Dah Asiemuelewa Ana akili kabisaa tena Mi Kabla tu ajamaliza Mi nishamuelewa, anamaanisha nini Mungu akubaliki Kaka Masanja Tena sana,Akubaliki kwa hili Somo,kama na ww umemuelewa nipe Like,yako
Kaka umenikumbusha mbaali saana.Mwaka 2007Nilikutana na mzee Mooja alikua anaombaomba msaada.Alipita baa nilipokua Napata mchemsho.Mzee alipokua anaingia watu wakawa wanamnyooshea vidole wakisema huyu mzee alikuaga Tajiri saana.Nikajiongeza nikamfuata nikampa 2000/=Nikamuuliza Mzee imekuaje ulikua tajiri na sasa ni ombaomba.Daaa Alianza kwa kwa kuniambia Mwanangu ukitaka kua lofa masikini kama Mimi Nitafute maana ni stori ndeefu.tukakutana kesho yake hapo hapo .Bar Mambo alionieleza daaa ni kama hayo ulionena masanja.Japo Yeye alizidisha zaidi. Coz Hata mke alifukuza na watoto aliwakataaa.Kukesha kwenye baaa na Kuwatuza wasanii ilikua ndo zake.Kuwanunulia viwanja madem ndo ilikua mtego wa kupatia mademu.Hakika dk za mwisho alianza na kulia coz hafahamu hata huyo mkewe alienda waaapi?
Serikali yetu inatufanya masikini kama ulifanya na serikali miaka zaidi ya 30. Retured unapewa 20,000/= kwa mwezi Kikwete akatuonea huruma akatuongeza mpaka 100,000/= awamu ya 5 hawakuwa na shida na sisi wazee. Awamu ya 6 ndiyo basi tena hana hata kutuona. Ni hiyo hiyo lakini wakati wao kwenye sitting allows ni zaidi ya laki tatu. Kwa hayo unayosema ni comedi tu mbona huwambii serikali wanavyo waliowafikisha hapo walipo. Ndiyo Makonda anasema kanyamazeni kwa sababu tumemaliza wakati mbona Inchi nyingine wazee retired ndiyo matajiri wanakula pensions zao kilaini sana
Kama umemuelewa masanja tujuane kwa like......!
Safi Sana I LIKE MY LIFE
Nimemuelewa sana tu
Dah Asiemuelewa Ana akili kabisaa tena Mi Kabla tu ajamaliza Mi nishamuelewa, anamaanisha nini Mungu akubaliki Kaka Masanja Tena sana,Akubaliki kwa hili Somo,kama na ww umemuelewa nipe Like,yako
Hahahah watakaoshindwa kwenda kinyume cha dondoo hizi , wamekwisha😂😂😂😂😂
Kipaji cha hali ya juu. Hongera sana Emanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji...
My best comedian all the time
Nakuelewa sana Mtumish
Asante Yesu,Akubariki sitafata kanuni hii nataka kuzidi kuwa tajiri.naamini utajiri wa kwanza kwangu ni kumpokea Bwana Yesu.Ubarikiwe machanja.
Vice versa is true
You have inspired me
Hizi zina inspire sana ungekifanya kama kipindi
Wewe ni mbunifu kupita kawaida. Ubarikiwe sana. Nakupenda nadhani napitiliza.
Nakuelewa Sana Bro Keep It
#Masanja Mkandamizaji# Hebu andika Kitabu kiitwacho: "JINSI YA KUWA MASKINI" ili kuhamasisha Maendeleo ya Mtu binafsi.
Umetisha sana
Bright people got a lesson from this video, keep up the good work
Umetishaaaaaaa
Barikiwa mtumishi
Ushauri mzuri sana
Barikiwa sana Mtumishi wa Nakuelewa Sana
Mm. Nimekwelewa masanja somo zuri sana
Ubarikiwe sana
😀😀😀😀 mungu anakuona masanja ila mm nimekuelewa sana 🙏💪
Nimekuelewa brother
Nakubaliiiiiiiii somoo kaliiii
Wow
Vice Verser is absolutely true
nimekuelwa Masanja unacho maanisha, 😁😁ubarikiwe
Sawa bro
kaka hongera sana kwa kuelimisha jamii nimekuelewa sanaaaaaaa
Hilo somo limeshiba sana,
hahaa masnja bhana!! hili somo matata sana!!!
Hapa ndo pana ule usemi usemao "asiyejua maana haambiwi maana"
Safi kabisa umasikin kwa gharama.
Nimekusoma ....Mimi huwa nafanya Hivyo lakin nashangaa Kila nikizitumia hizo pesa kesho yake napata nyingine...
Hahahaaaaaaaa daaah nimechekaa saana
Nimekuelewa
Nimekuelewa sana masanja
We jamaa una akili nyingi xn! Unazipata wap
Nimepkupata pastor.....
Aiseee 😂😂😂😂👌💪 yaani mimi umenifuza kitu apo mwakani nishajenga mjengo frani amazing sana 🏘👌💪😂😂😂😂👌 ila haka ni kaujinga ka kujenga
😀😀👏👏😂😂nimekusoma
Duuuuuuuhh Nimekupata
Ulimdesi sana masanja
Somo zuri
daah nimecheka sana
🤣🤣🤣🤣🤣 nimekuelewa sana kakaaaaa
mafundisho ya mchungaji mgaya aka Masanja nomaaa!
