Shekhe upo vizuri ila sio sana Bado unahitajika kujifunza zaidi elimu ya biblia haipo kirahisi hivyo wasabato kamwe hawajawahi kuwa waprotestant. Hawajawahi kuwa wakatoliki soma kitabu Cha ufunuo na danieli
Amesema anayetaka kuweka mjadala nae amfuate sasa longolongo za nn mara tapeli mara miongo weka makala nae uone kama hujakimbia mwenyewe tusomen tuacheni ubishi
Ndg yang huyo ipm ukristo kaingia jana tu sisi tushaanxa kuhubir neno la mungu ndacha kazaliwa kwenye ukristo na kasoma lkn kwa dk sulle kagonga mwamba atakua huyo ipm
Kwan shekh anaongea kuhusu nin , Kwan yesu alikuja na dini Gani, yaan alitaja dini ipi ndio sahihi??? Kwa nin shekh asihimize katika Imani na kuaminisha waislam katika njia ya mtume Muhammad,, na kazi ya pastor iwe kuhimiza njia ya kristo yesu( mpakwa mafuta
Kaka Sule usimkere IPM kwani atawaleta wengi kwenye Uislamu, anaitagaza QURAAN na kumsifu MTUME MOHAMAD hili wewe na udokta wako hujaweza kufanya kwahivyo tulia,njoo Masjid utufundise mambo mengi hatujasikia na hatujui. Wacha kujigamba huko n'nje. ILMU BAHAR
Dr sule Asante ni mekuskiya na ninaelewa sasa japokuwa Mimi siyo meislamu nivixuri kuskiya pande zote 2 nilipomsilikiza ipm nilikuwa na maamuzi mengine saa hii na namaliza kuskiya ufafanuzi wako nimepata faida
Alie andika jitieni Nila yangu ni yohana yohana kasema YESU alisurubiwa kipofu akimuongoza mwingine watapotea haya Muhammad hajui atakalofanywa walawafuasi wake
Ushindani tu Someni kitabu chenu vizur mtaangamia kwa ujinga Mtu katahiriwa na bado awe mwana wa Mungu au awe Mungu hata akili ya kuzaliwa pia hamtumii
@@huseniyahya9121 wewe biblia huijui unasubiri wakina sule wakusomee ndio ukatafute palipo andikwa Jiyieni Nila yangu jifunzeni kwangu haya tupe mafundisho ya YESU kwenye uislam tupe mafundisho nje ya Muhammad kwenye uislam
Yesu kuukausha mti, haimanishi hakujua msimu wake. Alijua sana tu, Ila alikua anatoa fundisho kwa wanafunzi wake. Pia hakuna hekalu limejengwa na majini kitabu cha nyakat hakuna majin yaliotajwa wala historia yake haisemi majin yamejenga hekalu
Soma Maadiko 📖 yote kama wewe ni Mkweli Yohana 3:36 Asiye Mwamini Mwana wa MUNGU hana Uzima wa Milele..... Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu Aliupenda Ulimwengu hata Akamtoa Mwanawe wa pekee (Yesu kristo) ili kila Amwaminiye Asipote bali awe na Uzima wa Milele.
@@rahema1992 Baki hapo tu ukisena Mungu hazai Kwa maana Unafananisha Mungu na Mwanadamu, Mungu Anaza Kwa NENO 📖 Ukimwamini Mwana wa MUNGU (YESU) Tu Umezaliwa Upya.
Nawe ujiulize kwanza maisha ya Yesu yako wapi ndanj ya quran? Ila Bibilia imesema. Na mbona ukubwa Kurani ni Robo ya Bibilia nzima? Kipi mmeandika kuhusu maisha ya mitume waliopita?. Toa boriti ndipo utoe kibanzi.. Ukweli ni huu..Kwa taarifa yako, Mungu wa quran sio Mungu wa Bibilia. Vivohivyo isa wa quran sio Yesu wa bibilia. Kwa habari ya miaka 29 ya Yesu.. Bibilia inasema... Yohana 20:30-31 Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki. Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake. John 21:25 Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
Quran imekuja miaka 700 AD. Imekubaliana na Bibilia na mikutano ya kanisa ilioandikwa miaka 300s AD. Kwamba ni kitabu cha Mungu kwa wakristo. Yeye porojo zake anatolea wapi? Kitu pekee qurani inasisitiza kukataa ni kua Utatu mtakatifu wenye kumjumuisha Baba, Yesu na Bikira Maria. Na ndio aina ya utatu ambao wakristo wa konstatino hawaufahamu hadi hii leo. Bibilia inataja utatu wa Baba, Mwana na Roho mtakatifu, Unataka majibu gani tena, kama sio common sense?Tafakari.
