😀😀😀 mimi walinipigia cku moja wakanieleza hivyo hivyo, ile wananiuliza umeona msg ya muamala nasema bado, wakatuma tena kila wakiniuliza umeona msg nasema bado walirudia zaidi ya mara sita wakituma sms ya muamala wakipiga nasema bado sijaona sms yeyote, nikasikia wapembeni yake anasema duuh!! Akakata cm hawakunipigia tena 😀😀😀
Siku nyingine wakinipigia nitawazungusha na Mimi mpaka nitumie vocha yao ya elf 20, Tena ili kuwatia presha wakiniuliuliza account ina sh. Ngapi nawaambia Ina laki nane nimekopeshwa na chama Cha ushirika kwa ajili ya kilimo Cha ufuta
😅😅😅😅😅fatuma madaraka yaan nimejikuta nacheka tu vile hilo jina anilitaka kama vile anakosea ,,💃💃💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸kama vile hajui yaan namna ya kufanya miamala ,ndo dawa yao hao ase ,,wamekutana na mjanja wa mjini
Kwanza mm nashukuru umetoa somo kubwa saaaaaana,, ubarkiwe mtu wa Mungu
Haaaah masanja noma weeeeh nakubal broh😁😁😁😁😁
Big up bro kazi nzuri
Imetisha pasta
Imetisha mwanawane
Nakuelewa Sana masanja by Evangelist Jackson msukuma god bless you
Be blessed bro!!
Hatarii sana watu wako very sirius maisha
Asante kwa somo zuri
Ahsante masanja
Umewaweza Na ulivyo mpotezea mdaa ume waokoa nawengeni kutapeliwa good job I do the same
😂😂😂 Pastor Umewaweza Sana
mungu awasamehe kwakweli
Asante sana kwa elimu mtumishi Masanja
Big up broo umeongea point sana broo
Wasanii wamekutana na msanii, vichwa gongana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
msanja bna mbadilisheni kitengo
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣haki ya mungu jaman khaaaaa kazi inainaendelea
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Naona Roho Mtakatifu alimgusa yule mwingine yule konkodi akakutambua.
Ila umeyasumbua unaweza kukuta yanacheki hii video yako
Jinga sana!😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hee ilinikuta nilihangaika kweli, ckuwa najua 😀😀
Me ni mfanyakazi wa halotel halafu wakanipigia kwenye namba ya voda halafu wanasema wametoka halotel
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣😂😂😂😂😂🤣😂😂
😂😂😂😂Hawa watu Mungu awaokoe
😀😀😀
Da! me nimewahi liwa jaman
😂😂😂😂😂 masaka,hahahaha uwiiiii
Ila watu wawe makini ukitumiwa hela haiwezi kuja namba ya simu huwa ni jina kama M-PESA, TIGOPESA etc
Kazi kweli kweli
Harafu iyo namba ya mataka inatumika sana kutuma SMS izo za wiz
tenaaaaa hua wanahekima sana hao matapeli
Dah! Asante sana maana hapo ingekuwa Mimi tayari duh! Hatari sana.
Una mwandiko mbaya model angu😀😀😀
Usitapeliwe wew Nani Massanja Mateja nao wapo kazini
Original comedian masaka ahaaaa
😂😂😂😂 Wameshituka wenyewe
🙆🙆🙆 cornmen hawana adabu,daah wanataka kuimbia hata mchungaji..hata majina hawana eti fatma matakataka😂😂😂
Ahahah nomaa
Kuna sababu tcra kusimamia hili maana wengi wanalizwa
Saf sana masanja. Mchungaj wa mfano. Inabid wachungaj waelimishe jamii kwa vitu kama hiv
Hahahaha uwiiii jaman nmecheka Leo na masanja Mimi
Mie wamenipigia leo ila dah nikakosea nikawaambia sina kiti kwenye airtel money ningejua ningewazungusha washenzi hawa
🤣🤣🤣🤣Broo mtesaji
Daaa! Siku l moja ivi wangeniliza asee
Jmn kweli😢😢😢
😃😃😃😃 walinipgia nkawambia sijapata mesej wakaniuliza salio lako kias gan,nkawauliza nyie customer care na hamjui salio langu shwain kabisa yakakata sim
Mashenz Sana kunasiku kidogo wanipige
Hata Mimi walishanipigia hao hahahahhaaha
Daaaah juzi wamenipigia nkawapa vitu vya moto 😁😁
Una haribu biashara ya 2 😀😀😀😀😀😇
😀😀😀 aisee
Daaah jamani masanja umenishinda Tabia.😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣
HALO WALINIIBIA 10000 WALINIFUNGIA NA LINE HALO XAMEKUA ADVANCED
😁😁😁😁😁 et kama takataka masanja bhn unafurahisha
Sasa hii kusajiri line Kwa vidole inamaa gani?
