😢😢leo ndio nimejua hii history subhaanallah 😭..aise makafiri wanafnyg juu chini kuhakikish usilam uzim .. Yaa rabbi tujaalie tuwe waislam Tabiti na tufishe tukiwa waislam 🤲
Nyerere katuharibu kisaikolojia maana hata mashuleni hatukufundishwa ukweli huu tulipewa historia ya uwongo na hadi leo hatujui ukweli kuhusu tanganyika ni aibu tupu nchi gani wanadharau true history yaani ni kweli kabisa ukweli maisha utanyooka tu.
Hii ni historia tu, tunaipokea kama gumzo tu. Haina maana sana, tujikite na Maendeleo na kuimarisha imani zetu. Walipita Waarabu wakafanya yao, waremo wakafanya yao, wazungu hali kadhalika. Na sasa tupo Sisi tunafanya yetu, watakuja na wengine. Ni kawaida sana
😢😢leo ndio nimejua hii history subhaanallah 😭..aise makafiri wanafnyg juu chini kuhakikish usilam uzim .. Yaa rabbi tujaalie tuwe waislam Tabiti na tufishe tukiwa waislam 🤲
Shukran shekh kwa elim nzur
Ndo maana somo la historia hapa Tz nilikuwa silipendi kwa uongo wa wazungu wakoloni.
ALLAH AKBAR ! KIWANYA CHAKE.MALI YAKE..WAKAHAMISHE KWA KUTAKA DUNIA! MASHA ALLAH
Ni vizuri utuomyeshe kitabu Cha historian, kilichoelezea hayo,
Hao ndo makarifi Wazungu Wajeruman
yupo mwanaharakatinmmoja wa dini isi9julikana. akiijiita shekh ELIYAS.
Leo watu wanawatukana Warabu na kuwasema wameleta Utumwa Uingo Mtupu Historia Sahihi haizungumguzwi
Nyerere katuharibu kisaikolojia maana hata mashuleni hatukufundishwa ukweli huu tulipewa historia ya uwongo na hadi leo hatujui ukweli kuhusu tanganyika ni aibu tupu nchi gani wanadharau true history yaani ni kweli kabisa ukweli maisha utanyooka tu.
Hii ni historia tu, tunaipokea kama gumzo tu. Haina maana sana, tujikite na Maendeleo na kuimarisha imani zetu. Walipita Waarabu wakafanya yao, waremo wakafanya yao, wazungu hali kadhalika. Na sasa tupo Sisi tunafanya yetu, watakuja na wengine. Ni kawaida sana
WALLAHU inaumasana hiz historia. halafu serekalizetu bado zinawakumbatia kwa mahabakabisa bila hata angalau kwa unafiQ😢
Wakoloni adui tangia zamani.
Ni vizuri kujua Historia lakini leo hii tufikirie kuendeleza Tanzania yetu isiyokuwa na dini
Tusikae kimya makafiri watupe majengo yetu
ALLAH AQBAR ifikie mahala sasa WAISLAM KTK HISTORIA KATIKA MADRASA ZETU TUPATE HII ELIMU WA maana kunakizazi kikiondoka hatutayajua haya
Ikulu ya Dar es Salaam iliyojengwa na wajerumani imekuwa kituo cha dini.
Pale unapomaliza daraja la Tanzanite upande wa Oysterbay baharini kuna inland ndogo inasemekana ni kaburi la mtu maarufu. Mwenye kujua atujuze
Kama Kibra ni Kaskazini ukiwa hapa Tanzania, yapo makanisa mengi tu yamejengwa kuelekea Kibra.
Sheikh bora uendelee kunywa kahawa,K-vant hazikupendezi
Eee apo shekh umeenda ndivyo sivyo ktk kabari la sharifu mh