Angejibu ayo maswali ya yesu kama kweli anajua. Hajui ndo maana hakujibu. Nyinyi ni waafrika rudini kwa mababu zenu acheni kupigania dini za warabu na wazungu.
Inawezekana shekhe haujasoma vitabu vizuri au unajisahaulisha tu bt jiulize uislamu ulianza lini?ni baada Yesu kufa na miaka mingi kupita ndio kur an ikashushwa kupitia mtume thn ukumbuke ukristo ulianza baada ya Yesu tena ni wanafunzi wa Yesu ndio walioutangaza ndio maana tunaitwa wakristo means wafuasi wa Kristo ambae ni Yesu..
Wkt yesu yupo duniani uislam haukuwepo na kilaza muddy ambaye ndo mwanzilishi na mmiliki wa dini ya kiislam hakiwepo, ukielewa hili tu huwez kubishana na vilaza waislam
Dr Sure Nimekusikia Ukinukuu Andiko Linalosema Kwamba Yesu Wakati Anaomba Alilia Machozi Na Akasikilizwa, Swali Kwako, Wanaosali Huku Wanalia Kama Yesu Ni Wakristo Au Waislam?
@@denisharris2889someni biblia nyie biblia sio kitabu cha mungu ni mkusanyiko wa vitabu walio kusanya Paulo na wenzie yesu alikuwa ni Israel ndio mnatakiwa kwenda Israel mtafute vitabu alivyoacha yesu kama nyinyi wasema kweli
Yaaani hata kama unaongozwa na dola ya kiisilamu ndio uchinjwe? Mungu gani anaruhusu mtu kumuua mtu mwingine kisa karitadi? Ni wakristo wangapi wameuwa na waisilamu huko uarabuni na kwingineko kote kwa sababu wao ni wakristo? Dini gani inaadhabu za kidikteta? Bibilia inasema Mungu ndio huua na kuweka hai kwanini umuue mwenzako kwasababu ya dini? Kwahiyo dola zao watu wakiritadi wanakatwa shingo" je hao waisilamu hawatembei katika dola za wakristo na huko hawana msikitini yao huko waonakatwa vichwa na nani kwa sababu ya kueneza uislamu wao?
Imeandikwa msifanye jambo lolote kwa mashindanilo. Ndomana huwez kuona mkristo anayeingozwa na Roho kwenda kushindana. Kwasababu neno lilikuja kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na Roho Mtakatifu hawez kujipinga. Jambo lolote lenye mashindano lina hasara nyingi kuliko kuujenga ufalme wa Mungu. Yesu hakufanya jambo lolote pasipokuongozwa na Roho. Tukimfata Yesu lazima tuzungatie hilo neno. Hivyo anayosema Shegh ni sahihi kwa mtazamo wa kibinadamu lakini Bwana wetu Yesu akristo hakutuambia tufate ya Dunia bali tumfate Yesu kama Yesu alivyomfata Baba. Baada ya Yesu kuondoka alimuomba Baba atuagizie Roho Mtakatifu ambaye atatuongoza mpaka mwisho. Roho ni neno Roho hawezi jipinga. Ndomana huwez kukuta Mkristo anayeingozwa na Roho kwenye mashindano ya Biblia mdaharo n.k vilishapingwa ktk maandiko Matakatifu.
Huyu hana point anaoneka ana point kwa kuwa upande wa Mkristo hakuna anaeuliza maswali nyeti mfano 1Kama unaotambua Biblia basi Yohan 14:6 n.k, Yesu ndie njia kweli na uzima mtu haji kwa baba ila....
Ivi usinge kuwepo dr sule ii elimu tungeipata kwa nani hakika unafundisha haswa asiye elewa huyo ni mshabiki ktk dini naludia huyo ni mshabiki wa dini hataki kujua ukweli yeye anashabikia tu,
Maasha Allh❤shekhe sule Allah akuhifadhi
Maashallah❤ sheikh wetu tumejifunza mengivnakufaidika alieskia kaskia ALLAHakulipe kila lakheiri pia akuhifadhi na sote tunae kufata amiin yarraby
Uislamu ndio maaana unapigwa vita maaana umeenyooka hautaki ushenz
Acha roho ya udini fahamu kweli ikuweke huru
Allah akulinde kwa kila kitu. Akupe umli mrefu uzid kutupa Iman wallah your professional wa kiislam❤
😂😂😂 siku izi allah anatoa umri wa kuishi😂😂 n'a uyo allah uo umri anautoa wapi ili akupe wewe uishi miaka mingi
Siyo ilo lipete lake😅😅😅😅
Shukran sana shekhe wetu Allah akuzidishie yalo mema ishaallah ❤❤❤❤❤
Dr sule mungu akuweke waislam nanavimba sana na wewe
Dr Suleiman kazi yake ni kuongoza watu kwa dini ya kweli nasio mambo na ubishi.