😀😀😀 mimi walinipigia cku moja wakanieleza hivyo hivyo, ile wananiuliza umeona msg ya muamala nasema bado, wakatuma tena kila wakiniuliza umeona msg nasema bado walirudia zaidi ya mara sita wakituma sms ya muamala wakipiga nasema bado sijaona sms yeyote, nikasikia wapembeni yake anasema duuh!! Akakata cm hawakunipigia tena 😀😀😀
Hhhhhhh umenisoma somo
🤣🤣🤣🤣🤣 mamae zao wameumbukaa hapo,nimekutana nao Sana ukiwajua ukawatukana aise wanatukana
Good
Lakini Hawa jamaa ungewapeleka kwenye mamlaka husika.
Wamewaibia wengi Sana.
Kama taka taka hivi 😂😂😂😂😂
😁😁😁😁!!! Yaaani Masanja Masaka au Mataka.
Kazi kaz
Hivi inamaana hawajakufahamu kabisa kua wew ni Masanja mujanjaa
Ha ha ha ha mecheka sana
kutapeli hajafanikiwa na kumsumbua umemsumbua vya kutosha safiiiiiii
😂😂😂😂 hela ya sadaka
Ngoja waendelee na watu wengine!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Et wao kaz yao ni kulima watu😁😁
Imenipata hii leo ...
Nilivomwambia aache utapeli jamaa kanitukana bonge la mtusi.
Hahahaa walimuibiaga mwanangu ngoshaa,,,,, hahahAAz hawa majamaa wajanja sana
HAPO wanaamini pesaa imeingia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀😀Hawa matapeli wanahic watu wote ni walemavu wa akili
😁😁😁nawalivo serious kama kwel vle, hii naamini cos namm waliwah nifanyia hvoo daah nikashtukia af wanakwambia usikate simu ad ufike kwawakala😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂😂alafu wanasaut za utulivu
😲😲😲
Masanja unatuzinguaa
Mungu anawaona waizi awa mangaidi
😅😅😅kamatakataka
Daah me Juzi wamenitapeli laki 5 na 80 ctokaa kusahau
Umenichekesha Sana
😂😂😂kazi wanayo
Siku nyingine wakinipigia nitawazungusha na Mimi mpaka nitumie vocha yao ya elf 20, Tena ili kuwatia presha wakiniuliuliza account ina sh. Ngapi nawaambia Ina laki nane nimekopeshwa na chama Cha ushirika kwa ajili ya kilimo Cha ufuta
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watakuganda hao
Jamani nimecheka masanja weee siku niliwasumbua walivyogundua kua nimewashitukia walinitukana😂😂
Kazi ina endelea hahahahaaaaaa,
Noo mpeleke polisi
😂😂😂😂😂 wamepatikana ase
Hata mm huyu mataka alitakaga kunitapeli mpaka akanipigia cm nawapendaa hawa watu yani hawajui kama ujui 😂
Eti kama unalima mpunga, mi nalima watu😂
Et kazi inaendelea
Mara nyingi huwa wanapigwa wanawake tu dah 😀
Huyo mbuzi anaacha kufanya kazi
😀😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂 uwiiiiiiii jaman du
Hao wezi kwel ila Mimi nalaum selikal
Kwa kweli umeyaumbua Sana
Kuna watu washa vurugwa na maisha😆😆😆
Alie ona Masanja ana mwandiko mbaya like
😃 😃 😃 😃 😃 😃
Apo umemuweza
Hao wehu ata mimi ninazo record zao walivyo taka kunipiga
Tcra Mko wapi au mnaangalia Post za Wapinzani?
😄
😅😅😅😅😅fatuma madaraka yaan nimejikuta nacheka tu vile hilo jina anilitaka kama vile anakosea ,,💃💃💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸kama vile hajui yaan namna ya kufanya miamala ,ndo dawa yao hao ase ,,wamekutana na mjanja wa mjini
Uyo tapeli baada yakundua anae mtapeli amemalizia kwa busara mi niliambulia kutukanwa matusi ya kutosha kisa niliwashtukia michezo wao
Hahahahaha duuuuuu jamani
YAAN HAO NI WEZI
Eti kazi inaendelea 😂😂
Fatuma pasaka🤣🤣🤣🤣
Mataka
Nimecheka yotee😅😅😅😅