SISI JESHI LA POLISI TUNATEGEMEA MSIKITI NI KIWANDA KINACHOTENENEZA WATU WEMA SP KAMANDA MTASHA DAR.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Maashaallah kwakweli Muislamu hafai kukamatwa na polisi hata kidogo labda iwe mtihani tu.
kwakwel {Hoja zake nimezielewa vizuri sana}
MashaAllah kumbe kuna afande wako na imani tupate wengi wa hivyo InshaAllah
Allahumma Aamin 🤲
Kamanda ameongea mazito
Mashallah elimu ha dini yke ipo
Allah Akbar
Vuta picha ndo mtume awe apo safi sana dini imekua
MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚
Kiukweli haya matamshi Ni matam Sana ya poliso huyu lkn vipi matendo?
Masha allah
Mashallah ❤🎉
Mashalaah
Tatizo kuwa police huona tu mtutu ndo unaotengeneza amani katika jamii hawajui kua amani ikitoeka haiwez rudi kwa kutumia mtutu bali inarud kwa ulimi ulio na maneno mazur inshallah serekali tujitambue tuishi na usawa kwa upendo kabsa
Mtume alifaulu kwa dola yenye madili na sheria za mola mlezi zilifanyiwa kazi ipasavyo ndio dunia ikawa salama kwakarne kadha ila sasa wanadamu wamempokonya allah mamlake yake wanatunga wao sheria wanapanga wao taratibu za maisha kinyume na alivyo panga allah ndio tumeiharibu amani na usalama wa ulimwengu mzima
Alhamdulilah mashallah.allah atujalie asikari mia kama huo huwenda mambo yadhulma kwenye polis yange pungua ,Allah akuhifadhi
Mashaallah
Msikiti sio kiwanda
bal jeshi latakiwa lifuate maadili
Uwemtenda haki kwenye jamii
Kwasababu unaijua nafasi yako .na nguobulio ivaa ndio inahitaji
Haiwezekani
imani na jeshi la polisi kua samba mba
Lakin kamanda vip zile pombe mbona Kuna halali na haramu na Quran inasema pombe zote haramu kueni makini usiufananishe uislamu na kazi Yako ya haramu ata sku moja apo sjapenda
afande hasimamiii kanuni za uhalalishaji au uharamishaji bunge ndo linahusika na huu mswada haina maana akiwa afande anaweza kufanya kila kitu ambacho kipo nje ya mamlaka yake
Ndugu yangu hapa tatizo sio dini nisheria zanchitu maana mfano hii nchi ingekua ni Dora ya kiisilamu basi pombe zote zingekua nikosa la kiimani sasa wao police kukubali baadhi ya pombe nakuzikataa baadhi wao hawanakosa bali wanatejekezatu majukumu na Sheria tukizojuwekea kama taifa nazani umeelewa
Kusoma dini kasoma ila dunia imemchukuwa
Ulimpa ajira?!
Mashallah Tabarakallaah kamanda yupo vizur
Msituchoche muislam safi awezi kuwa polisi au kiongozi wa kisiasa maana ww katiba yako ni quran na hadithi za mtume huo ni uswahili ambayo unafuata ktk iliyotungwa na wanadamu kupitia bunge
Basi waislam ata serikalin wasifanye kazi...mkishashiba kazi yenu kuponda watu elim hamuna
Ni kosa kumuambia wenzako sio muislam
Kiakili haupo sw itakua umechanganyikiwa
We msenge kweli mbona maka ka'aba inalindwa na ma askari.....au huko we unaonaga ni lindo la disco? Mnakuwaga na akili Gani za kifala hivyo? Mtume mwenyewe alikuwa na askari zake (maswahaba)
Kwa mtume alikuwa na dola yake unasemaje hatakiwi kuwa ktk hyo kazi?? Labda useme wawe waadilifu kuhusu serikali nchi yetu haiendeshwi na dola ya kiislam kwa hyo hatuna budi kufuata sababu ndo uongozi tulonao msisitizo ni uadilifu
Allah Akbar Mashallah❤❤
Camanda welcome to Zanzibar
Allah ajaalie misikiti yetu ituunganishe waislamu kama zama za mtume na karne mbili bora baada yke
Amiin
Amiin
Sawa police wangu
Allah akufazi mashallah
Maashaallah tabarakallah
Mashaallah huyu kamanda nmempenda sana sie ndo tunataka watu km hawa
Masha allah
Mashallah
😂Azhar sio Chuo cha Kiislam.
Angelisoma Asingechagua hii Kazi ya Upolisi.
Halafu hawa Maibadhwi ndio Watu wa mwanzo Kuanzsha fujo kwani wao ni makhawaariji.
Msikie Askar amesema Assultaan Al umaaniyy.😂😂😂😂
Hasa hapa ameongea nn.Huku kuaminishwa kubaya sana.
Dini ina Taaluma yake.
إن الصلاة تنهى عن الفحشاء والمنكر.
قبحك الله
Wacha uhasid ww hayo anayoyajuwa yy ww hulijuwi hata 1 muislam gani anakuwa mdhaifu hivyo
Kwani Makka hakuna maaskari.
Ama hao wa huko pia nao hawakusoma dini.
Kaka ukovizuri
Mashalah
Nikweli miskiti hufundisha maadili mema ila baada kutoka nje ya miskiti dola imedhamini maadili mabovu ndiokazi inanzia
Basi tuitunze amani kwakua sote tunaihitajia usivunje amani ya mwenzako huku una unatangaza amani amani
MashaAllah..Allah azid kumjaalia kheri na Barka InshaAllah
Huyo anaitwa Athumani Mtasha amesoma chuo cha Azhar misr amesoma uandishi wa habari hakusoma dini
Dini kasomea wap
Kwan kusoma Dini ni Vipi.
JE Haitoshi kusikiliza mambo ya Dini nawe ukaijua DINI?
Ama ulazima wa Kuitwa Msomi UWE na CHETI CHA CHUO
@@adamhashim3352huyo kasoma usifikiri afande mbugirambugira tu, asiyesoma hawezi kuzungumza km hivyo sawa
kwani dini lazima dini aisome misri
Watukanaji karibuni,
Wanatafuta bando kwanza
Laanatu Allah nyie waje watukane kwa lipi?
Ujinga
Hujaitwa
Pole ilaumefata nini kama ww upende wa kushoto