Shekhe wangu nakupenda sana kwa ajili ya Allah sulle Doctor sulle Allah akupe umlimlefu sana Shekhe
Shekhe upo vizuri ila sio sana Bado unahitajika kujifunza zaidi elimu ya biblia haipo kirahisi hivyo wasabato kamwe hawajawahi kuwa waprotestant. Hawajawahi kuwa wakatoliki soma kitabu Cha ufunuo na danieli
Doctor Sule Leo nime kusikia.Hulicho hongea mengi ni kweli.
Namuona Mchungaji ajae 😂 BWANA YESU ASIFIWE 🙏
Mungu akujalie nawew uje kuwa mnyeyekevu wa moyo kama yesu
Unajua kweli Dr Sule ❤, Allah (s.w) Akuhifadhi iko siku Watakuelewa, MAKAFIRI.
Safi sana mm mkiristu lkn nimekuelewa sana
Hongera sana ndugu
Umeelewa nn?
YESU ALISEMA hivi ÷÷ ASIYE NA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUTUPA JIWE÷÷
Unadhani Yesu alimaanisha nini???
@@danielmatemu9698
Ko yy alikuwa ana dhambi ndio maan hakumgusa
Au sheria alishusha akijua nani anaefaaa kuitekeleza?
Tunakukaribisha ktk uwislamu😊
Hakuna Mkristo Duniani Anayejifunza Biblia Kwa Mwislam
Masha allah docta sule
Maashaa Allah..
Dr. Sule tumejifunza mengi kwako ..
Docter Sule namuomba Allah akuifazi
Allaah akuongoze Allaah akupe amaani akupe umrimrefu wenyekheri
The doctor.. the best of all... Proffer Suleiman
Mashaallah mungu azid kkuweka sanaaa
Mashaallsh mungu akuweke sheh
Allah akuhifadh na akupe umri mrefu .ameen !
❤❤ mashallah mashallah ❤alhamdull lah mafunzomazuli Allah akulinde insha'Allah
ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEKH
Sheikh mungu akusimamie
Asante kwa kutuelimisha
Dr. Sule yupo vizuri amenyooka kujibu maswali, Allah amlipe
Wewe nawe huyu ana maswali gani sasa hapa aje nimponde nondo hapa mtu mwenyewe huyu anauyeuliza maswali anakuna kichwa
Mashallah doctor unaeleza kwa utaratibu hakika tunakuelewa sana Allah akulinde inshallah
Amesema anayetaka kuweka mjadala nae amfuate sasa longolongo za nn mara tapeli mara miongo weka makala nae uone kama hujakimbia mwenyewe tusomen tuacheni ubishi
Ndg yang huyo ipm ukristo kaingia jana tu sisi tushaanxa kuhubir neno la mungu ndacha kazaliwa kwenye ukristo na kasoma lkn kwa dk sulle kagonga mwamba atakua huyo ipm
Mbioo nyingi Sanaa 😂😂😂😂
Inakua ni mara chache sana kupata vitu adimu kama hivi ndani ya muongo mmoja allah tutunzie shekhe wetu wapo wachache sana !!
Kwan shekh anaongea kuhusu nin , Kwan yesu alikuja na dini Gani, yaan alitaja dini ipi ndio sahihi??? Kwa nin shekh asihimize katika Imani na kuaminisha waislam katika njia ya mtume Muhammad,, na kazi ya pastor iwe kuhimiza njia ya kristo yesu( mpakwa mafuta
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa na uufaeee uislam.jazaakallah kheir
Takbiiiir... Allahu akbar mashekh wamesoma bwana
Maashallah mungu akulinde dhidi ya fitna za makafir
Mashallah sure ni mwarimu kbx
MUNGU AWAUONGOZE MANDUGU WAKRISTO WAJUWE DINI YA HAKI NA UKWELI INSHALLAH
Haki kuua?😅 fungua macho
Allah awalinde masheikh wote awape afya NGUVU insha'Allah panapo majaliwa yake MOLA kujeni Kenya, kilifi inapatikana eneo la mkoa wa pwani
DR SULLE inabidi akutanishwe na OMARY MNYESHANI. Ndio level yake kwa elimu za dini hizi mbili.