Yan we masanja umewaza nn mpaka ukaamua kufundisha hlo somo,
😂😂😂 utafikiri mazuri
Hahahhahahaha hii style yako ya komedi....
Bro daaa! Nimekuelewa somo la nidhamu ya pesa barikiwa na mungu by pot Emmanuel kabuje
Daaaah masanja umenifurahisha
Mwenye akili kaelewa pakubwa sana apo so bible akili
Hapa ndo Kichwa kisichokuwa na akili ni Mzigo kwa Miguu..
Kaka umenikumbusha mbaali saana.Mwaka 2007Nilikutana na mzee Mooja alikua anaombaomba msaada.Alipita baa nilipokua Napata mchemsho.Mzee alipokua anaingia watu wakawa wanamnyooshea vidole wakisema huyu mzee alikuaga Tajiri saana.Nikajiongeza nikamfuata nikampa 2000/=Nikamuuliza Mzee imekuaje ulikua tajiri na sasa ni ombaomba.Daaa Alianza kwa kwa kuniambia Mwanangu ukitaka kua lofa masikini kama Mimi Nitafute maana ni stori ndeefu.tukakutana kesho yake hapo hapo .Bar Mambo alionieleza daaa ni kama hayo ulionena masanja.Japo Yeye alizidisha zaidi. Coz Hata mke alifukuza na watoto aliwakataaa.Kukesha kwenye baaa na Kuwatuza wasanii ilikua ndo zake.Kuwanunulia viwanja madem ndo ilikua mtego wa kupatia mademu.Hakika dk za mwisho alianza na kulia coz hafahamu hata huyo mkewe alienda waaapi?
Hiii sauti ya chwiiiiiiiiiiiiiiiiiii,! Hahahahah
Niaje msee..wacha niende na kinyume ya hii mwanawane
hahahahahaha uko sawa
😃😃😃😃😃😃😃😃😃weeeeeeeeeee
Dah!!! hahahaha
Chief executive officer of Poor 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
CEOP 😀😀😀😀😀
Nangojea part ya wadada hahaha
Kila lock imeachia kama umesikia hvyo like hapa
Toa details
Hatar sana
Nimekueleea San mkuu kwa somo lko
Joseph Michael nimekuerewa mwalimu
UTAKUA MASIKINI SUGU!!!!!!Hahahahahahahahaha.
mgaya nimejifuz kitu 😂😂😂 usipotumia akili utakua maskin wakutupwa kazkaz ndo msing gomg laik kam umemuelew mgaya
Good exaggeration bro
Ww umefanya hvyo?
We kweli matehenya duh
Serikali yetu inatufanya masikini kama ulifanya na serikali miaka zaidi ya 30. Retured unapewa 20,000/= kwa mwezi Kikwete akatuonea huruma akatuongeza mpaka 100,000/= awamu ya 5 hawakuwa na shida na sisi wazee. Awamu ya 6 ndiyo basi tena hana hata kutuona. Ni hiyo hiyo lakini wakati wao kwenye sitting allows ni zaidi ya laki tatu. Kwa hayo unayosema ni comedi tu mbona huwambii serikali wanavyo waliowafikisha hapo walipo. Ndiyo Makonda anasema kanyamazeni kwa sababu tumemaliza wakati mbona Inchi nyingine wazee retired ndiyo matajiri wanakula pensions zao kilaini sana
We mkali nakuku bali kaka
Semo hili lifanye kinyume ndio utafanikiwa sana
Napia ungemwambia asisahau kulaiki mwanawane
Sasa ntapataje hiyo pesaa ili ntumbue hivyo?
ukitafsir kinyume nakufuata utakuw tajiri.
%100
Part 2 ipo wapi
AISEE MM BADO CJAELEWA UMEFUNDISHA KIWANGO CHA UMASKINI WA DIGRII NAOMBA URUDIE NIFANYEJE KUPATA PHD YA UFUKARA
Hahahaha how can dada become a poor,
ASante kwasomo zuli
unazingua mchungaji
Yani nimekuelewa sana masanja nn unaamanisha yani niatali
hahaha mtumish me nataka unifundishe jinsi ya kuwa tajir
HOW TO BE
Ten nyingi mii naacha buku msapulo wa nyadundwee jelo helaa yikwila
hahahah ndio sifa ya msanii, ubunifu%
Nimee kuelewa wajina
Hahahaha
Mb zangu hazijaenda bure
Kwa wenye akili watakuelewa umeongea point sn
🤣😂😅😁🤣😂😀
Watu wanatoboa pua badala ya kutoboa kimaisha
😂
How to be a pua person 💀😂😂
😂😂😂🤣
Ha ha ha ha
😂😂😂
Wasio kunywa pombe na bado hatuna hela tujuane hapa
Hahahahahahahahaahah
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Amka saa 5 anza kuangalia movies, kisha anza kibashinia siasa, nunua mi bundles, Kata utumbo . Wee. Si nunui tena mi bundles za ma mb.