama umepata shida vp usiache mtoto wako​@@user-br3sc8bm4t

  • @lucyigwathuigwathu8038
    @lucyigwathuigwathu8038 2 ปีที่แล้ว

    Mutoto. Ni. Mama.

  • @quentinsylvia3877
    @quentinsylvia3877 2 ปีที่แล้ว

    Huyo baba alienda nae arusini Kwa kaka yake pengine alikua mchepuko ndiyo maana kijana hajamtambua

  • @zulfashafeeq8437
    @zulfashafeeq8437 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunaombeni namba zunu

  • @isamony58
    @isamony58 ปีที่แล้ว

    mnabowa matangazo marefuuu

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 2 ปีที่แล้ว

    Masiki alafu anafanana namjomba yake

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 2 ปีที่แล้ว

    Wachaga hawaachagi watoto

  • @barakamelkzedecknkini4514
    @barakamelkzedecknkini4514 3 ปีที่แล้ว +5

    Mimi Kama mdau, nashauri Kama itawezekana jaribuni kufuatilia upatikanaji wa huduma ya DNA. kipengele Cha DNA test kwa case Kama hizi Ni muhimu. Inawezekana ni ghari Sana sijui inagharimu kiasi gani, au utaratibu wa kisheria unasemaje, Ila litazameni. Kama Maury Show.

    • @alicedavido1330
      @alicedavido1330 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwamba huamini au

    • @enockm6101
      @enockm6101 3 ปีที่แล้ว +1

      @@alicedavido1330 Mimi nimemwelewa sana @Baraka Nkini, ni sahihi kabisa maana inawezekana habari zinafanana ila watu ni tofauti. Kijana akajikuta kaingia kwenye familia ambayo siyo yake. Maana hapo ni vithibitsho vya midomo vimetumika na hamna hata sheria iliyotumika. Hebu fikiria hivi:- ikaja familia nyingine yenye story kama hii; Au mama mmoja kaibuka na kusema mimi sijafa na ndiye mama yako mzazi? mtamwamini yupi? ILa kazi waliyofanya siyo ndogo, kijana kama alikuwa anapoteza mwelekeo na kukata tamaa kashapata baadhi ya majibu aliyokuwa akijiuliza. Heko clouds

    • @jaycee9067
      @jaycee9067 3 ปีที่แล้ว +1

      Umewaza mbali. Nafikiri ni vizuri ingefanyika hivyo.

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 ปีที่แล้ว +1

      Hiyo DNA anapimwa na mjomba km kitu CHAKO na mtu kajieleza vya kutosha. Mbona inatosha mtu anapata history na a Namjuwa ndugu yake

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 ปีที่แล้ว

      Huyo kijana wakat amefika moshi alihangaika na akapelekwa baadhi ya nyumba. Na ikadhindikana lakini alivyokuja clouds. Amejieleza vya kutosha na mpk mjomba aliposkia na mjomba ameambiambiwa tuu na amejiaminisha na kufunga safar usiku huo huo ndio ujue damu nzito kuliko maji. Sasa tulidi hy kupima DNA anapimwa na nanii kwa mfano baba anae mama kafa au mjomba? Tufahamisheni wajinga tupate elimu

  • @portinagodson3836
    @portinagodson3836 3 ปีที่แล้ว +5

    MASIKINI KIJANA HAAMINI MPKA AONE KABURI LA MAMA YAKE JAMANI WAMAMA TUSIACHE WATOTO HATA IWEJE NIMEUMIA SANA😭😭😭

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 ปีที่แล้ว

      Yani nimeumia sana haki dah!

  • @rahelngulwa9632
    @rahelngulwa9632 2 ปีที่แล้ว

    L

  • @badrahassan7513
    @badrahassan7513 2 ปีที่แล้ว +1

    Namtafuta baba yangu ni f.f.u alikua anafanya kaz pale kituo kimoja kabla ya kufika gereza la ukonga ukitokea mjini anaitwa Charles 😭😭😭😭

  • @jenabmakobeh3694
    @jenabmakobeh3694 2 ปีที่แล้ว

    natamani kumtafuta babangu lkn naogopa cje akawa amekufa

    • @florakihwele9183
      @florakihwele9183 2 ปีที่แล้ว

      Mtafute tu ili ujue

    • @jenabmakobeh3694
      @jenabmakobeh3694 2 ปีที่แล้ว

      @@florakihwele9183 naogopa wachaga cjui naanzaje wacha nikae tu

    • @shamsamuhammad3677
      @shamsamuhammad3677 ปีที่แล้ว

      mutafute to usiogope labda yupo mm mwenyew nitamusak my dady wangu sijawaikumuon nikimuliza mama ananifokea siku nitatinga studio we acha

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 ปีที่แล้ว

      ​@@shamsamuhammad3677 nikupatie mfano mdogo tu .mimi nilipewa mimba bwana akasema kaitowe sitaki mtoto wa haramu na nina family yng. Wakati mwanzo hakusema haya. Mimi nikarudi kijijini nikazaa mtoto na aliponiambia nitowe mimba no yk nilifuta na tulikutana America. Mimi nikiwa mgeni si mwenyeji wa kule na niliporudi mpaka leo hii mtoto ananiona mimi napambana kwa ajili yake. Mfano sasa uwe wewe uniulize babayo hapo nitqkujibu nini? Maaana huwa nikimtizama mtoto ambaye alisema nimtowe waraah huwa simtamani kumuona na mpaka leo hii sijui kama yuhai au laah .ninachokijua mimi ni kutafuta maisha ili hata nikifa huyu mtoto nimuache kwenye kiota asiwe wa kuzunguka kwa ndugu

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 หลายเดือนก่อน

      Mjomba ni mama😢

  • @majukigagaboy7931
    @majukigagaboy7931 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwaupande Fulani mwamba anajitoa lakin Mama mjinga wa namna hyo siwezi kumtafta Mama wa mjinga alieniacha na miezi mitatu

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 ปีที่แล้ว +3

      nazi haishindani na jiwe .

    • @houseofbeatytv9682
      @houseofbeatytv9682 2 ปีที่แล้ว

      Usiseme ivo wew mshukuru tu mungu kama wazazi wako uponao

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 ปีที่แล้ว

      Anataka kumjuwa mama na ndugu zake wengine amefanya vizur

    • @lucymollel8212
      @lucymollel8212 2 ปีที่แล้ว

      Je kama huyo sio mjomba maana hii dunia ni tambala bovu wakapimwe DNA tu

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 ปีที่แล้ว

      @@lucymollel8212 wewe ndio unaona sio. Jomba subiria wewe yakikufika au kizaz CHAKO mtaenda kupima ujiridhishe maana nyie watu wa mtandaoni unapenda kuzungumza sasa watajuwa wenyewe sisi hayatuhusu km sio ama ndio

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana

    • @queenchalamila322
      @queenchalamila322 2 ปีที่แล้ว

      Jamani mungu awabarikisana nyie watu hata mm napenda kumjuwa baba angu aliniacha nikiwa na nyonya naitwa Nora ruwanda na baba yangu anaitwa hebethi ruwanda nampenda japo simunyui mnitafuti jamani

    • @omaryshabani3389
      @omaryshabani3389 ปีที่แล้ว

      mnabowa Sana tunamukumbuka mpaka marehemu ruge mtahaba

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 ปีที่แล้ว

      @@omaryshabani3389 wanaboa nn