Kweli uongo wawakristo sasa umefika mwisho
Allah akulipe yaliomema shekh wangu
Kaka Sule usimkere IPM kwani atawaleta wengi kwenye Uislamu, anaitagaza QURAAN na kumsifu MTUME MOHAMAD hili wewe na udokta wako hujaweza kufanya kwahivyo tulia,njoo Masjid utufundise mambo mengi hatujasikia na hatujui. Wacha kujigamba huko n'nje. ILMU BAHAR
Mungu akujalie umr mrefu inshaallah
Nakubal shekhe
JAZAKALLAH khaira
Dr sule Asante ni mekuskiya na ninaelewa sasa japokuwa Mimi siyo meislamu nivixuri kuskiya pande zote 2 nilipomsilikiza ipm nilikuwa na maamuzi mengine saa hii na namaliza kuskiya ufafanuzi wako nimepata faida
Alie andika jitieni Nila yangu ni yohana yohana kasema YESU alisurubiwa kipofu akimuongoza mwingine watapotea haya Muhammad hajui atakalofanywa walawafuasi wake
Ushindani tu Someni kitabu chenu vizur mtaangamia kwa ujinga
Mtu katahiriwa na bado awe mwana wa Mungu au awe Mungu hata akili ya kuzaliwa pia hamtumii
Mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah
mashaa 🎉🎉🎉🎉🎉
Shekh sule uko vizur
Tatizo mna somewa kutoa sadaka 2 bible niyenu lkn hamyasomi na hamuulizi maswali wachungaji wenu ndo maana hamuelewi 4:23
@@huseniyahya9121 wewe biblia huijui unasubiri wakina sule wakusomee ndio ukatafute palipo andikwa Jiyieni Nila yangu jifunzeni kwangu haya tupe mafundisho ya YESU kwenye uislam tupe mafundisho nje ya Muhammad kwenye uislam
YOHANA kasema ktk aya gan?,tujulishe tuelimike.
Hata sisi hatujawa Wakristo by chance but tumekua Wakristo by Choice
JazakaLLAHU HAIRA
Yan nipo na note ayo maandiko maana kuna group zang za uislam na ukristo so napelek moto😂😂
😂😂😂😂😂
Kaka naomba uniunge kwenye Hilo group
Naomba uniunge kwenye group
😂😂😂
Unashambulia kwa kasi? 😅😅😅
DR SULE U'R IN A MILLION MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU UWAPE ULEMI YA HAKI NA UKWELI
Yesu kuukausha mti, haimanishi hakujua msimu wake. Alijua sana tu, Ila alikua anatoa fundisho kwa wanafunzi wake.
Pia hakuna hekalu limejengwa na majini kitabu cha nyakat hakuna majin yaliotajwa wala historia yake haisemi majin yamejenga hekalu
Mathayo 15:13.
Kila mtu ana haki ya kusikilizwa 😅. Hii nchi ya katiba na sheria.
Mimi naomba mjadala na Shekhe Dr. Dule.
Hata mimi nataka mjadala na huyu jamaa tena nataka sana nasisitiza nataka sana
Soma Maadiko 📖 yote kama wewe ni Mkweli
Yohana 3:36
Asiye Mwamini Mwana wa MUNGU hana Uzima wa Milele.....
Yohana 3:16
Kwa maana jinsi hii Mungu Aliupenda Ulimwengu hata Akamtoa Mwanawe wa pekee (Yesu kristo) ili kila Amwaminiye Asipote bali awe na Uzima wa Milele.
Sisi waislam tunamuamini, Alhamdulillah hatutapotea. Lkn wao wanaomzidishia sifa za uungu ndio waliopotea
@@pilotclassic4468 wafilipi 2:5-8 📖
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hafanani na kitu chochote uctupatishe madhambi hapa
@@rahema1992 Baki hapo tu ukisena Mungu hazai Kwa maana Unafananisha Mungu na Mwanadamu, Mungu Anaza Kwa NENO 📖 Ukimwamini Mwana wa MUNGU (YESU) Tu Umezaliwa Upya.
Bora wewe umekiribkuwa Yesi ni mwana wa mungu
MWENYE MASIKIO AMESIKIA inatosha sheikh mungu akulipe kwa hii elimu unayotupatia,
Mashallah elimu kubwa hii allah atudumishe kwenye dini ya haki
Mollah wetu akupe umri mlefu xhekh wetu, sulle,,
Mdgo mdgo watakubali tuu kwa uwezo wa Allah kupitia kwa mtume wetu Muhammed S W
Allah akupe nguvu na unti mrefu
Allah Akbar alhamdulillah kwakunifany muislam ya Rabby
Kwenda zako Sule mchawi una Pete za majini uislamu wenyewe uchawi tu ‼️😃😃😃
Jibu hoja
Umelaaniwa wewe kama wewe sio mwanga umejuaje sheikh ni mchawi
Uzuri n kua hilo jambo la kua Waislam n wachawi ameshalijibu,,
Hawasomi mm nashaur anaempinga Sulley aombe mechi tu.
Nyie wa kristo acheni ubishi semeni myaka 29 yesu alikuwa wapi ao alikuwa anafanya nini toweni majibu
Nawe ujiulize kwanza maisha ya Yesu yako wapi ndanj ya quran? Ila Bibilia imesema. Na mbona ukubwa Kurani ni Robo ya Bibilia nzima? Kipi mmeandika kuhusu maisha ya mitume waliopita?. Toa boriti ndipo utoe kibanzi..
Ukweli ni huu..Kwa taarifa yako, Mungu wa quran sio Mungu wa Bibilia. Vivohivyo isa wa quran sio Yesu wa bibilia.
Kwa habari ya miaka 29 ya Yesu.. Bibilia inasema...
Yohana 20:30-31
Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki.
Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake.
John 21:25
Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
Watoe majibu😅
Quran imekuja miaka 700 AD. Imekubaliana na Bibilia na mikutano ya kanisa ilioandikwa miaka 300s AD. Kwamba ni kitabu cha Mungu kwa wakristo. Yeye porojo zake anatolea wapi? Kitu pekee qurani inasisitiza kukataa ni kua Utatu mtakatifu wenye kumjumuisha Baba, Yesu na Bikira Maria. Na ndio aina ya utatu ambao wakristo wa konstatino hawaufahamu hadi hii leo. Bibilia inataja utatu wa Baba, Mwana na Roho mtakatifu, Unataka majibu gani tena, kama sio common sense?Tafakari.
Hujajibu swali@@denisharris2889
Angejibu ayo maswali ya yesu kama kweli anajua. Hajui ndo maana hakujibu.
Nyinyi ni waafrika rudini kwa mababu zenu acheni kupigania dini za warabu na wazungu.
Fact
Allah akulipe she he wetu tunajifunza mengi ishaallah
Huyu sule ni muhuni tu sio shehe
IPM nimuongo hajasoma uislam.Dunia nzima hakuna musomi wa Kiislam aliebadili Dini akawa Mkristo.
Hapa safi sana Dr. Sule
Mashaalaaa
Mashaallah
2:53 anaehoji alisikia joto akafungua zipu
😂😂😂akili huna😂😂
Tunajivunia waisla kuwa na doctor sulle mazinge na kishk na wengine mungu awape umli mlefu wa kusambaza dini akuna anae waweza allha atuongoe wote
Kwani doctor sulle katoka wapi? He is giant!
Nime kuerewa sana mkuu wangu
❤ 18:39 18:41 18:41
Inawezekana shekhe haujasoma vitabu vizuri au unajisahaulisha tu bt jiulize uislamu ulianza lini?ni baada Yesu kufa na miaka mingi kupita ndio kur an ikashushwa kupitia mtume thn ukumbuke ukristo ulianza baada ya Yesu tena ni wanafunzi wa Yesu ndio walioutangaza ndio maana tunaitwa wakristo means wafuasi wa Kristo ambae ni Yesu..
Takbir
Nikweli
masha allah
Wkt yesu yupo duniani uislam haukuwepo na kilaza muddy ambaye ndo mwanzilishi na mmiliki wa dini ya kiislam hakiwepo, ukielewa hili tu huwez kubishana na vilaza waislam
We ni mbishi tu😅😂
Dr Sure Nimekusikia Ukinukuu Andiko Linalosema Kwamba Yesu Wakati Anaomba Alilia Machozi Na Akasikilizwa, Swali Kwako, Wanaosali Huku Wanalia Kama Yesu Ni Wakristo Au Waislam?
Ajikwezae hushushwa
Mashallah Dk wape ukweli ao wabishi
Yesu ariwambia wanafunzi wake wasitoke Yerusarem mpaka hatakapowajiria Roho Mtakatifu na Roho Mtakatifu aripowajiria ndipo kanisa lilipoanza
Waliotoka Nan alianzisha kanisah sas kati ya hao 12?
Uyu sule ayupo sahii muhamadi akwenda mbinguni anasema niendapo sipajui na sijui nitafanywa nn
Kweli doctor
Najivunia sana uwepo wako Dr sure
Big up doctor sulle
Ukweli unaumaa jmn tatizo wakristo hawasomi bibilia wangesoma bibilia wange ujua ukweli tatizo hawasomi kasomeni acheni ushabiki
Mnateseka mkiamini mungu wa Quran ni Mungu wa Bibilia. Mungu wa wakristo hatamtambui Mohammad wala nabii Isa wala allah.
Msifosi tufanane...
@@denisharris2889someni biblia nyie biblia sio kitabu cha mungu ni mkusanyiko wa vitabu walio kusanya Paulo na wenzie yesu alikuwa ni Israel ndio mnatakiwa kwenda Israel mtafute vitabu alivyoacha yesu kama nyinyi wasema kweli
@@denisharris2889karibu katika uislam uislam raha
@@denisharris2889hatuna haja Wala hatuitaji tufanane na makafiri mliopotea elimu hamna kazi yenu kusomewa t bibilia someni bibilia nyie matahira
Yaaani hata kama unaongozwa na dola ya kiisilamu ndio uchinjwe?
Mungu gani anaruhusu mtu kumuua mtu mwingine kisa karitadi?
Ni wakristo wangapi wameuwa na waisilamu huko uarabuni na kwingineko kote kwa sababu wao ni wakristo?
Dini gani inaadhabu za kidikteta?
Bibilia inasema Mungu ndio huua na kuweka hai kwanini umuue mwenzako kwasababu ya dini?
Kwahiyo dola zao watu wakiritadi wanakatwa shingo" je hao waisilamu hawatembei katika dola za wakristo na huko hawana msikitini yao huko waonakatwa vichwa na nani kwa sababu ya kueneza uislamu wao?
Waitishe mdahalo na IPM
IPM hajafikifia kuchallange Dr Sule
Imeandikwa msifanye jambo lolote kwa mashindanilo. Ndomana huwez kuona mkristo anayeingozwa na Roho kwenda kushindana. Kwasababu neno lilikuja kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na Roho Mtakatifu hawez kujipinga. Jambo lolote lenye mashindano lina hasara nyingi kuliko kuujenga ufalme wa Mungu. Yesu hakufanya jambo lolote pasipokuongozwa na Roho. Tukimfata Yesu lazima tuzungatie hilo neno. Hivyo anayosema Shegh ni sahihi kwa mtazamo wa kibinadamu lakini Bwana wetu Yesu akristo hakutuambia tufate ya Dunia bali tumfate Yesu kama Yesu alivyomfata Baba. Baada ya Yesu kuondoka alimuomba Baba atuagizie Roho Mtakatifu ambaye atatuongoza mpaka mwisho.
Roho ni neno Roho hawezi jipinga. Ndomana huwez kukuta Mkristo anayeingozwa na Roho kwenye mashindano ya Biblia mdaharo n.k vilishapingwa ktk maandiko Matakatifu.
Sule umenena kweli mash Allah
Shekhe uko vzr kwenda mbele na hoja ukakumbuka kurud nyuma ni ngumu sana ukifanya masihara unaweza ukasahau ulipoanzia !!
Sasaivi dini zote biashara mungu ndio anajuwa nani mkwe nani muongo kwanza sisi waislmu ndio tatizo
Huyu hana point anaoneka ana point kwa kuwa upande wa Mkristo hakuna anaeuliza maswali nyeti mfano 1Kama unaotambua Biblia basi Yohan 14:6 n.k,
Yesu ndie njia kweli na uzima mtu haji kwa baba ila....
Ivi usinge kuwepo dr sule ii elimu tungeipata kwa nani hakika unafundisha haswa asiye elewa huyo ni mshabiki ktk dini naludia huyo ni mshabiki wa dini hataki kujua ukweli yeye anashabikia tu,
Wallahi Allah (s.w) Amuhifadhi Dr Sule, na Ampe Umri Mrefu.
❤
Majibu bila kupepesa maneno ni dalili ya ukweli
Ni Waebrania 5:7 sio 3:1
❤❤
Shehe baraka zaallah ziwe pamoja nawe
Mbonaa mmeyakatisha mahojiano sehemu muhimu ya paulo tatizo nn sasa